Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Ngoja tumsubiri Nguruvi3 aje amesema pesa za mradi Darul Islam zimeliwa na kamati na ushahidi anayo.

Teh teh teh

Shariff Ritz,

Ukimsoma Nguruvi ndiyo umewasoma watuhumiwa wote wa dhulma.
Lugha ya Nguruvi ndiyo lugha yao.

Sistaajabu.

Namwekea hapa kipande kutoka rafiki zake awapendao - BAKWATA:

Sisi kama Bakwata,tunaamini ili kurudisha imani ya waislam dhidi ya Baraza la mitihani tunataka mambo yafuatayo yafanyike,

· Tume huru iundwe la kuchunguza Baraza la mitihani la Tanzania na utendaji wake wa kazi kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita.
· Katibu mkuu wa baraza la mitihani (Necta) ajiuzulu mara moja ili kulinda heshima ya serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania na Baraza la Mitihani.
· Watendaji wakuu wa kitengo cha mitihani na wanaohusika na mfumo wa kompyuta ya Baraza la mitihani nao wawajibishwe mara moja.
· Hatua za kisheria na kinidhamu zichukuliwe dhidi ya watumishi wa baraza la mitihani watakaothibitika kuhusika na kashfa hii.
· Muundo wa baraza la mitihani uzingatie uwiano wa kidini, kitendo cha chombo nyeti kama hiki kujazana watu wa dini moja kunaliondolea baraza la mitihani sura ya kitaifa, kwani takwimu zinaonyesha makatibu wakuu watendaji na manaibu katibu wakuu wamekuwa wakristo na wenyevyiti wa baraza hilo ni wakristo tangu lilipoanzishwa mwaka 1973, mpaka hii leo na takwimu tunazo.
· Pia tunaiyomba Serikali iwape nafasi wanafunzi wote ambao baada ya matokeo yao kubadilishwa wamekuwa na sifa za kujiunga na vyuo vikuu waruhusiwe kuomba mikopo bodi ya mikopo, tunalisema hili kutokana na muda wa kuomba mikopo kwa wanafunzi wanaotaka kujiunga na elimu ya juu kwisha.

DSC04002.JPG
 
Hajjat Faizafoxy,

Salaam.

Yaani huyu khabith wa Kibondei Nguruvi3,ameulizwa kiungwana na Sheikh Mohamed Said yakuwa kwa niaba ya Wanajamvi tafadhali tuletee nawe taarifa za Wazazi wako/Wazee Wenu kwenye hizo harakati za "Uhuru".

Matokeo yake katuletea majina ya mboga za majani na vitoweo vichafu vya kwao Kicheba!?Kwi! Kwi! Kwi!

Nimejaribu kuvuta sabra tangia juzi yakuwa labda atakuja na jipya,matokeo yake anarejea uharo ule ule walokaririshwa na yule khabith mwenzao Nyerere;ati Waislamu wa Pwani/Mwambao ndo "wavivu" na "wapuuzi"!? Kwi! Kw! Kwi!

Pia anadai ati Waislam wa mabara/mikoani ndo wenzao,heshi pia kutuletea ile story/mfano wake pathetic aupendao,"Machame Vs Mkuranga"!?...khalafu mtu huyu huyu anadai ati yeye ndo msomi kweli!? Kwi! Kwi! Kwi!

Jaribu kuvuta fikra,yaani wakti wa yule khabith Nyerere,yaani kwenye takriban kila sehemu nyeti za Serikali ndo alitujazia makanjanja kama hawa kina Nguruvi3...yaani Wakristo wasio na adabu/washamba.

Wale Wakristo kiduchu maskini waliokua wastaarabu,wasomi na walikoua wana-empathy na ile predicament ya Waislam,wengi wao Nyerere aliwaadhibu na kuonekana ati ni wasaliti wa Kanisa!? Kwi! Kwi! Kwi!

Nafikiri huyo Nguruvi3,anashindwa kabisa kwenda na alama za nyakati...zile fitna,unafiki na propagandas za Nyerere kuparaganyisha Waislamu,kwa hivi sasa haziwezi asilan ku-function!

Yule maluuni mwingine wa Kibondei John Ketto, mbona Nguruvi3 hajatufahamisha wana uhusiano kivipi!? Kwi! Kwi! Kwi!

Sasa hivi uonavyo Dadangu,ndo tabia na dasturi za hao Wakristo/Chadema woote...yaani hawana History zozote makwao,wao wawezacho ni kashfa na tashtit tu!

Embu jaribu fikiri na ujiulize kiduchu,kama huo uharo na utumbo wa hiyo history ya Wazee wa huyo Nguruvi3 alotuletea hapa jamvini kama ndo ingalikua kaleta Muislam yeyote yule au Sheikh Mohamed...je pangelika humu jamvini!?

Hawa jamaa ni makhabith na wamelaanika mno!

Binafsi,nimeshawazoea mno...maana wengi wao nimesoma nao na kucheza nao tangia nikiwa mduchu. Labda nikubali yakuwa hao niwajuao walikua ni Wakristo watiifu waliokua na dasturi njema na adabu za hali ya juu,tafauti kabisa na hawa vibwengo makhabith akina Nguruvi3,Mag3 na kikundi chao cha chuki humu Jf!

Nafikiri hao Wakristo watiifu niwajuao mimi na nilocheza nao, pia labda backgrounds zao njema pia zimewasadia kuwa tafauti na hawa makhabithi Wakristo wa Chadema waliomo humu Jf!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.

Al habib gombesugu akhyi assalamu alaikum warahmatullah.
nakuamkua kiduchu na sisi tunakusoma vizuri mno hapa!

Naona unampa dozi yake huyo mtoto wa kufikia Nguruvi3 ! Teh teh teh teh!

Wabondei wa namna hii ni janga shekhe!

Elimu zao za kudandia km vile wale makonda wa daladala! Khalafu ikimbana kidogo tu anatokwa na povu kwa wiingi sana!
Mi nilishasema zamani huyu kijana nidhamu yake ni ndogo mno! Niliamua kumuacha muda sababu alikuwa akijaribu kuongea kistaarabu lkn paka shume ni paka shume tu! Hata umuwekee chakula kitamu namna gani basi lzm ataenda kula jaani!
Teh teh teh teh!
Huyu anafaa kumpambanisha na wale panya buku! Lbd atatia adabu kidogo!
Ahsant al habib.
Nisalimie vijana wetu huko inshallah.
 
Last edited by a moderator:
Shariff Ritz,

Kwi! Kwi! Kwi!....

Niwia radhi maana nilitingwa na vijishughuli kiduchu hapa kibaruani,ndo nimeingia humu asubuhi hii najaribu kupitia huo uharo aloacha huyo khabith wa Kibondei.

Naona safari hii katujia na mfano wa Mwapachu...fanza sabra kiduchu,maana nitamjibu uzuri nikipata fursa na utacheka pasi kiasi Al Akhiy! Kwi! Kwi!

Labda anachoshindwa kufahamu Nguruvi3,ni yakuwa hao kina Wolter,Harith,Wendo na wengineo...sisi kama Waislam wenzao,hatuwa-worship asilan. Ni ndugu zetu wa karibu mno kama vile Waislam wengineo na tunafahamiana uzuri mno/kiundani,tunaheshimiana na tuko nao karibu mno tangia zama nyingi tu,nao wao wanafahamu/wanathamini hivyo...Allahamdulillahi!

Kwa kifupi,ndo yale yale nilowahi kunena awali hapa hapa jamvini.yakuwa huyo Nguruvi3,huja na story zake za vijiweni na kujifanza ati anawajua saana Waislam,mahusiano baina yao au hata families za Kiislam!?...huyu jamaa kweli ni kanyaboya! Kwi! Kwi! Kwi!

Al Akhiy,na hao jamaa wanaokutumia hizo PMs,najua itakua ni wale wale jamaa zako wa Chadema/Wakristo wa Jf, maana nafikiri ndo wengi wao hawajanyofolewa hayo magovi yao kama mwenzao Nguruvi3,kama alivyotujuza yeye mwenyewe hapa jamvini!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kwa kifupi waambie hao wanaokutumia hizo PMs,yakuwa tumeapa hatutarejea tena makosa walofanza Wazee Wetu maskini,ya kumnyofoa govi lake la utu uzimani yule "Baba Wa Taifa"....matokeo akawageuka na kuwa mahasimu zake wakubwa na kuwaadhibu vibaya mno mpaka wamengia makaburini maskini!

Kwa matokeo haya ni kwamba,watake radhi hao jamaa zako woote wenye kuku-PM,na waambie wabaki tu na hayo magovi yao na wakazikwe nayo kama wafanzavyo siku zote! Kwi! Kwi! Kwi!


Kwaheri Al Akhiy,leo yaani ratiba yangu iko tight kiduchu...lakini nitakurejea labda usiku mwingi Insha Allah.

Ahsanta.


Ps; "Wamachame wanashangilia wakisikia jina la Nyerere makanisani,lakini WanaMkuranga wanazomea wakisikia jina la Nyerere misikitini" - by Nguruvi3, Chadema Political Strategist.
Al-Habib gombesugu.

