Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Kuhusu Dokta Kyaruzi, umeridhika na majibu uliyopewa na Mohamed Said, naona hilo hukuligusia kabisa baada ya hayo majibu na unakuja na viroja badala ya hoja.

Eeeeeehh Faiza weee cheka nnenepe mie, nikonde nna ...?
Hakuna ambacho hatujakisoma kuhusu Kyaruzi.
Hoja iliyopo ni kuwa Mohamed Said ameweka wasifu wa Kyaruzi. Hili limekuja (na amesema mwenyewe) baada ya kumwambia kuwa Mshume Kiyate hana sifa za kumshinda Kyaruzi.

Kitendo cha kumweka Kyaruzi si ajabu bali ni ushahidi kuwa akiwekwa katika mizani na Kiyate anasimama kama mtu muhimu sana katika harakati.

Ndio maana tunauliza endapo Kyaruzi ni mkatoliki au mlutheri, je ni sahihi kusema Catholic's role in Tanzania's freedom struggle?

Hili limeletwa huku ili kutuondoa katika suala moto kwa sasa. Tuliache kwanza tushughulike na hili la wazee na dua ambalo Mohamed amesema 'kwanini waislam wasishukuriwe' tunawashukuru lakini je ni waislam kwa maana iliyokusudiwa?
 
Huyo ni muongo tu, hana lolote, wala usingempa faida ya kumjibu.


Nguruvi3 ulikuwa unadanganya barza! Huoni haya wala hujui vibaya?
Nimeliacha makusudi kwasababu mnataka kutuondoa katika 'issue ambayo ni hot'.

Kwa ufupi taasisi ya Warsha ya chuo kikuu iliwahi kufanya jaribio la kuondoa uongozi wa Bakwata.
Jaribio hilo lililenga kuweka viongozi tofauti na wale waliopo.
Warsha kwa wale wasiojua ni taasisi ya akina Mohamed Said ambayo ameiandika sana katika maandishi yake.

Hakuna kadi za kuwa Bakwata au taasisi nyingine kwahiyo ni sawa tu Mohamed akisema hakuwahi kuwa Bakwata. Warsha ndiyo inatengeneza link kati yake na Bakwata.

Hata kama akikataa hilo bado viongozi wengi anaoshirikiana nao walikuwa Bakwata wakajiondoa kwasababu za masilahi.


Anyaway issu manyotaka kutuondoa tusijadili ni hii hapa
Mimi nilijizuia kabisa nikasema busara zinaniongoza nisimwage mtama. Sijui yametokea wapi mungu akaleta neema zake watu wakafungulia njiwa kabla ya mtama.
Nimekuwa sina budi sasa, maana njiwa wanalia nje mimi nina mtama kwanini niufiche tena?
Niliahidi kuwa nikiumwaga mtama ni ule wa Dodoma una vumbi watu watakung'uta jamvi, hapatakalika!!
Baada ya ubaridi kuingia muungwana akajitokeza kuchangia kama ifuatavyo
Wickama;7620365]Nguruvi sijui kama naweza kukidhi swali lako.

Navyokumbuka, Nyerere alikuwa anarejea (refer) katika ibada alizofanyiwa wakati wa kupigania uhuru, ambazo ndani yake kulikuwa na utoaji makafara ya uchinjaji na kwenda makaburini na vitu kama hivyo. Desturi ambazo hivi sasa waislamu wenyewe kama hawa wa Answar Sunna hawataki kabisa hata kuzisikia. Nakumbuka hata kwenye masuala ya mapinduzi zanzibar (soma Kwaheri uhuru.....) kulikuwa tena na makafara ambayo paka walishonwa macho ili waarabu WASIONE kitu kabla ya mapinduzi. Na hayo hawaelekezwa na askofu wala walii. Ila wafanyaji walikuwa ni waislamu pia. Kuna paper moja tuliwahi iweka wazi wakati wa uzi wa Yericko ambapo baba mmoja nadhani ni kule Mwananyamala alikuwa na bango kuwa pale kwake ndipo mahali palipozaliwa TANU. Lakini pia ilikuja kuwa wazi kwamba viongozi wengi wa TANU walikuwa wakimtegemea bwana huyu kwa masuala ya matambiko na kama hayo. Hii piche-pache-puuuu ajabu huwa haitajwi sana. Ni yatima kiasi.

