imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mimi, I'm good,,Allah anichie hizi za hapa hapa Uswahilini hizo za huko nawaachia Magaidi wenye nyege kali na misimamo mikali.Itakuwa mchanganyiko, ni raha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi, I'm good,,Allah anichie hizi za hapa hapa Uswahilini hizo za huko nawaachia Magaidi wenye nyege kali na misimamo mikali.Itakuwa mchanganyiko, ni raha sana.
Shehe Kipozeo asema Na pombe zitakuweko peponi waislamu wanywe
View: https://youtu.be/LW7e3PudD7k?si=7QCh-2xgeG6Vcvju
Mi Pombe ya peponi, according to Sheikh kipozeona wewe umeona wivu nini ?
Kitendo ch kuamini mtu alifufuka ni kukosa akili
Kitendo Cha kuamini mtu anaweza kupata angani nao ni udwanzi mwingine.
Kifupi watu wadini wote wanafanana tu
We subilia mabikra 72 na pombe ukafaidi peponi hakuna jingine wazee we mnyazimunguUnajua kwa wasiyo waislam kuuelewa uislamu wanapata tabu sana.
Suala la kusema wasiyo waislam wanasikia wivu huo ni mtazamo wake. Wala siyo mtizamo wa dini ya uislam. Na hatumzungimzii vibaya sheikh wetu. Ila tunachomaanisha anachokisema sheikh ni jitihada yake katika ufahamu.
Sasa hiyo jitihada usiibebe na kuishikilia bango kuwa ujumbe wa dini ya uislamu ndiyo huo kwamba tunawaonea wivu.
Mnaweza kufufuliwa fulu Mashonga.Kwa sisi unsullied itakuaje????
Kuna Kijana mmoja wa Ayatolah huko Australia kaenda kupewa Mabikra72 taslimu siku ya leo.Ni sahihi kabisa hata mm kafiri natamani hao mabikra
HahahaWe subilia mabikra 72 na pombe ukafaidi peponi hakuna jingine wazee we mnyazimungu