Walaahi utanipasua mbavu na hizi bayana, nazidi kupokea PM's kutoka sehemu mbalimbali za dunia watu wanataka kuonana na huyu kauzu zaidi ya dagaa.

Jamaa wa Chadema wanakusabahi kina Mag3 anasema chei chei anakusoma kwa utuvu.

Siku zote kauzu hawezi kusimamia chochote leo tena kakimbilia kwa Mwapachu masikini ya mungu hajui Mwapachu na wazee wetu walikuaje, nakuomba uwasalimie wale manyakanga ambao ni jamaa zako wa karibu waambie kuwa kuna wateja 20 kutoka Chadema watakuja nasubiri PMs zao.

Nimeyapenda sana hayo maneno ya mwisho hapo chini.

Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
penye red; mwili ukitaka kitu hautakiwi kuvaa bomu na kuljilipua ili uue na wengine

lord jesus said: mathew 5 :11 "Heri yenu ninyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu.1Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu.


Unajua manabii wa Mungu walipata taabu sana kuwaelimisha watu kama wewe!
Unachambua kile tu unachotaka watu wakione! Hii kwa lugha ya wakoloni tunaiita "selective understanding"
Na ukijaribu kuelekezwa unachagua yale ya kuskia ambayo uyapendayo! Na hii inatwa "selective understanding"
Ukishakuwa na maradhi haya! Wewe na yule mwenye "learning difficulties" hakuna tofauti yyt!

Unamuita Jesus" LORD"

Sasa Hebu tazama andiko lako hapa uone je! Yesu ni Mungu!?

Yakobo 1:13). Mungu hajaribiwi na Shetani.-
(Mat 4:1). Lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi.

(Isaya 40:28).Mungu hachoki.
(Yoh. 4:6)Lakini Yesu-alichoka

(Ezekiel 28:8-9).Mungu hauwawi
(Matendo 5:30)Lakini Yesu aliuwawa

Mungu hafi (Daniel 6:26).
Lakini Yesu alikufa (Mat. 27:50)

(1Wafalme 8:39)Mungu anajua kila kitu.Lakini Yesu hakujua kila kitu (mti wa mtini).(Mat. 21:18-19)-Ilhali haukuwa msimu wa matunda-

(Marko 11:13)Mungu hali, lakini Yesu aliona njaa na akala.(Marko 11:12; Luka 11:37-38, 24:42-43)

(Zaburi 121:3-4).Mungu hasinzii.-
Lakini Yesu alilala fofofo.(Marko 4:37-38; Mat. 8:23-25)

Sasa njoo na maneno ya padri sasa!
Ohh yesu alijifanya mungu mtu ili afe! Bla..bla..bla..
KWA MUJIBU WA ANDIKO LAKO MUNGU HAWEZI KUWA NA SIFA YA MWANADAMU!!

Halafu nyie wagalatia mna tabia ya kupindua pindua maneno ili mfanikishe tu hayo mnayo yataka,
Ni kigeugeu kama hicho kitabu chenu!
Hebu onja kidogo mchakachuo wenu hapa:-
.
Michael binti wa Saul hakupata mtoto mpaka kifo chake.(2 samweli 6:23)

Michael binti wa Saul alikuwa na wavulana watano (2 Samweli 21:8)

Benjamin alikuwa na watoto watatu. (1 Mambo ya Nyakati 7:6)

Benjamin alikuwa na watoto watano. (1 Mambo ya Nyakati 8:1-2.

Harun alikufa huko Hor. (Hesabu 33:38)

Haruni alikufa huko Mosera (Kumb. 10:6)

Yehoremu alishikilia kutawala wakati akiwa na umri wa mika 32 alifariki katika miaka 40,(2 Mambo ya Nyakati 21:5) (2 Mambo ya Nyakati 21:20).

Baada ya kifo chake mtoto wake mdogo alishikilia serikali na alikuwa na umri wa miaka 42 wakati ule.(2 Mambo ya Nyakati (22:1-2).

Kana kwamba mwana mdogo alikuwa miaka miwili zaidi kuliko baba mzazi! (9. Mat 5:17; Mat 5:38-40; Hebrew 7:12).

Sungura hucheua (Mambo ya Walawi 11:6). Lakini ukweli ni kwamba Sungura hacheui kabisa.

Yuda aliyemsaliti Yesu alivitupa vile vipande vya fedha alivyopewa kwa udhalimu wake huo, kisha alijinyonga na

wakuu wa Makuhani wakavichukua vipande vya fedha na wakanunulia shamba la kuzikiwa watu (Mat 27:5-7).

Lakini (Matendo 1:18), inasema kwamba Yuda mwenyewe alinunua konde kwa ijara aliyoipata kwa udhalimu wake huo na kisha akaanguka na kupasuka na matumbo yake yote yakatoka.

Yesu alifyolewa na wanyang'anyi wawili aliposulubiwa pamoja nao. (Marko 15:32 ; Mat. 27:44).

Lakini katika Luka 23:39-40, inasema kuwa mnyang'anyi mmoja ndiye aliyemfyolea Yesu.

Yuda alijinyonga.(Mat. 27:5).

Lakini katika Matendo 1:18, imeandikwa kwamba alianguka na kupasuka matumbo yake

Mwanadamu aliumbwa baada ya uumbaji wa wanyama.(Mwanzo 1:25-26).

Lakini katika (Mwanzo 2:18-20), inaonekana mwanadamu aliumbwa kwanza.

Mwandishi wa Torati siye Nabii Musa mwenyewe.

Basi Musa mtumishi wa bwana akafa huko katika nchi ya Moabu kwa neno la Bwana. (Kumb. 34:5).

Mwandishi wa Kitabu cha Mathayo si Mathayo mwenyewe ambaye ni mwanafunzi wa Yesu.(Mat. 9:9).

Msipo angalia mtakufa makafir na adhabu ya Mungu ni kali sana!
nitakupa darsa ujue kafir ni nani mkuu, tena kupitia kitabu chako,
si unajua tena, kuna kitabu vingine kilishushwa lakini kwa bahati mbaya kikapungua peji baada ya mbuzi kula peji . hivyo kuwakosesha binadamu uwondo wa kupata kilichotimilifu. hayo tuyaache kwanza..

simple facts; biblia sio kitabu cha hadith na pia sio kitabu kilichoshushwa wala kudondoshwa.
it just a waste of tym kukijadili kwa kutumia mfumo wa quran. huko hakuna kukremu, huko ni kuelewa kupitia mazingira ya mwandishi na walioishi wakati huo ikitambua mila na tamaduni mbalimbali za eneo husika. huku ndipo kutakufanya kuwa huru zaidi kwa kuweza kutenganisha kati ya matendo ya watu na matakwa ya mungu. thats thats.

Dr. Paul Hussein Mubarak- Majibu kwa maswali 1.avi - YouTube

Rev. Adam Haji Mohammed - Ogopa Mungu - YouTube

in most cases kumbadili mwislamu anayejua imani yake sio rahisi na pengine haiwezekani, but to change moderate Xstian , its way easy going. find out nini kimewakuta hawa hapa juu wanaotoa bayana zao hapo, ndio uelewe kuwa imani ya mungu ni katika kumwabudu katika roho na kweli, sio kwa uwongo na mbinu za kucheza na maneno ya mdomoni. watch how these two extremists deciphering their past cult after being converted to Christianity. i hope ya'll learn something new. it just a simple facts.
ni biblia hiyohiyo ambapo mtume alisema;Katika Qurani Suratul Al-Ankabut (Buibui), 29:46-47 "Wala msibishane na Watu waliopewa Kitabu kabla yenu ila kwa yale majadiliano yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunayaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake." iweje validity ya kitabu angali unajua wakristo walipewa.
angali ukijua pia mara nyingi mnaiba maneno kwenye baibo kwa ujanja ili kuthibitisha uhalali wa utume wa muhamad.
 
Al-Habib gombesugu.

Walaahi utanipasua mbavu na hizi bayana, nazidi kupokea PM's kutoka sehemu mbalimbali za dunia watu wanataka kuonana na huyu kauzu zaidi ya dagaa.

Jamaa wa Chadema wanakusabahi kina Mag3 anasema chei chei anakusoma kwa utuvu.

Siku zote kauzu hawezi kusimamia chochote leo tena kakimbilia kwa Mwapachu masikini ya mungu hajui Mwapachu na wazee wetu walikuaje, nakuomba uwasalimie wale manyakanga ambao ni jamaa zako wa karibu waambie kuwa kuna wateja 20 kutoka Chadema watakuja nasubiri PMs zao.

Nimeyapenda sana hayo maneno ya mwisho hapo chini.