La maana ni kwamba;
1. Kuna mtu anachanganyika na watu wasio dini sawa na yeye kisha akakomaa nao katika ibada zao na wala haikumsumbua kwa sisi nadiriki kusema ni mtihani mgumu

2. Mimi napata picha kuwa hakuwa na dharau, kwa vile ibada hizo japo kama mkatoliki alikuwa anakwazika bado alishiriki hadi mwisho kwa lengo la kujenga umoja wa yeye na wazee waliompokea. Ni ajabu kuwa hapati pongezi juu ya tabia hii.

Sijui kama nimekujibu mkuu. wengine watajazia.
 
Nimeliacha makusudi kwasababu mnataka kutuondoa katika 'issue ambayo ni hot'.

Kwa ufupi taasisi ya Warsha ya chuo kikuu iliwahi kufanya jaribio la kuondoa uongozi wa Bakwata.
Jaribio hilo lililenga kuweka viongozi tofauti na wale waliopo.
Warsha kwa wale wasiojua ni taasisi ya akina Mohamed Said ambayo ameiandika sana katika maandishi yake.

Hakuna kadi za kuwa Bakwata au taasisi nyingine kwahiyo ni sawa tu Mohamed akisema hakuwahi kuwa Bakwata. Warsha ndiyo inatengeneza link kati yake na Bakwata.

Hata kama akikataa hilo bado viongozi wengi anaoshirikiana nao walikuwa Bakwata wakajiondoa kwasababu za masilahi.

Anyaway issu manyotaka kutuondoa tusijadili ni hii hapa


Bwana Nguruvi,
Bakwata na Warsha hawakuwa wanatazama tatizo la Waislam kwa jicho moja.

Warsha iliundwa kuwaamsha Waislam dhidi ya dhulma wakati Bakwata ilikuwa
ni kibaraka wa serikali.

Ikiwa unataka kujua habari za Warsha nitakufahamisha bila wasiwasi wowote.

We sema tu.
 
Bwana Nguruvi,
Bakwata na Warsha hawakuwa wanatazama tatizo la Waislam kwa jicho moja.

Warsha iliundwa kuwaamsha Waislam dhidi ya dhulma wakati Bakwata ilikuwa
ni kibaraka wa serikali.

Ikiwa unataka kujua habari za Warsha nitakufahamisha bila wasiwasi wowote.

We sema tu.
Nimesema hili tuliache kwanza ili listuondoe katika mjadala wa dua za wazee wa kiislam ambazo umezipigia upatu. Naahidi kuwa baada ya hapo nitakuomba tuongelee la warsha na link kati yako. Kwasasa tuliache tafadhali ili tubaki na la dua za wazee.
 
Hakuna ambacho hatujakisoma kuhusu Kyaruzi.
Hoja iliyopo ni kuwa Mohamed Said ameweka wasifu wa Kyaruzi. Hili limekuja (na amesema mwenyewe) baada ya kumwambia kuwa Mshume Kiyate hana sifa za kumshinda Kyaruzi.

Kitendo cha kumweka Kyaruzi si ajabu bali ni ushahidi kuwa akiwekwa katika mizani na Kiyate anasimama kama mtu muhimu sana katika harakati.

Ndio maana tunauliza endapo Kyaruzi ni mkatoliki au mlutheri, je ni sahihi kusema Catholic's role in Tanzania's freedom struggle?

Hili limeletwa huku ili kutuondoa katika suala moto kwa sasa. Tuliache kwanza tushughulike na hili la wazee na dua ambalo Mohamed amesema 'kwanini waislam wasishukuriwe' tunawashukuru lakini je ni waislam kwa maana iliyokusudiwa?

Nguruvi,
Wakati mwingine hata sijui unataka kujua nini khasa.

