Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Mzee MS,

Aslaam aleykum na kisha shikamoo ndugu yangu habari muda mrefu.

Ukisoma nilichomjibu nnguu utagundua namwambia jambo jepesi sana. binadamu kukataa kutawaliwa na kudhulumiwa ni katika FITRA aliyotupa Allah SWT. Kwa fitra hiyo ndio maana Che Guevara (sio Muislam) akaja Kongo kupigana na wabelgiji. Mahtma Ghandi aliitumia kupambana na waingereza. Hapondipo nilipoanzia.

Kanisa katoliki tofauti na uislamu ni taasisi ambayo imefaidika na kutegemea sana dola tawala. Hiyo ipo katika historia ya kanisa lenyewe. Desturi hii haijaisha na ndio maana kanisa katoliki ni dhebu pekee lilijitalia kiti cha hadhi ya namna fulani UN. Wewe unasema masuala ya masheikh wa Ruvuma, nakukaribisha kuchunguza lengo halisi la Mussolini kuivamia Ethiopia 1935 na idadi ya waethiopia waliokufa pale majeshi ya kiitalia yakihaha kuitafuta "arc of the covenant" ambayo kuna hisia kubwa sana kuwa ilikwenda Abyssinia wakati wa mwiso mwisho wa utawala Solomon. Search (Ethiopia, arch of covenant, Musolini).

Kujibu swali lako halisi ni kwamba kanisa kama taasisi iliyokuja na kufaidika na utawala wa kikoloni haikutegemewa ligeuke na kuongoza mapambano dhidi ya mkoloni. Mimi nashauri tusilichimbe sana hili kwa vile hata masheikh wetu nao hawakufanya jitihada zisizo na shaka kutokomeza utumwa katika hii ardhi yetu japo waliuona na hata hao wachuuzi waliswali nao, lakini wazee wetu waliuzwa mbele yao. Badala yake tunakuja kuona mtu kama sultani wa zenj analazimishwa na waingereza kuweka saini ya kuridhia kusimamisha biashara ya utumwa kwenye eneo lake.

Hapa Mzee MS lazima tutenge kati ya sera za taasisi za dini kama Kanisa au misikiti na Watanganyika wakiristo au waislamu waliokuwa pia na moyo wa uzalendo na uchungu na nchi yao itakuwa vibaya tukiwachanganya.

Umesema nashangaa waislamu kuijenga TANU. Hapana. Nilishangaa waislamu kutotoka TANU kama BLOCK ili kui-support AMNUT. Hili jambo linaashiria kulikuwa mgawanyiko mkubwa katika waislamu wengine wakilitazama jambo zima kama waislamu na wengine wakilitazama jambo hilo hilo kama wazalendo na tofauti zingaliko hadi leo. Kuna waislamu hawachelewi kuwaita hadi kuwaua wenzao kuwa ni MAKAFIRI kwa vile suruali inagusa viatu na wengine wanatoa talaka wakijua mke kakubali kuhesabiwa.

Umeniuliza mbona maaskofu hawamo katika historia hii. Hii inalingana kama masheikh wetu walivyo wachache kwenye kukemea utumwa Pangani au Zenj enzi hizo. Hawa ni watu mwisho wa siku wanatawaliwa sana na maslahi yao. Nadhani nimeshakujibu. Nitashukuru kama paper yako iko online unipe link niisome nahisi ina mambo mengi mazuri.

Mawazo ya Nguruvi ya kuwaenzi watu kama kina Bibi titi kwenye baadhi ya hizi taasisi nadhani sio mabaya jaribu kulifuatilia.

Wickama,
Nitakujibu moja tu.

Waislam si wabaguzi.
Ubaguzi unapigwa vita na Uislam.

AMNUT ilikuwa na historia ya kuanzishwa kwake.
Ikiwa huijui soma kitabu changu.

TANU kilikuwa chama cha Waislam na ndiyo waliokiasisi
wakakipa viongozi na wanachama.

Hayo mengine ukitaka majibu lete uzi wake hapa ''we are
keeping our eyes on the ball.''
 
Inshallaha, ukipata nafasi tafadhali rejea. Natumaini utatumia wakti ulio nao kuweka lugha yako katika muktadha mzuri ili hoja zako zieleweke.

Mie nipo katika mjadala sikujua kuna kudondoshana, hata hivyo muhimu kwangu ni kufikisha ujumbe niliokusudia. Kwamba, mimi ni mahanatha, fataani n.k. hizo ni changamoto za kazi hasa elimu ya umma.

Inshallah wasalaimie hapo numbani ahli na vijana.


I hate two faced people...the likes of you and Mag3.

It makes it harder for me to decide which side to slap first!

Ahsanta.
 
Sheikh Mohamed Said,

Salaam Al Akhiy.

Tafadhali kipata fursa tujuze je huyu Bwana Rawson Watts,ndie mwanae alikua Dr Watts aliekua na Clinic pale Tanga/Ngamiani Barabara ya 6 !?

Maana huyu Bwana alikua Sahib mkubwa mno wa Mzee wangu,na mara zoote tukienda Tanga lazim twende kumuona naye akija nyumbani lazim aje kwetu.

Mara ya mwisho nakumbuka tulikwenda kumuona pale Muhimbili wakti akiumwa na tulikua tukenda kumwangalia pale.

Nakumbuka mara ya mwisho tuliwakuta rafikize wa karibu wa hapo mjini wako pale Hospital kumuuguza;Mosadique Azan aka Zungu,Mohammed Azan Mpuya,Paul Rupia,Mbarouk Mwandoro,Ramadhan Madabida,Harith Kibwana Mwapachu na wengineo...lakini muda si mrefu akafariki maskini!

Wajua mie mara nyingi hupitiwa kuuliza majambo/jambo papo kwa papo.

Sasa ndo leo nasoma hiyo bayana kwa Shariff Ritz,nami natanabahi na kujaribu kuunganisha dots...kama ndie yeye mwanae basi utakuwa umenifungua macho pia kwa hili!?

Kuhusu huyo Dr Kyaruzi,wala mie siistaajabu kwa hayo ulonena...ama kwa hakika hawa jamaa zetu wana udhaifu wa nyoyo na mapungufu mangi mno!

Ahsanta.

Cc;Ritz

Gombesugu,
Dr. Watts ni mtoto wa Rawson Watts muasisi wa AA.
 
Gombesugu,
Dr. Watts ni mtoto wa Rawson Watts muasisi wa AA.



Duh!

Sheikh Mohamed Said,

Wallahi,shukran nyingi mno.

Kama usemavyo,sisi wengine historia zimo majumbani mwetu.

Unajua mie miaka yoote hata siku nilikua sijui na wala sijawahi hata kumuuliza Mzee wangu kuhusu khabar hii.

Yaani sisi tulikuwa tunajua yule ni Uncle Dr Watts tu,rafiki ya Mzee wetu basi!

Kumbe maskini na mie ningaliyajua haya kitambo,basi si ningalipata japo kiduchu ya kumuuliza au kuyajua toka kwake mwenyewe juu ya khabar za Mzee wake!?...from the horses' mouth!

Zipo picha kadhaa hapo nyumbani kwenye family albums za Dr Watts na Mzee wangu na nyingine tulipiga nae Dr Watts na Mzee wetu kwenye hunting trip Saadan na Mauya,wakti huo tukiwa likizo ya Shule kitambo kiduchu!

Sasa mbona Dr Watts ametoka vile kama Mzungu/biracial,au huyo Mzee Watts mwenyewe alikua ni Mzungu!?

Nashukuru mno kwa haya...kila kukicha waizidi kunisomesha Al Akhiy.

Ahsanta.
 