Teh teh teh
Wala usipate taabu Ritz, nikipata muda nachungulia kidogo...mimi kwa bahati mbaya simo kwa wanaochambua maandiko takatifu, hapana, huko hunikuti kabisaaa...hayo aachiwe kahtaan. Ila huu mnakasha unanikumbusha mbaaali, kama miaka mitatu/minne hivi baada ya kupata uhuru... nilipopata bahati ya kufika jijini Dar es Salaam kuendelea na masomo ya juu. Amini usiamini, ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuwaona kwa macho watu niliokuwa nikisimuliwa tu kwenye hadithi na kuwasoma vitabuni; waswahili...

th
th
th
th


Siku hizi neno Mswahili lina maana tofauti na siku za nyuma na hasa kwa watu wa bara kwani hapo nyuma halikuwa tofauti na neno niggar au negro lilivyotumika kwa weusi huko Marekani. Lakini kwa watu weusi wa huko maneno hayo ni taboo kuyataja hadharani tofauti na hapa kwetu ambako neno mswahili limepata tafsiri mpya tena ya kujivunia. Sitaki kuanzisha mjadala ndani ya mjadala ila mtu akipitia kwa umakini michango ya wengi humu ndani mingi inathibitisha athari ya makuzi waliyoyapata utotoni.
 
Ritz tulia kidogo najua bayana zinaumiza lakini tufanyeje ndio ukweli.
Dawa ni chungu na inabidi inywewe tu kwasababu ndiyo dawa.

1. Umenisaidia kuhusu Abdul Sykes na mtoto wake Daisy.Daisy kwa kudhihirisha kuwa ukijituma unafanikiwa. Kaenda shule halafu kaandika tena Nyerere akiwepo ushihidi kuwa Nyerere angekuwa na ubaya nao Daisy angefanyiziwa lakini haikutokea.
Jiulize Daisy amepasuaje anga?

2. Sensa imefanyika na marginal of error zimewekwa in the end imetoa population ya Tanzania officially.
Watu 20,000 waliokimbia na kuacha wake zao hao ni sawa na wahamiaji haramu waliokuwa katika idadi bila kuwa Raia.Sensa imefanyika tena ikiungwa mkono na taasisi inayoitwa Istiqama kama ilivyonukuliwa katika vyombo vya habari.

3. Kama utataka nilinganishe badala ya kutumia Mkuranga bado ninaweza. Iweje waislam wa Kilimanjaro na Bukoba wawe tofauti na wa Pwani au Lindi katika mazingira yale yale ya ukandamizwaji.
Wao walifanya nini zaidi. Je huko ndiko Bakwata ilipo zaidi?

4. Kuhusu shule, umesema vema Interborg seminary imefelisha kutokana na mazingira mabovu na mipango hafifu. St Francis imeafaulisha kutokana na mazingira mazuri na mipango mizuri. Ni hivyo hivyo Thaqafa na Masjid Quba zimefelisha kwasababu ya mipango mibovu na Kirinjiko na Feza zimefaulisha kwasababu ya mipango mizuri.

Hapa umenisadia kueleza kuwa tatizo si imani kwasababu hata hizo za imani nyingine wanafeli. St Interborg wamefeli kama Masjid Quba. Hivyo hoja ya kuonewa inakufa kifo cha mende.

Nilidhani kuwa badala ya kukaa na kusoma historia ya kulilia majina ya barabara watu walitakiwa waungane kwa pamoja waibane serikali itoe huduma bora.

Leo tumeondoa focus tunatafuta vijisababu vya kipuuzi kabisa tukijua ukweli kuwa kama huna walimu hata ukiwa na waziri wa ukoo au familia yako ni zero.

Hivyo watu wabadili mitazamo yao na kujadili maendeleo badala ya kulilia mawaziri kumi na saba wakiacha watoto malaki wakiwa hawana walimu.

Utagawana vipi vyeo wakati mwingine amesoma na walimu 7 katika darasa na mwingine amesimamiwa na mkuu wa shule msadizi ambaye ni mwanafunzi?

Hivi hili kwanini watu hawalioni ni tatizo wanaona tatizo lisilo tatizo?
Hapa ndipo nakubaliana nanyi kuwa huenda mimi ni kauzu maana naona msichokiona ninyi Nyangumi!



Kila namna ambayo tunatafuta kukuweka sawa na kukurudisha kwenye mstari mnyoofu umekuwa unajikwepesha kwamakusudi na kukimbilia unakokujua wewe mwenyewe,ila sio kitu nguruvi3,sisi tutazid kukurudisha kwenye mstari tuh.

Hoja ya waislam wa eneo fulan mfano kilimanjaro na bukoba kufanya vizur na waislam wa maeneo mengine mfano lindi na mtwara kufanya vibaya kwenye sekta ya elimu mfano unaibeba bila mafuhum yenye kueleweka,

Unapozungumzia jamii ambazo zina geographical positions tofaut ndan ya nchi hii na jamii zenye historia tofauti ya kutawaliwa na kuendelezwa kimiundombinu na kimaendeleo stahiki ya kitaifa unakuwa unakosea sana,

Mfano tukichukua maeneo ya lindi na mtwara kuhusu sekta ya elimu na kiwango cha ufaulu wa wanafunz katika ngaz mbalimbali kuanzia za msiingi hadi sekondari kwa kias kikubwa hadi leo hii haziwez kufanana na shule za huko kilimanjaro na kwingineko.

Hilo linasababishwa kwanza na vipaombele vya taifa katika kupeleka nyenzo,huduma na uelewa kwa wananchi wake katika maeneo husika,mfano huku lindi na mtwara unafaham fika ni kwa jins gani kumewekwa nyuma katika sekta zote za maendeleo ya nchi hii ikiwemo miundimbinu ya bara bara,maji,afya,na huduma mbali mbali za kijamii ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaweza kuchochea kwa namna moja ama nyingine kukua kwa sekta ya elimu na mwingiliano wa watu wa aina mbali mbali,

Wewe umesahau kuwa ilishafikia hatua huku mfanyakazi wa serikali let say mwalimu,muuguz au daktari na kadhalika akipangiwa kituo cha kazi kanda hii basi huchukulia nafasi hiyo kwake ni kama adhabu na wakati mwingine tumeshuhudia wengi miongon mwao wakihama na kuacha kazi kulingana na mazingira magumu ya kufanyia kazi na kuish,unataka kuniambia mambo kama hayo hayaathiri hadi mfumo wa elimu wa kanda hii kulinganisha na maeneo kama arusha na kilimanjaro??

Pamoja na kwamba naweza kukubali kwamba kuna wakati mwingine zipo baadhi ya familia zimekuwa hazikutilia mkazo suala la elimu kwa asilimia mia moja kwa vizaz vyao lakin ni ukweli kwamba hilo pekee halikuwa ni pingamiz kwa kutokuelimika kwa watoto wa kanda kama hizi na kusin na pwani,


Hakuna anaesimama hapa kutafuta sababu za kipuuz kujenga hoja kama ulivyotukana hapo juu,japo ukitukanwa na wewe twajua wakimbilia moja kwa moja kunyooshea vidole kwmba hao si waislam wenye mafunzo,
Hoja ulizopewa na Moh Said si za kipuuz,ni hoja zilizofanyiwa utafiti na umewekewa rejea kibao hapo chini,sema wewe hutaki kuzisoma na kuzielewa,hili ni suala linaloelezewa vizur na kwa hatua zenye kueleweka.

Linapokuja suala la bakwata ambayo wewe unakiona ni chombo makin na imara kwetu sisi waislam ndiyo tunakufahamisha kwamba hicho ndicho mziz wa fitna na taharuki zote unazoziana kwa sasa,

Lait kingalikuwa ni chonbo chenye vision na misson nzur haya tunayoyadili humu ndan kwa sasa kwa kifua mbele yasingalikuwapo,hilo yapasa ulitambue nguruvi3,ule ujasiri alioutumia julius nyerere kusimamia suala la uanzishwaji wa bakwata kinyemela ndilo hili linalotugharim hadi hiv sasa,watu wapo hapa kukufunza historia yake ya utendaji na mwingiliano wake katika nyanja mbali mbali,hilo ulitambue
NITAKUREJEA TENA
 
Kila namna ambayo tunatafuta kukuweka sawa na kukurudisha kwenye mstari mnyoofu umekuwa unajikwepesha kwamakusudi na kukimbilia unakokujua wewe mwenyewe,ila sio kitu nguruvi3,sisi tutazid kukurudisha kwenye mstari tuh.

Hoja ya waislam wa eneo fulan mfano kilimanjaro na bukoba kufanya vizur na waislam wa maeneo mengine mfano lindi na mtwara kufanya vibaya kwenye sekta ya elimu mfano unaibeba bila mafuhum yenye kueleweka,

Unapozungumzia jamii ambazo zina geographical positions tofaut ndan ya nchi hii na jamii zenye historia tofauti ya kutawaliwa na kuendelezwa kimiundombinu na kimaendeleo stahiki ya kitaifa unakuwa unakosea sana,

Mfano tukichukua maeneo ya lindi na mtwara kuhusu sekta ya elimu na kiwango cha ufaulu wa wanafunz katika ngaz mbalimbali kuanzia za msiingi hadi sekondari kwa kias kikubwa hadi leo hii haziwez kufanana na shule za huko kilimanjaro na kwingineko.

