Israel atapigana na mataifa yote ya Kiarabu wakiongozwa na Urusi na watapigwa vibaya

Israel atapigana na mataifa yote ya Kiarabu wakiongozwa na Urusi na watapigwa vibaya

Inaelekea siasa za kimataifa unajadili kwenye vijiwe vya kahawa. Tangia Urusi aanzishe smo umeona Israel ikishabikia upande wowote.

Russia anaweza kupigana na taifa lolote la west lakini sio Israel .
Hajapigana nalo kwasababu Israel haijawahi kugusa interest za Russia.
Ila siku ikigusa interest za Russia itapigwa kama ilivyopigwa ndege zake tatu pale Syria.
 
Mataifa ya kiarabu wanalijua hilo ndio maana wamesaini mkataba wa amani na Israel.

Subiri Iran ajichanganye uone shughuli yake. Hizi kekele anazopiga sasa ni aibu liyomkuta ya kibaraka wake kuuawa ndani ya Iran.

Shika hili : hakuna wa kumshinda Israel.
Tukutajie vita alizoshindwa ama alizopigwa Israel!???
 
Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo.

Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana.

Nitaliongea hili la taifa la Israel kuzingirwa na mataifa yote ya Kiarabu kwenye kipindi cha Vita ya 3 ya dunia. Mataifa yote ya kiarabu Yakiongozwa na Russia yatajaribu kwa pamoja kuiangamiza Israel. Cha kushangaza, wote watapigwa vibaya Sana. Mataifa kama Egypt, Morocco, Saudi Arabia, Iran, Iraq, Oman, Turkey, Russia nk wote wataungana kujaribu kuiangamiza Israel, Ndani ya muda mfupi wote watapigwa vibaya.

Note: Kuna nguvu kubwa iko nyuma ya Israel. Kujaribu kushindana na Israel, unatafuta kuangamizwa.
Mungu wa Israel yu hai ndugu yangu. atatuma malaika mmoja tu wote wataangamia. Mbaya sana watajimaliza wenyewe.
 
Kwa pamoja tumuombe Mwenyezi Mungu aifanyie dunia wepesi na kuiondoa kwenye huu mtanziko ili watu waishi kwa amani.

Vita haina macho na athari zake zinaweza kukufikia hata wewe unayeshabikia hapo ulipo.
Tukiwa tumetoa macho middle east tunasahau maeneo mengi Kwa kipindi hiki yako kwenye tension na inapozuka full scale war maana yake huko kote kwenye tension Moto unaweza kuwaka.

Russia anaweza kuzidisha mapigo dhidi ya Ukraine na kuingia mazima, China anaweza kuishambulia Hong-kong na Taiwan, North Korea anaweza kuipiga south Korea, tafsiri yake USA atajaribu kujigawa na allies yake na hapo ndio inaweza kuleta mushkeli duniani na kuishia kutengeneza vifo, vilema na maradhi.
Tumuombe Mwenyezi Mungu aepushe hili.

Hiyo vita ya tatu tunayoishabikia Africa anaweza kuwa mhanga mkubwa maana tunawategemea sana hao kusurvive na inaweza kurudisha tena ukoloni kwa mataifa yenye nguvu kuamua tena kurudi kutafuta raw materials ya viwanda vyao vya vifaa vya kijeshi na kutafuta manpower yakujitolea au hata kuvamia na kupeleka watu vitani.

Tuiombee dunia amani na utulivu, watu waishi kwa upendo na kuheshimiana, Mwenyezi Mungu aliiumba dunia na kututaka kuishi kwa amani, utulivu, kupendana na kumuabudu.
 
Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo.

Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana.

Nitaliongea hili la taifa la Israel kuzingirwa na mataifa yote ya Kiarabu kwenye kipindi cha Vita ya 3 ya dunia. Mataifa yote ya kiarabu Yakiongozwa na Russia yatajaribu kwa pamoja kuiangamiza Israel. Cha kushangaza, wote watapigwa vibaya Sana. Mataifa kama Egypt, Morocco, Saudi Arabia, Iran, Iraq, Oman, Turkey, Russia nk wote wataungana kujaribu kuiangamiza Israel, Ndani ya muda mfupi wote watapigwa vibaya.

