Israel atapigana na mataifa yote ya Kiarabu wakiongozwa na Urusi na watapigwa vibaya

Israel atapigana na mataifa yote ya Kiarabu wakiongozwa na Urusi na watapigwa vibaya

Kama ni ardhi mbona hatuoni nchi za kiarabu zikipigania nchi ya Sakata magharibi ili ipate uhuru? Mbona wakrudi wanaodai ardhi yao nchini Turkey, Syria, Iraq, Iran mbona hawapewi nchi yao ya Kurdstan? Mgogoro wa Israel vs Palestina ni dini ya kiislamu na kiyahudi, mbona hatukuona kule Darful waarabu wanawapigania watu wa Darfull>
Yani umechanganya utumbo na dagaa dooh!
-Suala la Palestina na Israel ni ardhi sio dini,kwasababu hadi makanisa pia yamevunjwa na Israel kufanya upanuzi wa Israel ndani ya ardhi ya Palestina na ukitaka ushahidi tunakupa.Tokea kabla ya 1947 Jerusalem kumepiganwa mapigano tofauti ya kugombea ardhi baina ya wayahudi na waarabu.
-Wakurdi ni kabila ambalo linataka kuanzisha taifa lake lenyewe la kikabila,ni sawa WAARUSHA AU WAMERU watake kuanzisha taifa la kabila lao na wajitenge na Tanzania.Kama kiongozi wewe utakubali?
Ndio maana unaona wanavamia Uturuki,Syria na Iraq,Yani hawana specific target ilimradi popote waanzishe taifa.
Sasa ni kiongozi gani ataruhusu taifa la ukabila na alete mpasuko katika taifa!?
-Darfur ni vita ya RSF na jeshi kuu la Sudan kugombania utawala.

Mukae mtafute vyanzo sio kuongea tu.Hapo Palestina wakristo wenzako wanauawa kwa mabomu na sniper na mpaka makanisa kule Jenin yamevunjwa kupisha upanuzi wa makazi ya Wazayuni.
 
Kumbukumbu la Torati 28 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.
⁷ Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.
⁸ Bwana ataiamuru baraka ije juu yako katika ghala zako, na mambo yote utakayotia mkono wako; naye atakubarikia katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako.


Neno la Mungu ni amini na kweli, AMEN.
Aloyasema haya bila yashaka atakua ni yule Bwana Utam
 
Yani umechanganya utumbo na dagaa dooh!
-Suala la Palestina na Israel ni ardhi sio dini,kwasababu hadi makanisa pia yamevunjwa na Israel kufanya upanuzi wa Israel ndani ya ardhi ya Palestina na ukitaka ushahidi tunakupa.Tokea kabla ya 1947 Jerusalem kumepiganwa mapigano tofauti ya kugombea ardhi baina ya wayahudi na waarabu.
-Wakurdi ni kabila ambalo linataka kuanzisha taifa lake lenyewe la kikabila,ni sawa WAARUSHA AU WAMERU watake kuanzisha taifa la kabila lao na wajitenge na Tanzania.Kama kiongozi wewe utakubali?
Ndio maana unaona wanavamia Uturuki,Syria na Iraq,Yani hawana specific target ilimradi popote waanzishe taifa.
Sasa ni kiongozi gani ataruhusu taifa la ukabila na alete mpasuko katika taifa!?
-Darfur ni vita ya RSF na jeshi kuu la Sudan kugombania utawala.

Mukae mtafute vyanzo sio kuongea tu.Hapo Palestina wakristo wenzako wanauawa kwa mabomu na sniper na mpaka makanisa kule Jenin yamevunjwa kupisha upanuzi wa makazi ya Wazayuni.
Ukishakua qafiri unauwezekano mdogo sana wakua na akili iliotengemaa na kuchambua majambo hasa yanapokua makubwa makubwa kama haya
 
Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo.

Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana.

Nitaliongea hili la taifa la Israel kuzingirwa na mataifa yote ya Kiarabu kwenye kipindi cha Vita ya 3 ya dunia. Mataifa yote ya kiarabu Yakiongozwa na Russia yatajaribu kwa pamoja kuiangamiza Israel. Cha kushangaza, wote watapigwa vibaya Sana. Mataifa kama Egypt, Morocco, Saudi Arabia, Iran, Iraq, Oman, Turkey, Russia nk wote wataungana kujaribu kuiangamiza Israel, Ndani ya muda mfupi wote watapigwa vibaya.

