Israel amepiga ndege Wawili kwa Jiwe mmoja

Israel amepiga ndege Wawili kwa Jiwe mmoja

Somi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2009
Posts
3,921
Reaction score
4,858
Hawa jamaa wameonyesha wamejipanga kusafisha mashariki ya Kati .
Wamesambaratisha Gaza kila jiwe likapinduliwa huku misri ,Iran , uturuki, Hezbula na houth wakishindwa kufanya chochote zaidi ya kupiga kelele tu .

Jana walimuua kamanda msaidizi wa shehe wa Hezbula ya Lebanon ndani ya mji mkuu wa Lebanon kabla watu hawajafuta vumbi wakamuua kiongozi mkuu wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran Tehran huku walinzi wake raia wa Iran wakiuliwa.
Israel sasahivi ameonyesha kumiliki kabisa eneo la mashariki ya Kati .
 
Hawa jamaa wameonyesha wamejipanga kusafisha mashariki ya Kati .
Wamesambaratisha Gaza kila jiwe likapinduliwa huku misri ,Iran , uturuki, Hezbula na houth wakishindwa kufanya chochote zaidi ya kupiga kelele tu .

Jana walimuua kamanda msaidizi wa shehe wa Hezbula ya Lebanon ndani ya mji mkuu wa Lebanon kabla watu hawajafuta vumbi wakamuua kiongozi mkuu wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran Tehran huku walinzi wake raia wa Iran wakiuliwa.
Israel sasahivi ameonyesha kumiliki kabisa eneo la mashariki ya Kati .
Shauri yako...ngoja yaje. Labda yawe yanajiandaa kuswali saa sita hii huko kibaigwa
 
wanatakiwa kulaumiwa iran. inakuwame muhost wanted person na msiweke ulizi wa kutosha angani na ardhini? na wengine wanasema imepigwa airstrike sijui ya drone au ya nini hawajui kwasababu radar za iran ni dhaifu wanaweza kupigwa na wasijue nani kawapiga na katokea wapi. na wanakuwa precise kabisa wanapiga yule wanted tu bila kudhuri raia wengine au majengo mengine, meaning, wanaweza piga hata ikulu ya ayatolah peke yake na kwengine wakakuacha salama. usalama wa iran au yeyote anayekimbilia iran upo wapi hapo sasa?
 
Hawa jamaa wameonyesha wamejipanga kusafisha mashariki ya Kati .
Wamesambaratisha Gaza kila jiwe likapinduliwa huku misri ,Iran , uturuki, Hezbula na houth wakishindwa kufanya chochote zaidi ya kupiga kelele tu .

Jana walimuua kamanda msaidizi wa shehe wa Hezbula ya Lebanon ndani ya mji mkuu wa Lebanon kabla watu hawajafuta vumbi wakamuua kiongozi mkuu wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran Tehran huku walinzi wake raia wa Iran wakiuliwa.
Israel sasahivi ameonyesha kumiliki kabisa eneo la mashariki ya Kati .
Na Syria wametoka kufanya yao muda si mrefu
 
Hawa jamaa wameonyesha wamejipanga kusafisha mashariki ya Kati .
Wamesambaratisha Gaza kila jiwe likapinduliwa huku misri ,Iran , uturuki, Hezbula na houth wakishindwa kufanya chochote zaidi ya kupiga kelele tu .

Jana walimuua kamanda msaidizi wa shehe wa Hezbula ya Lebanon ndani ya mji mkuu wa Lebanon kabla watu hawajafuta vumbi wakamuua kiongozi mkuu wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran Tehran huku walinzi wake raia wa Iran wakiuliwa.
Israel sasahivi ameonyesha kumiliki kabisa eneo la mashariki ya Kati .
Siyo Israel , ni nchi za Magharibi. Period
 
Israel sasahivi ameonyesha kumiliki kabisa eneo la mashariki ya Kati .
Ni WA Israeli?
Screenshot_20240415-220440.png
 
Tatizo waarabu hawajitambui toka 1967 wakikenua tu wanachapwa kipigo cha mbwa koko. Ujanja wao wote wanamtegemea Urusi kumbe hawajui Urusi na Israel ni sawa na mtoto kwa mjomba. Matajiri karibu wote wa Russia ni warusi wenye nasaba ya kiisrael, wanahold dual citizenship. Nchi karibu zote za Ulaya watu wenye pesa zao ni waisrael hadi hapo Ukraine nusu ya wananchi wake ni wenye vinasaba vya Israel. Waarabu watachezea sana vitasa hadi wajue hawajui.
 