Note: Kuna nguvu kubwa iko nyuma ya Israel. Kujaribu kushindana na Israel, unatafuta kuangamizwa.
Thibitisha
 
Tukutajie vita alizoshindwa ama alizopigwa Israel!???
Mbona mnalialia kama magaidi mnashinda? Endeleeni kupigsna umeishasikia Israel analialia kama. nyinyi?
 
Mbona mnalialia kama magaidi mnashinda? Endeleeni kupigsna umeishasikia Israel analialia kama. nyinyi?
Wewe jibu swali tukutajie vita alizoshindwa Israel!??

Kama kulia Israel imelia sana na Netanyahu ameshasafiri sana kwenda USA kuilalamikia Hizbollah iliposhambulia Galilaya.
Pia ilishasafiri kwenda UN security council kuilalamikia Iran ilipoirushia makombora 300 mwezi June.

Aya jibu swali tukutajie vita alizoshindwa Israel?
 
Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo.

Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana.

Nitaliongea hili la taifa la Israel kuzingirwa na mataifa yote ya Kiarabu kwenye kipindi cha Vita ya 3 ya dunia. Mataifa yote ya kiarabu Yakiongozwa na Russia yatajaribu kwa pamoja kuiangamiza Israel. Cha kushangaza, wote watapigwa vibaya Sana. Mataifa kama Egypt, Morocco, Saudi Arabia, Iran, Iraq, Oman, Turkey, Russia nk wote wataungana kujaribu kuiangamiza Israel, Ndani ya muda mfupi wote watapigwa vibaya.

Note: Kuna nguvu kubwa iko nyuma ya Israel. Kujaribu kushindana na Israel, unatafuta kuangamizwa.
Gog and Magog war is loading stay.................................Mungu Yesu mzuri sana kwenye biblia kaonyesha wazi kabisa nini hatima ya ulimwengu huu, dah kwa Yesu raha...
 
Hiuo
Wewe jibu swali tukutajie vita alizoshindwa Israel!??

Kama kulia Israel imelia sana na Netanyahu ameshasafiri sana kwenda USA kuilalamikia Hizbollah iliposhambulia Galilaya.
Pia ilishasafiri kwenda UN security council kuilalamikia Iran ilipoirushia makombora 300 mwezi June.

Aya jibu swali tukutajie vita alizoshindwa Israel?
ni tafsiri yako lakini hakuna vita hata moja Israel ilishindwa kuanzia ile ya 1948. Ushahidi ni maeneo inayoteka. Kuuawa askari vitani sio kushindwa vita . Sas hivi Gaza imegeuka kuwa vifusi tupu hakuna majengo yaliyosalia.

Iwanasayansi kibao wa nuclear wa Iran wameuawa ndani ya iran na israel na huko Syria anaingia anavyotaka na kupiga.
 
🤣🤣🤣ingia uangalie tafiti zilivyo fanyika mikoa inayoongoza kwa ulawiti na kubaka ndo mikoa ya wavaa madela sasa sijui wanalawiti kuku ama ww sijui🤣🤣🤣Ila kweli nyie ndo mashoga... hivi shoga israel ndo anakupelekesheni puta hivo nyie mashoga baridi??
Hiyo haihusiani na dini.
Ila ripoti inaonesha ARUSHA ndio inaongoza kwa ushoga hapa Tanzania.
Aya hili unalizungumziaje!?
 
Hiuo

ni tafsiri yako lakini hakuna vita hata moja Israel ilishindwa kuanzia ile ya 1948. Ushahidi ni maeneo inayoteka. Kuuawa askari vitani sio kushindwa vita . Sas hivi Gaza imegeuka kuwa vifusi tupu hakuna majengo yaliyosalia.

Iwanasayansi kibao wa nuclear wa Iran wameuawa ndani ya iran na israel na huko Syria anaingia anavyotaka na kupiga.
Well kwa vile umetaka tujadili basi wacha tujadili.

1)1973 Yomkippur / Ramadhan war Egypt ilimpiga Israel na kumpokonya 80% ya Sinai Peninsula Na vita ziliendelea kukomboa eneo lililobaki mpaka mkataba wa Camp David iliposainiwa na eneo lililobaki kupewa Egypt kwa mabadilishano wa mateka wa IDF.
2)2006 Israel-Lebanese war Israel ikifukuzwa kwa bunduki na Hizbollah mji wa Bint Jubeir na kurudi mpaka Shebah farms,vita iliendelea mpaka USA alipoingilia kati.
3)2021 Hamas walimteka askari mwenye nyota wa IDF walimficha Israel ilitumia its full strength kumuokoa askari wao wakashindwa ndipo Hamas ikadai prisonal swap ya wapalestina 1000 waliofungwa kwa askari mmoja.

