Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Mheshimiwa unaendeleza maneno yako yaleyale ambayo mimi nasema tumeshayazoea aka hata kwenye kanga huandikwa.
Unaposema watu wanawakataza watoto wao wasiende shule kwakisingizio cha imani unawezaleta hapa data za kuthibitisha suala lako hili? Kama suala ni wazazi kujituma katika kujenga mashule na kuwapeleka watoto shule hebu twende mkoani kwangu katika wilayani yangu ya Lushoto. Mpaka sasa ninavyozungumza kule kuna karibia kila wastani wa vijiji viwili au vitatu kuna shule ya secondary ambazo zimejengwa kwa nguvu za wazazi maskini na michango ya serikali na wahisani. Je yako wapi maendeleo kule? Kwanini kilimanjaro au Moshi kwa wachaga na wapale waliojaa katika serikali tangu na tangu kwao kuwe vizuri kule Lushoto iwe tofauti? Kuna sehemu huko juu nilikueleza wazi kwamba uongozi MBOVU wa mwl ndio tatizo kubwa lililoifanya Tanzania baada ya miaka 50 ya uhuru bado iko hapa ilipo. Nyerere Sera zake za utawala za kijamaa ukiongeza na chuki yake kwa waislamu, siasa za kikanda ndio zilizopelekea baadhi ya maeneo kuendelea kuwa duni kila nyanja.
Mujitahid CHAMVIGA.

Huyu jamaa ni mtu asiyesimamia chochote basi ataanguka kwa chochote.

Dhulma ya Nyerere dhidi ya hawa wazee wetu wala siyo kitu cha kujificha, kwanza Nyerere alivyokuwa na roho mbaya baada ya kuwa rais wote wakawa maadui zake.

Akaona hiyo haitoshi akawapa maagizo Chuo cha Kivukoni kuandika historia ya TANU mwaka 1977, wazee waliopigania uhuru wengi wao hawakuandikwa kabisa kutokana Uislam wao.

Leo hii anatokea kauzu mmoja anasema watu wanalalmika eboo!

Ule undugu wa Kiislam ndiyo unatuunganisha sisi na hawa wazee wetu ambao leo wanaitwa madhalim, hawakwenda shule.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi,
Yapo mengi katika kuwahujumu Waislam.

Tatizo la madhehebu mengine dhidi ya Wakatoliki tunayajua lakini usilete hapa mfano wa
Magila na matatizo ya Waislam. Dhulma dhidi ya Waislam usiifananishe na jamii nyingine yoyote.
Yetu ni ya kipekee. Achana na dhulma za NECTA zinazopigiwa kelele.Tuangalie na huko nyuma tulikotoka na ni miaka mingi sana. Hayo hapo chini ni marudio tu lakini tuanzenayo kisha tutakuja Insha Allah katika yale
yaliyogundulika yanafanyika ndani ya Wizara ya Elimu kisha yale yaliyofichuliwa na Prof.
Hamza Mustafa Njozi katika kitabu chake ''Mwembechai Killings...''

Katika shutuma hizi zote walioshutumiwa yaani serikali na kanisa wako kimya hadi leo:
[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
The work reveals how Nyerere guaranteed Christians a privileged position and backed
his promise by appointing them to important positions in his government and party.


This book was on sale at the Catholic Bookshop, Dar es Salaam, and was hurriedly withdrawn from sale after it was realised that it was revealing highly confidential and sensitive information on Islam.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Ndiyo maana Waislam walipotaka kujenga chuo kikuu mwaka 1968 chini ya EAMWS Nyerere akasimama
kidete kuhujumu na kuifungia jumuia hiyo.

Ndiyo maana katika miaka ya 1990 OIC ilipotaka kujenga chuo kikuu Tanzania serikali ikakataa kutoka
kibali.

Ndiyo maana hata Darul Iman ilipotaka kujenga shule ya ufundi Kibaha katika miaka hiyo hiyo mradi
ukahujumiwana mawakala wa kanisa katika serikali.

Ndiyo maana serikali inapiga vita Tanzania kujiunga na OIC kwa kuwa si katika maslahi ya kanisa.

Tunajua mengi na Waislam hivi sasa wanaelezwa haya pamoja na kufundishwa historia yao.
Historia hii ambayo naileleza hapa jamvini. Ukweli huu sasa uko wazi hapana siri tena.
Mohamed bado hujajibu hoja zangu hata kwa bahati mbaya.
Nimeuliza iweje Kirinjiko ifanye vizuri kuliko Masjid Quba.
Iweje Kilimanjaro na Bukoba ziwe katika hali tofauti na Mtwara na Lindi katika mazingira yale yale.

Suala la kujiunga na OIC halina uhusiano na elimu. Haya ni mambo ya kuzua tu.
OIC haitoe elimu wala mwalimu Mkuranga.

Ni wajibu wa wananchi kuibana serikali yao kuhakikisha ubora wa elimu. Hakuna nchi iliyowahi kupelekewa mwalimu wa sekondari na OIC. Ni kichekesho Mohamed achana na hoja za namna hii, zinatia aibu.

Kujenga chuo kikuu cha mwaka 1968 kupitia EAMWS ni suala la waislam.
Wanaouziana kiwanja hicho leo hii na kupigana Nyerere akiwa kaburini ni waislam.

Miaka 28 tangu Nyerere aondoke madarakani hakuna kitu kilichofanyika ku reflect yale yaliokuwa yafanyike mwaka 1968. Nimewahi kukuliza nini kinatokea na chuo cha Morogoro? Huna jibu unatafuta sababu laini.

Mohamed huwezi kulalamika kuhusu chuo kikuu wakati umeshindwa kupeleka mwalimu Mkuranga. White elephant!You must have a solid foundation ili kuwa na stable structure. Huwezi kuaminisha umma kuhusu chuo kikuu wakati una shule ya wanafunzi 250 na walimu 2. Unapata wapi wanafunzi wa chuo kikuu kama huna wa msingi na sekondari! hivi huoni kuna kicheko hapa Mzee Said.

Huko Nyuma ilisemekana Nyerere alihujumu kupitia NECTA. Sasa hivi inasemekana ni NECTA na wala si JK au Kawambwa.Pathetic! Mohamed anayesimamia na kuteua wajumbe wa NECTA ni JK kwa kushirikiana na Kawamba.Kama kuna tatizo lielekezwe huko na si kutafuta imani fulani kwa chuki tu.

Nimeshangaa majuzi watu wakisema hawana tatizo na wizara, tatizo lao ni NECTA.Yaani hawana tatizo na chanzo wana tatizo na matokeo. Kama tatizo la NECTA lipo basi limeanzia kwa Kawambwa na JK.

Ndalichako ni mteuliwa wa Rais JK. Kwa tatizo mtu wa kuulizwa ni JK. Ndalichako ni mhadhiri, kuteuliwa kwake ni kutokana na taaluma na sifa zake kielimu.

Hiyo imedhihirika baada ya kuteuliwa kuwa rais wa shirika la mabaraza ya mitihani Afrika kama sikosei.
Hana sababu za kuhujumu kwasababu hakujichagua aliteuliwa na alikuwa na kazi yake. Sijui na uhadhiri nao anafanya hujuma Anaishi maisha mazuri bila kuwa mkurugenzi na anahitajika popote duniani.

Sijui kuwekwa kwa mtu mwingine kutaleta mabadiliko yoyote. Kufeli hakuna uhusiano na NECTA.
Wakati wa Ndalichako Kirinjiko na Feza zimefanya vema sana. Sijui kwanini hazikuhujumiwa.

Tatizo la Mohamed ni kuandika kwa lugha tamu bila kufanya hata chembe ya utafiti achilia mbali fikra.
Kwavile lengo ni kuchonganisha watu atatafuta sababu za kuunga unga ilimradi apate ulua na mradi wake.

Mohamed angetembelea shule ya Ali Hassan Mwinyi akaona wanafunzi 250 wanfundishwa na walimu 2 asingeweza kuja mbele ya umma kwa flimpsy and unsubstantiated allegation kama hizi.
OMG! afadhali mimi ni kauzu maana naona Nyangumi hawana macho

Kuna mtu kaonyesha hapo juu jinsi shule zinavyofaulisha na kufelisha. Lau Mohamed angeamua kutua mzigo wa chuki kwa dakika kadhaa akapitia matokeo ya mitahani ya shule kwa kidato cha 4 na 6 asingeweza kuandika haya.

Na rudia kusema Mohamed uwezo wake wa kujenga hoja kwa mantiki ni mdogo sana.
Hili Mohamed ulikubali, ni mdogo sana kiasi kwamba madai yako yanakosa mashiko achilia mbali mantiki.

Mohamed kuendelea kuipumbuza jamii hakusaidiii kitu.Hakuna fundi umeme au magari anayepatikana kwa jina, ukoo, kabila au dini. Hakuna mwanasheria, engineer au mhasibu na Daktari anayepatikana kwa kuteuliwa.
Kinachotakiwa ni shule na si shule tu kama majengio ni shule kwa maana ya shule.

Mwapachu alipelekea watoto shule na sasa inajirudia. Mshume Kiyate hakufanya hivyo na historia inasema hilo.
Tofauti ya familia mbili inatokana na 'ukatili wa Nyerere' real!

Mohamed ukipanda maharage utavuna maharage.Wenzako wakipanda mahindi wewe ukiwa unapiga hadithi basi ipo siku utavuna mabua.Acha kabisa kuipotosha jamii. Nasikitika sana kuona unakusudia kuiskuma jamii porini.

Mradi wa Darul islam wa Kibaha ulikuwepo kuanzia wakati wa Mwinyi. Kiwanja kilitolewa na upo ushahidi usio na shaka wafadhili waliondoka na kwenda Mbale Uganda kwasababu pesa zilikuwa zinatafunwa na kamati za waislam wenyewe.

Nyerere hakuwepo wakati huo na serikali ilikuwa ya Mwinyi. Huu ukweli unautafutia sababu za ajabu sana. Hebu kuwa mkweli kwasababu hakuna fadhila kwa kusema uongo hata kama ni upande wa dini.

Kuna kiongozi analalamika kuhusu madhila haya unayosema. Kiongozi huyo hajawahi kukaa katika chumba kinachoitwa darasa. Huyu kiongozi hakukaa darasani lakini ni bingwa wa kueleza hujuma za elimu.
Ni kituko kwakweli. Ni sawa na mtu akuelezee ugumu wa Biology wakati hakuwahi kusoma hata siku moja.

Acheni haya watu wakae chini wapime wanapambana vipi na dunia ya ushindani. Watu wanaandaa vipi watoto kwa siku za usoni. Mwapachu hakuishia kuandika tu alipeleka watoto shule. Wenzangu mimi wanadai majina ya mitaa ya barabara. Hadithi itakuwa hiyo hiyo kama watu wataendelea kuamini utunzi wa hadithi za kufikirika.

.Inasikitisha sana.
 