Brother Nguruvi3,

La hasha kaka,mimi sijanyofoa na kudonoa donoa hoja yako kwa kukidhi matakwa ya kile ambacho nimekuwa nakihitaji kutoka kwako,hilo walisema wewe,

Jambo jingine nalojifunza kutoka kwako Nguruvi3 ni kwamba gari yako indicator ama imekufa au haipo kabisa,kwa maana huwa hata inapokata kona haioneshi ishara kwamba hapa sasa inataka kukata kona,Hii hoja ya nyerere na bakwata hapo awali uilkubali na hapa sasa nakuona unaikingia kifua na kukanusha ya kwamba bakwata ilianzishwa na waislam wenyewe,hali ya kuwa pale mwanzo ulikiri kwamba ilianzishwa na nyerere kwa ngao ya kuwapa chambo baadhi ya mapandikiz yake kina bwana nasibu,hoja hii si ngeni kwako,kwan hapo mwanzo ulipewa kisa kizima cha kuundwa kwake labda kama umesahau sema tukiweke tena hapa upate kujikumbusha kiduchu,

Nguruvi3,Julius kambarage,Ali hassan mwinyi,mkapa,kikwete wote ni wanasiasa,wameingia kwenye uongoz kwa ngao ya katiba n mfumo maalum ambao wote wameapa kuutetea,kwan hili hulijui??

Sasa unapata wapi uhalali wa kusema kwamba kama nyerere alikosea katika hilo basi ilistahili mwinyi ama kikwete walirekebishe hilo,kwanin usiseme kwamba mkapa alitakiwa kulirekebisha hilo??kwanin unachagua mtu wa kumvisha paka kengele??


Kama nyerere hakuwa muislam na alidirik kushiriki uovu kama ule,kwanin mkapa asingeamua kutafuta namna ya kumaliza mgogoro ule na badala yake wewe unasema mwinyi na kikwete walikuwa wako wapi??,,unataka sasa kuwaingiza katika vita ya kusimama hapo kuupigania uislam rasmi??maana hamkawii,kusema kwamba kwa kuwa bwana fulani ni muislam basi sasa ameamua kulivalia njuga hili ili kuweza kuweka sawa mambo ya iman yake,ili hali sisi hatukumchagua kwa lengo la kuisimamia dini,najua mengi yatazungumzwa katika hilo,lakini nilishakujib kaka kuhusu hilo,

Bakwata iko affiliated na chama cha mapinduz tokea zama za kuasisiwa kwake,na hivo vyombo viwili pamoja na serikali huwa vinategemeana katika kuwapo kwake na kunawiri kwake usitegemee kama chombo kimoja kinaweza ona uhalali wa chombo kingine kuanguka,


Kitu unachopaswa kukifaham kuhusu ishu hii ni kwamba,mfumo ulioisimika bakwata madarakani ni mfumo ulioshika mizizi na ni mfumo unaolinda maslahi ya wale wanaotaka kuendeleza unyonyaji na kuwafumba watu wasiufaham ukweli,


Kwa wao kushindwa kuisimiaimaia bakwata sio hoja ya kuwaaminisha wanajamii wa kitanzania ya kwamba nyerere alikuwa sahhihi kuanzisha jumiya hiyo
Hapana The big, hujanisoma vizuri. Gari yangu ina indicator nzuri sana tatizo watu wanaangalia kwa macho ya kengeza tena wanaangalia full light teh teh

Nimesema mara nyingi Bakwata ilianzishwa na Nyerere kama counter attack dhidi ya makundi.
Nikasema Nyerere amenusurika mara nyingi kuondolewa uongozini kwasababu ya Ukristo.

Kwa muktadha huo mbegu ya Bakwata haikuanza mwaka 1967 bali utengnezaji wake ulifanywa na makundi hasimu kuanzia 1957 kwa mtindo ule ule analolaumiwa Nyerere. Alipotengwa ilikuwa haijambo , alipodhibiti makundi ikawa nongwa! jamani haya makengeza kwanini tusiyafanyie appointment CCBRT?

Nikasema baada ya kuundwa Bakwata, iliungwa mkono na waislam kwa kuiendesha wenyewe.
Nikasisitiza kama kulikuwa na remote control katika uendeshaji wake hilo ni jambo jingine.

Mwisho nikasema hata MoHamed Said aliwahi kuwa ndani ya Bwakata hivyo tatizo si Bakwata kama chombo ni viongozi wa Bakwata. Nikaishia kutanabaisha kuwa ulua na maslahi ndio chanzo cha kuipa nguvu Bakwata ambayo ilianzishwa kudhibiti makundi yaliyoleta vurugu za kichini chini ya akina Amir na Platan

Makundi hayo bado watoto wao wapo na wajukuu! nikasema JK na Mwinyi walipaswa kuliona hilo lakini wameikumbatia. Hii maana yake Bakwata haikuundwa kuwadhibiti waislam bali makundi na hatari hiyo wameiona waungwana.

Nimeuliza iweje Machame na Mkuranga watofautiane katika mazingira yale yale ya kudhibitiwa 'Uislam' kama hilo lilikuwa lengo?


 
Mzee MS
umefanya jambo zuri, tumshukuru pia Nguruvi kukugusa mpaka
kumfungulia uzi Mkatoliki huyu. Tuko pamoja.

We jina lako linatisha kidogo! Limekaa kama wale wenye kutumia makalio kufikiri!

Unajifanya kuuma huku unapuliza!
Ujanja wa kizamaaani huo!
Halafu nimeshaskia harufu ya UGALATIA kutoka kwako!
Hizo salam za kiungwa unaweza kujing'ata ulimi bure!

We kama unadukuduku lako speak like a man!
Dont give us ohh shemeji yangu ohhh wifi ohhh ahsantum!

When you want to drop it! Dont be like a chicken!

Drop it like a man!
Haya wacha vigeregere leta maneno!
 
We jina lako linatisha kidogo! Limekaa kama wale wenye kutumia makalio kufikiri!

Unajifanya kuuma huku unapuliza!
Ujanja wa kizamaaani huo!
Halafu nimeshaskia harufu ya UGALATIA kutoka kwako!
Hizo salam za kiungwa unaweza kujing'ata ulimi bure!

We kama unadukuduku lako speak like a man!
Dont give us ohh shemeji yangu ohhh wifi ohhh ahsantum!

When you want to drop it! Dont be like a chicken!

Drop it like a man!
Haya wacha vigeregere leta maneno!

Your too low.. bongo yako imejaa udini tu
 
Your too low.. bongo yako imejaa udini tu

Hilo kwangu sio tusi kijana!
Hio mimi ni sifa! Tena nakwambia kabisa.
IN MY LIFE, MY RELIGION COMES FIRST!
sasa we ulitaka vipi! Niwe part religious?
Kama nyie sio!?
Huku mnasamehe dhambi wanakondoo!
Huku mnafungisha wanakondo ndoa za kiliberali!?
Mimi ni moto kwenda mbele! Hakuna kuwa na sura mbili km nyie!

So tell your mates to talk like a man!

Not crying like a little sissy girl playing"mary go round"
 
Wickama,
Nitakujibu moja tu.

Waislam si wabaguzi.
Ubaguzi unapigwa vita na Uislam.

AMNUT ilikuwa na historia ya kuanzishwa kwake.
Ikiwa huijui soma kitabu changu.

TANU kilikuwa chama cha Waislam na ndiyo waliokiasisi
wakakipa viongozi na wanachama.

Hayo mengine ukitaka majibu lete uzi wake hapa ''we are
keeping our eyes on the ball.''
TANU ilikuwa chama cha Waislam!! in the record !!!
Nadhani hapa utakuwa umekwenda mbali sana na kutoa picha isiyotarajiwa. Real!