Mchango wa Dk. Kyaruzi katika TAA pale New Street haukuzidi mwaka mmoja
kuanzia 1950 - 1951 alipopewa uhamishoi kwenda Kingolwira kisha Nzega.

Mshume Kiyate alikuwa na Nyerere kuanzia 1954 hadi uhuru ulipopatikana na
baada ya hapo.

Mzee Mshume alikuwa mmoja wa watu waliochangia TANU fedha nyingi sana
kwa kila jambo hadi uhuru ulipopatikana.

Lakini ukitaka kutumia mizani usimpime Mzee Kiyate na Kyaruzi Mzee Mshume
ni mzito sana.

Waulize waliokuwa wanamjua utaelezwa nini kafanya kwa Nyerere.

Dk. Kyaruzi alikuwa Mkatoliki.

Kama unataka kueleza nafasi ya Kanisa Katoliki katika uhuru wa Tanganyika
itakuwa wewe umechelewa kwa kuwa Mohamed Said na Dk Sivalon wameandika
kuhusu hilo.

Ukipenda unaweza vilevile kumsoma Fr, Peter Smith na yeye kaandika kuhusu hilo.
 
Nimesema hili tuliache kwanza ili listuondoe katika mjadala wa dua za wazee wa kiislam ambazo umezipigia upatu. Naahidi kuwa baada ya hapo nitakuomba tuongelee la warsha na link kati yako. Kwasasa tuliache tafadhali ili tubaki na la dua za wazee.

Nguruvi,
Hayo ya visomo mbona mie ndiye niliyewafahamisha watu katika kitabu changu.

Kwangu mimi si jambo linalonishangaza au ni kitu kipya.
Kuhusu mimi na Warsha si siri.

Wakati wowote ukitaka fungua uzi In Sha Allah nitakuja.
 
Nguruvi,
Hayo ya visomo mbona mie ndiye niliyewafahamisha watu katika kitabu changu.

Kwangu mimi si jambo linalonishangaza au ni kitu kipya.
Kuhusu mimi na Warsha si siri.

Wakati wowote ukitaka fungua uzi In Sha Allah nitakuja.
Hapana! Nyerere katika hotuba yake kasema wazi wazi kuhusu hilo. Umesema kulikuwa na kisomo kama Tawasul(nakunukuu) mambo yalipokwama. Hilo halina tabu kabisa.

Nyerere katika ushuhuda wake aliwahi kusema '......mimi mkorofi kidogo na mambo hayo' tunajua alikuwa mkatoliki na hakuwahi kuwa mkorofi katika suala la dua, lakini kuna tukio alisema amekuwa mkorofi, ndipo nikauliza alikuwa mkorofi kwasababu gani?

Ndugu Wickama akaja na hoja zake kuhusu hilo. Akafunguka kuhusu makafara, matambiko n.k
Akaanisha sababu zake kwa mtazamo wake ambao ninakubaliana naye.

Swali linabaki kuwa je, hayo yalifanywa na Waislam? Je, kulikuwa na makundi ya Twasul na makundi ya matambiko? Hapo ndipo tunahitaji kufahamiana
 
Last edited by a moderator:
Nimesema hili tuliache kwanza ili listuondoe katika mjadala wa dua za wazee wa kiislam ambazo umezipigia upatu. Naahidi kuwa baada ya hapo nitakuomba tuongelee la warsha na link kati yako. Kwasasa tuliache tafadhali ili tubaki na la dua za wazee.
Nguruvi3,

Unahangaika sana teh teh teh dub za wazee, matambiko wala siyo kingine wala hot issue kama unavyojidanganya fimbo ya Nyerere unaijua kwa nini alikuwa anaibeba? yaaani kwa akili yako huu ndiyo mtama uliokuwa unausema.

Haya yote dua, matambiko, ghasia zote Mohamed Said. ameishayandika kwenye kitabu chake toka mwaka 1997, haya endelea kumwaga mtama.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna ambacho hatujakisoma kuhusu Kyaruzi.
Hoja iliyopo ni kuwa Mohamed Said ameweka wasifu wa Kyaruzi. Hili limekuja (na amesema mwenyewe) baada ya kumwambia kuwa Mshume Kiyate hana sifa za kumshinda Kyaruzi.

