Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Paulo aliota vibaya kaingiliwa na majini 72 mpaa akalazimisha mseme Yesu ni Mungu πMwaka huu idadi ya majini 72 itakuwa imepungua Sana huko jahna tul firdaus. Inabidi mnyasanzi aungeze la sivyo wapo watakaokosa uhondo wa kuzagamua katika viwanja vya firidausi maana waliokwenda huko ni wengi
I don't want to waste my timeLook at how foolish you are,so literally you wrote something you did not even understand,and yet JF boasts to be a place gor Great Thinkers!!!!!! How I wish it could be.
Iβm talking about the weirdo who wouldnβt stop ranting under the post πYou do not want to waste your time in doing what.
Kwenye ukristu hakuna majini yanayoitwa MAHURURAIN , BURAQ AU KURJUANI. Hayo yote formula zake zipo kwenye kitabu Cha mwarabu kilichojaa upotoshaji. Kwenye ukristu jini likijichangani litachomwa na maombi..Sasa ninyi endeleeni kuyapeti peti majini na kuyaita ni ndugu zenu katika Imani tena nasikia hicho kitabu Cha uasi Cha mwarabu kinachoandokwa kinyume nyume kina sura nzima inayotuza majiniPaulo aliota vibaya kaingiliwa na majini 72 mpaa akalazimisha mseme Yesu ni Mungu π
Yesu anawambia jamani eeeh Mungu wetu ni mmoja tu. Paulo akasema pale njia panda yeye yuko chini ya mti lazima kuwe na Damascus, njia panda alipo lala na Jerusalem, akaja na ile formula ya 3=1
Sawa lakini kanisani nasikia huwa mnatolewa pepo wote πKwenye ukristu hakuna majini yanayoitwa MAHURURAIN , BURAQ AU KURJUANI. Hayo yote formula zake zipo kwenye kitabu Cha mwarabu kilichojaa upotoshaji. Kwenye ukristu jini likijichangani litachomwa na maombi..Sasa ninyi endeleeni kuyapeti peti majini na kuyaita ni ndugu zenu katika Imani tena nasikia hicho kitabu Cha uasi Cha mwarabu kinachoandokwa kinyume nyume kina sura nzima inayotuza majini
Acha habari za kuokoteza huko masjid. Chukua hii kwa faida yakoAnatembeza na yeye anatembezewa pia.
Au hujasoma mwishoni kuwa kuna Israel Barracks imeshambuliwa directly??
Hao ndio Hizbollah,piga nikupige.
Na huko Galilaya mtaihama yote kabisa.
Nikajua utakua umeelimika kumbe still hujielewi!??Acha habari za kuokoteza huko masjid. Chukua hii kwa faida yako
Anakwambia kapiga launches zaidi ya elf 6 halafu mashambulizi bado yakafanywa Israel Kwa uongo yupo level yakeFake news
Hezbullah kaivuruga Mossad jana vibaya sana.Anakwambia kapiga launches zaidi ya elf 6 halafu mashambulizi bado yakafanywa Israel Kwa uongo yupo level yake
Sisi tunataka watuonyeshe video ya HQ ya Mossad ambayo ipo 1.5km ya mji wa Tela Aviv kama wao wa kweli afu watuonyeshe video huku wanasema leo tarehe 26th August 2024 tuone nani mkweli Hezbullah au Israel πAcha habari za kuokoteza huko masjid. Chukua hii kwa faida yako
Kobazi wakiendelea kushupaza shingo wataishaHaya wazee wa kupandisha bei za kobazi mje mkanushe.
Ila israel weupe sana, hizbullah genge tu linampeleka pita,ndiyo maana huwa anaishawishi USA iingie vitani na Iran maana yeye haiweziKobazi wakiendelea kushupaza shingo wataisha
Na kweli ASIKUSIMBUEYou do not pay me anything najitolea tu kuleta habari,so take it or leave it,usinisimbue.
Waonyeshe ili iweje?Sisi tunataka watuonyeshe video ya HQ ya Mossad ambayo ipo 1.5km ya mji wa Tela Aviv kama wao wa kweli afu watuonyeshe video huku wanasema leo tarehe 26th August 2024 tuone nani mkweli Hezbullah au Israel π
Hio ya kuku kwani kwenye Military Base hawawezi fuga kuku, kwa ajili ya askari zao π tuonyesheni hizo Military Base zilizo pigwa kama ziko salama.
Ili wafuasi wa 3=1 wapata kuona vipi Hezbullah anapiga kwenye ukuta mpaa unageuka kama mandazi πWaonyeshe ili iweje?