Hilo linasababishwa kwanza na vipaombele vya taifa katika kupeleka nyenzo,huduma na uelewa kwa wananchi wake katika maeneo husika,mfano huku lindi na mtwara unafaham fika ni kwa jins gani kumewekwa nyuma katika sekta zote za maendeleo ya nchi hii ikiwemo miundimbinu ya bara bara,maji,afya,na huduma mbali mbali za kijamii ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaweza kuchochea kwa namna moja ama nyingine kukua kwa sekta ya elimu na mwingiliano wa watu wa aina mbali mbali,

Wewe umesahau kuwa ilishafikia hatua huku mfanyakazi wa serikali let say mwalimu,muuguz au daktari na kadhalika akipangiwa kituo cha kazi kanda hii basi huchukulia nafasi hiyo kwake ni kama adhabu na wakati mwingine tumeshuhudia wengi miongon mwao wakihama na kuacha kazi kulingana na mazingira magumu ya kufanyia kazi na kuish,unataka kuniambia mambo kama hayo hayaathiri hadi mfumo wa elimu wa kanda hii kulinganisha na maeneo kama arusha na kilimanjaro??

Pamoja na kwamba naweza kukubali kwamba kuna wakati mwingine zipo baadhi ya familia zimekuwa hazikutilia mkazo suala la elimu kwa asilimia mia moja kwa vizaz vyao lakin ni ukweli kwamba hilo pekee halikuwa ni pingamiz kwa kutokuelimika kwa watoto wa kanda kama hizi na kusin na pwani,


Hakuna anaesimama hapa kutafuta sababu za kipuuz kujenga hoja kama ulivyotukana hapo juu,japo ukitukanwa na wewe twajua wakimbilia moja kwa moja kunyooshea vidole kwmba hao si waislam wenye mafunzo,
Hoja ulizopewa na Moh Said si za kipuuz,ni hoja zilizofanyiwa utafiti na umewekewa rejea kibao hapo chini,sema wewe hutaki kuzisoma na kuzielewa,hili ni suala linaloelezewa vizur na kwa hatua zenye kueleweka.

Linapokuja suala la bakwata ambayo wewe unakiona ni chombo makin na imara kwetu sisi waislam ndiyo tunakufahamisha kwamba hicho ndicho mziz wa fitna na taharuki zote unazoziana kwa sasa,

Lait kingalikuwa ni chonbo chenye vision na misson nzur haya tunayoyadili humu ndan kwa sasa kwa kifua mbele yasingalikuwapo,hilo yapasa ulitambue nguruvi3,ule ujasiri alioutumia julius nyerere kusimamia suala la uanzishwaji wa bakwata kinyemela ndilo hili linalotugharim hadi hiv sasa,watu wapo hapa kukufunza historia yake ya utendaji na mwingiliano wake katika nyanja mbali mbali,hilo ulitambue
NITAKUREJEA TENA
THE BIG SHOW yaani ninapokusoma najisikia hamu ya kuwa na mnakasha na wewe kwa jinsi unavyojenga hoja zako. Hata kama sikubaliani au natofautina bado ukweli unabaki kuwa ni hoja zenye mantiki.

Pili, kuhusu matumizi ya neno upuuzi nadhani hili linaeleweka vibaya. Neno hili linatokana na puuza au ignore kwa kiingereza. Kama hili ni tusi(nasimama kusema si tusi) basi msome gombesugu yarabi! Hata kujibu hoja zake ni tusi pia.

Tukirudi kwenye mada, endapo unakubali tofauti za kikanda na historia ya kutawaliwa ni chanzo cha tatizo hilo ni jambo linaloeleweka na lieleweke hivyo si kutafuta sababu na kuficha ukweli. Hata historia mchango wake ukinyumbuliwa mengi yatajitokeza. Kanda zilizo na mwamko nyingi zilikuwa chini ya wamishenari, lakini watu watahoji je kule kulipoanza kupokea ukoloni kama pwani kwanini athari njema hazikuwafikia? Naliachia hapo

Ukisoma historia ya kuingia kwa dini katika mkoa wa kilimanjaro utaona wamishenari walifika mwaka 1890-1898 kwa baadhi ya maeneo. Uislam umeingia katika miaka ya 1930 kwa ushahidi wa historia na majengo ya historia niliyoyaona. Kitu cha kushangaza katika muda na tofauti hizo uwiano wa elimu upo sawa. Je, hawa waliochelewa wamefanya kitu gani?

Siri kubwa ilikuwa kujitambua na kutambua wanataka nini. Hata kabla ya shule za wazazi, serikali n.k. watoto walipelekwa shule za mashirika ya dini bila kujali imani. Waliofanikiwa walirudi na kujenga nguvu za jamii yao. Kwahiyo si suala la muamko tu ni suala la ushindani na kujitambua.

Kuhusu mikoa ya kusini kama Mtwara na Lindi ni kweli kulikuwa na kupoteza mkazo katika maeneo hayo kama ilivyokuwa kwa Dodoma na Singida. Tumewahi kujadiliana sana kuhusu hili nikakueleza kuwa shughuli za uchumi si tatizo kubwa. Tatizo ni wakazi ambao hukimbia makwao na kushindwa kurudi kuzisadia jamii zao.
Mfano mzuri ni akina Kawawa na Mkapa. hili unalielewa na halihusu dini au kitu kingine ni tatizo la kijamii.

Hivi mwalimu kutoka Mtwara anapokataa kupangiwa Mtwara nani akasaidie Mtwara? Lakini pia jiulize kwanini Ndanda Mission au Nyangao kwa father Libaba hawakuweza kuwa na impact kama maeneo mengine ?

Ni kwa mantiki yako ya tofauti za ''geographical positions'' haziwezi kulinganishwa unanisaidia kujenga hoja.kuwa tatizo halihusu imani ni la jamii na liangaliwe hivyo na wala si kusema sisi so and so tumeonewa.
Pia linasaidia sana kueleza kwanini lawama kwa Nyerere ni kisingizio tu, vingenvyo tusingekuwa na tofauti zinazosemwa kutokana na tofauti za kikanda.
 
Last edited by a moderator:
nitakupa darsa ujue kafir ni nani mkuu, tena kupitia kitabu chako,
si unajua tena, kuna kitabu vingine kilishushwa lakini kwa bahati mbaya kikapungua peji baada ya mbuzi kula peji . hivyo kuwakosesha binadamu uwondo wa kupata kilichotimilifu. hayo tuyaache kwanza..

simple facts; biblia sio kitabu cha hadith na pia sio kitabu kilichoshushwa wala kudondoshwa.
it just a waste of tym kukijadili kwa kutumia mfumo wa quran. huko hakuna kukremu, huko ni kuelewa kupitia mazingira ya mwandishi na walioishi wakati huo ikitambua mila na tamaduni mbalimbali za eneo husika. huku ndipo kutakufanya kuwa huru zaidi kwa kuweza kutenganisha kati ya matendo ya watu na matakwa ya mungu.

in most cases kumbadili mwislamu anayejua imani yake sio rahisi na pengine haiwezekani, but to change moderate Xstian , its way easy going.

Teh teh teh teh!. 2013 unanivunja mbavu hapa.
Unaanza kuongea kama wale wanaoitwa "wenye pepo mchafu" ohh mbuzi kala kitabu...ohhh bata kapanda baskeli... halafu unasema tuyaache! Teh teh teh tehe!

Huna haja ya kurudia maneno hapa! Sisi waislamu TUNAIFAHAMU BIBLIA KULIKO NYIE MNAO SEMA MNAIFUATA!

We ipambe kwa majina yoote mazuri lkn MCHAKACHUO ULIOMO HUMO HAUWEZI KUTOKA TENA!

NA WALA NYIE HAMUWEZI KUIFUATA HIO BIBLIA INAVYO AMRISHA 100%!

KWA SABABU BAADHI YA SHERIA ZIMETUNGWA NA BINAADAMU WENYE UPUNGUFU. NA NYIE NI IMPOSSIBLE KUZIFUATA.!!

Ntakupa miwili tu hapa ya sheria ambazo ZIMO KWENYE BIBLIA LKN HAKUNA MKRISTO ANAE ZIFUATA! NA KAMA YUPO NITAJIE!!

ANDIKO LINASEMA NINI KUHUSU NDOA;-
TUSOME PAMOJA SASA;-


1)-“So they are no longer two but one flesh. -What therefore God has joined together, let no man put asunder”-(Matthew 19:6 & Mark 10:9).2)-

“Whosoever shall marry her that is divorced committeth adultery”-(Matthew 5:32, 19:9 & Luke 16:18).3)

-"Whosoever shall put away his wife, saving for the cause of fornication, causeth her to commit adultery"-(Matthew 5:32).4)-

"...whosoever shall put away his wife, and marry another, committeth adultery against her"(Mark 10:11 & Luke 16:18),

which applies to women as well (Mark 10:12).


Kwa kifupi hapa BIBLIA INASEMA

" MKRITO YYT ATAKAE OA MWANAMKE BASI MBALI YA UZINIFU HARUHUSIWI KUMPA TALAKA MPAKA KUFA!!!!
NA ATAKAE TOA TALAKA HALAFU AKAOA MWANAMKE MWINGINE BASI NI MZINIFU MPAKA KUFA KWAKE""

Sasa nenda katafute data za TALAKA ZA WAKRISTO HAPO TZ UONE WANGAPI WAMEACHANA KWA MWAKA MMOJA TU!

Nakumbuka ulifanyika uchunguzi na kanisa la KKT mwaka 2000 na ktk ripoti yao walisema asilimia 52 ya Divorces hapo Tz ni za WAKRISTO!