Kitendo cha kumweka Kyaruzi si ajabu bali ni ushahidi kuwa akiwekwa katika mizani na Kiyate anasimama kama mtu muhimu sana katika harakati.

Ndio maana tunauliza endapo Kyaruzi ni mkatoliki au mlutheri, je ni sahihi kusema Catholic's role in Tanzania's freedom struggle?

Hili limeletwa huku ili kutuondoa katika suala moto kwa sasa. Tuliache kwanza tushughulike na hili la wazee na dua ambalo Mohamed amesema 'kwanini waislam wasishukuriwe' tunawashukuru lakini je ni waislam kwa maana iliyokusudiwa?
Hakuna aliyekuradhimisha kuwashukuru Waislam, Dr. Kyaruzi kaandikwa kwingi kwenye kitabu cha Mohamed Said. Nguruvi3. Mtu asiyesimamia chochote basi ataanguka kwa chochote endelea kupiga ngumi hewani huku tunasubiri mtama.

Kwanza unatakiwa kuelewa Dr. Kyaruzi alikuwa TANU 1950 na Mshume Kiyate alikuwa na Nyerere 1954 sasa hiyo mizani yako unaipimaje. Vipi umeishakubali kuwa TANU iliundwa Barma.
 
Last edited by a moderator:
Bwana Nguruvi,
Bakwata na Warsha hawakuwa wanatazama tatizo la Waislam kwa jicho moja.

Warsha iliundwa kuwaamsha Waislam dhidi ya dhulma wakati Bakwata ilikuwa
ni kibaraka wa serikali.

Ikiwa unataka kujua habari za Warsha nitakufahamisha bila wasiwasi wowote.

We sema tu.
Teh teh teh! Sheikh Mohamed Said, nimecheka sana Warsha na Bakwata wapi na wapi.
 
Last edited by a moderator:
Nimeliacha makusudi kwasababu mnataka kutuondoa katika 'issue ambayo ni hot'.

Kwa ufupi taasisi ya Warsha ya chuo kikuu iliwahi kufanya jaribio la kuondoa uongozi wa Bakwata.
Jaribio hilo lililenga kuweka viongozi tofauti na wale waliopo.
Warsha kwa wale wasiojua ni taasisi ya akina Mohamed Said ambayo ameiandika sana katika maandishi yake.

Hakuna kadi za kuwa Bakwata au taasisi nyingine kwahiyo ni sawa tu Mohamed akisema hakuwahi kuwa Bakwata. Warsha ndiyo inatengeneza link kati yake na Bakwata.

Hata kama akikataa hilo bado viongozi wengi anaoshirikiana nao walikuwa Bakwata wakajiondoa kwasababu za masilahi.


Anyaway issu manyotaka kutuondoa tusijadili ni hii hapa
Baada ya ubaridi kuingia muungwana akajitokeza kuchangia kama ifuatavyo

Eeeh kijana uongo haukusaidii na spinning ndio kabisa, hiki kwenye post yako ni nini?




Mwisho nikasema hata MoHamed Said aliwahi kuwa ndani ya Bwakata hivyo tatizo si Bakwata kama chombo ni viongozi wa Bakwata.

Mara umeondoka BAKWATA umerukia warsha, ili mradi unajaribu kila hila, lakini unakutana na ukuta, kwani hakuna zaidi ya ukweli.

Mara umebandika bandiko ambalo halihusiani kabisa na unachojibu. Duh!
Mohamed Said kakataa hilo, sasa wewe tupe ushahidi wa hicho ulichozuwa, usituletee habari za warsha hapa ambazo huzijuwi ndee wala sikio.
 