Kuna AMNUT hiki ndicho cha waislam hasa, lakini kilikataliwa na waislam wenyewe kwasababu TANU Ilikuwa ya wote.

Hasira hasara, Mohamed ameongea mambo na kuwaacha vijana uchi.

Vijana wamekataa siku zaidi ya tano kuwa historia ya Mohamed si ya dini, wakasema uhuru si suala la dini na wala hawatetei udini wanatetea historia iliyosahauliwa.

Ghafla Mohamed anajitokeza na kuwachapa kibao cha usoni, anasema tulieni ninyi vijana, historia yake ni ya TANU chama kilichoasisiwa na waislam na kwa lengo la kuwakomboa! Jamani !
Hao wengine walidandia tuu! anamalizia mzee!

Halafu anakataa kuwa hakukuwa na ubaguzi wakati Nyerere alinusurika kuondolewa madarkani kwasababu ya imani yake.Ameshau nini Platan na Amir walikusudia dhidi ya Nyerere.

Vijana rejeeni mkatae kama si historia ya dini, mzee kasema yote
 
We jina lako linatisha kidogo! Limekaa kama wale wenye kutumia makalio kufikiri!

Unajifanya kuuma huku unapuliza!
Ujanja wa kizamaaani huo!
Halafu nimeshaskia harufu ya UGALATIA kutoka kwako!
Hizo salam za kiungwa unaweza kujing'ata ulimi bure!

We kama unadukuduku lako speak like a man!
Dont give us ohh shemeji yangu ohhh wifi ohhh ahsantum!

When you want to drop it! Dont be like a chicken!

Drop it like a man!
Haya wacha vigeregere leta maneno!




Maulana Dr Kahtaan,


Asalaam Alaykum!

Yaani nimecheka pita kiasi! Kwi! Kwi! Kwi!

Wenyewe tulikua kimya hapa kutwa nzima na Sheikh Mohamed Said na Ayatollah Chamviga...ghafula umekurupuka wewe hatujui ulokotokea,na jamvi loote lishakua lako peke yako! Kwi! Kwi! Kwi!

Al Akhiy,you know how much I respect and love you to death.

More importantly,the way you come across,always like a bullet! Kwi! Kwi! Kwi!

This is not Holywood,this is real life,basically we don't need actors here...we need more real people with staright talk like You!

Bless!

Ahsanta.


Ps;Shariff Ritz....niwie radhi yanilazim kutoka kiduchu,maana hapa mindhal kaingia Ulamaa Dr Kahtaan,mie itakua kazi yangu kuangua vicheko tu na sintafanza lolote la maana humu kwa sasa! Kwi! Kwi! kwi!

Kwa Ihsan yako,kipata fursa nitafutie ile post ambayo Nguruvi3 anadai yakuwa Sheikh Mohamed Said ati heshi kumsimbulia mno Nyerere wao na kumsimanga kuhusu chakula na manginayo!?

Kuna maneno kiduchu nataka kumjibu huyo Nguruvi3 kwenye hiyo post...nimejaribu mno kuipekura humu lakini siipati!?

Kuna "jamaa wengine" nao,shughuli yao takuja wamalizia kesho Insha Allah kipata fursa.

Kaa vyema na Maulana Dr. Kahtaan na Al Murid THE BIG SHOW! Kwi! Kwi! kwi!

Ahsanta.
 
TANU ilikuwa chama cha Waislam!! in the record !!!
Nadhani hapa utakuwa umekwenda mbali sana na kutoa picha isiyotarajiwa. Real!

Kuna AMNUT hiki ndicho cha waislam hasa, lakini kilikataliwa na waislam wenyewe kwasababu TANU Ilikuwa ya wote.

Hasira hasara, Mohamed ameongea mambo na kuwaacha vijana uchi.

Vijana wamekataa siku zaidi ya tano kuwa historia ya Mohamed si ya dini, wakasema uhuru si suala la dini na wala hawatetei udini wanatetea historia iliyosahauliwa.

Ghafla Mohamed anajitokeza na kuwachapa kibao cha usoni, anasema tulieni ninyi vijana, historia yake ni ya TANU chama kilichoasisiwa na waislam na kwa lengo la kuwakomboa! Jamani !
Hao wengine walidandia tuu! anamalizia mzee!

Halafu anakataa kuwa hakukuwa na ubaguzi wakati Nyerere alinusurika kuondolewa madarkani kwasababu ya imani yake.Ameshau nini Platan na Amir walikusudia dhidi ya Nyerere.

Vijana rejeeni mkatae kama si historia ya dini, mzee kasema yote



Hivi wewe jamaa ni msomi na mstaarabu/muungwana kweli kama unavyojinasib humu Jf au hapa jamvini!?...au ndo yale makhanatha ya "Muungwana Zomboko"!? Kwi! Kwi! Kwi!

Nachelea, isijekuwa sisi tumo hapa na kuacha shughuli zetu za maana,kumbe tunazungumza na muuza mitumba wa pale Manzese!?

Mbona unazungumza kama mambo ya vilabuni!?...utasemaje sisi tuko uchi!?...imekhusu nini kuutaja huo uchi hapa jamvini!?

Au ndo kule kwenu Kicheba ukizungumza na wenzio unatumia maneno haya!?...khalaf wewe mwenyewe utarejea hapa kujifanza victim ati yakuwa umetukanwa!?

Yakhe,mbona hushi kujisahau kila kukicha!?

Inna Lillahi!


Ahsanta sana.
 
Wickama,

Salaam.

Bakhti njema hizo sehemu takriban zoote uzitajazo mimi binafsi nazifahamu kwa utuvu na tuna familiy history nazo na Wazee wetu wakijuana na watu wengi wastaarabu na influential wa maeneo hayo.

Nafikiri utakumbuka niliwahi kukufahamisha yakuwa tulikuwa pale Mazinde na Mombo kwa shughuli za kilimo na biashara tangia yule khabith Mjarumani hajatia maguu yake hapo Tanganyika na mpaka yule Nyerere alipoleta ile nakma aka "Azimio la Arusha" na kuangamiza kila chema alichokikuta ndani ya nchi hiyo.

Kwa kifupi,napenda kugusia kiduchu hapo ulipoweka hayo maneno "HARD WORK and GOOD PLANS"! Kwi! Kwi! Kwi!...ni rhetorical tamu mno!

Nina hakika umepitia huu mnakasha post by post!?...kama ni hivyo mbona mimi binafsi nimejaribu kujibu/kuelezea suala hili!? Nafikiri tujiepushe kurejea kupeana au kuulizana majibu/maelekezo yaleyale!?

Kama ukiona post yangu yoyote labda haijakidhi hayo uyatakayo,nakusihi njoo nayo hapa na uniulize lolote utakalo,nami takujibu na pale nitakaposhindwa Insha Allah nina hakika pana wengineo wenye Ilm kubwa na wenye upeo mwingi hapa jamvini.

Narejea tena;hiyo argument yako mbona ni dhaifu mno!

Maneno kama hayo hayo uyasemayo leo hapa jamvini,si ndo hayo hayo yalitumiwa/hutumiwa na wale Maharamia wa Western Powers dhidi ya ndugu zetu Afrikan Amerikans especiallyduring the Civil Rights Movement!?

Arguments hizo hizo si ndo zilikua zikitumiwa na the Apartheid Southern Afrikan regime dhidi ya wale ndugu zetu Black South Afrikans!?

If you don't mind me expand a bit into geopolitical arena...basi utathibitisha yakuwa hawa Wazungu aka Mataifa ya Ki-magharibi mpaka kesho nao wanajaribu kupindisha ukweli ulo dhahir kwa kutoa the so called "facts" au arguments dhaifu na za kiharamia, kulinganisha ati "uzembe" na "upumbavu" wa Blacks woote wa dunia nzima and/or Afrikans in particular na mataifa ya Asia khasa China,South Korea,Singapore,Malaysia na kwingineko.