Na mimi nina imani wewe 2013 unawafahamu wagalatia wenzako wengi tu ambao wamepinga hili Andiko.

ANDIKO JINGINE AMBALO NYIE WOOTE MNAKWENDA NALO KINYUME NI HILI;-

YESU MWENYEWE ANAAMRISHA HAPA.

""And when you pray, you must not be like the hypocrites; for they love to stand and pray in the synagogues and at the street corners, that they may be seen by men. Truly, I say to you they have received their reward. -But when you pray, go into your room (or closet.) and shut the door and pray to your Father who is in secret..."--(Matthew 6:5-6 RSV).

Hapa kwa kifupi MNAAMRISHWA NA YESU MWENYEWE MKITAKA KUSALI BASI MSWALI KIMYA KIMYA TENA NDANI NA MILANGO MFUNGE!!!!!

Sasa hayo makwaya yenu na hio mikutano ya injili kwenye viwanja vya mpira KWA MUJIBU WA YESU MWENYEWE NI HARAMU KABISA. TENA AMEWAITA WATU WAFANYAO HIVYO KUWA NI "HYPOCRITE"

Na zingine nyiiingi mno!

Lkn hapo mwisho Umesema kweli kabisa kuwa "KUMBADILI MUISLAMU ANAEJUA IMANI YAKE SIO RAHISI NA MOST CASES HAIWEZEKANI,!:thumbup::thumbup: LKN KUMBADILI MKIRISTO NI KAZI RAHISI SANA."

Na sababu kubwa NI KUMRUHUSU BINAADAMU (PAULO ) KUWAPANGIA MASHARTI KTK IMANI YENU!

NDIO MAANA UNAKUTA YESU KASEMA HIO NI "A"
NA PAULO ANASEMA HAPANA HIO NI "B"!!

Mi nakushauri uache ubishi utakao kuponza!

Nakukaribisha ktk DINI YA HAKI!
DINI ISIYO NA SHAKA NDANI YAKE!
NA NI DINI ISIOKALIWA KIKAO KULE DODOMA!

Karibu kwenye raha ndugu 2013 ili mimi na wewe Inshaallah tuingie PEPONI NA WAISLAMU WENGINE WANAOMUABUDU MUNGU WA KWELI ALIYE HAI.
AMBAE HAJAZAA WALA KUZALIWA. WALA HAJAWAHI KUFA WALA KUSULUBIWA.

MUNGU MMOJA TU!(sio watatu!!!!)

MUNGU WA ABRAHAM . NA MOSES NA SOLOMON NA ISACK NA ISHMAEL NA YOHANA NA JESUS NA MUHAMMAD.

(may peace of ALLAH be upon them all)

Ahsantum.
 
Last edited by a moderator:
THE BIG SHOW yaani ninapokusoma najisikia hamu ya kuwa na mnakasha na wewe kwa jinsi unavyojenga hoja zako. Hata kama sikubaliani au natofautina bado ukweli unabaki kuwa ni hoja zenye mantiki.

Pili, kuhusu matumizi ya neno upuuzi nadhani hili linaeleweka vibaya. Neno hili linatokana na puuza au ignore kwa kiingereza. Kama hili ni tusi(nasimama kusema si tusi) basi msome gombesugu yarabi! Hata kujibu hoja zake ni tusi pia.

Tukirudi kwenye mada, endapo unakubali tofauti za kikanda na historia ya kutawaliwa ni chanzo cha tatizo hilo ni jambo linaloeleweka na lieleweke hivyo si kutafuta sababu na kuficha ukweli. Hata historia mchango wake ukinyumbuliwa mengi yatajitokeza. Kanda zilizo na mwamko nyingi zilikuwa chini ya wamishenari, lakini watu watahoji je kule kulipoanza kupokea ukoloni kama pwani kwanini athari njema hazikuwafikia? Naliachia hapo

Ukisoma historia ya kuingia kwa dini katika mkoa wa kilimanjaro utaona wamishenari walifika mwaka 1890-1898 kwa baadhi ya maeneo. Uislam umeingia katika miaka ya 1930 kwa ushahidi wa historia na majengo ya historia niliyoyaona. Kitu cha kushangaza katika muda na tofauti hizo uwiano wa elimu upo sawa. Je, hawa waliochelewa wamefanya kitu gani?

Siri kubwa ilikuwa kujitambua na kutambua wanataka nini. Hata kabla ya shule za wazazi, serikali n.k. watoto walipelekwa shule za mashirika ya dini bila kujali imani. Waliofanikiwa walirudi na kujenga nguvu za jamii yao. Kwahiyo si suala la muamko tu ni suala la ushindani na kujitambua.

Kuhusu mikoa ya kusini kama Mtwara na Lindi ni kweli kulikuwa na kupoteza mkazo katika maeneo hayo kama ilivyokuwa kwa Dodoma na Singida. Tumewahi kujadiliana sana kuhusu hili nikakueleza kuwa shughuli za uchumi si tatizo kubwa. Tatizo ni wakazi ambao hukimbia makwao na kushindwa kurudi kuzisadia jamii zao.
Mfano mzuri ni akina Kawawa na Mkapa. hili unalielewa na halihusu dini au kitu kingine ni tatizo la kijamii.

Hivi mwalimu kutoka Mtwara anapokataa kupangiwa Mtwara nani akasaidie Mtwara? Lakini pia jiulize kwanini Ndanda Mission au Nyangao kwa father Libaba hawakuweza kuwa na impact kama maeneo mengine ?

Ni kwa mantiki yako ya tofauti za ''geographical positions'' haziwezi kulinganishwa unanisaidia kujenga hoja.kuwa tatizo halihusu imani ni la jamii na liangaliwe hivyo na wala si kusema sisi so and so tumeonewa.
Pia linasaidia sana kueleza kwanini lawama kwa Nyerere ni kisingizio tu, vingenvyo tusingekuwa na tofauti zinazosemwa kutokana na tofauti za kikanda.



Tunaenda sawa sawa,

Ngoja tuendelee vema na majadiliano,

Kuhusu kanda yangu hii ya lindi na mtwara kuhusu suala la elimu kama nilivokueleza,kunawiri ama kudoda kwa maendeleo ya elimu yametokana na sababu mbali mbali na baadhi kama ulivozigusia hapo juu.,

Kwa ufupi watu hawakujikosesha fursa hii kwa makusudi,au kwa kigezo kwamba iman zao ziliwasisitiza moja kwa moja kuikosa elimu hiyo,


Nitakupa mfano mmoja,kuna mzee wangu mmoja yupo mwalimu nyerere foundation hapa dsm,yeye ni mratibu na kaimu wa utawala baada ya joseph butiku anaitwa Galus Abeid,

Huyu mzee wangu wa kimakonde kwa sasa anapata umri kama wa miaka 72 hivi,lakin yuko vizur kiafya na anaendelea vyema na kulitumikia taifa japo alishastaafu utumishi serikalini,

Huyu ni miongon mwa waathirika wa mfumo wa elimu kwa kanda hii ya pwani ya kusini ya lindi na mtwara,nimemchukua yeye kama subset tuh ili nikuweke sawa kwenye mjadala huu,

Kuna siku nilifanya mjadala na mzee Galus Abeid,

Nilimuuliza,father kwanin wewe ulibahatika kupata nafasi ya kupata elimu hadi kufikia ngaz ya cuo kikuu na huku wenzako wengine wengi kule mtwara na lindi wakiikosa nafas ile??kumbuka hawa wamesoma kabla ya uhuru yan kipindi ambacho nyerere hakuwa madarakan,

Alinijb kwamba,enz zile za ukolon hii elimu ya secular ambayo ilikuwa inatolewa ilikuwa inatolewa kwa misingi ya iman,yan ili uipate elimu hii ilikubid kwanza uikane iman yako,kisha ukubali kuingia iman nyingne then ndipo utapata fursa ya kuipata elimu hiyo,

Wazaz wengi kipindi kile suala la kuona watoto wao wanabadilishwa iman kwa misingi hii ya kupata the so called secular education wakaona ni muhali mkubwa sana,na kipind hicho elimu m'badala ambayo ilikuwa inapatikana ni mafunzo ya qur an na tartibu bora za maisha ya uislam na hukumu zake,kwaiyo familia nyingi baada ya kuona hali hiyo anasema waliopt kuchukua elimu hiyo kwa upekee wake,

Zipo familia chache sana mfano ya kwake yeye ambazo wazazi waliwaambia watoto wao ya kwamba hakuna namna,wewe badilisha jina lako,na ikibid hata kubatizwa batizwa ili mradi uipate elimu ile,iman yako si itabakia moyon??kwaiyo zipo baadh ya familia na wazaz ambao waliamua kucheza kamari ili mradi kuhakikisha watoto wao hawaikos elimu ile pamoja na vipingamiz vyote vilivyopo,ndipo yeye GALUS ABEID AKABADILISHA JINA NA KUINGIA KWENYE IMAN HIYO KINYEMELA NA BAADAE BAADA YA KUFANIKIWA AKAENDELEA KUKIAMIN KILE ANACHOKIAMIN,KAMA UNAVOJUA TENA IMAN YA MTU NI SIRI YAKE NA HUBAKIA MOYONI,YULE MZEE JINA LAKE HALALI LILIKUA MUSA NAMANGAYA,NA SIO GALUS ABEID,HIVI NDIVO MAMBO YALIVOKAWA...