Mohamed bado hujajibu hoja zangu hata kwa bahati mbaya.
Nimeuliza iweje Kirinjiko ifanye vizuri kuliko Masjid Quba.
Iweje Kilimanjaro na Bukoba ziwe katika hali tofauti na Mtwara na Lindi katika mazingira yale yale.

Suala la kujiunga na OIC halina uhusiano na elimu. Haya ni mambo ya kuzua tu.
OIC haitoe elimu wala mwalimu Mkuranga.

Ni wajibu wa wananchi kuibana serikali yao kuhakikisha ubora wa elimu. Hakuna nchi iliyowahi kupelekewa mwalimu wa sekondari na OIC. Ni kichekesho Mohamed achana na hoja za namna hii, zinatia aibu.

Kujenga chuo kikuu cha mwaka 1968 kupitia EAMWS ni suala la waislam.
Wanaouziana kiwanja hicho leo hii na kupigana Nyerere akiwa kaburini ni waislam.

Miaka 28 tangu Nyerere aondoke madarakani hakuna kitu kilichofanyika ku reflect yale yaliokuwa yafanyike mwaka 1968. Nimewahi kukuliza nini kinatokea na chuo cha Morogoro? Huna jibu unatafuta sababu laini.

Mohamed huwezi kulalamika kuhusu chuo kikuu wakati umeshindwa kupeleka mwalimu Mkuranga. White elephant!You must have a solid foundation ili kuwa na stable structure. Huwezi kuaminisha umma kuhusu chuo kikuu wakati una shule ya wanafunzi 250 na walimu 2. Unapata wapi wanafunzi wa chuo kikuu kama huna wa msingi na sekondari! hivi huoni kuna kicheko hapa Mzee Said.

Huko Nyuma ilisemekana Nyerere alihujumu kupitia NECTA. Sasa hivi inasemekana ni NECTA na wala si JK au Kawambwa.Pathetic! Mohamed anayesimamia na kuteua wajumbe wa NECTA ni JK kwa kushirikiana na Kawamba.Kama kuna tatizo lielekezwe huko na si kutafuta imani fulani kwa chuki tu.

Nimeshangaa majuzi watu wakisema hawana tatizo na wizara, tatizo lao ni NECTA.Yaani hawana tatizo na chanzo wana tatizo na matokeo. Kama tatizo la NECTA lipo basi limeanzia kwa Kawambwa na JK.

Ndalichako ni mteuliwa wa Rais JK. Kwa tatizo mtu wa kuulizwa ni JK. Ndalichako ni mhadhiri, kuteuliwa kwake ni kutokana na taaluma na sifa zake kielimu.

Hiyo imedhihirika baada ya kuteuliwa kuwa rais wa shirika la mabaraza ya mitihani Afrika kama sikosei.
Hana sababu za kuhujumu kwasababu hakujichagua aliteuliwa na alikuwa na kazi yake. Sijui na uhadhiri nao anafanya hujuma Anaishi maisha mazuri bila kuwa mkurugenzi na anahitajika popote duniani.

Sijui kuwekwa kwa mtu mwingine kutaleta mabadiliko yoyote. Kufeli hakuna uhusiano na NECTA.
Wakati wa Ndalichako Kirinjiko na Feza zimefanya vema sana. Sijui kwanini hazikuhujumiwa.

Tatizo la Mohamed ni kuandika kwa lugha tamu bila kufanya hata chembe ya utafiti achilia mbali fikra.
Kwavile lengo ni kuchonganisha watu atatafuta sababu za kuunga unga ilimradi apate ulua na mradi wake.

Mohamed angetembelea shule ya Ali Hassan Mwinyi akaona wanafunzi 250 wanfundishwa na walimu 2 asingeweza kuja mbele ya umma kwa flimpsy and unsubstantiated allegation kama hizi.
OMG! afadhali mimi ni kauzu maana naona Nyangumi hawana macho

Kuna mtu kaonyesha hapo juu jinsi shule zinavyofaulisha na kufelisha. Lau Mohamed angeamua kutua mzigo wa chuki kwa dakika kadhaa akapitia matokeo ya mitahani ya shule kwa kidato cha 4 na 6 asingeweza kuandika haya.

Na rudia kusema Mohamed uwezo wake wa kujenga hoja kwa mantiki ni mdogo sana.
Hili Mohamed ulikubali, ni mdogo sana kiasi kwamba madai yako yanakosa mashiko achilia mbali mantiki.

Mohamed kuendelea kuipumbuza jamii hakusaidiii kitu.Hakuna fundi umeme au magari anayepatikana kwa jina, ukoo, kabila au dini. Hakuna mwanasheria, engineer au mhasibu na Daktari anayepatikana kwa kuteuliwa.
Kinachotakiwa ni shule na si shule tu kama majengio ni shule kwa maana ya shule.

Mwapachu alipelekea watoto shule na sasa inajirudia. Mshume Kiyate hakufanya hivyo na historia inasema hilo.
Tofauti ya familia mbili inatokana na 'ukatili wa Nyerere' real!

Mohamed ukipanda maharage utavuna maharage.Wenzako wakipanda mahindi wewe ukiwa unapiga hadithi basi ipo siku utavuna mabua.Acha kabisa kuipotosha jamii. Nasikitika sana kuona unakusudia kuiskuma jamii porini.

Mradi wa Darul islam wa Kibaha ulikuwepo kuanzia wakati wa Mwinyi. Kiwanja kilitolewa na upo ushahidi usio na shaka wafadhili waliondoka na kwenda Mbale Uganda kwasababu pesa zilikuwa zinatafunwa na kamati za waislam wenyewe.

Nyerere hakuwepo wakati huo na serikali ilikuwa ya Mwinyi. Huu ukweli unautafutia sababu za ajabu sana. Hebu kuwa mkweli kwasababu hakuna fadhila kwa kusema uongo hata kama ni upande wa dini.

Kuna kiongozi analalamika kuhusu madhila haya unayosema. Kiongozi huyo hajawahi kukaa katika chumba kinachoitwa darasa. Huyu kiongozi hakukaa darasani lakini ni bingwa wa kueleza hujuma za elimu.
Ni kituko kwakweli. Ni sawa na mtu akuelezee ugumu wa Biology wakati hakuwahi kusoma hata siku moja.

Acheni haya watu wakae chini wapime wanapambana vipi na dunia ya ushindani. Watu wanaandaa vipi watoto kwa siku za usoni. Mwapachu hakuishia kuandika tu alipeleka watoto shule. Wenzangu mimi wanadai majina ya mitaa ya barabara. Hadithi itakuwa hiyo hiyo kama watu wataendelea kuamini utunzi wa hadithi za kufikirika.

.Inasikitisha sana.
Unaandika maelezo marefu ambayo hayana maana yeyote hoja ya msingi hapa ni "Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika.
 
Mohamed Said.

Tunakuomba uendelee kuandika historia za hawa wazee Wakiislam waliofutwa na Nyerere kwenye historia ya Tanganyika.

Siku zote wasomi ndiyo wana tabia ya kusoma vitabu huo ndiyo ukweli.

Kitabu chako kimechimba mengi na kimekuwa lulu katika Wasomi wa Kiislam.

Kitabu chako kimedhihirisha ukweli upo upande unaoonewa.

Moja ya tabia za Uislam ni kuamsha kipaji chako cha kufikiri na kuelewa.

Watu bado wana propaganda kuwa Waislam hawapeleki watoto shule kwa kufanya reference Mkuranga, wakati hao watu Uislam wenyewe hawaujui masikini.

Hatuna haja ya kujisifia tunaendesha saizi mapambano ya kielimu.
 
Last edited by a moderator:
Mheshimiwa unaendeleza maneno yako yaleyale ambayo mimi nasema tumeshayazoea aka hata kwenye kanga huandikwa.
Unaposema watu wanawakataza watoto wao wasiende shule kwakisingizio cha imani unawezaleta hapa data za kuthibitisha suala lako hili?

Kama suala ni wazazi kujituma katika kujenga mashule na kuwapeleka watoto shule hebu twende mkoani kwangu katika wilayani yangu ya Lushoto. Mpaka sasa ninavyozungumza kule kuna karibia kila wastani wa vijiji viwili au vitatu kuna shule ya secondary ambazo zimejengwa kwa nguvu za wazazi maskini na michango ya serikali na wahisani. Je yako wapi maendeleo kule?

Kwanini kilimanjaro au Moshi kwa wachaga na wapale waliojaa katika serikali tangu na tangu kwao kuwe vizuri kule Lushoto iwe tofauti? Kuna sehemu huko juu nilikueleza wazi kwamba uongozi MBOVU wa mwl ndio tatizo kubwa lililoifanya Tanzania baada ya miaka 50 ya uhuru bado iko hapa ilipo. Nyerere Sera zake za utawala za kijamaa ukiongeza na chuki yake kwa waislamu, siasa za kikanda ndio zilizopelekea baadhi ya maeneo kuendelea kuwa duni kila nyanja.
CHAMVIGA kwanza kabisa hebu nionyeshe wapi nimesema watu wanakataza watoto wasiende shule kwasababu za imani.Hebu kuweni wakweli wa kusema ukweli bila kupindisha maneno. Bandiko langu lipo wazi nionyeshe wapi nimesema hivyo.

Pili, huko Lushoto wamemaliza kujenga shule mwaka huu. Nimekwambia kuwa mwaka 1990 wilaya ya Mwanga ilikuwa na shule zaidi ya mikoa miwili ya Lindi na Mtwara. Huo ni mwaka 1990.
Hizi shule za kata Kilimanjaro na Kagera walishamaliza siku nyingi. Kwa mwendo huo usifananishe na Mlalo au Mtae.

Nafahamu vema maeneo uliyotaja ya Upareni. Kule shule zilijengwa kwa 'msaragambo' na shule hizo nyingi zilikuwa za wazazi au dini. Wananchi wa kule hawakuwa na vikwazo walipeleka watoto kwenye shule wapate elimu.Ukifika kule hakuna tofauti kwa idadi ya wasomi kwa imani, koo au chochote kwasababu wananchi wameshinda mipaka ya vikwazo vyao.

Ushindani ulikuwa mkubwa kule kiasi cha wao kuhamisha watoto wao kuja nyumbani Tanga.
Kule Magila watu wakawa wameduwaa watoto wakifaulu ni kutoka K.njaro. Walipogutuka it was too late.
Walifanya hivyo kwa mikoa mingine iliyokuwa haijatambui. Sasa hakuna sababu za kuwaadhibu kwa werevu wao.

Nyerere hakupendelea ukanda in fact aliumiza sana eneo kama Kilimanjaro. Kubadili mtihani wa taifa kuwa wa mikoa ilikuwa kuwaminya. Miaka hiyo kati ya wanafunzi 900 waliochaguliwa sekondari 3/4 walitoka K'njaro na ziwa mgaharibi.Kulipotolewa nafasi za mikoa kilimanjaro iliathirika kwasababu ina population kubwa ya wanfunzi lakini nafasi kidogo.

