Israel atapigana na mataifa yote ya Kiarabu wakiongozwa na Urusi na watapigwa vibaya

Israel atapigana na mataifa yote ya Kiarabu wakiongozwa na Urusi na watapigwa vibaya

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo.

Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana.

Nitaliongea hili la taifa la Israel kuzingirwa na mataifa yote ya Kiarabu kwenye kipindi cha Vita ya 3 ya dunia. Mataifa yote ya kiarabu Yakiongozwa na Russia yatajaribu kwa pamoja kuiangamiza Israel. Cha kushangaza, wote watapigwa vibaya Sana. Mataifa kama Egypt, Morocco, Saudi Arabia, Iran, Iraq, Oman, Turkey, Russia nk wote wataungana kujaribu kuiangamiza Israel, Ndani ya muda mfupi wote watapigwa vibaya.

Note: Kuna nguvu kubwa iko nyuma ya Israel. Kujaribu kushindana na Israel, unatafuta kuangamizwa.
 
Vita ya tatu ya dunia haiwezi kutokea kwa sababu ni moja, silaha za wale magwiji wakipamba ni kitendo ukipigwa huwezi kurudi tena maana unafutika tu. Kumbuka kule HIroshima lile bomu ni teknolojia ya zamani.

Bora useme kuna taifa kubwa litafutika kabisa.
 
Wavaakobazu mavi yamewabana,kila wakijaribu kumlilia ala aiangamize israel wanaishia kuangamizwa wao hadi vitukuu vyao.
Israeli anajua bwana 🤣🤣yaani anakupiga panapo uma yaan unapo tegemea ww ndo anapiga..anatuma ujumbe kwa hao wavaa madela wadogo kua kama tunafumua malinda ya wakubwa zenu tukija kwenu nyie panya wadogo mtakohoa moshi😀😀😀
 
Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo.

Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana.

Nitaliongea hili LA taifa LA Israel kuzingirwa na mataifa yote ya kiarabu kwenye kipindi cha Vita ya 3 ya dunia. Mataifa yote ya kiarabu Yakiongozwa na Russia yatajaribu kwa pamoja kuiangamiza Israel. Cha kushangaza, wote watapigwa vibaya Sana. Mataifa kama Egypt, Morocco, Saudi Arabia, Iran, Iraq, Oman, Turkey, Russia nk wote wataungana kujaribu kuiangamiza Israel, Ndani ya muda mfupi wote watapigwa vibaya.

Note: Kuna nguvu kubwa iko nyuma ya Israel🇮🇱. Kujaribu kushindana na Israel, unatafuta kuangamizwa.
Kumbukumbu la Torati 28 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.
⁷ Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.
⁸ Bwana ataiamuru baraka ije juu yako katika ghala zako, na mambo yote utakayotia mkono wako; naye atakubarikia katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako.


Neno la Mungu ni amini na kweli, AMEN.
 
Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo.

Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana.

Nitaliongea hili LA taifa LA Israel kuzingirwa na mataifa yote ya kiarabu kwenye kipindi cha Vita ya 3 ya dunia. Mataifa yote ya kiarabu Yakiongozwa na Russia yatajaribu kwa pamoja kuiangamiza Israel. Cha kushangaza, wote watapigwa vibaya Sana. Mataifa kama Egypt, Morocco, Saudi Arabia, Iran, Iraq, Oman, Turkey, Russia nk wote wataungana kujaribu kuiangamiza Israel, Ndani ya muda mfupi wote watapigwa vibaya.

Note: Kuna nguvu kubwa iko nyuma ya Israel🇮🇱. Kujaribu kushindana na Israel, unatafuta kuangamizwa.
Wanakuja wasubili watakujibu wako msikitini
 
Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo.

Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana.

Nitaliongea hili LA taifa LA Israel kuzingirwa na mataifa yote ya kiarabu kwenye kipindi cha Vita ya 3 ya dunia. Mataifa yote ya kiarabu Yakiongozwa na Russia yatajaribu kwa pamoja kuiangamiza Israel. Cha kushangaza, wote watapigwa vibaya Sana. Mataifa kama Egypt, Morocco, Saudi Arabia, Iran, Iraq, Oman, Turkey, Russia nk wote wataungana kujaribu kuiangamiza Israel, Ndani ya muda mfupi wote watapigwa vibaya.

Note: Kuna nguvu kubwa iko nyuma ya Israel🇮🇱. Kujaribu kushindana na Israel, unatafuta kuangamizwa.
Muda wa Israel 🇮🇱 kupigwa bado sana, labda katika mataifa hayo yawe na mpinga Kristo
 
Iran sio taifa la kiarabu. Acha ushabiki wa kipumbavu. Mgogoro wa Palestine na Israel sio wa kidini ni wa kugombea ardhi lakini baadhi ya wakristo uchwara wanaishabikia Israel wakidhani labda ni wenzao wakati hata hawaukubali Ukristo. Na waislam uchwara wanaitetea palestine na kuipinga Israel kwa sababu ya chuki zao za kidini tu wakati ukweli ni kwamba mgogoro wa nchi hizo mbili ni kuhusu ardhi sio dini.
 
Iran sio taifa la kiarabu. Acha ushabiki wa kipumbavu. Mgogoro wa Palestine na Israel sio wa kidini ni wa kugombea ardhi lakini baadhi ya wakristo uchwara wanaishabikia Israel wakidhani labda ni wenzao wakati hata hawaukubali Ukristo. Na waislam uchwara wanaitetea palestine na kuipinga Israel kwa sababu ya chuki zao za kidini tu wakati ukweli ni kwamba mgogoro wa nchi hizo mbili ni kuhusu ardhi sio dini.
Kama ni ardhi mbona hatuoni nchi za kiarabu zikipigania nchi ya Sakata magharibi ili ipate uhuru? Mbona wakrudi wanaodai ardhi yao nchini Turkey, Syria, Iraq, Iran mbona hawapewi nchi yao ya Kurdstan? Mgogoro wa Israel vs Palestina ni dini ya kiislamu na kiyahudi, mbona hatukuona kule Darful waarabu wanawapigania watu wa Darfull>
 
Kama ni ardhi mbona hatuoni nchi za kiarabu zikipigania nchi ya Sakata magharibi ili ipate uhuru? Mbona wakrudi wanaodai ardhi yao nchini Turkey, Syria, Iraq, Iran mbona hawapewi nchi yao ya Kurdstan? Mgogoro wa Israel vs Palestina ni dini ya kiislamu na kiyahudi, mbona hatukuona kule Darful waarabu wanawapigania watu wa Darfull>
Kwahiyo Israel haitaki uislam? Mbona waislam wapo Israel na hawabaguliwi. Israel ina uhusiano mzuri tu na baadhi ya mataifa ya kiislam.
 
Back
Top Bottom