Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Qur'an 2:6 - 7
Umenipa Quote ya Quran bila hata kusema ni wapi inasema haki ni ipi na dhulma ni ipi[maana sijaona hapo kwenye hayo maandiko]
Halafu ni nani aliyeandika hicho kitabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Qur'an 2:6 - 7
Maulana wabara
Katika Qur'an hakuna mazingaombwe, mizuka wala mafumbo (madai ya nguvu ya roho), bali ni kitabu chenye ujumbe wa kweli ulio wazi, maridhawa, na rahisi kueleweka.
Unajua maana ya mazingaombwe?Really?
Hebu niambie kuhusu mi'raj ya Mohammad!
Aliendaje Peponi kupitia Msjid al Aqsa wakati huo msikiti haukuwepo enzi ya uhai wa Mohammad?
Madai hayo yapo kwenye Quran na hadith pia
Quran 17:1
Sahih Bukhari, Volume 4, Book 55, Number 636:
Sio mazingaomwe hayo?
Naona unatoa pole kama jamaa zako wamefiwa!
We unachotakiwa ni kujenga hoja na kuonyesha huo udhaifu wa hoja zetu!
Sio kudandia treni ambayo imesha chukua speed ya ajabu!
Halafu unadandia kwa mbele! Kweli utapata nusra hapo!
Kauzu sio tusi! Bali ni CHEO anachopewa mtu anaeandika bila kufikiri!
Na nadhani na wewe mwenyewe kwa hiari yako unataka kujiingiza kwenye kundi hilo!
Teh teh teh teh
Nimekusoma, kauzu kahtaan, the fiercest of all barking dogs of their master. So fierce such that it sometimes barks on the relatives of the master.
Hapo nimekusifia
teh teh teh, kwi kwi kwi

Gombesugu,
Tajdeen nilikutananae hapa Dar miaka ya 1990s nilimpokea uwanja wa ndege mie
na rafiki yangu mmoja ambae yeye ndiye alikuwa mgeni wake.
Alikuja katika mkutano Zanzibar.
Tariq Ali mie nimejulia Uingereza ni mtu hodari sana.
Unajua maana ya mazingaombwe?
lanatullah khomein teh teh teh? umeshamsomaeee?!
Nanren , you reminded me this story!!Nimekusoma, kauzu kahtaan, the fiercest of all barking dogs of their master. So fierce such that it sometimes barks on the relatives of the master.
Hapo nimekusifia
teh teh teh, kwi kwi kwi
Maulana wabara.
Hawa jamaa wanachekesha sana hawajuhi hata kama uliishi zama za Mtume wetu kama ulikuwa mwongo, mfitini, mchonganishi, msengenyaji, hauwezi kueleza hadith yeyote na watu wakaikubali unakuwa umekosa sifa za uchamungu.
Bi Aisha amekusanya hadith nyingi kutoka kwa mume wake Mtume Mohammad, zote zinakubalika kutokana na sifa yake angekuwa msengenyaji wala hakuna angemuamini kwa chochote.
Ndugu yangu tupo hapa kutoa darsa.
Wickama.
Narudia tena kukuambia Bi Aisha ametajawa kwenye Qur'an kama mwanamke mkweli na mwadilifu.
Usipende kuokota hizo paste and paste na kuzileta JF, kwa kukufahamisha tu kuna hadith za uongo zaidi ya laki tatu na hii yako inaangukia humo kwenye uongo tu.
Hadith sahih zinafahamika mafuhumu yake na mapokezi.
maalim wangu CHAMVIGA hawa wenye kuvaa zile shuka nyeusi kichwani wana laana!
Hawa ndio wale wagalatia wanaosema Quraan haijakamilika!
Vimburu wakubwa hawa! na moja ya ibada zao ni KUSEMA UONGO!
We si unaona ameingia mitini??
teh teh teh teh
Mr Wickama
Niliyasema zamani haya!
Post zako zoote ZINANUKA HARUFU YA LAANATULLAH KHOMEINI na wake maswahiba zako wenye kusujudia jiwe!
Sina wakati wa kujibu hoja ya mtu anaingizwa kwenye dini ya kuabudu MTU kwa kupewa baskeli na zile jelebi za ithnaasheri pale kwenye lile hekalu lenu!
Na ukiendelea na speed hii ya kupotosha watu! Mwakani huenda ukapanda cheo cha kilemba cheupe na mnyororo mreefu wa kujichapia!
I am out of this nonsense!
Unaijuwa Dar lakini unaishi viunga vya Dar. Na babuyo alikuwa wapi wakati watu wanapigania Uhuru wa Tanganyika, usiniambie Malawi.
Dio nyie mnaopenda kutumia majina ya babu zenu na baba zenu kuliazimisha kufanikiwa kimaisha mkizani ni haki yenu. Wakati hata uwezo wenu ni ndogo na hamjitumi kisa baba au babu alikuwa mtu fulani. Najinsi unavyoandika kiswaili inaonekanw wewe ni kunguru wa zanzibar
Salaam Sheikh Mohamed Said,
Katika wakti ambao nilijaaliwa kufyonza ilm, ni pale nilipokutana na Tariq Ali katika warsha ya moja ilofanyika Mji Mkongwe
Hakika jamaa ni hodari sana wa kuzungumza na kutolea ufafanuzi wa mambo mbali mbali!
Na kuombea afya njema Sheikh Mohamed Said, uendelee kutupa ilm hapa jamvini!
Waungwana wote tuko pamoja, nawasoma na ninafutalia kwa makini bayana zenu!
Muda umekua kiduchu lakini tutawasiliana kadri nitakavyojaaliwa!
Ahsante!
At last we have made progress!!!!!! At the beginning i was called a Catholic, then Jehova's witness. Now a Shia. Tommorow? maybe freemason...... Basi Sheikh wangu, yameisha. Lau ukijisikia Muta tujulishane. Sie MASHIA haitusumbui.
Mtihani wao utawapata na kuwapoteza wajinga pekee na uzuri tunao majemedali walioweka misingi isiyoweza vunjika wala kuchezewa.