SASA sio familia zote zilichukua ujasiri kama huo,

Baada ya wakolon kuondoka na taifa hili kujipatia uhuru wako kikaasisiwa chombo cha bakwata,japo najua hoja hii umeikwepa pale juu katika kuisherehesha hoja yako,ila mimi nairejesha tena kwako,

Kikatokea chombo cha bakwata huko kilitokea bila honi bila kengele na kuja kuvalishwa majukumu makubwa ya kuratibu mambo ya waislam on behalf of serikali kwa namna moja ama nyingine,utakuja kuona kwamba baada ya serikali kuuchukua uhuru wake inasemekana shule nyingi zilikowa za mishen zilitaifishwa ili sasa wananchi wote wapate haki sawa kielimu bila kujali matabaka ya kiiman lakin nakuhakikishia ya kwamba wapo baadhi ambao walikuwa wanafungwa speed governor kwa kutumia kikaaango cha NECTA NA BAKWATA KWA MIAKA MINGI SANA TENA BILA SABABU ZA MSINGI NA ZENYE KUELEZEKA,

Katika mjdala tuliokaufanya hapo nyuma sikumbuki kama nishawahi kukubaliana nawewe kwamba shughuli za uchumi si tatizo kubwa,la hasha,mimi nasema kwamba shughuli za uchumi kwa namna moja ama nyingine ni tatizo kubwa sana linalopeleka kuimarika kwa huduma zingine mfano umeme,barabara,maji na kadhalika,

Huku kumeachwa nyuma na kuliachwa nyuma kwa maksudi tena bila sababu za kueleweka,sehem ambayo inakua nyuma kiuchumi na kimaendeleo kwa ujumla tegemea pia hata suala la elimu na mambo mengine lazima liwe nyuma,hilo lipowazi,huwez kuwalaum wkaz wa eneo hilo kwa hoja zozote za kuokoteza hapo,

Ndipo naporud kwenye hoja kuu kwamba zipo sababu za msingi kabisa katika baadh ya maeneo zilizopelekea uduni wa elimu wa maeneo husika nazo ni mfumo wa utawala kuanzia huko kwenye ukoloni na baada ya ukoloni,

Na vipaombele vya serikali katika kuyaangalia baadh ya maeneo ndan ya taifa hili pia pamoja na kuratibiwa kinyemela na chombo cha kijasusi kama bakwata kwa maslahi ya kuwanufaisha wachache na kuwapunguza na kuwatenza nguvu wengine,

Nyerere sio kisingizio,hatuna cha kumsingizia na yanayosemwa uzuri wake hayasemwi bila ushahid tambua hilo,hakuna anaelalama,hapa unasemwa uhalisia ulivyo.
 
Nguruvi,
Unajua sababu ya serikali kuichukia Quba?
Unaijua historia yake?

Hebu soma hii hapa chini:

''Warsha responded to these accusations by distributing leaflets to these areas
explaining position on the future of Islam in Tanzania and made Muslims be aware
of their activities in trying to liberate Muslims.

The government and BAKWATA could not match Warsha’s truth with their propaganda.
Muslims were sympathetic to Warsha and took Warsha's struggle as their own struggle.

Muslims helped Warsha to establish a school Masjid Quba and Islamic Centre which was
owned and managed by them. In retaliation to these efforts the government refused to register the school.

The school was perceived by the government as a centre of "Muslim fundamentalism."
The government went further to subvert the school by warning Muslim parents that
students completing their education at Masjid Quba would not be recognised by it and
would not be considered for further education or for employment.

Warsha was not to be deterred they decided to run the school and educate Muslim
children even without government registration. Members of Warsha used to say that they have their consent from Allah; they don’t need any permission from anyone. This was Warsha's motto. The school remained blacklisted by the government until 1988 when Prof. Malima as the first Muslim Minister of Education registered it.''

Hii ndiyo sababu Shule ya Masjid Quba inapigwa vita hadi leo kuanzia Nguruvi,
NECTA na serikali yenyewe. Nguruvi,

Hujui kitu. Fedha za ile shule ya Kibaha ndiyo iliyojenga chuo kikuu Tunguu Zanzibar.
Mzee Jumbe alipoelezwa kuwa serikali ya Tanzania Bara haitaki Darul Imaan iwasaidie
Waislam wa Tanzania Bara yeye akaingilia hilo suala na kuwaomba wauhamishie huo
mradi Zanzibar.

Hatukutaka lile lililotokea katika mradi wa kujenga chuo wa OIC serikali ukaupiga vita
ujirudie tena katika mradi huu kwa kuwa Darul Iman walikuwa wanataka kuuhamisha mradi
huu kwenda Somalia;

Na wazo la kutaka mradi ubadilishwe na sasa kijengwe chuo kikuu badala ya shule ya seokondari
ilitoka kwa vijana wa Kiislam Bara.Inawezekana sana hawa vijana walikuwa vijana wa Warsha.

Ati fedha zilililiwa. Huna moja ulijualo Bwana Nguruvi. Waislam wa macho sana.
Mohamed Said pole sana najua maumivu ya bayana zangu lakini tuvumiliane sheikh.

Kwanza, unavyoandika kuhusu Warsha wasomaji zaidi ya asilimia 80 hawaijui ninin. Wasomaji kuwa Mohamed anaposema Warsha anaongelea organization yake na wenzake wachache waliopata masomo kutoka kwa sheikh wa Pakistan aliyekuja kama profesa wa hisabati na kuunda kikundi. Warsha ni Mohamed na Mohamed ni Warsha.

Kauli yake kuwa ''Muslims were sympathetic to Warsha and took Warsha's struggle as their own struggle'' si kweli.Hapa anamaanisha Waislam wote ambapo mwenyeji wa Dar hajui Warsha.
Si kuwa haikujulikana Morogoro bali hata Kibaha. Ni kikundi cha watu tu wala haikuwa organization kwa maana hiyo.

Mohamed anasema serikali ililipiza kisasi kwa kutosajili shule za Masjid Quba na Islamic centre, Kwanza nikwakumbushe kuwa mara zote nimejikita kutaja Quba kwasababu najua ushiriki wa Mohamed na hakika hilo lina mchoma. Ukweli ni kuwa Quba ni felia zamani na hadi sasa na ni ishara ya felia ya harakati zisizo na maono.

MS hajaeleza wala kuweka ushahidi ni sababu zipi zilipelekea shule za Warsha kunyimwa usajili na ilikuwa wakati gani.Wakati ni muhimu kuufahamu na hapo tutafungua.
Mohamed, waeleze wana ukumbi nini yalikuwa majibu ya serikali kutokana na maombi ya kuanzisha hizo shule.

Ni tangazo gani au ni nani katika serikali aliyewahi kutoa kauli kuzuia watu kupeleka watoto katika hizo shule?
Waeleze wana ukumbi shule zote mbili zilisajiliwa wakati wa Malima?

MS inawezekanje NECTA ikaipiga vita Quba na kuacha Kirinjiko na Feza ambazo si za Bakwata. Ni kipi hasa ambacho Quba inacho zaidi ya ukosefu wa waalimu, mazingira mabovu na vitendea kazi hafifu. Ni kitu gani kinawasukuma akina Kawambwa na JK kuipiga vita maana wao ndio serikali.

Halafu hebu waeleze wana ukumbi uhusiano wa OIC, Jumbe, Chuo kikuu Tunguu na Darul iman kwa nyakati.
Ulichokieleza ni kama simulizi kwa mtu mwenye fikra kuna tatizo la kuunganisha nyakati, vitendo au matukio.
Kuwa muwazi tu wala usiogope weka wazi kwa mpangilio halafu nitaeleza bayana.
Huna sababu za kubabaika kwasababu wazo lilitoka warsha na warsha ni wewe.

Ninabaki na kauli yangu kuwa pesa zilitafunwa mradi ukahamishiwa Mbale. Zilitafunwa na Waislam wenyewe kama mgogoro wa Islamic centre ulivyowahusisha waislam tena kizazi kilichotokana na warsha.
Unafahamu ufujaji ulioleta mtafaruku.

Mwisho hakuna sababu serikali iwazuie Darul Iman halafu iwarhusu Whipas kujenga shule sehemu ile ile pale Kibaha. Kama lengo ni kuzuia maendeleio vipi isizuie kwa baadhi ya makundi ambayo si Bakwata.

MS mzee Said shule yako Quba is a disgrace and eyesore!
hakuna NECTA wala Nyerere. Ni testimony ya harakati bila mkakati.

Ninaingalia dunia kutoka kila upande. Mimi si yes yes!

 
Kila namna ambayo tunatafuta kukuweka sawa na kukurudisha kwenye mstari mnyoofu umekuwa unajikwepesha kwamakusudi na kukimbilia unakokujua wewe mwenyewe,ila sio kitu nguruvi3,sisi tutazid kukurudisha kwenye mstari tuh.