Walichokifanya watu wa kilimanjaro ni kujenga mashule kwa wingi ili kukabiliana na changamoto hiyo.
Pili wakatafuta mbinu za kuhamisha watoto katika maeneo yasiyo na ushindani. Hadi hapo wakafanikiwa.

Huwezi kupata viongozi kama hukuandaa vijana. Kinachoonekana ni kuwa na wataalamu na viongozi wengi kwasababu kuna mikoa iliandaa vijana wao.

Ndio maana nasisitiza kuwa sasa ni wakati wa kuusgua vichwa nini kifanyike ili kuinua hali za elimu katika maeneo yenye matatizo. Nimesema sote kwa pamoja tuibane serikali na kuiuliza hivi wanalengo gani na kwanini haya yanatokea watu wakiwa wanalipa kodi?

Nilikuwa Bigwa Marusembe, Nyamato hadi kimazichana Mkamba. Karibuni nilipita Mokongo hadi Nyamanywili.
Mwakajana nilitembelea Iramba, nikafika Kondoa . Hali ni mbaya na nimeona ndio maana naongea kwa uchungu kuwa kwanini tunalipa kodi katika mazingira niliyoshuhudia? Tatizo letu si imani ni kukosa nguvu za pamoja za kukabiliana na tatizo. Sasa zinapokuja distractions za hadithi za NECTA n.k. inasikitisha zaidi.

Watu wakiamua kukaa katika majamvi na kusikiliza alfulela ulela basi baada ya miaka 20 tutarudi JF na kujadili kwanini kuna wataalam wengi kautoka Kagera na Kilimanjaro. Kwanini kila fundi umeme anatoka huko. Kwanini mkoa mmoja uwe na vyuo vikuu kadhaa maana huko ndiko wanakoelekea wengine wakisoma historia.

Lazima kwanza watu wakubali uwepo wa tatizo halafu watafute suluhu si kukaa na kudai majina ya mitaa.
Mitaa inasaidia nini kizazi hiki kisicho na walimu darasani? Uzushi unasaidia vipi jamii hii isiyo na uwezo ?

Kwanini mtoto aliyekulia Oysterbay yupo likely kuwa kama baba yake. Kuna siri gani huko masaki na Upanga.
Kwanini mtu alipe mamilioni kupeleka mtoto Feza au Almuntazir.
Kwanini Mzizima wanfanya vizuri kuliko Kinooni. Kwanini Kirinjiko iliyopo porini ifanye vema na si Jabal hilal iliyopo mjini karibu na Maktaba ya mkoa.

Kuna maswali ya kujiuliza muhimu sana na si kusema Darul ilitaka kujenga chuo kikuu ikakataliwa na Nyerere kutoka kaburini. Hivi kweli wewe Chamviga hiyo inakuingia akilini kweli.
 
Last edited by a moderator:
CHAMVIGA kwanza kabisa hebu nionyeshe wapi nimesema watu wanakataza watoto wasiende shule kwasababu za imani.Hebu kuweni wakweli wa kusema ukweli bila kupindisha maneno. Bandiko langu lipo wazi nionyeshe wapi nimesema hivyo.

Pili, huko Lushoto wamemaliza kujenga shule mwaka huu. Nimekwambia kuwa mwaka 1990 wilaya ya Mwanga ilikuwa na shule zaidi ya mikoa miwili ya Lindi na Mtwara. Huo ni mwaka 1990.
Hizi shule za kata Kilimanjaro na Kagera walishamaliza siku nyingi. Kwa mwendo huo usifananishe na Mlalo au Mtae.

Nafahamu vema maeneo uliyotaja ya Upareni. Kule shule zilijengwa kwa 'msaragambo' na shule hizo nyingi zilikuwa za wazazi au dini. Wananchi wa kule hawakuwa na vikwazo walipeleka watoto kwenye shule wapate elimu.Ukifika kule hakuna tofauti kwa idadi ya wasomi kwa imani, koo au chochote kwasababu wananchi wameshinda mipaka ya vikwazo vyao.

Ushindani ulikuwa mkubwa kule kiasi cha wao kuhamisha watoto wao kuja nyumbani Tanga.
Kule Magila watu wakawa wameduwaa watoto wakifaulu ni kutoka K.njaro. Walipogutuka it was too late.
Walifanya hivyo kwa mikoa mingine iliyokuwa haijatambui. Sasa hakuna sababu za kuwaadhibu kwa werevu wao.

Nyerere hakupendelea ukanda in fact aliumiza sana eneo kama Kilimanjaro. Kubadili mtihani wa taifa kuwa wa mikoa ilikuwa kuwaminya. Miaka hiyo kati ya wanafunzi 900 waliochaguliwa sekondari 3/4 walitoka K'njaro na ziwa mgaharibi.Kulipotolewa nafasi za mikoa kilimanjaro iliathirika kwasababu ina population kubwa ya wanfunzi lakini nafasi kidogo.

Walichokifanya watu wa kilimanjaro ni kujenga mashule kwa wingi ili kukabiliana na changamoto hiyo.
Pili wakatafuta mbinu za kuhamisha watoto katika maeneo yasiyo na ushindani. Hadi hapo wakafanikiwa.

Huwezi kupata viongozi kama hukuandaa vijana. Kinachoonekana ni kuwa na wataalamu na viongozi wengi kwasababu kuna mikoa iliandaa vijana wao.

Ndio maana nasisitiza kuwa sasa ni wakati wa kuusgua vichwa nini kifanyike ili kuinua hali za elimu katika maeneo yenye matatizo. Nimesema sote kwa pamoja tuibane serikali na kuiuliza hivi wanalengo gani na kwanini haya yanatokea watu wakiwa wanalipa kodi?

Nilikuwa Bigwa Marusembe, Nyamato hadi kimazichana Mkamba. Karibuni nilipita Mokongo hadi Nyamanywili.
Mwakajana nilitembelea Iramba, nikafika Kondoa . Hali ni mbaya na nimeona ndio maana naongea kwa uchungu kuwa kwanini tunalipa kodi katika mazingira niliyoshuhudia? Tatizo letu si imani ni kukosa nguvu za pamoja za kukabiliana na tatizo. Sasa zinapokuja distractions za hadithi za NECTA n.k. inasikitisha zaidi.

Watu wakiamua kukaa katika majamvi na kusikiliza alfulela ulela basi baada ya miaka 20 tutarudi JF na kujadili kwanini kuna wataalam wengi kautoka Kagera na Kilimanjaro. Kwanini kila fundi umeme anatoka huko. Kwanini mkoa mmoja uwe na vyuo vikuu kadhaa maana huko ndiko wanakoelekea wengine wakisoma historia.

Lazima kwanza watu wakubali uwepo wa tatizo halafu watafute suluhu si kukaa na kudai majina ya mitaa.
Mitaa inasaidia nini kizazi hiki kisicho na walimu darasani? Uzushi unasaidia vipi jamii hii isiyo na uwezo ?

Kwanini mtoto aliyekulia Oysterbay yupo likely kuwa kama baba yake. Kuna siri gani huko masaki na Upanga.
Kwanini mtu alipe mamilioni kupeleka mtoto Feza au Almuntazir.
Kwanini Mzizima wanfanya vizuri kuliko Kinooni. Kwanini Kirinjiko iliyopo porini ifanye vema na si Jabal hilal iliyopo mjini karibu na Maktaba ya mkoa.

Kuna maswali ya kujiuliza muhimu sana na si kusema Darul ilitaka kujenga chuo kikuu ikakataliwa na Nyerere kutoka kaburini. Hivi kweli wewe Chamviga hiyo inakuingia akilini kweli.
Utawaonea bure watu wa Mtwara na Lindi kwako kila kikicha ndiyo sehemu ya kuitolea mfano kuwa moja ya sehemu za Waislam wengi ambao hawataki kusoma na wazee wao hawataki kuwapeleka shule.

Kwa makusudi au kwakutokujua au ndiyo mwendelezo wa dhiaka na kejeli, hawa wametengwa na Nyerere toka mwaka 1961, hawana miundombinu yoyote hawana barabara toka uhuru masikini, Nyerere mpaka aling'oa reli ilikuwa inakwenda kusini, mazingira ni mabaya kuliko unavyofikiri, sasa hivi ndiyo pamechangamka kutoka na gesi,

Takuletea bandiko uone Waislam wanavyowasaidia ndugu zao wa Mtwara kupata elimu pamoja na mikakati mingine ya maendeleo.

Wanawasifia Kilimanjaro shule nyingi na kwa wapare, wakati kuna barabara za lami mpaka vijijini umeme mpaka vijijini unadhani watu kama hawa watashindwa kufanya maendeleo, unadhani haya yote yametokea bahati mbaya.

Wewe tatizo lako kubwa una chuki na Waislam na Uislam.
 
Last edited by a moderator:
Kijana 2013 we unaonekana ni mpenzi sana wa kupamba harusi! Manake hizi rangi zako si mchezo! 😀😀.

Bila kupoteza muda kujadili point moja baada ya nyingine nilitaka kukufahamisha kuwa KUWA NON BELIEVER PEKE YAKE NI KUJIDHALILISHA!
Kusema wewe na nyani ni COUSIN'S ni kujidhalilisha kupita kiasi!
Kusema wewe umetokea hapa ulimwenguni kwa BAHATI NASIBU NI kujidhalilisha kabisa!
Ni kujiita "kizazi cha bahati nasibu".

Na hayo mahubiri yako yana contradictions left right centre!
Unasema vita yako sio ya mwili bali ni roho!
Sasa na mwili ukitaka kitu unaufanyaje sasa! Au uta pretend kuwa ahhhh roho ikishashiba mwili hauna haja!

Kwa mantiki kama hizi nyie ndio mnawafanya hao MAPADRI NA BISHOPS KUTO KUOA .na mother nature anapo kicks In. Tunaskia kuwa padri fulani kamtafuna mwana kondoo? Ile vita ya rohi imemtoa knock out! ! 😀😀😀

Achaneni na longalonga!