Huku waki-discourage tena kwa makusudi historical facts na baya zaidi ni ile kufanza mlingano kwenye two different phenomenal.

Pia tunajua jinsi hao hao Wazungu wanapojisifia na "kustaajabu" ya kwamba kwanini ati Afrikans hawana maendeleo wala mipango tangia "wamepewa"/wamegombania huo "uhuru" wao!?

Nafikiri Wazungu pia hujitolea mfano wao mkubwa,kujinasib na kusifia mno nchi zao na Wanachi wao ati kulinganisha tena bila ya soni na "uzembe"/"ujinga" wa Waafrika!?...wanatolea hata mfano wa WWII na mafanikio ya mataifa yao baada ya hapo!? Kwi! Kwi! Kwi!

Hili suali/hoja Archbishop D. Tutu aliwajibu vizuri mno,Wazungu wanajisahau yakuwa baada ya WWII pamoja na misaada lukuki palikua pia na ERP aka Marshal plan!?

Afrika pamoja na madhila yoote ya centuries haijawahi/haitawahi kupata hata thuluthi ya ile Marshal plan kutoka kwa mtu/Taifa lolote ile!?

Sasa tukirejea kwenye argument yako/hapo nyumbani;nafikiri utaona similarities kwenye hayo kiduchu nilojaribu kukukumbusha!?

Au nawe unaamini yakuwa wale ndugu zetu pale Haiti nao pia ni "wazembe" na "wapumbavu" hawana plans zozote kazi yao ni kulalama kila kukicha!?.... kama unavyojaribu kudai kuhusu hao Waislam wa hapo nyumbani!?

Nafikiri kwa yeyote mwenye kufahamu madhila ya ndugu zetu wa Haiti,hawezi asilan ati leo kukurupuka na kujaribu ku-discourage and/or ku-disregard history walopitia, yenye madhilal na dhuluma ziso mipaka zilowapata kwa centuries.... tangia ile Haiti revolution dhidi ya wale washenzi Polish troops aka French Army na mangine mangi mno yaliofuatia/yanayozidi kuwasulubu mpaka kesho...kumbuka hapa sijagusia asilan hata ile Christians Slave Trade aka Atlantic Slave Trade.

Sasa ni vibaya mno na unafiki wa kitaaluma na pia itakua ni uzandiki ulokubuhu,kama leo sisi hatutafuatilia majambo kwa ile historical context!

Itakuwaje leo hii nyinyi ndugu zetu Wakristo muwe mstari wa mbele ati ku-discourage historical facts, kwamba Waislam walikuwa systematical persecuted,oppressed,marginalised and allienated during both colonial powers British and Dutch/Germany...na khalaf yake Nyerere akafuatia na kufanza mangi yasio tafauti na yaleyale aloyakuta!

Khalaf,wewe unakurupuka ndugu yangu unawaamabia ati watu waache "uvivu" na wawe na "mipango"!?

Hivi wewe unafikiri nyinyi Wakristo kama mngepitia nakma,unyama,dharuba na dhuluma zoote walizopitia Waislam hivi si mpaka leo mngalikua hizo tongotongo za macho ndo zimekuzidini!?

Au hujui yakuwa Wakristo walikua systematicaly benefited toka kwa Colonial Masters to the expense of almost all Muslims and others few with no religion!

Na Nyerere ndo nae akapokea lile jiti la maangamizi na kuendelea na huu MfumoKristo unaondelea kututafuna mpaka kesho....yaani imekua kama vile relay race! Kwi! Kwi!

Kwa maana hii huoni yakuwa Wakristo na hayo mafanikio mliyonayo;ni kuwa tayari walishatengenezewa platform aka social engineering na wale mabwana zao wa Makanisa aka Slave Masters/Colonists wao!?

Wallahi,naona dhiki yakuwa kila siku tunakufahamisheni haya haya nanyi mnarejea na yaleyale huku mkijifanza vipofu!?

Pia naona unajaribu kumtetea Nguruvi3 kiduchu,haina neno ni vyema mno.

Lakini argument yako bado inalegalega mno!

Tatizo ni kwamba,hatuwezi hata siku moja kujaribu kuangalia dhulma na madhila waliyopata/wayapatayo Waislam bila ya kumuhusisha yule Nyerere.

Kumbuka yakuwa yule ndo alokua Rais wa mwanzo hapo,na katika kile kipindi chake ndo pia Waislamu walisulubiwa mno!....na kila oppression dhidi ya Waislamu yeye ndie aliekua Architect wa kila jambo..yaani ni sawa na kutaja ile nakma ya WWII bila ya kumtaja Bwana Adolf Hitler!?....si itakuwa ni ubadhilifu wa kihistoria!? Kwi! Kwi! Kwi!

Sasa hizo "plans" ujaribuzo kutufunza sisi Waislam,tutawezaje kufanza bila ya kujua huko nyuma tulipotoka,yalotukuta na kurekebisha makosa yetu kwa huko mbele tutarajiako kwenda!?

Sasa katika sisi kujitazama huko ki-historia ndipo huyo Nyerere aingiapo na hapa ndipo "ugomvi" na Bwana Nguruvi3 unapoanza!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kuhusu hayo maeneo unayojaribu kutaka kulinganisha na kusifia;yaani huko Lushoto...ni sawa nakuomba uongezee na Mkoa wenu mpendao kulinganisha hayo muitayo ati ni "maendeleo" ya Waislam wa huko!

Nakhis madhumuni yako ni kuonyehsa labda "uvivu" na "uzembe" wa Waislam wa huko ulikotaja na wale wa mwambao!?

Hii album yenu ya divide and rule mbona imeshapitwa na wakti ndugu yangu!?

Wewe binafsi,jaribu hata kuchungulia hayo mnayoita ati ni "maendeleo" na hizo bidii za hao Waislamu wa hayo maeneo na wale Wakristo wa maeneo yaleyale,khalaf angalia hata ile rate/mlinganisho ya hayo mafanikio...khalaf njoo hapa ndugu yangu tuzungumze kwa ustaarabu.

Mimi nayajua baadhi ya hayo maeneo na tuna family friends wengi na wa karibu mno tangia tuko wadogo...huko Mwanga,Vunjo,Mtae,Machame,Marangu,Soni, Lushoto na Bukoba, Mwanza,Mbeya na kwingineko.

Tatizo tunarejea palepale,kwa mfano hata tukichukulia yakuwa hao Waislam wa huko labda ni kweli ndo wenye bidii na hawapendi kula wali na kucheza bao kulinganisha na labda wa Zanzibar,Bagamoyo,Tabora,Mtwara na Tanga... for the sake of argument nakubali ni kweli!?

Sasa itakua historically hao wamefikia hapo walipo na kupata nasra hiyo,kwa kuwa by chance wametokea kuwemo ndani ya maeneo ambayo walipata ule upendeleo makhsus wa Wakoloni na hatimae kuendelezwa na yule Nyerere chini ya huu MfumoKristo!?

Kama nao pia wangekua kulekule kwenye mainly Muslim inhabited areas ambako kulikua systematically undermined,basi leo pia ingekua hiyo khadith/argument yako inawadhrau hata nao!.....Hujawahi kusikia ile mithali yakuwa "mgagaa na upwa hali wali mkavu"!?

Niwie radhi kwa maandishi mangi mno.

Ahsanta.

Gombesugu, Wallah raha ilioje kukusoma!!!!

Naona ukali wako na neno kiduchu viko pale pale hahahahaha. La mwanzo hebu tupeane mamkuzi mema; Aslaam aleykum.