Hawa jamaa wameonyesha wamejipanga kusafisha mashariki ya Kati .
Wamesambaratisha Gaza kila jiwe likapinduliwa huku misri ,Iran , uturuki, Hezbula na houth wakishindwa kufanya chochote zaidi ya kupiga kelele tu .

Jana walimuua kamanda msaidizi wa shehe wa Hezbula ya Lebanon ndani ya mji mkuu wa Lebanon kabla watu hawajafuta vumbi wakamuua kiongozi mkuu wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran Tehran huku walinzi wake raia wa Iran wakiuliwa.
Israel sasahivi ameonyesha kumiliki kabisa eneo la mashariki ya Kati .


Ayatollaah hajulikani alipo, kajificha sana mjini Tehran akisikia hata sauti ya inzi tu anakimbia, anajua wayahudi/MOSAD wanamsaka, pia kiongozi wa Hezbollaah anasakwa kila kona hajulikani alipo, yaani mbinu za MOSAD ni mtu kwa mtu, yaani vita vyao sasa hivi ni kuwafuata viongozi kokote walipo na kuwamaliza..!! Hii mbinu hatari sana sana
 
Hawa jamaa wameonyesha wamejipanga kusafisha mashariki ya Kati .
Wamesambaratisha Gaza kila jiwe likapinduliwa huku misri ,Iran , uturuki, Hezbula na houth wakishindwa kufanya chochote zaidi ya kupiga kelele tu .

Jana walimuua kamanda msaidizi wa shehe wa Hezbula ya Lebanon ndani ya mji mkuu wa Lebanon kabla watu hawajafuta vumbi wakamuua kiongozi mkuu wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran Tehran huku walinzi wake raia wa Iran wakiuliwa.
Israel sasahivi ameonyesha kumiliki kabisa eneo la mashariki ya Kati .
Misri hawezi kupiga ndugu zake. Damu nzito kuliko maji. Unafikiri Yusuph alivyokuwa anatamaniwa na MKE wa farao kwa uzuri wake ,unadhani hata ndugu zake walipokuja utumwanj hawakuacha mbegu?
 
Hawa jamaa wameonyesha wamejipanga kusafisha mashariki ya Kati .
Wamesambaratisha Gaza kila jiwe likapinduliwa huku misri ,Iran , uturuki, Hezbula na houth wakishindwa kufanya chochote zaidi ya kupiga kelele tu .

Jana walimuua kamanda msaidizi wa shehe wa Hezbula ya Lebanon ndani ya mji mkuu wa Lebanon kabla watu hawajafuta vumbi wakamuua kiongozi mkuu wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran Tehran huku walinzi wake raia wa Iran wakiuliwa.
Israel sasahivi ameonyesha kumiliki kabisa eneo la mashariki ya Kati .

Ritz njoo utoe tamko hapa.
 
Misri hawezi kupiga ndugu zake. Damu nzito kuliko maji. Unafikiri Yusuph alivyokuwa anatamaniwa na MKE wa farao kwa uzuri wake ,unadhani hata ndugu zake walipokuja utumwanj hawakuacha mbegu?
Hawa waarabu wa sasahivi waliopo misri sio wale wa misri wa zamani za pharaoh na Moses .
Hawa wamevamia kutoka Arabia .
Wamisri wa zamani wameshapotea.
Zamani kulikuwa na jamii wa watu weupe rangi ya capachino au kahawia na weusi kabisa ambao ndio wanapatikana Sudan na Ethiopia . Angalia michoro Yao Kwenye majengo ya kale na mapiramidi ndio utatambua .
 
Back
Top Bottom