Mkuu umejieleza vizuri sana, kinacho nishangaza mimi ni baadhi ya Wazalendo wenzetu kuchukulia kimzaa mzaa mambo ambayo yanaweza kabisa kusambalatisha Taifa letu - Katiba yetu inasema Serikali haina DINI, hapo hapo baadhi ya madhebu yanawekwa kwenye a hermitically sealed container wasifurukute - Serikali inafikia hatua ya ku-appoint viongozi wa dini!!! Ni mtu gani mwenye akili timamu anaweza kukubaliana na udikteita huu uliyo kubuhu - waislaam wakilalamika mnasema ni wabaya!!! Kama Serikali ya awamu ya kwanza iliweza kufanya vitu vya kukihuka haki za binadamu kwa kuingilia unnecessarily uendeshaji wa madhehebu hayo, mpaka Serikali inafikia kuchukua such drastic steps ili iwa-contain kwa nini tushangae anacho lalamikia MS, kusema kweli inaonekana wazi wazi kwamba operation hiyo haikuishia kuwachagulia viongozi wa dini tu, bali ilikwenda mbali zaidi kwa kufuta kutoka kwenye historia majina yanayo randana na dini yao, I have no doubt in my mind kwamba it was a well Organised scheme.Naona hapa baadhi ya Wazalendo wanatoa an impression kwamba MS anatetea Uislaam!! Hii si kweli na hilo wanalijua fika, MS anacho pigania hapa ni kuhusu kuandika historia ya kweli ya Taifa letu bila ya ku-arase majina ya wazalendo ambao Viongozi wetu walikuwa na bifu nao, na ukiangalia kwenye machapisho ya Mkuu MS utakuta ameweka majina ya wapiganaji wa dini zote mpaka ya wapagani, mbona suala zima liko wazi kabisa lakini members hilo hawalisemi. Watu wanazungumza mengi humu ya kupoteza lengo, lakini hakuna hata mmoja amawahi kuhoji ni kwa nini Serikali ya hawamu ya kwanza ilikuwa hell bent kusambaratisha organisations za kidini na za wafanyakazi zilizo play a big role kuwaodoa wakoloni wakishirikiana na chama cha TANU!! Sina shaka kwamba nguvu za makundi hayo yalionekana yatakuwa tishio kwa Serikali ya awamu ya kwanza siku za usoni - hii ndio ilikuwa sababu ya msingi ya Serikali kuanzisha BAKWATA na NUTA ili makundi ya awali yavunjwe nguvu - tuwe wakweli hapa. Naona ma-stalwart na mashabeki wa Serikali ya awamu ya kwanza wanajifanya kulisahau hilo na hawataki kuambiwa ukweli. Tukiwa wawazi tutalinusuru Taifa letu, kama Kambarage aliwahi kukili mwenyewe kwamba kuna baadhi ya vitu walifanya ambavyo vilikuwa havifahi - kwa nini wengi wetu tunakuwa na kigugumizi cha kukemea mambo ambayo haya tufahi, yanonekana wazi wazi yana kila dalili za kuvuruga Taifa letu - God forbid.Narudia kusema kwamba, tunacho sahau ni kwamba si rahisi kunyanyasa na kubeza beza kudi fulani la kidini 4ever, alafu mkategemea nyinyi mtabaki salama miaka yote - hilo amulioni!!! Ubishi bushi tu bila ya kutafakali mambo kiundani - hakuna anayejiuliza ni kitu gani kilifanya kundi la Boko-Haram kuhibuka North Nigeria au unafikiri Tanzania is an Island hawawezi kufanya kweli wakiamua - tunajitia ujuaji tu.JF ni barometer tosha ya kuonyesha mambo si shwali kidini-wise katika Taifa letu, jaribu kuangalia members wanavyo jibizana jibizana with emotions kuhusu mambo ya dini hata sehemu ambazo si mahali pake waitibukiza tu, kwa bahati mbaya sisi Wakristo ndio tunaongoza kubeza beza sana wenzetu, tunawasema mambo chungu mzima, kwani hata wakiswali mara elfu kumi kwa siku sisi inatuhusu nini - they know better wanacho kitaka katika maisha yao, Dini yao na Mungu wao.
Mkuu wangu Bukyanagandi.

