Israel haikushindwa kwenye ujasusi

Israel haikushindwa kwenye ujasusi

Kwa upande wangu wawe walijua au hawakujua, najua neno moja kwamba Israel imetangaza vita na askari wake wa akiba wameitwa. Kelele zote hizi za Palestina tunasema "BADO HUJASEMA" kwa maana ndo kwanza jua limezama na giza halisi linakuja. Wakijua kuyakoroga, wawe tayari kuyanywa pia.
Ushabarikiwa tayari.
 
Hii dhana kwamba Israel ilipwaya kwenye ujasusi hadi HAMAS wakapanga, kuratibu na hatimaye kuishambulia.

Wamefanya makusudi maana taarifa walikuwa nazo bila chembe ya shaka. HAMAS wameingia kwenye mtego na huenda wakaangamizwa kabisa.

Sasa itakuwa vigumu kuishutumu Israel kwa unyama unaoenda kufanywa kwa kisingizio kwamba walichokozwa kitu ambacho kilikuwa ndani ya uwezo kuzuia.

Ndiyo maana kuna kelele nyingi eti wana haki ya kujilinda.
Sio kweli! Israel isinge ruhusu vifo vya wananchi wake kiasi kile.
Kiufupi ni kuwa Ujasus ulifeli pakubwa.
 
Hii dhana kwamba Israel ilipwaya kwenye ujasusi hadi HAMAS wakapanga, kuratibu na hatimaye kuishambulia.

Wamefanya makusudi maana taarifa walikuwa nazo bila chembe ya shaka. HAMAS wameingia kwenye mtego na huenda wakaangamizwa kabisa.

Sasa itakuwa vigumu kuishutumu Israel kwa unyama unaoenda kufanywa kwa kisingizio kwamba walichokozwa kitu ambacho kilikuwa ndani ya uwezo kuzuia.

Ndiyo maana kuna kelele nyingi eti wana haki ya kujilinda.
Huna akili
 
Hii dhana kwamba Israel ilipwaya kwenye ujasusi hadi HAMAS wakapanga, kuratibu na hatimaye kuishambulia.

Wamefanya makusudi maana taarifa walikuwa nazo bila chembe ya shaka. HAMAS wameingia kwenye mtego na huenda wakaangamizwa kabisa.

Sasa itakuwa vigumu kuishutumu Israel kwa unyama unaoenda kufanywa kwa kisingizio kwamba walichokozwa kitu ambacho kilikuwa ndani ya uwezo kuzuia.

Ndiyo maana kuna kelele nyingi eti wana haki ya kujilinda.
Acha hadithi za bunuwasi wewe amuka
 
Hii dhana kwamba Israel ilipwaya kwenye ujasusi hadi HAMAS wakapanga, kuratibu na hatimaye kuishambulia.

Wamefanya makusudi maana taarifa walikuwa nazo bila chembe ya shaka. HAMAS wameingia kwenye mtego na huenda wakaangamizwa kabisa.

Sasa itakuwa vigumu kuishutumu Israel kwa unyama unaoenda kufanywa kwa kisingizio kwamba walichokozwa kitu ambacho kilikuwa ndani ya uwezo kuzuia.

Ndiyo maana kuna kelele nyingi eti wana haki ya kujilinda.
Wacha we Yahudi mweusi wa Nzega.
 
Na kwa akili hizi utakuta unategemewa kama baba kichwa cha familia.
 
Certainly true. Sema huja analyze vizuri. Around tareh 5-6 Egypt ali share intelligence na Israeli on possible movements za Hamas mpakani. I think more than once aka ignore na kusema ana rely kwenye intelligence ya US. Sasa haijakulikana kama kweli alikua anamsubiri US au walipanga kitu.