Mimi kumsaidia Nguruvi si rahisi nilijazia tuu kama unavyojazia kila akiandika Ustadh Ritz au Mzee MS, wenyewe tumeshayazoea haya wala hayatupi shida, ndio mila ya kundi letu. Tuendelee.

Hapa penye uvivu hukupasema vizuri. Palitajwa mipango bora, na Nguruvi akaomba msaada wa taarifa toka Mkuranga, huko nakumbuka kuna shule ilikuwa na matatatizo na ilikuwa na wanafunzi wachache sana.

Gombesugu, kuwaenzi mashujaa ni jambo zuri. Marekani sasa hivi unajua sana GERANIMO ni shujaa wa kitaifa kwa zile vita zake dhidi ya wazungu. Imechukua muda watu kubadili mtazamo. Afrika kusini, hali kadhalika. Binafsi ningependa sana kuona Bibi Titi Memorial University, why NOT?

Awali kama unakumbuka tulisema sana humu JF hivi kinachofanya Kirinjiko au Mudio au Buhongwa Islamic seminaries wafaulu kitaifa ni NINI? hili swali wallah halijibiwi, na kwa bahati mbaya kila ukilibold basi Gombesugu unatu-koromea KWANINI?

Maswali mengine nadhani yameshajibiwa ktk majibu tangulizi. Karibu Mazinde au Kabuku au Pangani ujenge shule kama Kirinjiko wacha lawama, muda haungoji.
 
Shemeji yangu Ritz

Aslaam aleykum

Sioni jinsi Nguruvi anavyoshambulia UISLAMU kama dini. Kifupi ni kwamba Article yake inawatanabahisha waislamu kujihadhahari na wenzao wanaogeuza madhila yao BINAFSI katika maisha na kuyageuga kuwa agenda ya UMMA wa KIISLAM. Kama hukubaliani na mtazamo wake huo hapo ndipo unatakiwa kumpinga kwamba madhila ya waislamu hao SIO KWELI na WALA HAWAJAWAHI kuwa na HIZO FRUSTRATION kisha utumwagie ILMU.

Article yake inagawa uwanja wa lawama kwa waislamu kuhangaika na marehemu Nyerere (14 yrs ago) huku wao wakikosa udiriki wa wakuenzi mashujaa wao wenyewe japo kwa kutumia majina ya mashujaa hao katika taasisi wanazounda. Binafsi nadhani hii changamoto ya kufanyiwa kazi. Lushoto kwa sasa kuna Sebastian Kolowa Memorial Univ. College, kama kumbukumbu ya askofu huyo (mlutheri) kwani shida iko wapi ile ya Morogoro ikiitwa Sheikh Amr bin Hassan Mem. University au Bibi Titi Memorial University au Sheikh Ponda University? kwani mpaka wawe marehemu? Lakini la maana zaidi kubadili majina pekee hakuleti mapinduzi ya ubora wa taasisi hizo kwa hiyo si vibaya mambo kama anayoyasema Nguruvi kuhusu Standard yakafanyiwa kazi. Nakukaribisha Tanga nitakutembeza wewe na utakaokuja nao kwa gharama zangu binafsi katika taasisi za kiislamu zenye shule za sekondari hapa mjini petu hadi lushoto kisha upime kama nasema uongo. Ni-PM unataka kuja lini niwaandalie mapokezi.

Hakuna ubaya kujua kuwa udhaifu wako uko wapi na kuufanyia kazi. Hawa wa Kirinjiko, Mudio, Buhongwa, na zingine zinazoanza kupanda chati wametambua kuwa kila jambo lazima lisimamiwe kwa taratibu zake ili liende vyema.

Shemeji, sioni dalili za Nguruvi kuubeza uislamu kama dini hapa na hata mimi kama mwislamu singekubaliana naye katika hilo. La maana sisi kama waislamu lazima tukubali kuwa hatuna mafuta wala mjomba wa kututoa katika hii DHIMA ila HARD WORK and good plans.
Wickama.

Salama, nadhani hakuna anayepinga hawa mashujaa wetu sisi Waislam kupewa majina ya shule zetu na vyuo vyetu, hilo siyo tatizo letu kama anavyosema jamaa yako Nguruvi3. na wewe una mtetea hebu msome hapa chini.
2. Anzeni kuenzi mashujaa kabla hamjaenda katika jukwaa la kitaifa.
Kama unadhani Jabal hilal ni bora kuliko Idd Faiz Mwafongo that should be your problem.
Hili la majina ni tatizo la utumwa wa kiakili.Waambieni madiwani wabadili majina, Tandamti iitwe Farijala, Twigwa uitwe Tatu Said n.k. Halafu mkae kitako mjiulize baada ya majina kubadilika, maisha ya jamii yamebadilika?

3. Stop the vicious circle of ignorance. Miaka 30 MS analalamika nanyi pia mnachukua kijiti kulalamika miaka 30 mingine. Inaudhi wasomi wanajadili trivial things kama majina ya mitaa na kuacha tatizo la elimu na umasikini katika jamii ile ile inayotaka majina! white elephant!
Endelea kumsoma jamaa yako na unayetetea maneno yake.
Leo watu wanasugu vichwa barbara zipewe majina!
Wenye akili wanasugua vichwa wafanye nini kuongeza shule, vyuo n.k.
Nadhani wanaukumbi pamoja na wewe wamemsoma huyu jamaa yako sijui nani alikuambia haya majina ya barabara na ya vyuo ndiyo madai ya Waislam wa Tanzania.
Article yake inagawa uwanja wa lawama kwa waislamu kuhangaika na marehemu Nyerere (14 yrs ago) huku wao wakikosa udiriki wa wakuenzi mashujaa wao wenyewe japo kwa kutumia majina ya mashujaa hao katika taasisi wanazounda.
Sheikh Mohamed Said. amendika kitabu chake mwaka 1997 wakati Nyerere yupo hai, siyo kweli kuwa sisi Waislam tunahangaika na marehemu, hauwezi kuwazuia Wacongo wasimuongelee Leopold II, hauwezi kuwazuia Ukraine wasimjadili Jozef Stalin, hauwezi kuwazuia kuwazua Wajapan wasimjadili Hideki Tojo, hauwezi kuwazuia Cambodia watu wasimuonglee Pol Pot, kisa wameishakuwa marehemu.
Nakukaribisha Tanga nitakutembeza wewe na utakaokuja nao kwa gharama zangu binafsi katika taasisi za kiislamu zenye shule za sekondari hapa mjini petu hadi lushoto kisha upime kama nasema uongo. Ni-PM unataka kuja lini niwaandalie mapokezi.
Kwanza namshukuru Allah, Alhamdulilah, najiweza kujikimu kidogo na haram wewe kiniandalia mapokezi, bahati nzuri hapa Tanga ni nyumbani kuna ndugu zangu wengi wakisikia wewe ndiyo unakaribisha Tanga itakua kituko, hauwezi kufanya reference ya masula ya Waislam kwa kutembela Lushoto, mimi mwezi ujao naenda Morogoro kisha taenda Mwanza na Bukoba kwenye shule za Waislam vijana wa Kiislam wamepata Scholarships nchi za Asia, Marekani, Ulaya, kwenda kusoma Masters, PhD, Degree, Courses, pitia hizi habari za mwaka juzi kiduchu hapa chini kutoka Morogoro peke yake uone harakati zetu unadhani watu tunacheza, tatizo nyie Wakirsto chuki zenu zimepita kiasi.
[h=2]Education[/h] Through out of Islamic history one of the most important and is a key to paradise is knowledge. We Muslim were very well educated and scholars. For example, Daughter of Mohammed al-Fihri, Fatima al-Fihri, also called Umm al Banine, ‘Mother of the Boys’, is known for creating the oldest academic degree-granting university in existence today. TBut even way before this many teachers sacrificed there whole life in order to educate their student so that they become successful in this world and the hereafter. And this is the aim of the Islamic Foundation to develop leader for our children into the next generation as we won't be there looking after them but our leaders will. The Islamic Foundation Education Department was started on 1998 which was first started in a masjid, then moved to a rented place in Forrest hill. They taught in that nursery school nursery subjects as well as Islamic studies. Allhamdullilah after 2 years of struggle on 2000 we bought a huge land about 2.5 hector in order to plant our seed of education so that through this education of secular as well as islamic studies we can then develop Muslim scholars of the next generation for the betterment of this world and the akhirah. This was the beginning of Dar al Arqam Academy. Up-to-date now not only did we open a nursery school but also primary school was launched as well as secondary school. Another school such as Muzdalifah Nursery school and primary which is in Masasi District, in Mtwara region southern part of Tanzania. And lastly a third school called Nusra English Medium in which has a nursery school and primary school which is in Mafia District in coast region. In total The Islamic Foundation opened 7 schools.