Hakuna anaeweza shindana na nguvu ya maumbile Mungu alio tuumba nayo!
Oeni kwa raha zenu na kesi za kutafuna wana kondoo zitapungua sana.
And I will say "hallelujah for that"

penye red; mwili ukitaka kitu hautakiwi kuvaa bomu na kuljilipua ili uue na wengine


naogopa unaenda off key.......isije ikawa ni ni mpenzi wa mipasho. ha ha ha
padre ni binadamu tu naye anaweza kukosea, we human..., we all make mistakes,
mbona hatujadili swala la kuoa watoto?hivi angekuwa ni kabinti kako ndo kanachukuliwa ungejiskiaje, na jinsi unavyomwaminia hivyo?tafakari. kuna usemi usemao kosa la shekh/padre sio makosa ya quran/bible. youknowwhat imean


lord jesus said: mathew 5 :11 "Heri yenu ninyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu.12 Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu.

najua wewe ni mpenzi wa footages, watch fundamentalists who know best about homicide religion here;

Healing AIDS and HIV - Sheik Mohammed Amen (Muslim Testimony) - YouTube

Muslim College Student's Dream - Nabeel Qureshi (Muslim Testimony) - YouTube

Muslim Jihadist, Khalil became a True Believer - More Than Dream / CBN (Muslim Testimony) - YouTube

Wahabbi Muslim's Conversion / The Quran Dilema - Al Fadi / CBN (Muslim Testimony) - YouTube

Repeating Dreams by Mohamed (So Touching Muslim Real Story) - YouTube

Ex-Hezbollah Iranian Muslim Saw Jesus and Jesus Said Who He Was - Afshin Javid - YouTube
 
penye red; mwili ukitaka kitu hautakiwi kuvaa bomu na kuljilipua ili uue na wengine

lord jesus said: mathew 5 :11 "Heri yenu ninyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu.1Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu.


Unajua manabii wa Mungu walipata taabu sana kuwaelimisha watu kama wewe!
Unachambua kile tu unachotaka watu wakione! Hii kwa lugha ya wakoloni tunaiita "selective understanding"
Na ukijaribu kuelekezwa unachagua yale ya kuskia ambayo uyapendayo! Na hii inatwa "selective understanding"
Ukishakuwa na maradhi haya! Wewe na yule mwenye "learning difficulties" hakuna tofauti yyt!

Unamuita Jesus" LORD"

Sasa Hebu tazama andiko lako hapa uone je! Yesu ni Mungu!?

Yakobo 1:13). Mungu hajaribiwi na Shetani.-
(Mat 4:1). Lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi.

(Isaya 40:28).Mungu hachoki.
(Yoh. 4:6)Lakini Yesu-alichoka

(Ezekiel 28:8-9).Mungu hauwawi
(Matendo 5:30)Lakini Yesu aliuwawa

Mungu hafi (Daniel 6:26).
Lakini Yesu alikufa (Mat. 27:50)

(1Wafalme 8:39)Mungu anajua kila kitu.Lakini Yesu hakujua kila kitu (mti wa mtini).(Mat. 21:18-19)-Ilhali haukuwa msimu wa matunda-

(Marko 11:13)Mungu hali, lakini Yesu aliona njaa na akala.(Marko 11:12; Luka 11:37-38, 24:42-43)

(Zaburi 121:3-4).Mungu hasinzii.-
Lakini Yesu alilala fofofo.(Marko 4:37-38; Mat. 8:23-25)

Sasa njoo na maneno ya padri sasa!
Ohh yesu alijifanya mungu mtu ili afe! Bla..bla..bla..
KWA MUJIBU WA ANDIKO LAKO MUNGU HAWEZI KUWA NA SIFA YA MWANADAMU!!

Halafu nyie wagalatia mna tabia ya kupindua pindua maneno ili mfanikishe tu hayo mnayo yataka,
Ni kigeugeu kama hicho kitabu chenu!
Hebu onja kidogo mchakachuo wenu hapa:-
.
Michael binti wa Saul hakupata mtoto mpaka kifo chake.(2 samweli 6:23)

Michael binti wa Saul alikuwa na wavulana watano (2 Samweli 21:8)

Benjamin alikuwa na watoto watatu. (1 Mambo ya Nyakati 7:6)

Benjamin alikuwa na watoto watano. (1 Mambo ya Nyakati 8:1-2.

Harun alikufa huko Hor. (Hesabu 33:38)

Haruni alikufa huko Mosera (Kumb. 10:6)

Yehoremu alishikilia kutawala wakati akiwa na umri wa mika 32 alifariki katika miaka 40,(2 Mambo ya Nyakati 21:5) (2 Mambo ya Nyakati 21:20).

Baada ya kifo chake mtoto wake mdogo alishikilia serikali na alikuwa na umri wa miaka 42 wakati ule.(2 Mambo ya Nyakati (22:1-2).

Kana kwamba mwana mdogo alikuwa miaka miwili zaidi kuliko baba mzazi! (9. Mat 5:17; Mat 5:38-40; Hebrew 7:12).

Sungura hucheua (Mambo ya Walawi 11:6). Lakini ukweli ni kwamba Sungura hacheui kabisa.

Yuda aliyemsaliti Yesu alivitupa vile vipande vya fedha alivyopewa kwa udhalimu wake huo, kisha alijinyonga na

wakuu wa Makuhani wakavichukua vipande vya fedha na wakanunulia shamba la kuzikiwa watu (Mat 27:5-7).

Lakini (Matendo 1:18), inasema kwamba Yuda mwenyewe alinunua konde kwa ijara aliyoipata kwa udhalimu wake huo na kisha akaanguka na kupasuka na matumbo yake yote yakatoka.

Yesu alifyolewa na wanyang’anyi wawili aliposulubiwa pamoja nao. (Marko 15:32 ; Mat. 27:44).

Lakini katika Luka 23:39-40, inasema kuwa mnyang’anyi mmoja ndiye aliyemfyolea Yesu.

Yuda alijinyonga.(Mat. 27:5).

Lakini katika Matendo 1:18, imeandikwa kwamba alianguka na kupasuka matumbo yake

Mwanadamu aliumbwa baada ya uumbaji wa wanyama.(Mwanzo 1:25-26).

Lakini katika (Mwanzo 2:18-20), inaonekana mwanadamu aliumbwa kwanza.

Mwandishi wa Torati siye Nabii Musa mwenyewe.

Basi Musa mtumishi wa bwana akafa huko katika nchi ya Moabu kwa neno la Bwana. (Kumb. 34:5).

Mwandishi wa Kitabu cha Mathayo si Mathayo mwenyewe ambaye ni mwanafunzi wa Yesu.(Mat. 9:9).

Msipo angalia mtakufa makafir na adhabu ya Mungu ni kali sana!
 
penye red; mwili ukitaka kitu hautakiwi kuvaa bomu na kuljilipua ili uue na wengine

lord jesus said: mathew 5 :11 "Heri yenu ninyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu.1Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu.


Unajua manabii wa Mungu walipata taabu sana kuwaelimisha watu kama wewe!
Unachambua kile tu unachotaka watu wakione! Hii kwa lugha ya wakoloni tunaiita "selective understanding"
Na ukijaribu kuelekezwa unachagua yale ya kuskia ambayo uyapendayo! Na hii inatwa "selective understanding"
Ukishakuwa na maradhi haya! Wewe na yule mwenye "learning difficulties" hakuna tofauti yyt!

Unamuita Jesus" LORD"

Sasa Hebu tazama andiko lako hapa uone je! Yesu ni Mungu!?

Yakobo 1:13). Mungu hajaribiwi na Shetani.-
(Mat 4:1). Lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi.

(Isaya 40:28).Mungu hachoki.
(Yoh. 4:6)Lakini Yesu-alichoka

(Ezekiel 28:8-9).Mungu hauwawi
(Matendo 5:30)Lakini Yesu aliuwawa

Mungu hafi (Daniel 6:26).
Lakini Yesu alikufa (Mat. 27:50)

(1Wafalme 8:39)Mungu anajua kila kitu.Lakini Yesu hakujua kila kitu (mti wa mtini).(Mat. 21:18-19)-Ilhali haukuwa msimu wa matunda-

(Marko 11:13)Mungu hali, lakini Yesu aliona njaa na akala.(Marko 11:12; Luka 11:37-38, 24:42-43)

(Zaburi 121:3-4).Mungu hasinzii.-
Lakini Yesu alilala fofofo.(Marko 4:37-38; Mat. 8:23-25)

Sasa njoo na maneno ya padri sasa!
Ohh yesu alijifanya mungu mtu ili afe! Bla..bla..bla..
KWA MUJIBU WA ANDIKO LAKO MUNGU HAWEZI KUWA NA SIFA YA MWANADAMU!!

Halafu nyie wagalatia mna tabia ya kupindua pindua maneno ili mfanikishe tu hayo mnayo yataka,
Ni kigeugeu kama hicho kitabu chenu!
Hebu onja kidogo mchakachuo wenu hapa:-
.
Michael binti wa Saul hakupata mtoto mpaka kifo chake.(2 samweli 6:23)

Michael binti wa Saul alikuwa na wavulana watano (2 Samweli 21:8)

Benjamin alikuwa na watoto watatu. (1 Mambo ya Nyakati 7:6)

Benjamin alikuwa na watoto watano. (1 Mambo ya Nyakati 8:1-2.

Harun alikufa huko Hor. (Hesabu 33:38)

Haruni alikufa huko Mosera (Kumb. 10:6)

Yehoremu alishikilia kutawala wakati akiwa na umri wa mika 32 alifariki katika miaka 40,(2 Mambo ya Nyakati 21:5) (2 Mambo ya Nyakati 21:20).

Baada ya kifo chake mtoto wake mdogo alishikilia serikali na alikuwa na umri wa miaka 42 wakati ule.(2 Mambo ya Nyakati (22:1-2).

Kana kwamba mwana mdogo alikuwa miaka miwili zaidi kuliko baba mzazi! (9. Mat 5:17; Mat 5:38-40; Hebrew 7:12).

Sungura hucheua (Mambo ya Walawi 11:6). Lakini ukweli ni kwamba Sungura hacheui kabisa.

Yuda aliyemsaliti Yesu alivitupa vile vipande vya fedha alivyopewa kwa udhalimu wake huo, kisha alijinyonga na

wakuu wa Makuhani wakavichukua vipande vya fedha na wakanunulia shamba la kuzikiwa watu (Mat 27:5-7).

Lakini (Matendo 1:18), inasema kwamba Yuda mwenyewe alinunua konde kwa ijara aliyoipata kwa udhalimu wake huo na kisha akaanguka na kupasuka na matumbo yake yote yakatoka.

Yesu alifyolewa na wanyanganyi wawili aliposulubiwa pamoja nao. (Marko 15:32 ; Mat. 27:44).

Lakini katika Luka 23:39-40, inasema kuwa mnyanganyi mmoja ndiye aliyemfyolea Yesu.

Yuda alijinyonga.(Mat. 27:5).

Lakini katika Matendo 1:18, imeandikwa kwamba alianguka na kupasuka matumbo yake

Mwanadamu aliumbwa baada ya uumbaji wa wanyama.(Mwanzo 1:25-26).

Lakini katika (Mwanzo 2:18-20), inaonekana mwanadamu aliumbwa kwanza.

Mwandishi wa Torati siye Nabii Musa mwenyewe.

Basi Musa mtumishi wa bwana akafa huko katika nchi ya Moabu kwa neno la Bwana. (Kumb. 34:5).

Mwandishi wa Kitabu cha Mathayo si Mathayo mwenyewe ambaye ni mwanafunzi wa Yesu.(Mat. 9:9).