Hili bandiko lako ni la ujenzi binafsi nakushukuru sana kwa huu mchango wako, kuna kitu kinaitwa "Coexistence" ukiangalia tunapoelekea ni hatari sana.

Kuna watu humu wanaonyesha dharau kwa wazee na Waislam waliopigania uhuru wakati hao wazee waliishi na Nyerere kama ndugu yao.

Ndugu yangu mie nakuacha na haya maneno machache.

Wewe ni mfuasi wa ukweli, bila kujali nani kausema.
 
Last edited by a moderator:
Nimesema hili tuliache kwanza ili listuondoe katika mjadala wa dua za wazee wa kiislam ambazo umezipigia upatu. Naahidi kuwa baada ya hapo nitakuomba tuongelee la warsha na link kati yako. Kwasasa tuliache tafadhali ili tubaki na la dua za wazee.

La BAKWATA basi tena? na umekubali kuwa ulisema uongo uliposema:


Mwisho nikasema hata MoHamed Said aliwahi kuwa ndani ya Bwakata hivyo tatizo si Bakwata kama chombo ni viongozi wa Bakwata.

Kwi kwi kwi kwi teh teh teh.

Kuhusu dua za wazee, umeuliza na umejibiwa, hivi bado hujaridhika, ulikuwa unaijuwa moja ukapewa na zingine.
 
Hakuna aliyekuradhimisha kuwashukuru Waislam, Dr. Kyaruzi kaandikwa kwingi kwenye kitabu cha Mohamed Said. Nguruvi3. Mtu asiyesimamia chochote basi ataanguka kwa chochote endelea kupiga ngumi hewani huku tunasubiri mtama.

Kwanza unatakiwa kuelewa Dr. Kyaruzi alikuwa TANU 1950 na Mshume Kiyate alikuwa na Nyerere 1954 sasa hiyo mizani yako unaipimaje. Vipi umeishakubali kuwa TANU iliundwa Barma.

Hapo Nguruvi3 hata kupanusa hataki, anaona haya na kujidai kujitutumuwa kwengine. Pamemshinda.
 
Last edited by a moderator:
Ni kwanini kila unapoona nimechangia unapenda kuni-quote na kuleta kejeli?
Tena kejeli za kidini?

Kwanini hata usitumie akili yako ya kitoto kukagua kilichofanya niulize hilo swali?

Nadhani mwenye akili ya kitoto ni wewe mchafuzi wa mazingira!
Kuuliza kwako huto tuswali twa kejeli kaulize kule kwenye zile uzi za viruka njia!
Hapa nimekuonya mapema kabisa! Kuwa juu ya kuwa hili ni jukwaa huru basi kuna uzi zingine unatakiwa kuwa na adabu!
Na sio kila unaeongea nae ana the same mentality kama wewe!
Hukuniskia ukaanza kuuliza maswali yako ya mstari mmoja!
Sasa kwa sababu mi nakufahamu wewe vizuri nimeamua nipanguse kabisa huu uchafu wako! Ili wanahusika hapa wakuone kuwa huna maana!
La utaweka heshima ya thread! Be my guest!
Lkn maswali ya kitoto peleka kanisani kwa wale wachungaji!
Na ukiuza ukajibiwa NI WAJIBU KUTOA SHUKRANI!
SIO KUKAA KIMYA KAMA MWIZI WA KUKU!.
haya sema unachotaka kusema!

I am watching you boy!!

🙄🙄
 
Hapana! Nyerere katika hotuba yake kasema wazi wazi kuhusu hilo. Umesema kulikuwa na kisomo kama Tawasul(nakunukuu) mambo yalipokwama. Hilo halina tabu kabisa.

Nyerere katika ushuhuda wake aliwahi kusema '......mimi mkorofi kidogo na mambo hayo' tunajua alikuwa mkatoliki na hakuwahi kuwa mkorofi katika suala la dua, lakini kuna tukio alisema amekuwa mkorofi, ndipo nikauliza alikuwa mkorofi kwasababu gani?