Ukitaka naweza kukutajia millitary operation zingine Israel alizoshindwa.

Pia hakuna kitu Israel kafanya halafu Iran hajalipiza kisasi.
 
Well kwa vile umetaka tujadili basi wacha tujadili.

1)1973 Yomkippur / Ramadhan war Egypt ilimpiga Israel na kumpokonya 80% ya Sinai Peninsula Na vita ziliendelea kukomboa eneo lililobaki mpaka mkataba wa Camp David iliposainiwa na eneo lililobaki kupewa Egypt kwa mabadilishano wa mateka wa IDF.
2)2006 Israel-Lebanese war Israel ikifukuzwa kwa bunduki na Hizbollah mji wa Bint Jubeir na kurudi mpaka Shebah farms,vita iliendelea mpaka USA alipoingilia kati.
3)2021 Hamas walimteka askari mwenye nyota wa IDF walimficha Israel ilitumia its full strength kumuokoa askari wao wakashindwa ndipo Hamas ikadai prisonal swap ya wapalestina 1000 waliofungwa kwa askari mmoja.

Ukitaka naweza kukutajia millitary operation zingine Israel alizoshindwa.

Pia hakuna kitu Israel kafanya halafu Iran hajalipiza kisasi.
Takwimu zako sio sahihi.
Vita vyote havianzishwi na Israel huwa vinaanzishwa na mataifa ya kiarabu. Lakini kila Vita Israel huteka maeneo

Vita ya mwaka 1967 Israel iliteka maeneo ya jerusalem mashariki na gokan . Vita ya siku sita ya 1873 ilianzishwa na misri lakini Israel kwa mara ya kwanza walivuka mfereji wa suez na waliteka naeneo ya misri.

Mkataba wa camp David sio kuwa Israel ilishindwa, ule mkataba ulikuwa ni wa kumaliza uhasama na misri kurudishiwa eneo lake la sinai. Vita ya Lebanon ni kwa sababu ya kuchokozwa na Hizbollah lakini Israel haina madai yeyote na Lebanon kama nchi.
Syria eneo la golan heights limetekwa na israel na limeunganishwa kuwa sehemu ya Israel hadi sasa.

Jordan kama misri wana mkataba wa anani na Israel.

Israel haijawahi kuomba po katika Vita.

Kwa kuwa Iran ameaahidi kulipa kisas tusubiri alipe tuone reaction ya israel halafu uje hapa jfi tujadili /tutambiane.
 
Kinachoendelea mashariki ya Kati ni maandalizi ya Vita kuu ya tatu ya dunia hapo baadae kidogo.

Vita ya 3 ya dunia iko karibu mno. Hii Vita itahusisha silaha za nuclear. Mabomu ya nuclear yatatumika kwenye hii Vita. Sina muda wa kuliongelea Sana.

Nitaliongea hili la taifa la Israel kuzingirwa na mataifa yote ya Kiarabu kwenye kipindi cha Vita ya 3 ya dunia. Mataifa yote ya kiarabu Yakiongozwa na Russia yatajaribu kwa pamoja kuiangamiza Israel. Cha kushangaza, wote watapigwa vibaya Sana. Mataifa kama Egypt, Morocco, Saudi Arabia, Iran, Iraq, Oman, Turkey, Russia nk wote wataungana kujaribu kuiangamiza Israel, Ndani ya muda mfupi wote watapigwa vibaya.

Note: Kuna nguvu kubwa iko nyuma ya Israel. Kujaribu kushindana na Israel, unatafuta kuangamizwa.
mwana hvi kikundi cha watu 11 sijui wameshindwa kukisambaraisha miaka yote hii ndo wakaweze hilo unalosema???KWELI WEWE NI KILAZA
 
Takwimu zako sio sahihi.
Vita vyote havianzishwi na Israel huwa vinaanzishwa na mataifa ya kiarabu. Lakini kila Vita Israel hureka maeneo

Vita ya mwaka 1967 Israel iliteka maeneo ya jerusalem mashariki na gokan . Vita ya siku sita ya 1873 ilianzishwa na misri lakini Israel kwa mara ya kwanza walivuka mfereji wa surez na waliteka naeneo ya misri.