FUTURE PLAN

The future plan is to:

Open girls boarding school
Safaa girls seminary secondary boarding school is in a process to being built in Msamvu where Dar al Rahma Orphanage hostel, al jami'ah mother and child care center is located. The architect of the building is already designed but we haven't started construction yet. The only problem now is finance. We need your help and support in order to start this project. Without you there will be no Girls boarding school.

Transforming Dar al Arqam into a boarding school and open a day school in Hilux
Same as the Girls boarding school the boys boarding school is ready in terms of the paper work, architect and design. All we need is Financial support. Remember that everything in life is business. So remember that you are investing in our children future and yes every Muslim child is our children and it is our responsibility to equip our children with the best quality of education in order to create great leaders of our next generation.

TYPE HELP WE NEED?

Know that the school source of finance comes from two ways:

1. Parent Fees Many of the parents still up-to now has not payed for their last years fees and this puts a burden on the Islamic Foundation as they have to pay for the teachers salary. On April 10 of 2011 The committees have discussed about this and they decided to deal with this by giving the parent final warning then action will be taken such as removing the children from the school. Although it hurts us so much to do this but we have no choice otherwise we will not move forward. Another alternative solution is to sponsor a child to support him with his education in order that that child to have a bright future. That is the reason we launched this website because we need help.

2. YOU- The donor You can help us. you can make a big different. You can provide the children with the best education for total change. We help them physically and you can do so financially. Think about it the parents of those children have to pay 365, 000 shilling per year which is 365 dollars per year or 135 pound per year. To the masses in Tanzania it is very, very expensive to the Tanzanian people but to you it might not be. You might even think that it is very cheap to donate this amount of money but know that this cheap money you are donating it is expensive in the sight of Allah (.w.t). You see the children have a choice to go to the government which is free however it is very poor quality, 100 student per class, very poor quality teacher, no table and chairs and on top of that no Islamic education and etiquette. and if you can't afford to pay $365 per child then you can pay in installment maybe $30 per month which equals only to $1 a day. Nobody can make a big different but you. Please donate generously. The problems with our education is that we lack facilities such as a library, laboratory equipment, computer, games and sports equipments, and more high qualities employees. Without even mentioning you can also conclude that all of this need money, money and more money. Do not think that we are greedy for money but we are doing for the betterment of our Muslim society in oder to only please Allah (s.w.t). Whether you help us or not it will not demoralize us as we will still work our hardest until we reach our grave so that we can be among the people of Paradise. We also because of the love for our Muslim brothers and sisters in Islam want to show you that our Organisation is authentic so that if you can't help us physically then help us financially and together us and you be can together in Paradise.
Nadhani umesoma hizi bayana kiduchu ukitaka takupa maendeleo ya hizi harakati za Waislam ambao kila kukicha mnawadharau.





sioni dalili za Nguruvi kuubeza uislamu kama dini hapa na hata mimi kama mwislamu singekubaliana naye katika hilo. La maana sisi kama waislamu lazima tukubali kuwa hatuna mafuta wala mjomba wa kututoa katika hii DHIMA ila HARD WORK and good plans.
Soma hapa chini HARD WORK za Waislam.
[h=2]Dar-ul-Arqam Academy[/h] Dar-ul-Arqam Academy (soon to be boarding inshallah) now consist of three school nursery, primary and secondary. Altogether there are about 755. Nursery has about 130 students, Primary have 521 students, and secondary 104 students. Nursery School The Nursery school have three sections.

The first section is baby class which is made up of 1 class in it has 30 students.The second section is kindergarten 1 which consist of 2 classes, the boy class and the girl class. In the boys class has 30 student and the girls class 25 student. and lastly the third section kindergarten 2 which consist of 2 classes, the boys class and the girls class. Same as kindergarten 1 in boys class there are 30 students and in the girls class 25. Alhamdullilah we have enough classes in the nursery school. Since 2011 the nursery school so far are doing very well. This nursery building consist of:
- 5 classes
- 16 toilet
- kitchen
Primary School The primary school is consist of standard 1 up to standard 7 each has two stream except for standard 7 where to classes were put into one as we are shortage of classes. Altogether the building consist of:
- 13 classes
- 20 toilet
- Wudhu Area
- Prayer room for boy and for girls
- Library (still under-construction)
- Stationary shops (still under-constructions)
- Staff room (under-construction)
The Primary school in Dar-ul-Arqam Academy won number one out of 69 primary schools in Morogoro 5 times in Mucipal district which was in 2006, 2007, 2008, 2009, 2010 and we won number one 4 times in 2006, 2007, 2008, 2009. However sadly in 2010 in Morogoro region we fell down very hard to becoming number 9. The reason being possibly because: 1. Too many student in primary plus not enough classes 2. Lack of teacher due of salary increase in government school and other private school many of our teacher left. About 9 of our teachers left some without even notice 3. Lack of Facilities such as library, equipment and materials 4. More new school are being established, meaning more competitions
Dar-ul-Arqam Secondary School The Islamic foundation wanted to establish secondary in 2007 however we failed to do so because lack of building. Sadly our first standard 7 intake went to other schools in 2007. But all of this is by the will of Allah (s.w.t). We never gave up until 2008 we commenced on the building. Form 1 was started 2008 and every year we open a new form and now we have until form 4. This year it will be our first Dar-ul-Arqam National Examination. Make du'a for our children to get good result. Until now the building is still under construction but inshallah this year we will Finnish. This building will consist of
: - 3 laboratory
- One library
- 9 classes
- Toilet
Soma hapa chini HARD WORK and good plans.
[h=2]Muzdallifah English Medium Pre and Primary School[/h] Just like nusra Muzdaliffah English Medium School started in 2006 which is based in the southern part of Tanzania, Masasi district in Masasi region which is in the border of Mozambique. It is the first Islamic school in the region. It started with a Nursery then slowly each year we open a new class until now we reached to standard 4 of primary school. Altogether there are 60 students, 16 of them are in Nursery school and 44 of them are in primary school. Alhamdullilah we started with very few student but now it is increasing which means that people are getting more and more interested to educate their children. Also our Facilities:
- 3 student toilet and 2 staff toilet for the whole compound
- They have 4 classes which are used by standard 1 to standard 4 and the nursery school are using another building as we are low in classes
- and primary, teachers, staff offices
More information cooming soon inshallah





Soma hapa chini HARD WORK and good plans.
[h=2]Nusra[/h] Nursa English medium pre and primary school at kilondoniarea , Mafia district 8 acres. Mafia district is an island. Although it is a Muslim dominant island they lack schools and more specifically muslim schools. The Nursery school was opened in 2006 and primary school was opened in 2008. There are about 160 students, 122 students are nursery and 38 students in primary school.