Msipo angalia mtakufa makafir na adhabu ya Mungu ni kali sana!
Dr. kahtaan

Huu ulimbo hatari nasoma bayana zako na miwani ya 3D.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed bado hujajibu hoja zangu hata kwa bahati mbaya.
Nimeuliza iweje Kirinjiko ifanye vizuri kuliko Masjid Quba.
Iweje Kilimanjaro na Bukoba ziwe katika hali tofauti na Mtwara na Lindi katika mazingira yale yale.

Suala la kujiunga na OIC halina uhusiano na elimu. Haya ni mambo ya kuzua tu.
OIC haitoe elimu wala mwalimu Mkuranga.

Ni wajibu wa wananchi kuibana serikali yao kuhakikisha ubora wa elimu. Hakuna nchi iliyowahi kupelekewa mwalimu wa sekondari na OIC. Ni kichekesho Mohamed achana na hoja za namna hii, zinatia aibu.

Kujenga chuo kikuu cha mwaka 1968 kupitia EAMWS ni suala la waislam.
Wanaouziana kiwanja hicho leo hii na kupigana Nyerere akiwa kaburini ni waislam.

Miaka 28 tangu Nyerere aondoke madarakani hakuna kitu kilichofanyika ku reflect yale yaliokuwa yafanyike mwaka 1968. Nimewahi kukuliza nini kinatokea na chuo cha Morogoro? Huna jibu unatafuta sababu laini.

Mohamed huwezi kulalamika kuhusu chuo kikuu wakati umeshindwa kupeleka mwalimu Mkuranga. White elephant!You must have a solid foundation ili kuwa na stable structure. Huwezi kuaminisha umma kuhusu chuo kikuu wakati una shule ya wanafunzi 250 na walimu 2. Unapata wapi wanafunzi wa chuo kikuu kama huna wa msingi na sekondari! hivi huoni kuna kicheko hapa Mzee Said.

Huko Nyuma ilisemekana Nyerere alihujumu kupitia NECTA. Sasa hivi inasemekana ni NECTA na wala si JK au Kawambwa.Pathetic! Mohamed anayesimamia na kuteua wajumbe wa NECTA ni JK kwa kushirikiana na Kawamba.Kama kuna tatizo lielekezwe huko na si kutafuta imani fulani kwa chuki tu.

Nimeshangaa majuzi watu wakisema hawana tatizo na wizara, tatizo lao ni NECTA.Yaani hawana tatizo na chanzo wana tatizo na matokeo. Kama tatizo la NECTA lipo basi limeanzia kwa Kawambwa na JK.

Ndalichako ni mteuliwa wa Rais JK. Kwa tatizo mtu wa kuulizwa ni JK. Ndalichako ni mhadhiri, kuteuliwa kwake ni kutokana na taaluma na sifa zake kielimu.

Hiyo imedhihirika baada ya kuteuliwa kuwa rais wa shirika la mabaraza ya mitihani Afrika kama sikosei.
Hana sababu za kuhujumu kwasababu hakujichagua aliteuliwa na alikuwa na kazi yake. Sijui na uhadhiri nao anafanya hujuma Anaishi maisha mazuri bila kuwa mkurugenzi na anahitajika popote duniani.

Sijui kuwekwa kwa mtu mwingine kutaleta mabadiliko yoyote. Kufeli hakuna uhusiano na NECTA.
Wakati wa Ndalichako Kirinjiko na Feza zimefanya vema sana. Sijui kwanini hazikuhujumiwa.

Tatizo la Mohamed ni kuandika kwa lugha tamu bila kufanya hata chembe ya utafiti achilia mbali fikra.
Kwavile lengo ni kuchonganisha watu atatafuta sababu za kuunga unga ilimradi apate ulua na mradi wake.

Mohamed angetembelea shule ya Ali Hassan Mwinyi akaona wanafunzi 250 wanfundishwa na walimu 2 asingeweza kuja mbele ya umma kwa flimpsy and unsubstantiated allegation kama hizi.
OMG! afadhali mimi ni kauzu maana naona Nyangumi hawana macho

Kuna mtu kaonyesha hapo juu jinsi shule zinavyofaulisha na kufelisha. Lau Mohamed angeamua kutua mzigo wa chuki kwa dakika kadhaa akapitia matokeo ya mitahani ya shule kwa kidato cha 4 na 6 asingeweza kuandika haya.

Na rudia kusema Mohamed uwezo wake wa kujenga hoja kwa mantiki ni mdogo sana.
Hili Mohamed ulikubali, ni mdogo sana kiasi kwamba madai yako yanakosa mashiko achilia mbali mantiki.

Mohamed kuendelea kuipumbuza jamii hakusaidiii kitu.Hakuna fundi umeme au magari anayepatikana kwa jina, ukoo, kabila au dini. Hakuna mwanasheria, engineer au mhasibu na Daktari anayepatikana kwa kuteuliwa.
Kinachotakiwa ni shule na si shule tu kama majengio ni shule kwa maana ya shule.

Mwapachu alipelekea watoto shule na sasa inajirudia. Mshume Kiyate hakufanya hivyo na historia inasema hilo.
Tofauti ya familia mbili inatokana na 'ukatili wa Nyerere' real!

Mohamed ukipanda maharage utavuna maharage.Wenzako wakipanda mahindi wewe ukiwa unapiga hadithi basi ipo siku utavuna mabua.Acha kabisa kuipotosha jamii. Nasikitika sana kuona unakusudia kuiskuma jamii porini.

Mradi wa Darul islam wa Kibaha ulikuwepo kuanzia wakati wa Mwinyi. Kiwanja kilitolewa na upo ushahidi usio na shaka wafadhili waliondoka na kwenda Mbale Uganda kwasababu pesa zilikuwa zinatafunwa na kamati za waislam wenyewe.

Nyerere hakuwepo wakati huo na serikali ilikuwa ya Mwinyi. Huu ukweli unautafutia sababu za ajabu sana. Hebu kuwa mkweli kwasababu hakuna fadhila kwa kusema uongo hata kama ni upande wa dini.

Kuna kiongozi analalamika kuhusu madhila haya unayosema. Kiongozi huyo hajawahi kukaa katika chumba kinachoitwa darasa. Huyu kiongozi hakukaa darasani lakini ni bingwa wa kueleza hujuma za elimu.
Ni kituko kwakweli. Ni sawa na mtu akuelezee ugumu wa Biology wakati hakuwahi kusoma hata siku moja.

Acheni haya watu wakae chini wapime wanapambana vipi na dunia ya ushindani. Watu wanaandaa vipi watoto kwa siku za usoni. Mwapachu hakuishia kuandika tu alipeleka watoto shule. Wenzangu mimi wanadai majina ya mitaa ya barabara. Hadithi itakuwa hiyo hiyo kama watu wataendelea kuamini utunzi wa hadithi za kufikirika.

.Inasikitisha sana.

Nguruvi,
Hakika inasikitisha sana.

Niliweka hapa paper yangu hapa JF ''Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania''
kuonyesha jinsi serikali na Kanisa Katoliki linavyofanya kazi pamoja kuwabinya Waislam na Uislam.

Hadi kufika jioni paper imeondolewa na sababu hazikusemwa.

Inasikitisha sana.

Wewe unauliza maswali ya kufeli Masjid Quba.
Waislam wanakuulizeni mbona NECTA kimeguzwa kigango cha Kanisa Katoliki?

Kutaka mie nijubu maswali hakutaondoa tatizo linalokabili nchi yetu.

Mwishowe ni kisa kile kile cha Manazi na Wayahudi Poland Vita Kuu ya Pili.
Wayahudi wamewekwa ghetto hakuna maji wala umeme.

Kisha Wajerumani wanawashutumu Wayahudi kwa uchafu.

Kanisa linapewa mabilioni na serikali kujiimarisha.
Waislam hawana kitu.

Waislam wanashutumiwa mbona hamjengi shule kama wenzenu Wakristo.
Mbona shule zenu duni... nk. nk.

Tukiwaeleza historia yetu kuwa sie ndiyo tulikuwa wa kwanza kuja na mipango
ya kujenga chuo kikuu kikatuponza hamtaki kutusikiliza.

Yale yale ya Manazi na Wayahudi.
Madhalim mila zao zinafana.

Hakika inasikitisha.
 
penye red; mwili ukitaka kitu hautakiwi kuvaa bomu na kuljilipua ili uue na wengine

lord jesus said: mathew 5 :11 "Heri yenu ninyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu.1Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu.


Unajua manabii wa Mungu walipata taabu sana kuwaelimisha watu kama wewe!
Unachambua kile tu unachotaka watu wakione! Hii kwa lugha ya wakoloni tunaiita "selective understanding"
Na ukijaribu kuelekezwa unachagua yale ya kuskia ambayo uyapendayo! Na hii inatwa "selective understanding"
Ukishakuwa na maradhi haya! Wewe na yule mwenye "learning difficulties" hakuna tofauti yyt!

Unamuita Jesus" LORD"

Sasa Hebu tazama andiko lako hapa uone je! Yesu ni Mungu!?

Yakobo 1:13). Mungu hajaribiwi na Shetani.-
(Mat 4:1). Lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi.

(Isaya 40:28).Mungu hachoki.
(Yoh. 4:6)Lakini Yesu-alichoka

(Ezekiel 28:8-9).Mungu hauwawi
(Matendo 5:30)Lakini Yesu aliuwawa

Mungu hafi (Daniel 6:26).
Lakini Yesu alikufa (Mat. 27:50)

(1Wafalme 8:39)Mungu anajua kila kitu.Lakini Yesu hakujua kila kitu (mti wa mtini).(Mat. 21:18-19)-Ilhali haukuwa msimu wa matunda-

(Marko 11:13)Mungu hali, lakini Yesu aliona njaa na akala.(Marko 11:12; Luka 11:37-38, 24:42-43)

(Zaburi 121:3-4).Mungu hasinzii.-
Lakini Yesu alilala fofofo.(Marko 4:37-38; Mat. 8:23-25)

Sasa njoo na maneno ya padri sasa!
Ohh yesu alijifanya mungu mtu ili afe! Bla..bla..bla..
KWA MUJIBU WA ANDIKO LAKO MUNGU HAWEZI KUWA NA SIFA YA MWANADAMU!!

Halafu nyie wagalatia mna tabia ya kupindua pindua maneno ili mfanikishe tu hayo mnayo yataka,
Ni kigeugeu kama hicho kitabu chenu!
Hebu onja kidogo mchakachuo wenu hapa:-
.
Michael binti wa Saul hakupata mtoto mpaka kifo chake.(2 samweli 6:23)

Michael binti wa Saul alikuwa na wavulana watano (2 Samweli 21:8)

Benjamin alikuwa na watoto watatu. (1 Mambo ya Nyakati 7:6)

Benjamin alikuwa na watoto watano. (1 Mambo ya Nyakati 8:1-2.

Harun alikufa huko Hor. (Hesabu 33:38)

Haruni alikufa huko Mosera (Kumb. 10:6)

Yehoremu alishikilia kutawala wakati akiwa na umri wa mika 32 alifariki katika miaka 40,(2 Mambo ya Nyakati 21:5) (2 Mambo ya Nyakati 21:20).