Note: Kuna nguvu kubwa iko nyuma ya Israel. Kujaribu kushindana na Israel, unatafuta kuangamizwa.
Umetumia zaidi hisia kuliko uhalisia.
Kosugi hivi Russia ni Arab kantrii?
 
Ukishakua qafiri unauwezekano mdogo sana wakua na akili iliotengemaa na kuchambua majambo hasa yanapokua makubwa makubwa kama haya
Kanichekesha sana huyu jamaa😂😂😂😂.
Mwezi uliopita Israel court ilitoa ithibati ya kuvunja nyumba na makanisa upande wa Jenin kuongeza makazi ya Wazayuni.
Halafu hawa jamaa wanakuja kusema hii vita ya kidini.
Sijui wana upofu gani wa akili!?
 
Kanichekesha sana huyu jamaa😂😂😂😂.
Mwezi uliopita Israel court ilitoa ithibati ya kuvunja nyumba na makanisa upande wa Jenin kuongeza makazi ya Wazayuni.
Halafu hawa jamaa wanakuja kusema hii vita ya kidini.
Sijui wana upofu gani wa akili!?
Hawajitambui hasa hao wa sande school
 
Kanichekesha sana huyu jamaa😂😂😂😂.
Mwezi uliopita Israel court ilitoa ithibati ya kuvunja nyumba na makanisa upande wa Jenin kuongeza makazi ya Wazayuni.
Halafu hawa jamaa wanakuja kusema hii vita ya kidini.
Sijui wana upofu gani wa akili!?
Myahudi hamkubali mkristo.
Mkristo anamkubali sana myahudi.
Kosugi by using quadratic formula. Solve the problem
Remember to define the Problem and Identify Root Cause of the Problem.
 
Myahudi hamkubali mkristo.
Mkristo anamkubali sana myahudi.
Kosugi by using quadratic formula. Solve the problem
Remember to define the Problem and Identify Root Cause of the Problem.
🤔🤔🤔🤔🤔Maybe tell me to use error and dimension to create the formula and solve the problem using the particular formulated formular.
😂😂Quadratic haipandi na sikuwahi kufanya mtihani wa mathematics.
 
Inaelekea siasa za kimataifa unajadili kwenye vijiwe vya kahawa. Tangia Urusi aanzishe smo umeona Israel ikishabikia upande wowote.

Russia anaweza kupigana na taifa lolote la west lakini sio Israel .
Anachofanya Russia ni kuchochea mgogoro ili akili za west zihamie middle east huku yeye akiendelea kuwapa kichapo Ukraine na maswahiba wake.
Tofauti na Urusi ambayo inapigana na mataifa zaidi ya ,32 Nato na washirika wake hawawezi kupambana sehemu zote mbili.
 
Waache wakandane sie tutizame movie inavyoenda.
Ila mashekhe hapo middle east wana misiba mingi AISEE!
Maana kamanda wao Hamas nae bado hajazikwa.
Leo mchana walikuwa na kikao kati ya iran na makundi ya kule iraq, houthi, hezbolla, wanapanga jinsi ya kushambulia kwa pamoja.
 
Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo.

Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana.

Nitaliongea hili la taifa la Israel kuzingirwa na mataifa yote ya Kiarabu kwenye kipindi cha Vita ya 3 ya dunia. Mataifa yote ya kiarabu Yakiongozwa na Russia yatajaribu kwa pamoja kuiangamiza Israel. Cha kushangaza, wote watapigwa vibaya Sana. Mataifa kama Egypt, Morocco, Saudi Arabia, Iran, Iraq, Oman, Turkey, Russia nk wote wataungana kujaribu kuiangamiza Israel, Ndani ya muda mfupi wote watapigwa vibaya.

Note: Kuna nguvu kubwa iko nyuma ya Israel. Kujaribu kushindana na Israel, unatafuta kuangamizwa.
Mataifa ya kiarabu wanalijua hilo ndio maana wamesaini mkataba wa amani na Israel.

Subiri Iran ajichanganye uone shughuli yake. Hizi kelele anazopiga sasa ni aibu liyomkuta ya kibaraka wake kuuawa ndani ya Iran.

Shika hili : hakuna wa kumshinda Israel.
 
Inaelekea siasa za kimataifa unajadili kwenye vijiwe vya kahawa. Tangia Urusi aanzishe smo umeona Israel ikishabikia upande wowote.

Russia anaweza kupigana na taifa lolote la west lakini sio Israel .

 
Back
Top Bottom