Islamic Scholar anasema Waislamu wanaonewa wivu na dini zingine sababu ya Warembo Mabikra 72 watakaopewa Peponi

Islamic Scholar anasema Waislamu wanaonewa wivu na dini zingine sababu ya Warembo Mabikra 72 watakaopewa Peponi

Hawa jamaa watafaidi aise 72 siomchezo.halafu nasikia hao 72 wanacheza miguu yote.
 
Da ngoja nifanye mchakato nisilimu maana hawajamaa watafaidi peponi,yani kutakuwa na mabikra72,pombe,bangi,shisha,mirungi,mihadarati,kamali,yani full starehe.oya mwanangu emanueli nitafutie shehe popote alipo aje mwambie nipo home namsubilia.
 
Wacha sisi tutawauzia vumbi la Congo ya huko 🤔🤔🤔mana sijui hizo nguvu za kutia wanawake 72 watazitoa wapii
 
Kwa hyo nikizimaliza hizo bikra 72 wananifanyia booking ya nyingine Tena au ndo nitaendelea na kumkaba Azuman upara?
 
Nina rafiki yangu amelewa dini sana. nina uhakika hawezi kuninyima hata wawili yeye abaki na hao sabini
 
Unajua kwa wasiyo waislam kuuelewa uislamu wanapata tabu sana.

Suala la kusema wasiyo waislam wanasikia wivu huo ni mtazamo wake. Wala siyo mtizamo wa dini ya uislam. Na hatumzungimzii vibaya sheikh wetu. Ila tunachomaanisha anachokisema sheikh ni jitihada yake katika ufahamu.

Sasa hiyo jitihada usiibebe na kuishikilia bango kuwa ujumbe wa dini ya uislamu ndiyo huo kwamba tunawaonea wivu.
 
Kitendo ch kuamini mtu alifufuka ni kukosa akili

Kitendo Cha kuamini mtu anaweza kupata angani nao ni udwanzi mwingine.

Kifupi watu wadini wote wanafanana tu
 
Kitendo ch kuamini mtu alifufuka ni kukosa akili

Kitendo Cha kuamini mtu anaweza kupata angani nao ni udwanzi mwingine.

Kifupi watu wadini wote wanafanana tu


ni kweli kabisa dini zote zinafanana kwa hadithi za uongo uongo

1. Ukristo unasema Yesu alipaa mbinguni

2. Uislamu na wenyewe unasema Mtume Muhammad alipaa mbinguni tena mpaka mbingu ya saba kwa kutumia Punda mwenye mabawa
 
Unajua kwa wasiyo waislam kuuelewa uislamu wanapata tabu sana.

Suala la kusema wasiyo waislam wanasikia wivu huo ni mtazamo wake. Wala siyo mtizamo wa dini ya uislam. Na hatumzungimzii vibaya sheikh wetu. Ila tunachomaanisha anachokisema sheikh ni jitihada yake katika ufahamu.

Sasa hiyo jitihada usiibebe na kuishikilia bango kuwa ujumbe wa dini ya uislamu ndiyo huo kwamba tunawaonea wivu.
We subilia mabikra 72 na pombe ukafaidi peponi hakuna jingine wazee we mnyazimungu
 
Duuuuh! Jaman ila kusema ukweli mimi naona wanawake wakiyahudi ni warembo sana huwa nawatizama wale wanajeshi wao wakike halooo!
 
Back
Top Bottom