Nusra Primary school

The building consist of:
- 4 classes
- 4 toilets
- Kitchen

Nusra primary school

The building is made up of:
- 4 classes
- 4 toilet
- kitchen

Nusra English medium pre and secondary school also have the same problem as other school which is:

- Parent still do not pay their school fees
- Lack of resources and materials
- No library or sports and games for children
- No prayer room All of these things are necessities for the school to be in good standard.
Tuishie hapa habari ni nyingi sana.
 
Last edited by a moderator:
Gombesugu, Wallah raha ilioje kukusoma!!!!

Naona ukali wako na neno kiduchu viko pale pale hahahahaha. La mwanzo hebu tupeane mamkuzi mema; Aslaam aleykum.

Mimi kumsaidia Nguruvi si rahisi nilijazia tuu kama unavyojazia kila akiandika Ustadh Ritz au Mzee MS, wenyewe tumeshayazoea haya wala hayatupi shida, ndio mila ya kundi letu. Tuendelee.

Hapa penye uvivu hukupasema vizuri. Palitajwa mipango bora, na Nguruvi akaomba msaada wa taarifa toka Mkuranga, huko nakumbuka kuna shule ilikuwa na matatatizo na ilikuwa na wanafunzi wachache sana.

Gombesugu, kuwaenzi mashujaa ni jambo zuri. Marekani sasa hivi unajua sana GERANIMO ni shujaa wa kitaifa kwa zile vita zake dhidi ya wazungu. Imechukua muda watu kubadili mtazamo. Afrika kusini, hali kadhalika. Binafsi ningependa sana kuona Bibi Titi Memorial University, why NOT?

Awali kama unakumbuka tulisema sana humu JF hivi kinachofanya Kirinjiko au Mudio au Buhongwa Islamic seminaries wafaulu kitaifa ni NINI? hili swali wallah halijibiwi, na kwa bahati mbaya kila ukilibold basi Gombesugu unatu-koromea KWANINI?

Maswali mengine nadhani yameshajibiwa ktk majibu tangulizi. Karibu Mazinde au Kabuku au Pangani ujenge shule kama Kirinjiko wacha lawama, muda haungoji.


Wickam,

Salaam.

Nitajitahidi tuzungumze uzuri japo kesho.

Nilikua tayari nimeshaaga hapa,lakini nimeamua kukujibu japo kiduchu kwa hishma yako.

Nami halikadhalika,nimefurahika pia kukusikia tena humu Jf!

Ukae salama.

Ahsanta.
 
Wickama.

Salama, nadhani hakuna anayepinga hawa mashujaa wetu sisi Waislam kupewa majina ya shule zetu na vyuo vyetu, hilo siyo tatizo letu kama anavyosema jamaa yako Nguruvi3. na wewe una mtetea hebu msome hapa chini.

Endelea kumsoma jamaa yako na unayetetea maneno yake.

Nadhani wanaukumbi pamoja na wewe wamemsoma huyu jamaa yako sijui nani alikuambia haya majina ya barabara na ya vyuo ndiyo madai ya Waislam wa Tanzania.

Sheikh Mohamed Said. amendika kitabu chake mwaka 1997 wakati Nyerere yupo hai, siyo kweli kuwa sisi Waislam tunahangaika na marehemu, hauwezi kuwazuia Wacongo wasimuongelee Leopold II, hauwezi kuwazuia Ukraine wasimjadili Jozef Stalin, hauwezi kuwazuia kuwazua Wajapan wasimjadili Hideki Tojo, hauwezi kuwazuia Cambodia watu wasimuonglee Pol Pot, kisa wameishakuwa marehemu.

Kwanza namshukuru Allah, Alhamdulilah, najiweza kujikimu kidogo na haram wewe kiniandalia mapokezi, bahati nzuri hapa Tanga ni nyumbani kuna ndugu zangu wengi wakisikia wewe ndiyo unakaribisha Tanga itakua kituko, hauwezi kufanya reference ya masula ya Waislam kwa kutembela Lushoto, mimi mwezi ujao naenda Morogoro kisha taenda Mwanza na Bukoba kwenye shule za Waislam vijana wa Kiislam wamepata Scholarships nchi za Asia, Marekani, Ulaya, kwenda kusoma Masters, PhD, Degree, Courses, pitia hizi habari za mwaka juzi kiduchu hapa chini kutoka Morogoro peke yake uone harakati zetu unadhani watu tunacheza, tatizo nyie Wakirsto chuki zenu zimepita kiasi.

Nadhani umesoma hizi bayana kiduchu ukitaka takupa maendeleo ya hizi harakati za Waislam ambao kila kukicha mnawadharau.






Soma hapa chini HARD WORK za Waislam.

Soma hapa chini HARD WORK and good plans.






Soma hapa chini HARD WORK and good plans.

Tuishie hapa habari ni nyingi sana.



Duh!!....Shariff Ritz,we mtu unatisha!

Ahsanta.
 

Maulana Dr Kahtaan,


Asalaam Alaykum!

Yaani nimecheka pita kiasi! Kwi! Kwi! Kwi!

Wenyewe tulikua kimya hapa kutwa nzima na Sheikh Mohamed Said na Ayatollah Chamviga...ghafula umekurupuka wewe hatujui ulokotokea,na jamvi loote lishakua lako peke yako! Kwi! Kwi! Kwi!

Al Akhiy,you know how much I respect and love you to death.

More importantly,the way you come across,always like a bullet! Kwi! Kwi! Kwi!

This is not Holywood,this is real life,basically we don't need actors here...we need more real people with staright talk like You!

Bless!

Ahsanta.


Ps;Shariff Ritz....niwie radhi yanilazim kutoka kiduchu,maana hapa mindhal kaingia Ulamaa Dr Kahtaan,mie itakua kazi yangu kuangua vicheko tu na sintafanza lolote la maana humu kwa sasa! Kwi! Kwi! kwi!

Kwa Ihsan yako,kipata fursa nitafutie ile post ambayo Nguruvi3 anadai yakuwa Sheikh Mohamed Said ati heshi kumsimbulia mno Nyerere wao na kumsimanga kuhusu chakula na manginayo!?

Kuna maneno kiduchu nataka kumjibu huyo Nguruvi3 kwenye hiyo post...nimejaribu mno kuipekura humu lakini siipati!?

Kuna "jamaa wengine" nao,shughuli yao takuja wamalizia kesho Insha Allah kipata fursa.

Kaa vyema na Maulana Dr. Kahtaan na Al Murid THE BIG SHOW! Kwi! Kwi! kwi!

Ahsanta.

Al habib gombesugu wallahi I love all of you my brothers for the sake of Allah!

Na pia sipendi kuingiza maneno wakati maulamaa mnapotoa elimu kwetu na kuwakumbusha wale summun bukmun!

Lkn nashindwa vumilia mtu akileta makhanatha ktkt ya mnakasha!

Jitu zima linaingia hapa kwa mbweembwe! Ohh shemeji Ritz ohh al akhyi CHAMVIGA ohhh ndugu yangu gombesugu

Kumbe unafiki mtupu!

Wanamtusi ulamaa Mohamed Said halafu wanatulaumu sisi eti tuna watusi!!
Ajeeb!

Na mimi nishawambia hawa wagalatia ya kuwa mimi si msemaji wa Mohamed Said na wallahi wala huyu maalim hata hanijui!

Ispokuwa MIMI NA WAGALATIA NI MAADUI WA WAZI KABISA!

sasa yale mambo yao ya kinafiki siwezi yapuuza hata siku moja!

Tutafyatuana mpaka kiama!

Teh teh teh teh!

Mtaniwia radhi wakati mwingine mashekhe wangu! Manake nimesomea hizi shule za kigalatia! Kwa hiyo wakati mwingine ya makhnatha ya kigalatia na mimi ninayo!
Teh teh teh teh!