Baada ya kifo chake mtoto wake mdogo alishikilia serikali na alikuwa na umri wa miaka 42 wakati ule.(2 Mambo ya Nyakati (22:1-2).

Kana kwamba mwana mdogo alikuwa miaka miwili zaidi kuliko baba mzazi! (9. Mat 5:17; Mat 5:38-40; Hebrew 7:12).

Sungura hucheua (Mambo ya Walawi 11:6). Lakini ukweli ni kwamba Sungura hacheui kabisa.

Yuda aliyemsaliti Yesu alivitupa vile vipande vya fedha alivyopewa kwa udhalimu wake huo, kisha alijinyonga na

wakuu wa Makuhani wakavichukua vipande vya fedha na wakanunulia shamba la kuzikiwa watu (Mat 27:5-7).

Lakini (Matendo 1:18), inasema kwamba Yuda mwenyewe alinunua konde kwa ijara aliyoipata kwa udhalimu wake huo na kisha akaanguka na kupasuka na matumbo yake yote yakatoka.

Yesu alifyolewa na wanyang’anyi wawili aliposulubiwa pamoja nao. (Marko 15:32 ; Mat. 27:44).

Lakini katika Luka 23:39-40, inasema kuwa mnyang’anyi mmoja ndiye aliyemfyolea Yesu.

Yuda alijinyonga.(Mat. 27:5).

Lakini katika Matendo 1:18, imeandikwa kwamba alianguka na kupasuka matumbo yake

Mwanadamu aliumbwa baada ya uumbaji wa wanyama.(Mwanzo 1:25-26).

Lakini katika (Mwanzo 2:18-20), inaonekana mwanadamu aliumbwa kwanza.

Mwandishi wa Torati siye Nabii Musa mwenyewe.

Basi Musa mtumishi wa bwana akafa huko katika nchi ya Moabu kwa neno la Bwana. (Kumb. 34:5).

Mwandishi wa Kitabu cha Mathayo si Mathayo mwenyewe ambaye ni mwanafunzi wa Yesu.(Mat. 9:9).

Msipo angalia mtakufa makafir na adhabu ya Mungu ni kali sana!

Maulaana Kahtaan,
Wallaahi tuna kila sababu ya kuutawala ulimwengu sie waislamu na si kwa huu mnaakasha tu.

Huyo mkatonta embu ajaribu kujibu bayana za hivyo vifungu ulivyomwekea hapo japo kwa bahati mbaya!

Hapo lazima atavaa machoni mwake ile miwani yao ya mbao mchana huku akinywa damu ya bwana wao.

Shukran jazeelan.
 
Jamani wana jamvi, hiyo kwenye nyekundu ndio historia kamili ya wazee wa Nguruvi3 na mchango wao katika kupambana na ukoloni.

Hiyo kwenye blue ni swali anatuuliza tumsaidie, mimi jibu langu; tuelezee tu inaleta maana kubwa sana ukituelezea hayo waliokuwa wakiyafanya bibi zako katika mchango wao wa kupambana na ukoloni, ungetuwekea basi na majina kidogo na sehemu "walivyoandaa vibuyu vya ndaza, kibandameno,mahiza au makande" na mwaka gani, na "safari" ilianzia wapi ikaishia wapi?

Halafu nakuuliza, huoni haya?



Hajjat Faizafoxy,

Salaam.

Yaani huyu khabith wa Kibondei Nguruvi3,ameulizwa kiungwana na Sheikh Mohamed Said yakuwa kwa niaba ya Wanajamvi tafadhali tuletee nawe taarifa za Wazazi wako/Wazee Wenu kwenye hizo harakati za "Uhuru".

Matokeo yake katuletea majina ya mboga za majani na vitoweo vichafu vya kwao Kicheba!?Kwi! Kwi! Kwi!

Nimejaribu kuvuta sabra tangia juzi yakuwa labda atakuja na jipya,matokeo yake anarejea uharo ule ule walokaririshwa na yule khabith mwenzao Nyerere;ati Waislamu wa Pwani/Mwambao ndo "wavivu" na "wapuuzi"!? Kwi! Kw! Kwi!

Pia anadai ati Waislam wa mabara/mikoani ndo wenzao,heshi pia kutuletea ile story/mfano wake pathetic aupendao,"Machame Vs Mkuranga"!?...khalafu mtu huyu huyu anadai ati yeye ndo msomi kweli!? Kwi! Kwi! Kwi!

Jaribu kuvuta fikra,yaani wakti wa yule khabith Nyerere,yaani kwenye takriban kila sehemu nyeti za Serikali ndo alitujazia makanjanja kama hawa kina Nguruvi3...yaani Wakristo wasio na adabu/washamba.

Wale Wakristo kiduchu maskini waliokua wastaarabu,wasomi na walikoua wana-empathy na ile predicament ya Waislam,wengi wao Nyerere aliwaadhibu na kuonekana ati ni wasaliti wa Kanisa!? Kwi! Kwi! Kwi!

Nafikiri huyo Nguruvi3,anashindwa kabisa kwenda na alama za nyakati...zile fitna,unafiki na propagandas za Nyerere kuparaganyisha Waislamu,kwa hivi sasa haziwezi asilan ku-function!

Yule maluuni mwingine wa Kibondei John Ketto, mbona Nguruvi3 hajatufahamisha wana uhusiano kivipi!? Kwi! Kwi! Kwi!

Sasa hivi uonavyo Dadangu,ndo tabia na dasturi za hao Wakristo/Chadema woote...yaani hawana History zozote makwao,wao wawezacho ni kashfa na tashtit tu!

Embu jaribu fikiri na ujiulize kiduchu,kama huo uharo na utumbo wa hiyo history ya Wazee wa huyo Nguruvi3 alotuletea hapa jamvini kama ndo ingalikua kaleta Muislam yeyote yule au Sheikh Mohamed...je pangelika humu jamvini!?

Hawa jamaa ni makhabith na wamelaanika mno!

Binafsi,nimeshawazoea mno...maana wengi wao nimesoma nao na kucheza nao tangia nikiwa mduchu. Labda nikubali yakuwa hao niwajuao walikua ni Wakristo watiifu waliokua na dasturi njema na adabu za hali ya juu,tafauti kabisa na hawa vibwengo makhabith akina Nguruvi3,Mag3 na kikundi chao cha chuki humu Jf!

Nafikiri hao Wakristo watiifu niwajuao mimi na nilocheza nao, pia labda backgrounds zao njema pia zimewasadia kuwa tafauti na hawa makhabithi Wakristo wa Chadema waliomo humu Jf!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
Al-Habib gombesugu.

Walaahi wamenivunja mbavu na hizi habari Manyakanga wa Kibondei, teh teh teh! nimepokea PM nyingi kutoka kwa jamaa wanataka jina la Manyakanga, ngoja tumsubiri Nguruvi3.





Shariff Ritz,

Kwi! Kwi! Kwi!....

Niwia radhi maana nilitingwa na vijishughuli kiduchu hapa kibaruani,ndo nimeingia humu asubuhi hii najaribu kupitia huo uharo aloacha huyo khabith wa Kibondei.

Naona safari hii katujia na mfano wa Mwapachu...fanza sabra kiduchu,maana nitamjibu uzuri nikipata fursa na utacheka pasi kiasi Al Akhiy! Kwi! Kwi!

Labda anachoshindwa kufahamu Nguruvi3,ni yakuwa hao kina Wolter,Harith,Wendo na wengineo...sisi kama Waislam wenzao,hatuwa-worship asilan. Ni ndugu zetu wa karibu mno kama vile Waislam wengineo na tunafahamiana uzuri mno/kiundani,tunaheshimiana na tuko nao karibu mno tangia zama nyingi tu,nao wao wanafahamu/wanathamini hivyo...Allahamdulillahi!

Kwa kifupi,ndo yale yale nilowahi kunena awali hapa hapa jamvini.yakuwa huyo Nguruvi3,huja na story zake za vijiweni na kujifanza ati anawajua saana Waislam,mahusiano baina yao au hata families za Kiislam!?...huyu jamaa kweli ni kanyaboya! Kwi! Kwi! Kwi!

Al Akhiy,na hao jamaa wanaokutumia hizo PMs,najua itakua ni wale wale jamaa zako wa Chadema/Wakristo wa Jf, maana nafikiri ndo wengi wao hawajanyofolewa hayo magovi yao kama mwenzao Nguruvi3,kama alivyotujuza yeye mwenyewe hapa jamvini!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kwa kifupi waambie hao wanaokutumia hizo PMs,yakuwa tumeapa hatutarejea tena makosa walofanza Wazee Wetu maskini,ya kumnyofoa govi lake la utu uzimani yule "Baba Wa Taifa"....matokeo akawageuka na kuwa mahasimu zake wakubwa na kuwaadhibu vibaya mno mpaka wamengia makaburini maskini!

Kwa matokeo haya ni kwamba,watake radhi hao jamaa zako woote wenye kuku-PM,na waambie wabaki tu na hayo magovi yao na wakazikwe nayo kama wafanzavyo siku zote! Kwi! Kwi! Kwi!


Kwaheri Al Akhiy,leo yaani ratiba yangu iko tight kiduchu...lakini nitakurejea labda usiku mwingi Insha Allah.

Ahsanta.


Ps; "Wamachame wanashangilia wakisikia jina la Nyerere makanisani,lakini WanaMkuranga wanazomea wakisikia jina la Nyerere misikitini" - by Nguruvi3, Chadema Political Strategist.
 
Nisaidie maana ya kucheka na nini sababu ya kucheka, ili mtu acheke patakiwa nini kifanyike?!




Mujitahid Wabara,

Kwi! Kwi! Kwi!

Yaani wewe kweli ndo unampatia huyo mpuuzi Eiyer na hivyo vijisuali vyake vya makhanatha.

Yeye/wao ndo walivyokaririshwa ya kwamba ati Waislam woote "hawajasoma" na ni "wapuuzi"...maluuni mkubwa huyo Eiyer! Kwi! Kwi! Kwi!

Si umeshuhudia/umejionea hiyo attitude yake ya kishamba hapa jamvini!?

Ahsanta.
 
Mbona mnapenda kucheka cheka sana nyie watu?



Don't know if you've ever seen the studies on brain activity!?

...where our brains are most active when we are babies and toddlers and the only time activity like that is seen in adults,is when we're still learning and attempting to expand our minds to something greater.

The study shows that unless we actively use our minds,we are nothing more than sheep in a literal sense...and that's you Eiyer!

Ahsanta
 
Nguruvi,
Hakika inasikitisha sana.

Niliweka hapa paper yangu hapa JF ''Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania''
kuonyesha jinsi serikali na Kanisa Katoliki linavyofanya kazi pamoja kuwabinya Waislam na Uislam.

Hadi kufika jioni paper imeondolewa na sababu hazikusemwa.