Ndugu Wickama akaja na hoja zake kuhusu hilo. Akafunguka kuhusu makafara, matambiko n.k
Akaanisha sababu zake kwa mtazamo wake ambao ninakubaliana naye.

Swali linabaki kuwa je, hayo yalifanywa na Waislam? Je, kulikuwa na makundi ya Twasul na makundi ya matambiko? Hapo ndipo tunahitaji kufahamiana

Kwa hiyo unakubali au unakataa, kama umemsoma Nyerere kwanini usituletee na wewe hayo uyasemayo kwa muono wako? badaa ya kuja na kisentensi kimoja eti "mimi mkorofi kwa mambo haya". Na ukorofi wake lakini umesomeshwa humu na Mohamed Said kuwa kishawekwa chini si mara moja wala mbili na Wazee wa Kiislaam na wakamfanyia dua si mara moja tu kama ulivyodhani ni mara kede kede.
 
Last edited by a moderator:
Hapo hata kupanusa hataki, anaona haya na kujidai kujitutumuwa kwengine.
Yeye kasema hayataki tena haya kajikita kwenye dua na matambiko yeye anaita hot issue teh teh teh wakati Mohamed Said. kaandika mwaka 1997.
 
Last edited by a moderator:
Eeeh kijana uongo haukusaidii na spinning ndio kabisa, hiki kwenye post yako ni nini?



Mara umeondoka BAKWATA umerukia warsha, ili mradi unajaribu kila hila, lakini unakutana na ukuta, kwani hakuna zaidi ya ukweli.

Mara umebandika bandiko ambalo halihusiani kabisa na unachojibu. Duh!
Mohamed Said kakataa hilo, sasa wewe tupe ushahidi wa hicho ulichozuwa, usituletee habari za warsha hapa ambazo huzijuwi ndee wala sikio.
Nimecheka sana eti Mohamed Said. Alikuwa Bakwata.

Hii inaitwa Satan's Art of Deception.

Yeye andelee kuwadanganya misukule wake kule jukwaa la great thinkers siyo anga hizi.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna ambacho hatujakisoma kuhusu Kyaruzi.
Hoja iliyopo ni kuwa Mohamed Said ameweka wasifu wa Kyaruzi. Hili limekuja (na amesema mwenyewe) baada ya kumwambia kuwa Mshume Kiyate hana sifa za kumshinda Kyaruzi.

Kitendo cha kumweka Kyaruzi si ajabu bali ni ushahidi kuwa akiwekwa katika mizani na Kiyate anasimama kama mtu muhimu sana katika harakati.

Ndio maana tunauliza endapo Kyaruzi ni mkatoliki au mlutheri, je ni sahihi kusema Catholic's role in Tanzania's freedom struggle?

Hili limeletwa huku ili kutuondoa katika suala moto kwa sasa. Tuliache kwanza tushughulike na hili la wazee na dua ambalo Mohamed amesema 'kwanini waislam wasishukuriwe' tunawashukuru lakini je ni waislam kwa maana iliyokusudiwa?

Hii wewe kwani Mohamed Said alikuwa anachambuwa sifa za watu au amendika kila mmoja jinsi alivyotoa mchango wake katika hizo harakati? na Mohamed Said kakuwekea na moja, mbili , tatu aliyoyaandika kuhusu Kyaruzi, ambayo wewe ulisema hakumuandika, isitoshe akaongezea na kukwambia kuwa hata Tazia aliiandika na akafunguwa nyuzi kuibandika, kitu ambacho si wewe wala si mwengine ulikitegemea. Umesha sahau?

Kuhusu Waislaam "kwa maana iliyokusudiwa", maana iliyokusudiwa na nani? hakuna maana zaidi ya Waislaam kuandikwa mchango wao katika harakati na historia za Uhuru wa nchi hii, leo utaanza wapi na kumalizia wapi bila kuwataja Waislaam? wakati unaambiwa TANU yenyewe kuna mabaraza yalikuwa ni Waislaam watupu, au hilo nalo hulijuwi? Unashangaza!
 
Back
Top Bottom