Na alimjibu Egypt kua hizo movements za Hamasi wanazo toka muda nizakawaida. Na perhaps walipanga na US kujustify Gaza annexation, possible walijua kua hamasi ata ambush lakini hawakujua angeambush to what extent? thus why nao wamepanic hivi. And ku connect dot kwamba yaweza kua pre-planned na US masaa machache baada ya Hamasi ku ambush ile festival US aircraft carrier imetua Mediterranean Sea how fast was that? Probably walijua every movement but impact ndo hawakujua.

These things are very complicated ku think kwamba CIA Mossad M16 etc hawakujua even drop? Naah! It’s Crystal clear na hata Hamas wenyewe wamekili kua msaada na plan yote wamepata toka Iran.

Probably area ya kwanza au ya pili dunia hii ambayo US anaimonitor 24/7 ni Iran. Ukiacha Russia na NK.
 
Hii dhana kwamba Israel ilipwaya kwenye ujasusi hadi HAMAS wakapanga, kuratibu na hatimaye kuishambulia.

Wamefanya makusudi maana taarifa walikuwa nazo bila chembe ya shaka. HAMAS wameingia kwenye mtego na huenda wakaangamizwa kabisa.

Sasa itakuwa vigumu kuishutumu Israel kwa unyama unaoenda kufanywa kwa kisingizio kwamba walichokozwa kitu ambacho kilikuwa ndani ya uwezo kuzuia.

Ndiyo maana kuna kelele nyingi eti wana haki ya kujilinda.
Hamas bado wanashikilia ashkelon,mashambulizi Sasa yanatoka Syria na Lebanon,huwezi imaliza taasisi Kama Hamas
 
Certainly true. Sema huja analyze vizuri. Around tareh 5-6 Egypt ali share intelligence na Israeli on possible movements za Hamas mpakani. I think more than once aka ignore na kusema ana rely kwenye intelligence ya US. Sasa haijakulikana kama kweli alikua anamsubiri US au walipanga kitu.

Na alimjibu Egypt kua hizo movements za Hamasi wanazo toka muda nizakawaida. Na perhaps walipanga na US kujustify Gaza annexation, possible walijua kua hamasi ata ambush lakini hawakujua angeambush to what extent? thus why nao wamepanic hivi. And ku connect dot kwamba yaweza kua pre-planned na US masaa machache baada ya Hamasi ku ambush ile festival US aircraft carrier imetua Mediterranean Sea how fast was that? Probably walijua every movement but impact ndo hawakujua.

These things are very complicated ku think kwamba CIA Mossad M16 etc hawakujua even drop? Naah! It’s Crystal clear na hata Hamas wenyewe wamekili kua msaada na plan yote wamepata toka Iran.

Probably area ya kwanza au ya pili dunia hii ambayo US anaimonitor 24/7 ni Iran. Ukiacha Russia na NK.
Zelensky analia suala la Hamas ni makusudi ili akose msaada wa silaha ili abondwe vizuri,huwezi acha mpango utaoua watu wako zaidi ya 2000 wakiwemo askari, Israel kila siku anatungua maghorofa Gaza na kuua viongozi/wadau wake
 
Makundi yanayomtamani muisraeli hayapo gaza tu,,, hapo pia wakiendelea wanaweza kuwapa sababu na wengine wapembeni kulipa kisasi mwisho wa siku hapatakalika kote...., hapo ni Hamas tu, bado hezbollah na bado Houthi, unaweza ukasema pia Hamas kajitoa muhanga kuwapa sababu wengine pia....... jamaa kawaonyesha tu ubovu wa myahudi ulipo hata kama atachezea kichapo,,, ukitoa zile iron dome israel ni ndogo sana kusambaratishwa na makombora haichukui muda mwingi
Tatizo akili ya Mtanzania ni finyu sana, mleta mada anacho kisema yawezakuwa make kwa taarifa cheki aljazeera wanasema Misri iliwataarifu Israel siku tatu kabla ya tukio lenyewe.

Iserael wanataka ardhi yao, sidhani kama kuna mtu atakaye weza kuwatoa Gaza tena, Hamas ndo kwaheri hivyo......!!!
 
Back
Top Bottom