Inasikitisha sana.

Wewe unauliza maswali ya kufeli Masjid Quba.
Waislam wanakuulizeni mbona NECTA kimeguzwa kigango cha Kanisa Katoliki?

Kutaka mie nijubu maswali hakutaondoa tatizo linalokabili nchi yetu.

Mwishowe ni kisa kile kile cha Manazi na Wayahudi Poland Vita Kuu ya Pili.
Wayahudi wamewekwa ghetto hakuna maji wala umeme.

Kisha Wajerumani wanawashutumu Wayahudi kwa uchafu.

Kanisa linapewa mabilioni na serikali kujiimarisha.
Waislam hawana kitu.

Waislam wanashutumiwa mbona hamjengi shule kama wenzenu Wakristo.
Mbona shule zenu duni... nk. nk.

Tukiwaeleza historia yetu kuwa sie ndiyo tulikuwa wa kwanza kuja na mipango
ya kujenga chuo kikuu kitaponza hamtaki kutusikiliza.

Yale yale ya Manazi na Wayahudi.
Madhalim mila zao zinafana.

Hakika inasikitisha.

Sheikh Mohamed Said,

Hiyo paper ni Msumari wa Jahazi

Lazima wakae ukiwapiga nao, na kamwe hawawezi vumilia hawa viumbe dhaifu!
 
Last edited by a moderator:
Are you saying all shabab,games,his bola,bokoharam and many others of this kind were involved in our independence? your kidding.
 
Mohamed bado hujajibu hoja zangu hata kwa bahati mbaya.
Nimeuliza iweje Kirinjiko ifanye vizuri kuliko Masjid Quba.
Iweje Kilimanjaro na Bukoba ziwe katika hali tofauti na Mtwara na Lindi katika mazingira yale yale.

Suala la kujiunga na OIC halina uhusiano na elimu. Haya ni mambo ya kuzua tu.
OIC haitoe elimu wala mwalimu Mkuranga.

Ni wajibu wa wananchi kuibana serikali yao kuhakikisha ubora wa elimu. Hakuna nchi iliyowahi kupelekewa mwalimu wa sekondari na OIC. Ni kichekesho Mohamed achana na hoja za namna hii, zinatia aibu.

Kujenga chuo kikuu cha mwaka 1968 kupitia EAMWS ni suala la waislam.
Wanaouziana kiwanja hicho leo hii na kupigana Nyerere akiwa kaburini ni waislam.

Miaka 28 tangu Nyerere aondoke madarakani hakuna kitu kilichofanyika ku reflect yale yaliokuwa yafanyike mwaka 1968. Nimewahi kukuliza nini kinatokea na chuo cha Morogoro? Huna jibu unatafuta sababu laini.

Mohamed huwezi kulalamika kuhusu chuo kikuu wakati umeshindwa kupeleka mwalimu Mkuranga. White elephant!You must have a solid foundation ili kuwa na stable structure. Huwezi kuaminisha umma kuhusu chuo kikuu wakati una shule ya wanafunzi 250 na walimu 2. Unapata wapi wanafunzi wa chuo kikuu kama huna wa msingi na sekondari! hivi huoni kuna kicheko hapa Mzee Said.

Huko Nyuma ilisemekana Nyerere alihujumu kupitia NECTA. Sasa hivi inasemekana ni NECTA na wala si JK au Kawambwa.Pathetic! Mohamed anayesimamia na kuteua wajumbe wa NECTA ni JK kwa kushirikiana na Kawamba.Kama kuna tatizo lielekezwe huko na si kutafuta imani fulani kwa chuki tu.

Nimeshangaa majuzi watu wakisema hawana tatizo na wizara, tatizo lao ni NECTA.Yaani hawana tatizo na chanzo wana tatizo na matokeo. Kama tatizo la NECTA lipo basi limeanzia kwa Kawambwa na JK.

Ndalichako ni mteuliwa wa Rais JK. Kwa tatizo mtu wa kuulizwa ni JK. Ndalichako ni mhadhiri, kuteuliwa kwake ni kutokana na taaluma na sifa zake kielimu.

Hiyo imedhihirika baada ya kuteuliwa kuwa rais wa shirika la mabaraza ya mitihani Afrika kama sikosei.
Hana sababu za kuhujumu kwasababu hakujichagua aliteuliwa na alikuwa na kazi yake. Sijui na uhadhiri nao anafanya hujuma Anaishi maisha mazuri bila kuwa mkurugenzi na anahitajika popote duniani.

Sijui kuwekwa kwa mtu mwingine kutaleta mabadiliko yoyote. Kufeli hakuna uhusiano na NECTA.
Wakati wa Ndalichako Kirinjiko na Feza zimefanya vema sana. Sijui kwanini hazikuhujumiwa.

Tatizo la Mohamed ni kuandika kwa lugha tamu bila kufanya hata chembe ya utafiti achilia mbali fikra.
Kwavile lengo ni kuchonganisha watu atatafuta sababu za kuunga unga ilimradi apate ulua na mradi wake.

Mohamed angetembelea shule ya Ali Hassan Mwinyi akaona wanafunzi 250 wanfundishwa na walimu 2 asingeweza kuja mbele ya umma kwa flimpsy and unsubstantiated allegation kama hizi.
OMG! afadhali mimi ni kauzu maana naona Nyangumi hawana macho

Kuna mtu kaonyesha hapo juu jinsi shule zinavyofaulisha na kufelisha. Lau Mohamed angeamua kutua mzigo wa chuki kwa dakika kadhaa akapitia matokeo ya mitahani ya shule kwa kidato cha 4 na 6 asingeweza kuandika haya.

Na rudia kusema Mohamed uwezo wake wa kujenga hoja kwa mantiki ni mdogo sana.
Hili Mohamed ulikubali, ni mdogo sana kiasi kwamba madai yako yanakosa mashiko achilia mbali mantiki.

Mohamed kuendelea kuipumbuza jamii hakusaidiii kitu.Hakuna fundi umeme au magari anayepatikana kwa jina, ukoo, kabila au dini. Hakuna mwanasheria, engineer au mhasibu na Daktari anayepatikana kwa kuteuliwa.
Kinachotakiwa ni shule na si shule tu kama majengio ni shule kwa maana ya shule.

Mwapachu alipelekea watoto shule na sasa inajirudia. Mshume Kiyate hakufanya hivyo na historia inasema hilo.
Tofauti ya familia mbili inatokana na 'ukatili wa Nyerere' real!

Mohamed ukipanda maharage utavuna maharage.Wenzako wakipanda mahindi wewe ukiwa unapiga hadithi basi ipo siku utavuna mabua.Acha kabisa kuipotosha jamii. Nasikitika sana kuona unakusudia kuiskuma jamii porini.

Mradi wa Darul islam wa Kibaha ulikuwepo kuanzia wakati wa Mwinyi. Kiwanja kilitolewa na upo ushahidi usio na shaka wafadhili waliondoka na kwenda Mbale Uganda kwasababu pesa zilikuwa zinatafunwa na kamati za waislam wenyewe.

Nyerere hakuwepo wakati huo na serikali ilikuwa ya Mwinyi. Huu ukweli unautafutia sababu za ajabu sana. Hebu kuwa mkweli kwasababu hakuna fadhila kwa kusema uongo hata kama ni upande wa dini.

Kuna kiongozi analalamika kuhusu madhila haya unayosema. Kiongozi huyo hajawahi kukaa katika chumba kinachoitwa darasa. Huyu kiongozi hakukaa darasani lakini ni bingwa wa kueleza hujuma za elimu.
Ni kituko kwakweli. Ni sawa na mtu akuelezee ugumu wa Biology wakati hakuwahi kusoma hata siku moja.

Acheni haya watu wakae chini wapime wanapambana vipi na dunia ya ushindani. Watu wanaandaa vipi watoto kwa siku za usoni. Mwapachu hakuishia kuandika tu alipeleka watoto shule. Wenzangu mimi wanadai majina ya mitaa ya barabara. Hadithi itakuwa hiyo hiyo kama watu wataendelea kuamini utunzi wa hadithi za kufikirika.

.Inasikitisha sana.

Nguruvi,
Unajua sababu ya serikali kuichukia Quba?
Unaijua historia yake?

Hebu soma hii hapa chini:

''Warsha responded to these accusations by distributing leaflets to these areas
explaining position on the future of Islam in Tanzania and made Muslims be aware
of their activities in trying to liberate Muslims.

The government and BAKWATA could not match Warsha's truth with their propaganda.

Muslims were sympathetic to Warsha and took Warsha's struggle as their own struggle.

Muslims helped Warsha to establish a school Masjid Quba and Islamic Centre which was
owned and managed by them.

In retaliation to these efforts the government refused to register the school.

The school was perceived by the government as a centre of "Muslim fundamentalism."

The government went further to subvert the school by warning Muslim parents that
students completing their education at Masjid Quba would not be recognised by it and
would not be considered for further education or for employment.

Warsha was not to be deterred they decided to run the school and educate Muslim
children even without government registration.

Members of Warsha used to say that they have their consent from Allah; they don't
need any permission from anyone.

This was Warsha's motto.

The school remained blacklisted by the government until 1988 when Prof.
Malima as the first Muslim Minister of Education registered it.''

Hii ndiyo sababu Shule ya Masjid Quba inapigwa vita hadi leo kuanzia Nguruvi,
NECTA na serikali yenyewe.

Nguruvi,
Hujui kitu.

Fedha za ile shule ya Kibaha ndiyo iliyojenga chuo kikuu Tunguu Zanzibar.

Mzee Jumbe alipoelezwa kuwa serikali ya Tanzania Bara haitaki Darul Imaan iwasaidie
Waislam wa Tanzania Bara yeye akaingilia hilo suala na kuwaomba wauhamishie huo
mradi Zanzibar.

Hatukutaka lile lililotokea katika mradi wa kujenga chuo wa OIC serikali ukaupiga vita
ujirudie tena katika mradi huu kwa kuwa Darul Iman walikuwa wanataka kuuhamisha mradi
huu kwenda Somalia;

Na wazo la kutaka mradi ubadilishwe na sasa kijengwe chuo kikuu badala ya shule ya seokondari
ilitoka kwa vijana wa Kiislam Bara.

Inawezekana sana hawa vijana walikuwa vijana wa Warsha.

Ati fedha zilililiwa.
Huna moja ulijualo Bwana Nguruvi.

Waislam wa macho sana.
 
Mohamed bado hujajibu hoja zangu hata kwa bahati mbaya.
Nimeuliza iweje Kirinjiko ifanye vizuri kuliko Masjid Quba.
Iweje Kilimanjaro na Bukoba ziwe katika hali tofauti na Mtwara na Lindi katika mazingira yale yale.

Suala la kujiunga na OIC halina uhusiano na elimu. Haya ni mambo ya kuzua tu.
OIC haitoe elimu wala mwalimu Mkuranga.