Mkataba wa camp David sio kuwa Israel ilishindwa, ule mkataba ulikuwa ni wa kumaliza uhasama na misri kurudishiwa enjoy lake la sinai. Vita ya Lebanon ni kwa sababu ya kuchokozwa na Hizbollah lakini Israel haina madai yeyote na Lebanon kama nchi.
Syria eneo ka golan heights limetekwa na israel na limeunganishwa kuwa sehemu ya Israel hadi sasa.

Jordan kama misri wana mkataba wa anani na Israel.

Israel hzhawahi kuomba po katika Vita.

Kwa kuwa Iran ameaahidi kulipa kisas tusubiri alipe tuone reaction ya israel halafu uje hapa jfi tujadili /tutambiane.
-Nilijua utakataa tu,vita YA 1973 ISRAEL walipigwa na Israel ilipata hasara kubwa sana kiasi wanajeshi wengi wa Israel waliangukia mateka wa Egypt.
Israel mpaka WAZIRI MKUU WA ALIJIHUZURU kwa ile aibu ya kupigwa pale Sinai.
Ndio Israel alipenya mpaka Suez ila hakuweza kuishikilia hiyo Suez Canal kwasababu vita ziliendelea kuirejesha asilimia 20 ya Sinai iliyobaki.
Nenda kajiulize kwanini yule mwanamama ALIJIHUZURU kuwa waziri mkuu wa Israel?
Huo mkataba wa Camp David ulilenga kurejesha amani na kurejesheana mateka na kusitisha mashambulizi ya anga ya Israel nchini Syria.
Maana katika hiyo vita Syria ndio alionekana kuelemewa ila Egypt alionekana kumdhibiti haswa Israel.
Kama camp David isingesainiwa hadi sasa wanajeshi wa Israel wangekua wamezeekea jela za Cairo Misri.
-1967 six days war iliyopiganwa kama sijakosea February 5-10 Israel intelijensia yake ilipata taarifa kuwa Egypt ilijenga airbase Sinai peninsula,na ilinunua 200 fighter jets za Soviet,pia Syria ikijiandaa kwa vifaru Gollan heights ili maandalizi yakitimia waivamie Israel.
Sasa Israel aliwawahi kwa kutumia ndege vita za American made kwa kuteketeza airbase nzima ya Egypt pale Sinai,na ndipo Sinai ikaangukia Israel.Ila sio Suez Canal.Japo Sinai Suez Canal nayo inapita.Na pia Israel ikahamia na jeshi lake la anga likateka eneo la Gollan heights.Lilitaka liende ndani zaidi ya Syria rais wa USA wa muda ule akalizuia jeshi la Israel ndio tarehe 10 Feb wakasitisha mashambulizi ya anga.
Alipoingia Anwar Sadat ndio aliahidi kuikomboa Sinai ndipo 1973 October alifanya uvamizi mkubwa kwa vifaru vya Soviet na kuliteka eneo kubwa la Sinai,na askari wa IDF wengi sana waliangukia kuwa mateka wa Misri.
Inamaana mpaka unapoteza asilimia 80 ya eneo ulilokua umelimiki ni sawa umeshindwa.IDF hawakuweza kuirudisha Sinai badala yake waliamua kujikita katika eneo lililobaki ambalo linapakana na Rafah,wakaweka strong buffer zone pale waki repel mashambulizi ya Egypt.


-2006 Kamanda wa Hizbollah alikamatwa na Israel,Hizbollah ilivamiwa mpaka wa Israel ikaua askari nane wa IDF na kukamata wanne kama mateka.Ili kamanda wao na wafuasi wenzao wawili waachiwe na Israel.Israel ilikataa na kufanya mashambulizi ya anga katika maeneo yote wanayodai kuwa yanamilikiwa na Hizbollah.
Hizbollah ikafanya retaliation,Israel ikaamua kurudi bint jubeir ambapo 2000 iliondoka kwa hiari yake kwa mazungumzo ya amani,ikarudi pale ili kuweka buffer zone bint jubeir,ila ikaishia kupoteza makamanda 78 na wakarudi nyuma hadi Shebah farms ambapo waliweka buffer zone ku repell mashambulizi ya hizbollah,maana Hizbollah walidai hadi Shebah farms ni yao na watarudisha kwa mtutu wa bunduki kama walivyoirudisha Bint Jubeir.
Wakati huo Israel ilifeli kubaki bint jubeir na kuokoa makamanda wake wanne ambao wawili walikufa kwa majeraha wakabaki wawili.
At the end USA ndiye aliingilia kati na wakafanya prisonal swap.
Kamanda wa Hizbollah akaachiwa na wafuasi wake wawili na makamanda wa IDF wakarudi Israel.
Aya niambie hapo nani kaishindwa!?

-Kuhusu mataifa ya kiarabu kuwa na mkataba wa amani na Israel hiyo haipingwi yapo.

-Ulisema kuwa waarabu wanahusika na vita zote?
Kaka unajua chanzo cha waarabu kumuanzishia vita Israel?
1946 Wayahudi wa Jerusalem walifeli mapinduzi ya kijeshi juu ya British Palestine mandate,1947 UK na USA waliunda ramani ya mataifa mawili Israel na Palestina,Jerusalem ikigawanywa mara mbili kila mtu akichukua eneo lake na Palestina ilitaka mji mkuu uitwe vivyo hivyo Jerusalem,kiongozi akiwa Yasser Arafat.Kipindi Yasser Arafat anahangaika Palestina itambuliwe UNO Israel 1948 ikaanza millitary expansion of zionism settlements.
Na wakuu wa Israel wakisema uarabuni kuna ardhi nyingi waende sio lazima wabaki hapa.
Walianza kuimega ramani ya Palestina kuanzia Gaza,kipindi hiko Gaza ilikua mkoa mkubwa sio kijieneo kidogo kama sasa.Yasser Arafat wakamkatalia kuitambua Palestina kama taifa huru,Israel ikaendelea kumega eneo kidogo kidogo.
-1958 Israel ilijihusisha na Syria ama Damascus crisis,kipindi kile kiongozi akiwa babaye Bashar Assad.
Hapo ndipo Syria napo ilipoanza uhasama na Israel.


-Israel ni mkorofi sana huwenda huu mzozo hukufuatilia vema.
 
-Nilijua utakataa tu,vita YA 1973 ISRAEL walipigwa na Israel ilipata hasara kubwa sana kiasi wanajeshi wengi wa Israel waliangukia mateka wa Egypt.
Israel mpaka WAZIRI MKUU WA ALIJIHUZURU kwa ile aibu ya kupigwa pale Sinai.
Ndio Israel alipenya mpaka Suez ila hakuweza kuishikilia hiyo Suez Canal kwasababu vita ziliendelea kuirejesha asilimia 20 ya Sinai iliyobaki.
Nenda kajiulize kwanini yule mwanamama ALIJIHUZURU kuwa waziri mkuu wa Israel?
Huo mkataba wa Camp David ulilenga kurejesha amani na kurejesheana mateka na kusitisha mashambulizi ya anga ya Israel nchini Syria.
Maana katika hiyo vita Syria ndio alionekana kuelemewa ila Egypt alionekana kumdhibiti haswa Israel.
Kama camp David isingesainiwa hadi sasa wanajeshi wa Israel wangekua wamezeekea jela za Cairo Misri.
-1967 six days war iliyopiganwa kama sijakosea February 5-10 Israel intelijensia yake ilipata taarifa kuwa Egypt ilijenga airbase Sinai peninsula,na ilinunua 200 fighter jets za Soviet,pia Syria ikijiandaa kwa vifaru Gollan heights ili maandalizi yakitimia waivamie Israel.
Sasa Israel aliwawahi kwa kutumia ndege vita za American made kwa kuteketeza airbase nzima ya Egypt pale Sinai,na ndipo Sinai ikaangukia Israel.Ila sio Suez Canal.Japo Sinai Suez Canal nayo inapita.Na pia Israel ikahamia na jeshi lake la anga likateka eneo la Gollan heights.Lilitaka liende ndani zaidi ya Syria rais wa USA wa muda ule akalizuia jeshi la Israel ndio tarehe 10 Feb wakasitisha mashambulizi ya anga.
Alipoingia Anwar Sadat ndio aliahidi kuikomboa Sinai ndipo 1973 October alifanya uvamizi mkubwa kwa vifaru vya Soviet na kuliteka eneo kubwa la Sinai,na askari wa IDF wengi sana waliangukia kuwa mateka wa Misri.
Inamaana mpaka unapoteza asilimia 80 ya eneo ulilokua umelimiki ni sawa umeshindwa.IDF hawakuweza kuirudisha Sinai badala yake waliamua kujikita katika eneo lililobaki ambalo linapakana na Rafah,wakaweka strong buffer zone pale waki repel mashambulizi ya Egypt.


-2006 Kamanda wa Hizbollah alikamatwa na Israel,Hizbollah ilivamiwa mpaka wa Israel ikaua askari nane wa IDF na kukamata wanne kama mateka.Ili kamanda wao na wafuasi wenzao wawili waachiwe na Israel.Israel ilikataa na kufanya mashambulizi ya anga katika maeneo yote wanayodai kuwa yanamilikiwa na Hizbollah.
Hizbollah ikafanya retaliation,Israel ikaamua kurudi bint jubeir ambapo 2000 iliondoka kwa hiari yake kwa mazungumzo ya amani,ikarudi pale ili kuweka buffer zone bint jubeir,ila ikaishia kupoteza makamanda 78 na wakarudi nyuma hadi Shebah farms ambapo waliweka buffer zone ku repell mashambulizi ya hizbollah,maana Hizbollah walidai hadi Shebah farms ni yao na watarudisha kwa mtutu wa bunduki kama walivyoirudisha Bint Jubeir.
Wakati huo Israel ilifeli kubaki bint jubeir na kuokoa makamanda wake wanne ambao wawili walikufa kwa majeraha wakabaki wawili.
At the end USA ndiye aliingilia kati na wakafanya prisonal swap.
Kamanda wa Hizbollah akaachiwa na wafuasi wake wawili na makamanda wa IDF wakarudi Israel.
Aya niambie hapo nani kaishindwa!?

-Kuhusu mataifa ya kiarabu kuwa na mkataba wa amani na Israel hiyo haipingwi yapo.

-Ulisema kuwa waarabu wanahusika na vita zote?
Kaka unajua chanzo cha waarabu kumuanzishia vita Israel?
1946 Wayahudi wa Jerusalem walifeli mapinduzi ya kijeshi juu ya British Palestine mandate,1947 UK na USA waliunda ramani ya mataifa mawili Israel na Palestina,Jerusalem ikigawanywa mara mbili kila mtu akichukua eneo lake na Palestina ilitaka mji mkuu uitwe vivyo hivyo Jerusalem,kiongozi akiwa Yasser Arafat.Kipindi Yasser Arafat anahangaika Palestina itambuliwe UNO Israel 1948 ikaanza millitary expansion of zionism settlements.
Na wakuu wa Israel wakisema uarabuni kuna ardhi nyingi waende sio lazima wabaki hapa.
Walianza kuimega ramani ya Palestina kuanzia Gaza,kipindi hiko Gaza ilikua mkoa mkubwa sio kijieneo kidogo kama sasa.Yasser Arafat wakamkatalia kuitambua Palestina kama taifa huru,Israel ikaendelea kumega eneo kidogo kidogo.
-1958 Israel ilijihusisha na Syria ama Damascus crisis,kipindi kile kiongozi akiwa babaye Bashar Assad.
Hapo ndipo Syria napo ilipoanza uhasama na Israel.


-Israel ni mkorofi sana huwenda huu mzozo hukufuatilia vema.
Historia yako umekopi na kupaste bila kuhariri.

Yasser Arafat hajawahi kuongoza nchi inayoitwa palestina. Eneo la Gaza lilitekwa na Israel toka Misri na West Bank ilitekwa toka Jordan hivyo kabla ya hapo hakukuwa na nchi ya palestina.

Shebaa farms Israel ikiteka. toka Syria sio lebanon na hadi sasa wanalikalia eneo hilo.

Vita ya 1873 Israel iliviziwa ilikuwa kwenye sikukuu ya kidini ikashambuliwa lakini alijibu mapigo na akateka maeneo ya misri. Hilo eneo la sinai sio sehemu ya Israel ni sehemu ya misrli 8na ilitekwa na Israel na baadae akairudisha kupitia mkataba wa amani.

