Israel amepiga ndege Wawili kwa Jiwe mmoja

Israel amepiga ndege Wawili kwa Jiwe mmoja

Hawa jamaa wameonyesha wamejipanga kusafisha mashariki ya Kati .
Wamesambaratisha Gaza kila jiwe likapinduliwa huku misri ,Iran , uturuki, Hezbula na houth wakishindwa kufanya chochote zaidi ya kupiga kelele tu .

Jana walimuua kamanda msaidizi wa shehe wa Hezbula ya Lebanon ndani ya mji mkuu wa Lebanon kabla watu hawajafuta vumbi wakamuua kiongozi mkuu wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran Tehran huku walinzi wake raia wa Iran wakiuliwa.
Israel sasahivi ameonyesha kumiliki kabisa eneo la mashariki ya Kati .
Viva Israel viva!
 
Gazeti la telegraph linasema kuna tetesi walinzi wa Ismaili haneya walivujisha siri mahali alipo na taarifa zaidi zinasema shambulio limetokea sio mbali na alipokuwa mtuhumiwa.

Hii inaonyesha Israel anaweza kushambulia nchi yoyote kutokea ndani bila kutumia silaha nzito za kuuwa raia wasio na hatia.

Inanikumbusha namna Israel walivyokuwa bora katika masuala ya ujasusi .

Tunasoma Kwenye biblia takatifu miaka maelfu iliyopita Moses alitumia wapelelezi 12 kwenda nchi ya kanaani kupeleleza kabla ya kuja kuwavamia na kuteka ardhi .

Tena Joshua akatuma wapelelezi 2 kwenda yeriko na kupokelewa na mwanamke rehabu Lengo likiwa kupeleleza yeriko ili kuja kuvamia na kuteka, kipindi hicho yeriko ilikuwa ndio mji mkubwa na maarufu duniani mfano wa New York au London au Paris ya Leo .
 
Gaza ilipaswa iwe zaidi ya Dubai, but ujinga wa wavaa kobazi.

Imagine Eneo kama Ilala linapata msaada wa zaidi ya nusu ya bajeti ya nchi ya Tanzania, hakuna kitu wangeshindwa kufanya Cha maendeleo but they chose to be used by Iran na kujenga mahandaki
 
Gazeti la telegraph linasema kuna tetesi walinzi wa Ismaili haneya walivujisha siri mahali alipo na taarifa zaidi zinasema shambulio limetokea sio mbali na alipokuwa mtuhumiwa.

Hii inaonyesha Israel anaweza kushambulia nchi yoyote kutokea ndani bila kutumia silaha nzito za kuuwa raia wasio na hatia.

Inanikumbusha namna Israel walivyokuwa bora katika masuala ya ujasusi .

Tunasoma Kwenye biblia takatifu miaka maelfu iliyopita Moses alitumia wapelelezi 12 kwenda nchi ya kanaani kupeleleza kabla ya kuja kuwavamia na kuteka ardhi .

Tena Joshua akatuma wapelelezi 2 kwenda yeriko na kupokelewa na mwanamke rehabu Lengo likiwa kupeleleza yeriko ili kuja kuvamia na kuteka, kipindi hicho yeriko ilikuwa ndio mji mkubwa na maarufu duniani mfano wa New York au London au Paris ya Leo .
Haahahaa hamna cha kuvujisha siri wala nini, Mosad wametumia technology kupata location ya huyo marehemu. Kwa watu wasiojua Teheran na Iran kwa ujumla ni uwanja wa nyumbani wa Israel wana uwezo wa kufanya chochote pale, wameshawahi kuua vibaka kadhaa wa kiarabu na palestina pale.
 
Hawa jamaa wameonyesha wamejipanga kusafisha mashariki ya Kati .
Wamesambaratisha Gaza kila jiwe likapinduliwa huku misri ,Iran , uturuki, Hezbula na houth wakishindwa kufanya chochote zaidi ya kupiga kelele tu .

Jana walimuua kamanda msaidizi wa shehe wa Hezbula ya Lebanon ndani ya mji mkuu wa Lebanon kabla watu hawajafuta vumbi wakamuua kiongozi mkuu wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran Tehran huku walinzi wake raia wa Iran wakiuliwa.
Israel sasahivi ameonyesha kumiliki kabisa eneo la mashariki ya Kati .
 
Kilichomponza mwamba wa Hamas hicho hapo.
 

Attachments

  • IMG-20240801-WA0026.jpg
    IMG-20240801-WA0026.jpg
    92.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom