Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Yaani makamanda wa Israeli watekwe wengine wauawe, kambi za wanajeshi zivamiwe, HAMAS waingie hadi mitaani kuua raia, missiles zirushwe mpaka Tel Aviv
Halafu isemwe eti Israeli haijashindwa katika ujasusi
Ni mpumbavu tu ndiye atakeyeamini huo upuuzi
Halafu isemwe eti Israeli haijashindwa katika ujasusi
Ni mpumbavu tu ndiye atakeyeamini huo upuuzi