Rais gamal Nasser wa misri alijiua kutokana na aibu ya kupigwa na israel, inasemekana kuwa alimuambia daktari wake amchome sindano ya sumu.

Kama kushindwa Israel ingeshindwa nwaka 1948 kwani masaa machache tu baada ya kutangazwa kuundwa taifa la Israel, nchi zote za kiarabu za Jordan, Syria, misri, Iraq na Lebanon ziliivamia Israel na bado zilishindwa vita na Israel akateka naeneo zaidi.

Tusubiri mpambamo ujao.

Hadi sasa kwa wale viongozi wakuu wa hamas amebaki mmoja tu Sanwar bado hajauawa wenzake wote na baadhi ya wanafamilia wao wameuawa.
 
Historia yako umekopi na kupaste bila kuhariri.

Yasser Arafat hajawahi kuongoza nchi inayoitwa palestina. Eneo la Gaza lilitekwa na Israel toka Misri na West Bank ilitekwa toka Jordan hivyo kabla ya hapo hakukuwa na nchi ya palestina.

Shebaa farms Israel ikiteka. toka Syria sio lebanon na hadi sasa wanalikalia eneo hilo.

Vita ya 1873 Israel iliviziwa ilikuwa kwenye sikukuu ya kidini ikashambuliwa lakini alijibu mapigo na akateka maeneo ya misri. Hilo eneo la sinai sio sehemu ya Israel ni sehemu ya misrli 8na ilitekwa na Israel na baadae akairudisha kupitia mkataba wa amani.

Rais gamal Nasser wa misri alijiua kutokana na aibu ya kupigwa na israel, inasemekana kuwa alimuambia daktari wake amchome sindano ya sumu.

Kama kushindwa Israel ingeshindwa nwaka 1948 kwani masaa machache tu baada ya kutangazwa kuundwa taifa la Israel, nchi zote za kiarabu za Jordan, Syria, misri, Iraq na Lebanon ziliivamia Israel na bado zilishindwa vita na Israel akateka naeneo zaidi.

Tusubiri mpambamo ujao.

Hadi sasa kwa wale viongozi wakuu wa hamas amebaki mmoja tu Hanniya bado hajauawa wenzake wote na baadhi ya wanafamilia wao wameuawa.
😂😂😂😂😂😂Hivi anae copy na paste ni mimi au wewe!?
Gamal Abdel Nasser ALIJIHUZURU 1967 Sinai ilipovamiwa na airbase ya Egypt ilipoangukia mikononi mwa Israel.
Israel aliipata Sinai chini ya Gamal Abdel Nasser,na Gamal alipojitoa madarakani Anwar Sadat akaingia kuiongoza Egypt.
Vita aliyoshindwa Gamal ni ya six days war 1967.
1973 Anwar Sadat ndiye aliyeanzisha vita kuikomboa SINAI na wala haikuwa 1873.Ni October 1973.
Utake USITAKE HISTORIA ya kweli ni kuwa Israel alipoteza asilimia 80 ya Sinai kwa kupigwa.
Na camp David ilisainiwa ili kufanya prisonal swap na kurudisha eneo lililobaki la Sinai na kusitisha mapigano Syria japo Gollan heights ya Syria bado ilibaki mikononi mwa Israel.
Lebanon nimeitaja BINT JUBEIR NA SHEBAH FARMS.Kama isingekuwa USA kuingilia kati basi Israel hadi Shebah farms walikua wanaipoteza,maana nusu ya shebah ilikua imeshachukuliwa na Hizbollah kwa bunduki.
-Mchakato wa PALESTINA KUWA TAIFA KIONGOZI wa PALESTINA LIBERATION ORGANISATION(PLO) alikua ni YASSER ARAFAT hivyo ingekuwa Palestina imepata uhuru kamili basi rais wa kwanza angetakiwa awe Yasser Arafat.
Baada ya Israel kuanza millitary expansion 1948 ndio waarabu nao wakaamshwa na hasira.
Bro unae copy na ku paste ni wewe sio mimi.
Maana hata maelezo unaoyaleta yanapishana.
Westbank kuwa annexed na Jordan ni suala lingine ama mjadala mwingine nje na wa 1947 na 1948.
 