Hoja ya waislam wa eneo fulan mfano kilimanjaro na bukoba kufanya vizur na waislam wa maeneo mengine mfano lindi na mtwara kufanya vibaya kwenye sekta ya elimu mfano unaibeba bila mafuhum yenye kueleweka,

Unapozungumzia jamii ambazo zina geographical positions tofaut ndan ya nchi hii na jamii zenye historia tofauti ya kutawaliwa na kuendelezwa kimiundombinu na kimaendeleo stahiki ya kitaifa unakuwa unakosea sana,

Mfano tukichukua maeneo ya lindi na mtwara kuhusu sekta ya elimu na kiwango cha ufaulu wa wanafunz katika ngaz mbalimbali kuanzia za msiingi hadi sekondari kwa kias kikubwa hadi leo hii haziwez kufanana na shule za huko kilimanjaro na kwingineko.

Hilo linasababishwa kwanza na vipaombele vya taifa katika kupeleka nyenzo,huduma na uelewa kwa wananchi wake katika maeneo husika,mfano huku lindi na mtwara unafaham fika ni kwa jins gani kumewekwa nyuma katika sekta zote za maendeleo ya nchi hii ikiwemo miundimbinu ya bara bara,maji,afya,na huduma mbali mbali za kijamii ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaweza kuchochea kwa namna moja ama nyingine kukua kwa sekta ya elimu na mwingiliano wa watu wa aina mbali mbali,

Wewe umesahau kuwa ilishafikia hatua huku mfanyakazi wa serikali let say mwalimu,muuguz au daktari na kadhalika akipangiwa kituo cha kazi kanda hii basi huchukulia nafasi hiyo kwake ni kama adhabu na wakati mwingine tumeshuhudia wengi miongon mwao wakihama na kuacha kazi kulingana na mazingira magumu ya kufanyia kazi na kuish,unataka kuniambia mambo kama hayo hayaathiri hadi mfumo wa elimu wa kanda hii kulinganisha na maeneo kama arusha na kilimanjaro??

Pamoja na kwamba naweza kukubali kwamba kuna wakati mwingine zipo baadhi ya familia zimekuwa hazikutilia mkazo suala la elimu kwa asilimia mia moja kwa vizaz vyao lakin ni ukweli kwamba hilo pekee halikuwa ni pingamiz kwa kutokuelimika kwa watoto wa kanda kama hizi na kusin na pwani,


Hakuna anaesimama hapa kutafuta sababu za kipuuz kujenga hoja kama ulivyotukana hapo juu,japo ukitukanwa na wewe twajua wakimbilia moja kwa moja kunyooshea vidole kwmba hao si waislam wenye mafunzo,
Hoja ulizopewa na Moh Said si za kipuuz,ni hoja zilizofanyiwa utafiti na umewekewa rejea kibao hapo chini,sema wewe hutaki kuzisoma na kuzielewa,hili ni suala linaloelezewa vizur na kwa hatua zenye kueleweka.

Linapokuja suala la bakwata ambayo wewe unakiona ni chombo makin na imara kwetu sisi waislam ndiyo tunakufahamisha kwamba hicho ndicho mziz wa fitna na taharuki zote unazoziana kwa sasa,

Lait kingalikuwa ni chonbo chenye vision na misson nzur haya tunayoyadili humu ndan kwa sasa kwa kifua mbele yasingalikuwapo,hilo yapasa ulitambue nguruvi3,ule ujasiri alioutumia julius nyerere kusimamia suala la uanzishwaji wa bakwata kinyemela ndilo hili linalotugharim hadi hiv sasa,watu wapo hapa kukufunza historia yake ya utendaji na mwingiliano wake katika nyanja mbali mbali,hilo ulitambue
NITAKUREJEA TENA

Maulaana THE BIG SHOW,
Assalaamu alaykum,
Pana msemo wasema wazee wetu kuwa mwana haramu hata umfiche vipi lazima ataonesha dalili/alama zake kuwa si-mstahiki pahala hapo alipo

Na ukitaka kumjua mtoto wa halali muulize jina lake atakutajia hadi huenda kama hutotahadhari muda akakufikisha kwa Babu letu Sayyidinaa Ibraahiim,

Sasa tuhamie kwa mwanaharamu,
Muulize waitwa nani?!
Sana atataja jina lake na jina la pili ambalo ni la babaake ataanza kukuna kichwa kwa kujitia ati atafakari, sasa hapo wataraji upate nini?!

Mfano ndo kwa jamaa zetu, hawana kipya wala jipya la kutujuvya lakini si sababu ya sisi kuwatenga,
Ngoja waendelee kupata huduma za Mudeer Muhammad Saeed,

Teh teh teh ......,
sie wana tupo pembeni twakinga makapu yetu kwa kujaza ilmu alojaalika kuipata.
 
Mujitahid Wabara,

Kwi! Kwi! Kwi!

Yaani wewe kweli ndo unampatia huyo mpuuzi Eiyer na hivyo vijisuali vyake vya makhanatha.

Yeye/wao ndo walivyokaririshwa ya kwamba ati Waislam woote "hawajasoma" na ni "wapuuzi"...maluuni mkubwa huyo Eiyer! Kwi! Kwi! Kwi!

Si umeshuhudia/umejionea hiyo attitude yake ya kishamba hapa jamvini!?

Ahsanta.

Al-habeeb gombesugu,
Assalaamu alaykum,
Hawa wagala sie hatushangai kwa kizidia upotovu wao,
Kwani Qur aan isha nena, wana mato lakini hawanaoni, wana masikio lakini hawasikii,

Kwa ajili hiyo wao ni kama wanyama bali si tu kama wanyama ila wapo upotovuni mkubwa sana/ wamepotoka zaidi,

Al hamdulillaahi bihaadha ne'ematil iimaani wal islaamu,

Teh teh teh, kwi kwi kwi ...,
Twawasubiri tena na mibabaisho yao,
 
Maulaana THE BIG SHOW,
Assalaamu alaykum,
Pana msemo wasema wazee wetu kuwa mwana haramu hata umfiche vipi lazima ataonesha dalili/alama zake kuwa si-mstahiki pahala hapo alipo

Na ukitaka kumjua mtoto wa halali muulize jina lake atakutajia hadi huenda kama hutotahadhari muda akakufikisha kwa Babu letu Sayyidinaa Ibraahiim,

Sasa tuhamie kwa mwanaharamu,
Muulize waitwa nani?!
Sana atataja jina lake na jina la pili ambalo ni la babaake ataanza kukuna kichwa kwa kujitia ati atafakari, sasa hapo wataraji upate nini?!

Mfano ndo kwa jamaa zetu, hawana kipya wala jipya la kutujuvya lakini si sababu ya sisi kuwatenga,
Ngoja waendelee kupata huduma za Mudeer Muhammad Saeed,

Teh teh teh ......,
sie wana tupo pembeni twakinga makapu yetu kwa kujaza ilmu alojaalika kuipata.


Waleikum Salaam Warahmatullahi Wabarakatuh,

Al habib WABARA,nimekusoma vema sana al akhiy,

Shukran sana kufahamiana hapa,na ni raha kujumuika na kutandika jamvi kwa khushui ya hali ya hali ya juu kumsoma
mwana historia nguli aliebakia ndug MOH SAID,,

SISI AWAPO YEYE DAIMA HATUBANDUKI,HII NI FURSA ADHIIM SANA,TWAJIONA NI WENYE BAHTI KUBWA SANA KUKAA KITAKO NA KUJADILIANA NAE HAPA,SHUKRANI SANA
 
THE BIG SHOW yaani ninapokusoma najisikia hamu ya kuwa na mnakasha na wewe kwa jinsi unavyojenga hoja zako. Hata kama sikubaliani au natofautina bado ukweli unabaki kuwa ni hoja zenye mantiki.

Pili, kuhusu matumizi ya neno upuuzi nadhani hili linaeleweka vibaya. Neno hili linatokana na puuza au ignore kwa kiingereza. Kama hili ni tusi(nasimama kusema si tusi) basi msome gombesugu yarabi! Hata kujibu hoja zake ni tusi pia.

Tukirudi kwenye mada, endapo unakubali tofauti za kikanda na historia ya kutawaliwa ni chanzo cha tatizo hilo ni jambo linaloeleweka na lieleweke hivyo si kutafuta sababu na kuficha ukweli. Hata historia mchango wake ukinyumbuliwa mengi yatajitokeza. Kanda zilizo na mwamko nyingi zilikuwa chini ya wamishenari, lakini watu watahoji je kule kulipoanza kupokea ukoloni kama pwani kwanini athari njema hazikuwafikia? Naliachia hapo

Ukisoma historia ya kuingia kwa dini katika mkoa wa kilimanjaro utaona wamishenari walifika mwaka 1890-1898 kwa baadhi ya maeneo. Uislam umeingia katika miaka ya 1930 kwa ushahidi wa historia na majengo ya historia niliyoyaona. Kitu cha kushangaza katika muda na tofauti hizo uwiano wa elimu upo sawa. Je, hawa waliochelewa wamefanya kitu gani?

Siri kubwa ilikuwa kujitambua na kutambua wanataka nini. Hata kabla ya shule za wazazi, serikali n.k. watoto walipelekwa shule za mashirika ya dini bila kujali imani. Waliofanikiwa walirudi na kujenga nguvu za jamii yao. Kwahiyo si suala la muamko tu ni suala la ushindani na kujitambua.