Jazakallahu kheiran fee daarain!
 
Last edited by a moderator:
Wickama.

Salama, nadhani hakuna anayepinga hawa mashujaa wetu sisi Waislam kupewa majina ya shule zetu na vyuo vyetu, hilo siyo tatizo letu kama anavyosema jamaa yako Nguruvi3. na wewe una mtetea hebu msome hapa chini.

Endelea kumsoma jamaa yako na unayetetea maneno yake.

Nadhani wanaukumbi pamoja na wewe wamemsoma huyu jamaa yako sijui nani alikuambia haya majina ya barabara na ya vyuo ndiyo madai ya Waislam wa Tanzania.

Sheikh Mohamed Said. amendika kitabu chake mwaka 1997 wakati Nyerere yupo hai, siyo kweli kuwa sisi Waislam tunahangaika na marehemu, hauwezi kuwazuia Wacongo wasimuongelee Leopold II, hauwezi kuwazuia Ukraine wasimjadili Jozef Stalin, hauwezi kuwazuia kuwazua Wajapan wasimjadili Hideki Tojo, hauwezi kuwazuia Cambodia watu wasimuonglee Pol Pot, kisa wameishakuwa marehemu.

Kwanza namshukuru Allah, Alhamdulilah, najiweza kujikimu kidogo na haram wewe kiniandalia mapokezi, bahati nzuri hapa Tanga ni nyumbani kuna ndugu zangu wengi wakisikia wewe ndiyo unakaribisha Tanga itakua kituko, hauwezi kufanya reference ya masula ya Waislam kwa kutembela Lushoto, mimi mwezi ujao naenda Morogoro kisha taenda Mwanza na Bukoba kwenye shule za Waislam vijana wa Kiislam wamepata Scholarships nchi za Asia, Marekani, Ulaya, kwenda kusoma Masters, PhD, Degree, Courses, pitia hizi habari za mwaka juzi kiduchu hapa chini kutoka Morogoro peke yake uone harakati zetu unadhani watu tunacheza, tatizo nyie Wakirsto chuki zenu zimepita kiasi.

Nadhani umesoma hizi bayana kiduchu ukitaka takupa maendeleo ya hizi harakati za Waislam ambao kila kukicha mnawadharau.






Soma hapa chini HARD WORK za Waislam.

Soma hapa chini HARD WORK and good plans.






Soma hapa chini HARD WORK and good plans.

Tuishie hapa habari ni nyingi sana.

Shemeji Ritz
Kwanza pokea salaamu na pia nimefurahi ushahidi wako wa HAED WORK AND GOOD PLANS. Haya ya mitaa, hata mkiita Clinton au Hitler iiteni tutapita na bodaboda bado. Basi ustadh ukija hapa mjini kwa nduguzo basi tujulishane, hilo nadhani halitakutia doa. Mbona, nyumba moja, fito ..... Tuko pamoja Ritz?

Karibu sana
 
Last edited by a moderator:
TANU ilikuwa chama cha Waislam!! in the record !!!
Nadhani hapa utakuwa umekwenda mbali sana na kutoa picha isiyotarajiwa. Real!

Kuna AMNUT hiki ndicho cha waislam hasa, lakini kilikataliwa na waislam wenyewe kwasababu TANU Ilikuwa ya wote.

Hasira hasara, Mohamed ameongea mambo na kuwaacha vijana uchi.

Vijana wamekataa siku zaidi ya tano kuwa historia ya Mohamed si ya dini, wakasema uhuru si suala la dini na wala hawatetei udini wanatetea historia iliyosahauliwa.

Ghafla Mohamed anajitokeza na kuwachapa kibao cha usoni, anasema tulieni ninyi vijana, historia yake ni ya TANU chama kilichoasisiwa na waislam na kwa lengo la kuwakomboa! Jamani !
Hao wengine walidandia tuu! anamalizia mzee!

Halafu anakataa kuwa hakukuwa na ubaguzi wakati Nyerere alinusurika kuondolewa madarkani kwasababu ya imani yake.Ameshau nini Platan na Amir walikusudia dhidi ya Nyerere.

Vijana rejeeni mkatae kama si historia ya dini, mzee kasema yote
Teh teh teh Nguruvi3, naona sasa umeamua kurusha ngumi hewani na bado endelea kumwaga mtama njiwa wale sasa hivi umeamua kulia na vijana teh teh teh..
Halafu anakataa kuwa hakukuwa na ubaguzi wakati Nyerere alinusurika kuondolewa madarkani kwasababu ya imani yake.Ameshau nini Platan na Amir walikusudia dhidi ya Nyerere.
Hebu msome Nyerere mwenyewe hapa chini usimsemehe marehemu. hebu tulizana kunywa glasi moja ya juice ya tende upunguze munkari kisha msome Nyerere alichokiongea dhidi ya Waislam ambao wewe unasema walimbagua.
Julius Kambarage Nyerere: Siku moja, Dosa akanifuata Magomeni (Dar es Salaam). Akasema: Leo wazee wanakutaka. Wapi? Kwa Mzee Jumbe Tambaza. Wanakutaka usiku. Nikasema haya, nitakuja. Nikaenda. Nikakuta wazee wameshakaa; wameniita kijana wao kuniombea dua. Mimi Mkristo, wao Waislamu watupu. Wakaniombea dua za ubani. Tukamaliza.
Waislam wangekuwa wabaguzi kwa nini wasimbague Nyerere ambaye alikuwa Mkristo peke yake haya maneno aliyaongea kwenye hotuba ya kuwaaga wazee wa Dar es Salaam,
 
Teh teh teh Nguruvi3, naona sasa umeamua kurusha ngumi hewani na bado endelea kumwaga mtama njiwa wale sasa hivi umeamua kulia na vijana teh teh teh..

Hebu msome Nyerere mwenyewe hapa chini usimsemehe marehemu. hebu tulizana kunywa glasi moja ya juice ya tende upunguze munkari kisha msome Nyerere alichokiongea dhidi ya Waislam ambao wewe unasema walimbagua.

Waislam wangekuwa wabaguzi kwa nini wasimbague Nyerere ambaye alikuwa Mkristo peke yake haya maneno aliyaongea kwenye hotuba ya kuwaaga wazee wa Dar es Salaam,Julius Kambarage Nyerere: Siku moja, Dosa akanifuata Magomeni (Dar es Salaam). Akasema: Leo wazee wanakutaka. Wapi? Kwa Mzee Jumbe Tambaza. Wanakutaka usiku. Nikasema haya, nitakuja. Nikaenda. Nikakuta wazee wameshakaa; wameniita kijana wao kuniombea dua. Mimi Mkristo, wao Waislamu watupu. Wakaniombea dua za ubani. Tukamaliza
Kwani ni Tambaza tu, nilisikia hata Bagamoyo. Hebu tupe maneno ya Nyerere aliyosema akiwa kama si Bagamoyo ni hapo Tambaza kwa urefu.
Nimeipenda sana hii maana njia wanafunguliwa! Naulizwa mtama uko wapi?
 
Kwani ni Tambaza tu, nilisikia hata Bagamoyo. Hebu tupe maneno ya Nyerere aliyosema akiwa kama si Bagamoyo ni hapo Tambaza kwa urefu.
Nimeipenda sana hii maana njia wanafunguliwa! Naulizwa mtama uko wapi?

Nguruvi,
Kipo kisomo kingine alisomewa na Sheikh Mohamed Yusuf Badi Lindi mwaka 1956.

Kisomo kingine alifanyiwa Mnyanjani, Tanga mwaka 1958.
Hii ndiyo historia ya Nyerere na TANU.

Vipi Waislam wasijidai...
 
Back
Top Bottom