Israel assassinates another Iran official, then commences "Pre-emptive attacks" against Hezbollah in Lebanon

Mwaka huu idadi ya majini 72 itakuwa imepungua Sana huko jahna tul firdaus. Inabidi mnyasanzi aungeze la sivyo wapo watakaokosa uhondo wa kuzagamua katika viwanja vya firidausi maana waliokwenda huko ni wengi
Paulo aliota vibaya kaingiliwa na majini 72 mpaa akalazimisha mseme Yesu ni Mungu πŸ˜„

Yesu anawambia jamani eeeh Mungu wetu ni mmoja tu. Paulo akasema pale njia panda yeye yuko chini ya mti lazima kuwe na Damascus, njia panda alipo lala na Jerusalem, akaja na ile formula ya 3=1
 
Sawa nilijua hio ni fake news.
Look at how foolish you are,so literally you wrote something you did not even understand,and yet JF boasts to be a place for Great Thinkers!!!!!! How I wish it could be.
 
Look at how foolish you are,so literally you wrote something you did not even understand,and yet JF boasts to be a place gor Great Thinkers!!!!!! How I wish it could be.
I don't want to waste my time
 
Kwenye ukristu hakuna majini yanayoitwa MAHURURAIN , BURAQ AU KURJUANI. Hayo yote formula zake zipo kwenye kitabu Cha mwarabu kilichojaa upotoshaji. Kwenye ukristu jini likijichangani litachomwa na maombi..Sasa ninyi endeleeni kuyapeti peti majini na kuyaita ni ndugu zenu katika Imani tena nasikia hicho kitabu Cha uasi Cha mwarabu kinachoandokwa kinyume nyume kina sura nzima inayotuza majini
 
Sawa lakini kanisani nasikia huwa mnatolewa pepo wote πŸ˜„
 
Anatembeza na yeye anatembezewa pia.
Au hujasoma mwishoni kuwa kuna Israel Barracks imeshambuliwa directly??
Hao ndio Hizbollah,piga nikupige.
Na huko Galilaya mtaihama yote kabisa.
Acha habari za kuokoteza huko masjid. Chukua hii kwa faida yako
 

Attachments

  • IMG_5138.png
    1.6 MB · Views: 3
Acha habari za kuokoteza huko masjid. Chukua hii kwa faida yako
Sisi tunataka watuonyeshe video ya HQ ya Mossad ambayo ipo 1.5km ya mji wa Tela Aviv kama wao wa kweli afu watuonyeshe video huku wanasema leo tarehe 26th August 2024 tuone nani mkweli Hezbullah au Israel πŸ˜„

Hio ya kuku kwani kwenye Military Base hawawezi fuga kuku, kwa ajili ya askari zao πŸ˜„ tuonyesheni hizo Military Base zilizo pigwa kama ziko salama.
 
Waonyeshe ili iweje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…