Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Habari ndio hio Israel wanasingizia watasimamisha vita North kwa mda kutokana na UN itatoa Resolution kuhusu Gaza. Swali toka lini Israel ilifata sheria za UN. Hakuna zaidi ya moto wa Hezbullah unatisha wameona wakimbia kijanja huko Lebanon
Habari ndio hio Al Arab TV inasema hio ni Breaking news kutokana na Israel TV channel 12.
View: https://youtube.com/shorts/XhhX2vgRvaY?si=cCLRefvVPxmGWqTo
Habari ndio hio Al Arab TV inasema hio ni Breaking news kutokana na Israel TV channel 12.
View: https://youtube.com/shorts/XhhX2vgRvaY?si=cCLRefvVPxmGWqTo