😂😂😂😂😂😂Hivi anae copy na paste ni mimi au wewe!?
Gamal Abdel Nasser ALIJIHUZURU 1967 Sinai ilipovamiwa na airbase ya Egypt ilipoangukia mikononi mwa Israel.
Israel aliipata Sinai chini ya Gamal Abdel Nasser,na Gamal alipojitoa madarakani Anwar Sadat akaingia kuiongoza Egypt.
Vita aliyoshindwa Gamal ni ya six days war 1967.
1973 Anwar Sadat ndiye aliyeanzisha vita kuikomboa SINAI na wala haikuwa 1873.Ni October 1973.
Utake USITAKE HISTORIA ya kweli ni kuwa Israel alipoteza asilimia 80 ya Sinai kwa kupigwa.
Na camp David ilisainiwa ili kufanya prisonal swap na kurudisha eneo lililobaki la Sinai na kusitisha mapigano Syria japo Gollan heights ya Syria bado ilibaki mikononi mwa Israel.
Lebanon nimeitaja BINT JUBEIR NA SHEBAH FARMS.Kama isingekuwa USA kuingilia kati basi Israel hadi Shebah farms walikua wanaipoteza,maana nusu ya shebah ilikua imeshachukuliwa na Hizbollah kwa bunduki.
-Mchakato wa PALESTINA KUWA TAIFA KIONGOZI wa PALESTINA LIBERATION ORGANISATION(PLO) alikua ni YASSER ARAFAT hivyo ingekuwa Palestina imepata uhuru kamili basi rais wa kwanza angetakiwa awe Yasser Arafat.
Baada ya Israel kuanza millitary expansion 1948 ndio waarabu nao wakaamshwa na hasira.
Bro unae copy na ku paste ni wewe sio mimi.
Maana hata maelezo unaoyaleta yanapishana.
Westbank kuwa annexed na Jordan ni suala lingine ama mjadala mwingine nje na wa 1947 na 1948.
Huelewi historia kamili bali unacopy bila kudigest.
Nasser hakujiuzuru alikufa akiwa madarakani.
Hakuna eneo la shebaa farms lililotekwa toka Lebanon kama ingekuwa hujacopy tu ungeelewa. Shebaa farms kimataifa inatambulika kama sehemu ya Syria.

Pia kukusaidia kuelewa mwaka 1948 Israel haikufanya expansion bali taifa la Israel lilitangazwa kuundwa na mara tu likipoundwa mashambulizi makali toka nchi nilizozitaja yakaanza dhidi ya Israel n Israel lichax ya uchanga wake ikashinda na kuteka naeneo zaidi; wakati huo haikuwa na hata heshi la anga.
 
Huelewi historia kamili bali unacopy bila kudigest.
Nasser hakujiuzuru alikufa akiwa madarakani.
Hakuna eneo la shebaa farms lililotekwa toka Lebanon kama ingekuwa hujacopy tu ungeelewa. Shebaa farms kimataifa inatambulika kama sehemu ya Syria.

Pia kukusaidia kuelewa mwaka 1948 Israel haikufanya expansion bali taifa la Israel lilitangazwa kuundwa na mara tu likipoundwa mashambulizi makali toka nchi nilizozitaja yakaanza dhidi ya Israel n Israel lichax ya uchanga wake ikashinda na kuteka naeneo zaidi; wakati huo haikuwa na hata heshi la anga.
😂😂😂😂😂Kaka Yani we ni mbishani doh!?
Gamal Abdel Nasser ALIJIHUZURU 1967 ila raia waliandamana ili arudi madarakani ndipo 1968 akarejea na 1970 akafariki.
Ila hakufariki kwa kujidunga sumu kama ulivyoongopewa.
-TAIFA LA ISRAEL liliundwa 1947 sio 1948.
1948 Israel ilianza expansion kuongeza ardhi yao kwa kuvamia mipaka ya Palestina.
-Shebah farms ni eneo la LEBANON ambalo linapakana na Gollan heights ya Syria na Israel kaskazini.
Shebah sio eneo la Syria bali linapakana na Gollan ya Syria ila ni ardhi ya Lebanon kaka acha ubishi.
Na mwaka 2000 Israel ilipojiondoa kusini kwa Lebanon kimakubaliano ya amani iliishikilia Shebah kama buffer zone,Shebah Na Gollan zinapakana.

Rudi kasome tena mkuu 😂😂😂😂😂😂.
 
Back
Top Bottom