Kuhusu mikoa ya kusini kama Mtwara na Lindi ni kweli kulikuwa na kupoteza mkazo katika maeneo hayo kama ilivyokuwa kwa Dodoma na Singida. Tumewahi kujadiliana sana kuhusu hili nikakueleza kuwa shughuli za uchumi si tatizo kubwa. Tatizo ni wakazi ambao hukimbia makwao na kushindwa kurudi kuzisadia jamii zao.
Mfano mzuri ni akina Kawawa na Mkapa. hili unalielewa na halihusu dini au kitu kingine ni tatizo la kijamii.

Hivi mwalimu kutoka Mtwara anapokataa kupangiwa Mtwara nani akasaidie Mtwara? Lakini pia jiulize kwanini Ndanda Mission au Nyangao kwa father Libaba hawakuweza kuwa na impact kama maeneo mengine ?

Ni kwa mantiki yako ya tofauti za ''geographical positions'' haziwezi kulinganishwa unanisaidia kujenga hoja.kuwa tatizo halihusu imani ni la jamii na liangaliwe hivyo na wala si kusema sisi so and so tumeonewa.
Pia linasaidia sana kueleza kwanini lawama kwa Nyerere ni kisingizio tu, vingenvyo tusingekuwa na tofauti zinazosemwa kutokana na tofauti za kikanda.
Nguruvi3 naona mipini ya Al-Habib gombesugu imekuingia barabara teh teh teh uma meno vumilia tu utazoa tu.

Hakuna sehemu yeyote ambayo gombesugu. Ametoa matusi hizo bayana mubashar na tafsida za lugha ya kiswahili iliyojaa tunu kulalamika kwako kukimbia kutokujibu kisa eti matusi mipini inaumiza na majiti ya roho fanya ustamivilivu kama vigori.

Teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said pole sana najua maumivu ya bayana zangu lakini tuvumiliane sheikh.

Kwanza, unavyoandika kuhusu Warsha wasomaji zaidi ya asilimia 80 hawaijui ninin. Wasomaji kuwa Mohamed anaposema Warsha anaongelea organization yake na wenzake wachache waliopata masomo kutoka kwa sheikh wa Pakistan aliyekuja kama profesa wa hisabati na kuunda kikundi. Warsha ni Mohamed na Mohamed ni Warsha.

Kauli yake kuwa ''Muslims were sympathetic to Warsha and took Warsha's struggle as their own struggle'' si kweli.Hapa anamaanisha Waislam wote ambapo mwenyeji wa Dar hajui Warsha.
Si kuwa haikujulikana Morogoro bali hata Kibaha. Ni kikundi cha watu tu wala haikuwa organization kwa maana hiyo.

Mohamed anasema serikali ililipiza kisasi kwa kutosajili shule za Masjid Quba na Islamic centre, Kwanza nikwakumbushe kuwa mara zote nimejikita kutaja Quba kwasababu najua ushiriki wa Mohamed na hakika hilo lina mchoma. Ukweli ni kuwa Quba ni felia zamani na hadi sasa na ni ishara ya felia ya harakati zisizo na maono.

MS hajaeleza wala kuweka ushahidi ni sababu zipi zilipelekea shule za Warsha kunyimwa usajili na ilikuwa wakati gani.Wakati ni muhimu kuufahamu na hapo tutafungua.
Mohamed, waeleze wana ukumbi nini yalikuwa majibu ya serikali kutokana na maombi ya kuanzisha hizo shule.

Ni tangazo gani au ni nani katika serikali aliyewahi kutoa kauli kuzuia watu kupeleka watoto katika hizo shule?
Waeleze wana ukumbi shule zote mbili zilisajiliwa wakati wa Malima?

MS inawezekanje NECTA ikaipiga vita Quba na kuacha Kirinjiko na Feza ambazo si za Bakwata. Ni kipi hasa ambacho Quba inacho zaidi ya ukosefu wa waalimu, mazingira mabovu na vitendea kazi hafifu. Ni kitu gani kinawasukuma akina Kawambwa na JK kuipiga vita maana wao ndio serikali.

Halafu hebu waeleze wana ukumbi uhusiano wa OIC, Jumbe, Chuo kikuu Tunguu na Darul iman kwa nyakati.
Ulichokieleza ni kama simulizi kwa mtu mwenye fikra kuna tatizo la kuunganisha nyakati, vitendo au matukio.
Kuwa muwazi tu wala usiogope weka wazi kwa mpangilio halafu nitaeleza bayana.
Huna sababu za kubabaika kwasababu wazo lilitoka warsha na warsha ni wewe.

Ninabaki na kauli yangu kuwa pesa zilitafunwa mradi ukahamishiwa Mbale. Zilitafunwa na Waislam wenyewe kama mgogoro wa Islamic centre ulivyowahusisha waislam tena kizazi kilichotokana na warsha.
Unafahamu ufujaji ulioleta mtafaruku.

Mwisho hakuna sababu serikali iwazuie Darul Iman halafu iwarhusu Whipas kujenga shule sehemu ile ile pale Kibaha. Kama lengo ni kuzuia maendeleio vipi isizuie kwa baadhi ya makundi ambayo si Bakwata.

MS mzee Said shule yako Quba is a disgrace and eyesore!
hakuna NECTA wala Nyerere. Ni testimony ya harakati bila mkakati.

Ninaingalia dunia kutoka kila upande. Mimi si yes yes!

Nguruvi3.

Watu hawataki hadith za Bulicheka na mke wake Elizabeti.

Umesema pesa za mradi darul islam kibaha zimeliwa na Waislam ambao walikuwa kwenye kama na ushahidi unao JF siyo sehemu ya porojo tuwekee huo ushahidi.

Usipouweka nakuweka kwenye list yangu ya wazee wa mipasho wa JF.

Cc: Dr. kahtaan mujitahid Tayeb.
 
Last edited by a moderator:
Sikiliza kijana, katika kitu ambacho hakipo katika Uislaam ni ubaguzi, uwe wa rangi, jinsia, dini na au kabila, au uwe wa aina yeyote ile.

Kumbuka Hijra (immigration) ya kwanza ya Waislaam, walivyokuwa hawakubaliki Makkah, walielekezwa na Mtume Muhammad S.A.W waende Habash, huko Habash ndio Ethiopia ya sasa, na huko kulikuwa kuna mtawala Mkristo, nae akawapokea na kuwahudumia.(akiitwa Nagash).

Leo hii uelewe, hakuna Muislaam ambae ni adui wa anaejiita Mkristo. Adui wa Wakristo ni yule aliye msulubu Yesu, ni nani huyo?

Adui wa Wakristo ni yule aliye-wawekea viti 12 vya kuingilia mbinguni. Ni nani huyo?

Muislaam, hana tatizo na Mkristo wala Mkristo (wa kweli) hana tatizo na Muislaam.

Tatizo lako ni nini?

Mbona Al-Qaida walikuwa wanawali familia za watu weusi wanaojilipua pesa ndogo kuliko waarabu wanaojilipua
 
Mbona Al-Qaida walikuwa wanawali familia za watu weusi wanaojilipua pesa ndogo kuliko waarabu wanaojilipua

Ukizumgumzacho wakijua ama ndo zile hadithi zenu za Paukwaa paka.....?!

Ninyi viumbe mwatuchekesha sana hapa ukumbini, mwafanyiza maropoko na mara tu mkibanwa shusheni data hapa wana jamvi tupateujua uhalisia wa-mkisemacho/mkiteteacho ghafla mwahama na kujipachika mas-ala mangine,

Yaani mwashika tabia kama za chura katika ukuaji wake, mwakata baadhi ya maungo yenu, tizameni mtaisha kama huyo chura kama alivyo tuonesha mwanzo tukahisi ni katika samaki kumbe ni ....,

Dada akupa uhalisia wa mambo uyatakayo na maulizo hakuachi,

Wewe badali ya kujibu ulichotakiwa waleta porojo zangine,

Mfano: umeulizwa umekula? Weye warukia jibu la pili ambalo huenda si lazima akuulize, ati ugali haukuwa na mboga nzuri,

Teh teh teh,
Kijana kaa katika mada tajwa si kuruka ruka kama chura, ama ndo wajirahisia njia ya kuukimbia mjadala?c

Kwi kwi kwi .....,
 
Ngoja tumsubiri Nguruvi3 aje amesema pesa za mradi Darul Islam zimeliwa na kamati na ushahidi anayo.

Teh teh teh

Siamini kabisa kabisa kama atatia guu lake hapo! Au atajitia computer yake keypad zake zimegoma, mgeiye siku tatu ili asipotokea tufunge hilo ulizo ulilomtwika,

Kwi kwi kwi ....,
 
Last edited by a moderator:
Kijana usipende kuokota maneno kwenye vijiwe vya mbege unaleta JF.

Kwi kwi kwi ....
Maulaana Ritz waniua mbavu nduu yangu,
Yaani kama namuona jinsi anavyo yumba na kopo lake la hiyo ......
Tumsubiri ikimkatika atarejea na jengine hapa.
 
Back
Top Bottom