Ni wajibu wa wananchi kuibana serikali yao kuhakikisha ubora wa elimu. Hakuna nchi iliyowahi kupelekewa mwalimu wa sekondari na OIC. Ni kichekesho Mohamed achana na hoja za namna hii, zinatia aibu.

Kujenga chuo kikuu cha mwaka 1968 kupitia EAMWS ni suala la waislam.
Wanaouziana kiwanja hicho leo hii na kupigana Nyerere akiwa kaburini ni waislam.

Miaka 28 tangu Nyerere aondoke madarakani hakuna kitu kilichofanyika ku reflect yale yaliokuwa yafanyike mwaka 1968. Nimewahi kukuliza nini kinatokea na chuo cha Morogoro? Huna jibu unatafuta sababu laini.

Mohamed huwezi kulalamika kuhusu chuo kikuu wakati umeshindwa kupeleka mwalimu Mkuranga. White elephant!You must have a solid foundation ili kuwa na stable structure. Huwezi kuaminisha umma kuhusu chuo kikuu wakati una shule ya wanafunzi 250 na walimu 2. Unapata wapi wanafunzi wa chuo kikuu kama huna wa msingi na sekondari! hivi huoni kuna kicheko hapa Mzee Said.

Huko Nyuma ilisemekana Nyerere alihujumu kupitia NECTA. Sasa hivi inasemekana ni NECTA na wala si JK au Kawambwa.Pathetic! Mohamed anayesimamia na kuteua wajumbe wa NECTA ni JK kwa kushirikiana na Kawamba.Kama kuna tatizo lielekezwe huko na si kutafuta imani fulani kwa chuki tu.

Nimeshangaa majuzi watu wakisema hawana tatizo na wizara, tatizo lao ni NECTA.Yaani hawana tatizo na chanzo wana tatizo na matokeo. Kama tatizo la NECTA lipo basi limeanzia kwa Kawambwa na JK.

Ndalichako ni mteuliwa wa Rais JK. Kwa tatizo mtu wa kuulizwa ni JK. Ndalichako ni mhadhiri, kuteuliwa kwake ni kutokana na taaluma na sifa zake kielimu.

Hiyo imedhihirika baada ya kuteuliwa kuwa rais wa shirika la mabaraza ya mitihani Afrika kama sikosei.
Hana sababu za kuhujumu kwasababu hakujichagua aliteuliwa na alikuwa na kazi yake. Sijui na uhadhiri nao anafanya hujuma Anaishi maisha mazuri bila kuwa mkurugenzi na anahitajika popote duniani.

Sijui kuwekwa kwa mtu mwingine kutaleta mabadiliko yoyote. Kufeli hakuna uhusiano na NECTA.
Wakati wa Ndalichako Kirinjiko na Feza zimefanya vema sana. Sijui kwanini hazikuhujumiwa.

Tatizo la Mohamed ni kuandika kwa lugha tamu bila kufanya hata chembe ya utafiti achilia mbali fikra.
Kwavile lengo ni kuchonganisha watu atatafuta sababu za kuunga unga ilimradi apate ulua na mradi wake.

Mohamed angetembelea shule ya Ali Hassan Mwinyi akaona wanafunzi 250 wanfundishwa na walimu 2 asingeweza kuja mbele ya umma kwa flimpsy and unsubstantiated allegation kama hizi.
OMG! afadhali mimi ni kauzu maana naona Nyangumi hawana macho

Kuna mtu kaonyesha hapo juu jinsi shule zinavyofaulisha na kufelisha. Lau Mohamed angeamua kutua mzigo wa chuki kwa dakika kadhaa akapitia matokeo ya mitahani ya shule kwa kidato cha 4 na 6 asingeweza kuandika haya.

Na rudia kusema Mohamed uwezo wake wa kujenga hoja kwa mantiki ni mdogo sana.
Hili Mohamed ulikubali, ni mdogo sana kiasi kwamba madai yako yanakosa mashiko achilia mbali mantiki.

Mohamed kuendelea kuipumbuza jamii hakusaidiii kitu.Hakuna fundi umeme au magari anayepatikana kwa jina, ukoo, kabila au dini. Hakuna mwanasheria, engineer au mhasibu na Daktari anayepatikana kwa kuteuliwa.
Kinachotakiwa ni shule na si shule tu kama majengio ni shule kwa maana ya shule.

Mwapachu alipelekea watoto shule na sasa inajirudia. Mshume Kiyate hakufanya hivyo na historia inasema hilo.
Tofauti ya familia mbili inatokana na 'ukatili wa Nyerere' real!

Mohamed ukipanda maharage utavuna maharage.Wenzako wakipanda mahindi wewe ukiwa unapiga hadithi basi ipo siku utavuna mabua.Acha kabisa kuipotosha jamii. Nasikitika sana kuona unakusudia kuiskuma jamii porini.

Mradi wa Darul islam wa Kibaha ulikuwepo kuanzia wakati wa Mwinyi. Kiwanja kilitolewa na upo ushahidi usio na shaka wafadhili waliondoka na kwenda Mbale Uganda kwasababu pesa zilikuwa zinatafunwa na kamati za waislam wenyewe.

Nyerere hakuwepo wakati huo na serikali ilikuwa ya Mwinyi. Huu ukweli unautafutia sababu za ajabu sana. Hebu kuwa mkweli kwasababu hakuna fadhila kwa kusema uongo hata kama ni upande wa dini.

Kuna kiongozi analalamika kuhusu madhila haya unayosema. Kiongozi huyo hajawahi kukaa katika chumba kinachoitwa darasa. Huyu kiongozi hakukaa darasani lakini ni bingwa wa kueleza hujuma za elimu.
Ni kituko kwakweli. Ni sawa na mtu akuelezee ugumu wa Biology wakati hakuwahi kusoma hata siku moja.

Acheni haya watu wakae chini wapime wanapambana vipi na dunia ya ushindani. Watu wanaandaa vipi watoto kwa siku za usoni. Mwapachu hakuishia kuandika tu alipeleka watoto shule. Wenzangu mimi wanadai majina ya mitaa ya barabara. Hadithi itakuwa hiyo hiyo kama watu wataendelea kuamini utunzi wa hadithi za kufikirika.

.Inasikitisha sana.

Nguruvi,
Unajua sababu ya serikali kuichukia Quba?
Unaijua historia yake?

Hebu soma hii hapa chini:

''Warsha responded to these accusations by distributing leaflets to these areas
explaining position on the future of Islam in Tanzania and made Muslims be aware
of their activities in trying to liberate Muslims.

The government and BAKWATA could not match Warsha's truth with their propaganda.

Muslims were sympathetic to Warsha and took Warsha's struggle as their own struggle.

Muslims helped Warsha to establish a school Masjid Quba and Islamic Centre which was
owned and managed by them.

In retaliation to these efforts the government refused to register the school.

The school was perceived by the government as a centre of "Muslim fundamentalism."

The government went further to subvert the school by warning Muslim parents that
students completing their education at Masjid Quba would not be recognised by it and
would not be considered for further education or for employment.

Warsha was not to be deterred they decided to run the school and educate Muslim
children even without government registration.

Members of Warsha used to say that they have their consent from Allah; they don't
need any permission from anyone.

This was Warsha's motto.

The school remained blacklisted by the government until 1988 when Prof.
Malima as the first Muslim Minister of Education registered it.''

Hii ndiyo sababu Shule ya Masjid Quba inapigwa vita hadi leo kuanzia Nguruvi,
NECTA na serikali yenyewe.

Nguruvi,
Hujui kitu.

Fedha za ile shule ya Kibaha ndiyo iliyojenga chuo kikuu Tunguu Zanzibar.

Mzee Jumbe alipoelezwa kuwa serikali ya Tanzania Bara haitaki Darul Imaan iwasaidie
Waislam wa Tanzania Bara yeye akaingilia hilo suala na kuwaomba wauhamishie huo
mradi Zanzibar.

Hatukutaka lile lililotokea katika mradi wa kujenga chuo wa OIC serikali ukaupiga vita
ujirudie tena katika mradi huu kwa kuwa Darul Iman walikuwa wanataka kuuhamisha mradi
huu kwenda Somalia;

Na wazo la kutaka mradi ubadilishwe na sasa kijengwe chuo kikuu badala ya shule ya seokondari
ilitoka kwa vijana wa Kiislam Bara.

Inawezekana sana hawa vijana walikuwa vijana wa Warsha.

Ati fedha zilililiwa.
Huna moja ulijualo Bwana Nguruvi.

Waislam wa macho sana.
 
Nguruvi,
Unajua sababu ya serikali kuichukia Quba?
Unaijua historia yake?

Hebu soma hii hapa chini:

''Warsha responded to these accusations by distributing leaflets to these areas
explaining position on the future of Islam in Tanzania and made Muslims be aware
of their activities in trying to liberate Muslims.

The government and BAKWATA could not match Warshas truth with their propaganda.

Muslims were sympathetic to Warsha and took Warsha's struggle as their own struggle.

Muslims helped Warsha to establish a school Masjid Quba and Islamic Centre which was
owned and managed by them.

In retaliation to these efforts the government refused to register the school.

The school was perceived by the government as a centre of "Muslim fundamentalism."

The government went further to subvert the school by warning Muslim parents that
students completing their education at Masjid Quba would not be recognised by it and
would not be considered for further education or for employment.

Warsha was not to be deterred they decided to run the school and educate Muslim
children even without government registration.

Members of Warsha used to say that they have their consent from Allah; they dont
need any permission from anyone.

This was Warsha's motto.

The school remained blacklisted by the government until 1988 when Prof.
Malima as the first Muslim Minister of Education registered it.''

Hii ndiyo sababu Shule ya Masjid Quba inapigwa vita hadi leo kuanzia Nguruvi,
NECTA na serikali yenyewe.

Nguruvi,
Hujui kitu.

Fedha za ile shule ya Kibaha ndiyo iliyojenga chuo kikuu Tunguu Zanzibar.

Mzee Jumbe alipoelezwa kuwa serikali ya Tanzania Bara haitaki Darul Imaan iwasaidie
Waislam wa Tanzania Bara yeye akaingilia hilo suala na kuwaomba wauhamishie huo
mradi Zanzibar.

Hatukutaka lile lililotokea katika mradi wa kujenga chuo wa OIC serikali ukaupiga vita
ujirudie tena katika mradi huu kwa kuwa Darul Iman walikuwa wanataka kuuhamisha mradi
huu kwenda Somalia;

Na wazo la kutaka mradi ubadilishwe na sasa kijengwe chuo kikuu badala ya shule ya seokondari
ilitoka kwa vijana wa Kiislam Bara.

Inawezekana sana hawa vijana walikuwa vijana wa Warsha.

Ati fedha zilililiwa.
Huna moja ulijualo Bwana Nguruvi.

Waislam wa macho sana.
Ngoja tumsubiri Nguruvi3 aje amesema pesa za mradi Darul Islam zimeliwa na kamati na ushahidi anayo.

Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom