Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

kwa hiyo mtu yeyote asieamini kwenye kile unachoamini wewe basi hawezi kuwa ndugu yako? that is how low you can think?!
kazi ipo! hongera kwa kufikiria ufikiriavyo.

Let me make this very clear! MIMI SIWEZI KUWA NA UNDUGU NA KAFIRI!! ABADDAN.
Na hii sio kashfa! Bali ni kanuni ya maisha ambayo NIMEAHIDI KUIFUATA!

Mimi nasema MUNGU MMOJA!
Wewe na wenzako mnasema miungu WATATU!!
SASA HUO UNDUGU UTATOKA WAPI??
MANAKE KWENYE DAMU HAUMO! NA KWENYE IMANI HAUMO VILEVILE!

Mi sio mnafiki kama nyerere! Anatuita NDUGU WATANZANIA! HALAFU ANADHULUMU MALI ZA WAZEE WA WATU.
Mi nakwambia kabisa kama ww unasema miungu wengi au mungu ni mzungu! Basi WEWE NA MIMI NA MBINGU NA ARDHI!.
Now keep off galatian.
 
Mkuu nilikuwa sijakusoma... Umesema Vatican si nchi????? na kuhusu ukristo uuzungumziao hapo mbona haviendani na mambo ya nchi zifuatazo mfumo wa kidini? Ukristo ulikuja baada Yesu na Uislam ndio nadhani wa mwisho mwisho ulikuwa ukiitwa Wapinga Kristo..

Tizama hapa Uhusiano wa Irani na Vatican
PressTV - Iran?s new ambassador to Vatican holds meeting with Pope

Usitumie makalio kufikiri!
Nenda kaulize kama kuna nchi inayoitwa VATICAN. Nadhani ukiipata basi rais wake lzm atakuwa pope!
Teh teh teh
 
Mkuu nilikuwa sijakusoma... Umesema Vatican si nchi????? na kuhusu ukristo uuzungumziao hapo mbona haviendani na mambo ya nchi zifuatazo mfumo wa kidini? Ukristo ulikuja baada Yesu na Uislam ndio nadhani wa mwisho mwisho ulikuwa ukiitwa Wapinga Kristo..

Tizama hapa Uhusiano wa Irani na Vatican
PressTV - Iran?s new ambassador to Vatican holds meeting with Pope

KIKWAZO KWAKO NI hio Elimu yako Ya kata Mlaleo .

Hakuna NCHI INAYOITWA VATICAN!

ISPOKUWA VATICAN IKO NDANI YA NCHI YA ITALY!! NA NI MAKAO MAKUU YA KIKAFIRI! NA YA KUABUDU SANAMU!!

NA ITALY Ni nchi ambayo ULIBERALI NI HALALI! NA NDOA ZAO ZINAFUNGWA NDANI YA MAKANISA.
Rudi shule kwanza.

Hapa utachemka!
 
Last edited by a moderator:
Sheikh Mohamed Said,

Tafadhali,Al Akhiy kipata fursa japo kiduchu...

Embu tujuze kuhusu huyu Sheikh Haidar Bin Mwinyimvua alotajwa kwenye huo ufunguzi wa hii thread,ndiye yule anaesali pale Msikiti wa Mwinyikheir Akida, Barabara ya Bibi Titi Bint Mohammed!?

Je bado yuhai huyu Mzee Wetu!?

Alikua na nguguye pia akiitwa Bwana Haidar,aliekua na nyumba opposite ya Mwananyamala Primary School!?

Kama ndie yeye,basi huyo Bwana khabar zake ni ndefu mno na pia nasikia yakuwa ni msomi mzito mno!?

Nilipata kusikia khabar na sifa zake toka kwa Sheikh Mahdi Bin Muharam...yule kijana Imam wa pale Masjid Mwinyikheir Akida.

Je pana khabar zozote za hawa Mwamwinyi/Landowners wa hiyo D'salam na viunga vyake zama hizo...naona raha kila mara kuwasoma hawa Wazee Wetu,waliotakapotoshwa kwa makusudi na ile maluni ya historia ya Kivukoni;

Mwinchande Bin Kidato,MwinyiKhamis Wa Dodo,Mwinyikhamis Bin Meno,Mtumwa Wa Mkenge,Maalim Bin Salim Bin Awadh,Miraj "Mzuri" Bin Jahazmy,Abdallah Bin Ramadhan Bin Lofa,Abdilbary Bin Diwani Wa Gombe,Maembe Bin Mzaham,Ali Bin Keis Bin Ali na wengineo wengi labda mie siwajui!?


Ahsanta.
Al-Habiby gombesugu

Umewataja hao wazee chini hapo umenikumbusha mbali sana, wengi hao wazee wametangulia mbele ya haki.

Kama miezi mitatu iliyopita nilikwenda kumuangalia Mzee Mwinyichande Bin Kidato alikuwa India kwa matibabu, anaendelea vizuri watoto wake mie rafiki zangu pale Mtaa wa Congo "Nungwi"

Huyu Mzee nyumba yake ipo Congo mwisho na ana nyumba sehemu nyingi, nyumba yake mtaa wa Agrrey karibia na Msimbazi ndiyo nyumba pekee haijajengwa ghorofa

Tuwaombee dua hawa wazee wetu ndiyo maana huwa nakuwa mkali sana hawa wazee wakiletewa kejeli na dhiaka.

Hayu mzee alikuwa mkuu wa magereza Morogoro.
 
Last edited by a moderator:
So you want to talk bout "Mazingaombwe" now,yeah!?

Ok,lets start from here then;

When the Emperor Constantine(325AD) wanted to unite Rome,he simply fused Paganism with Christianity to appease both Pagan/Christian communities.

The Vatican itself was constructed upon the ruins of an Ancient Pagan sanctuary...thus,Christianity has its roots in Paganism.

This recent religion(Christianity) is neither new nor strange,as it is merely a pale reflection of earlier Pagan beliefs - Celsus(360AD).

The "Resurrection" of Jesus was a known Pagan myth of the early ages.

Over 18 Pagan "Sons of gods" were said to have "resurrected" before him.

Pope Urban ordered the deaths of over 10million people during his reign and is listed on TIME magazine's "Most Evil Men In History" -1976.

Emperor Constantine
(325AD) changed the Christian "Holy day" to Sunday to tally with that of the Roman Pagan sun god- Sol Invictus.

Biblical "Jesus" descended from a generation of of 12,had 12 Disciples and dined with them at a "last super"...so did Krishna-4000BC!

During the Inquisition,an entire Carthan village of women and children numbering 120,000 were completely murdered by Catholic Knights.

In order to encourage Slave Trade,Pope Nicholas V lied that "God" told him in a dream it was alright for Christians to buy and sell heathens!

...If needed will continue!

Ahsanta.

Haya ni mazingaombwe?
 
Again,you fool Idiot,I never expected you to easily decode my post anyway!

Now this is another one for you,Miss Eiyer...are you ready pretty face!?

"When foolishness is rewarded,wisdom becomes useless" - Cesare Borgia.

Did you know who is this!?

Cesare Borgia
was the son of Pope Alexander VI.

Infact,he was the Popes most loved and illegitimate son.(at one time papacy members were allowed to marry) Kwi! Kwi! Kwi!

Pope Alexander VI was known for having multiple mistresses and in 1476 bore a son named Cesare Borgia.

Cesare was Alexanders favoured son and by the age of 15 had already become the Bishop of Pamplona.

By his 18th. birthday he was a Cardinal.

Borgia
also had an older brother named Giovanni,who was Captain General of the Papacy Military Forces.

Cesare
envied his brother position and many Scholars believe he envied it so much that he had his own brother assassinated in order to obtain the office.

Other records show the brothers slept with the same mistress,the wife of their younger brother Goffredo.

Many believe the inflamed love triangle between the brothers and their so called mistresses is that led to young Giovanni's demise.

Following Giovanni's assassination,Cesare Borgia resigned his position as Cardinal and became Captain General of the Papacy Military.

During his time,the Catholic Church was waging war on Islam and Cesare was about to play a vital role in the history of the Church.

At the time,the Muslims had successfully made their way to Germany and taken control of Turkey.

This threatened the Churches stronghold over the Empire.

During the same period,the image of Jesus was that of a Muslim and the Church was having a hard time selling its ideologies in the region.

Some Scholars say they devised a plan to correct this issue and used Cesare Borgia as its tool.

Consequently,some historians say the himself Pope came up with a plan to have every painting of the original Messiah destroyed.

Next,Alexander VI commissioned Leonardo Di Vinci to reinvent "Jesus" in the image of his own beloved Son,Cesare Borgia!

Now,will you acknowledge this fact and STOP worshiping that silly picture of a white man/an illegitimate child aka "Jesus"!?

Ahsanta.

Umekuwa ukinipa maelezo yanayohusiana na Kanisa Katoliki mara nyingi sana,kwanini?
 
hahahaha!
Kweli kazi ipo, duuh!
Let me make this very clear! MIMI SIWEZI KUWA NA UNDUGU NA KAFIRI!! ABADDAN.
Na hii sio kashfa! Bali ni kanuni ya maisha ambayo NIMEAHIDI KUIFUATA!

Mimi nasema MUNGU MMOJA!
Wewe na wenzako mnasema miungu WATATU!!
SASA HUO UNDUGU UTATOKA WAPI??
MANAKE KWENYE DAMU HAUMO! NA KWENYE IMANI HAUMO VILEVILE!

Mi sio mnafiki kama nyerere! Anatuita NDUGU WATANZANIA! HALAFU ANADHULUMU MALI ZA WAZEE WA WATU.
Mi nakwambia kabisa kama ww unasema miungu wengi au mungu ni mzungu! Basi WEWE NA MIMI NA MBINGU NA ARDHI!.
Now keep off galatian.
 
aiseee, duuh! Muumba wenu kiboko.
Mimi huwa sibishanii imani yangu. As long as imani yako inakusaidia, na inakuwezesha kuishi na viumbe vingine kwa amani hata kama unawaona wanyama basi dini yako inakufaa mwenyewe. yangu inanifaa sana na that is not for discussion.
Dada kingasti asemayo daktuur kahtaan ni sadakta. hayo ndio mafundisho yetu kutoka kwa alyekiumba wewe, mbingu na ardhi. Hatuna uwezo wa kuyabadilidha
 
hahahaha!
Kweli kazi ipo, duuh!

Hao hao wanaowaita makafiri ndo wanaowafundisha darasani..... Hao hao makafiri ndo wanawaweka mjini.... Hao hao makafiri ndio wanaohangaika nao kuwauzia bidhaa na huduma zao..... Hao hao makafikiri ndiyo wanaowatengenezea nyumba au chochote kinachoharibika pale nyumbani.... Hao hao makafiri ndo wanawatongoza kila uchwao.... Uislam umesheheni unafki na kukaririshwa.... By the way hatushangai kwanini waislam ni wengi ktk shule/vyuo/taasisi na maofisi yenye waasisi makafiri kuliko kinyume chake....
Yaani nitafanya ujinga wote ila sitothubutu kuingia uislamuni... OVER MY DEAD BODY!!!!!!!!!
 
Umekuwa ukinipa maelezo yanayohusiana na Kanisa Katoliki mara nyingi sana,kwanini?

Uzi unazungumzia nini ama ndo mwendelezo wa kuuharibu?
Hivi mbona hamtulii sehemu moja mkahudumiwa?
Haya basi pata faida japo kiduchu hapa

Aloyasababisha yote haya tuyajadiliyo hapa ni Mkatoliki na si mkatoliki tu, la hasha,
kwa nukuu zake mwenyewe alinena mimi ni mkatoliki mzuri sana,
Sasa yeye alituambia nchi haina dini, mara twaona asema yeye ni m....... mzuri sana, na haikupita muda vijembe vikaanza kutupwa upande wa pili,
Kwa mantiki hiyo ndo utajaona kuwa hapa huwezi pata masimulizi uyapatayo yakauacha ukatoliki/kanisa kama ambavyo historia hii ya upatikanaji wa Uhuru wa Tanganyika, huwezi kuisimulia akawakwepa Waislaamu

Naamini umepata muongozo na sababu nzuri,
Sasa endelea na maulizo
 
Hao hao wanaowaita makafiri ndo wanaowafundisha darasani..... Hao hao makafiri ndo wanawaweka mjini.... Hao hao makafiri ndio wanaohangaika nao kuwauzia bidhaa na huduma zao..... Hao hao makafikiri ndiyo wanaowatengenezea nyumba au chochote kinachoharibika pale nyumbani.... Hao hao makafiri ndo wanawatongoza kila uchwao.... Uislam umesheheni unafki na kukaririshwa.... By the way hatushangai kwanini waislam ni wengi ktk shule/vyuo/taasisi na maofisi yenye waasisi makafiri kuliko kinyume chake....
Yaani nitafanya ujinga wote ila sitothubutu kuingia uislamuni... OVER MY DEAD BODY!!!!!!!!!

Sasa soote tukiingia katika Uislaamu/njia ilionyooka na tukayashika maamrisho na kuyaacha makatazo,

Nani auingie moto kama si weye na yule?!
 
Uzi unazungumzia nini ama ndo mwendelezo wa kuuharibu?
Hivi mbona hamtulii sehemu moja mkahudumiwa?
Haya basi pata faida japo kiduchu hapad

Aloyasababisha yote haya tuyajadiliyo hapa ni Mkatoliki na si mkatoliki tu, la hasha,
kwa nukuu zake mwenyewe alinena mimi ni mkatoliki mzuri sana,
Sasa yeye alituambia nchi haina dini, mara twaona asema yeye ni m....... mzuri sana, na haikupita muda vijembe vikaanza kutupwa upande wa pili,
Kwa mantiki hiyo ndo utajaona kuwa hapa huwezi pata masimulizi uyapatayo yakauacha ukatoliki/kanisa kama ambavyo historia hii ya upatikanaji wa Uhuru wa Tanganyika, huwezi kuisimulia akawakwepa Waislaamu

Naamini umepata muongozo na sababu nzuri,
Sasa endelea na maulizo

Mbona waislamu wanahangaika hivi kuonyesha potential yao ktk harakati za uhuru wetu??? Ninachojua mimi kazi/jitihada za mtu au watu zinaonekana bila hata kutumia nguvu kama hizi... Wahenga walinena "chema cha jiuza kibaya chajitembeza"
 
Enyi wagala

Juzi nilikuachieni challenge hapa ambayo imekuwa ni mara ya tatu hazijibiki, mwajitia hamzioni kama dasturi yenu,

Leo naona mwatakatoka kivingine,

Sasa ombi langu na ushauri wangu, tujikiteni katika uzi husika na tusichanganye mambo hapa ili kuharibu mustaqkabali wa mleta uzi,

Ahsanta wana jamvi.
 
Sasa soote tukiingia katika Uislaamu/njia ilionyooka na tukayashika maamrisho na kuyaacha makatazo,

Nani auingie moto kama si weye na yule?!
Uislamu haujanyooka mkuu... Kuna doughts nyingi sana ktk hiyo dini... Tatizo ni mafundisho yake hayapatani na akili kwa mfano kuuwa mijusi... Kuoa wanawake wengi... Kuua non- muslims... Kutumia hadithi za mtume badala ya neno lenyewe takatifu... Uislam na misimamo yake kuhusu majini.... Kung'ang'ana sana na kiarabu wakati duniani kuna lugha nyingi... To me mambo haya yananipa mkanganyiko sana kuukubali uislamu.

Ni kweli ktk ukristo pia kuna mambo mengi ya ajabu ambayo sometimes mimi binafsi yananishangaza pia ila naona mlengo wenu nyinyi uko kinyume sana na utu na hisia za Mungu mwenye upendo... Mimi binafsi bila hata kuihusisha dini naamini MUNGU ANATUPENDA SANA BINADAMU... Na kwa mantiki hiyo basi Mungu anaupendo wa hali ya juu sana.. Sasa wazo hilo nikilipeleka ktk uislamu halipatani nao... Yaani yanayotendeka na kuaminika ktk UISLAMU ni kwamba MUNGU ANATISHA NA NIMKATILI HAILEZEKI...

Kwa hayo machache nasema uislam unakasoro
 
Mbona waislamu wanahangaika hivi kuonyesha potential yao ktk harakati za uhuru wetu??? Ninachojua mimi kazi/jitihada za mtu au watu zinaonekana bila hata kutumia nguvu kama hizi... Wahenga walinena "chema cha jiuza kibaya chajitembeza"

Hapo ndo uwezo wake umegota wa kufikiri,
Pole sana japo huenda hustahiki hiyo pole,

Na si utuambie Wahenga wahenga,

Na kwa taarifa yako shika kanuni hii kabla hujaropoka hapa : - Misemo haifasiri kwa misemo bali hufasiriwa/ huchukuliwa maana,

Kapumzike na hii : -

Ada ya mja hunena muungwana ni vitendo,
Lete tafsiri ya hapo juu,

Kisha kutokana na tafsiri hiyo ujiandae kwa maswali na nnakusihi usikimbie.
 
Uislamu haujanyooka mkuu... Kuna doughts nyingi sana ktk hiyo dini... Tatizo ni mafundisho yake hayapatani na akili kwa mfano kuuwa mijusi... Kuoa wanawake wengi... Kuua non- muslims... Kutumia hadithi za mtume badala ya neno lenyewe takatifu... Uislam na misimamo yake kuhusu majini.... Kung'ang'ana sana na kiarabu wakati duniani kuna lugha nyingi... To me mambo haya yananipa mkanganyiko sana kuukubali uislamu.

Ni kweli ktk ukristo pia kuna mambo mengi ya ajabu ambayo sometimes mimi binafsi yananishangaza pia ila naona mlengo wenu nyinyi uko kinyume sana na utu na hisia za Mungu mwenye upendo... Mimi binafsi bila hata kuihusisha dini naamini MUNGU ANATUPENDA SANA BINADAMU... Na kwa mantiki hiyo basi Mungu anaupendo wa hali ya juu sana.. Sasa wazo hilo nikilipeleka ktk uislamu halipatani nao... Yaani yanayotendeka na kuaminika ktk UISLAMU ni kwamba MUNGU ANATISHA NA NIMKATILI HAILEZEKI...

Kwa hayo machache nasema uislam unakasoro

Madhali umeanza kwa kutoa kasoro za Uislaamu kwa mifano hapo juu,
Utakuwa hujatenda haki upande wa pili,
Hebu nitajie japo kiduchu mapungufu ya ukristo japo najua itakuia muhali, ili kuanzia hapo ionekane umefanye haki katika dini yako,

Na mie sasa ntakufungua pale ambapo umepotokwa/potoshwa kuelewa,

Kwani siamini kama ungeliiacha huru yako akili ingelikufika hiyo tabu ya ufahamu,
 
Hawa waislamu huwa hawanaga hata kueleweka nini. Kila kitu akisema mwislam wanakishikia bango. Sijui hii dini ni nini tu jamani.
 
Back
Top Bottom