Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Vyovyote inawezekana kila mission inahitaji ushawishi thabiti. Kumbuka hata Sept 11, 2001 wanasema ilikua mission yakubadilisha oder ya Dunia, je! Watu hawakufa? Majengo hayakulipuliwa? Hasara haikupatikana? Dunia inashawishiwa kwa ukweli na ukweli wenyewe hutengenezwa so kwenye hii vita lolote linawezekana na huenda kuna kitu kinatafutwa zaidi ya tuonavyo baada ya kuonekana hakiwezi kupatikana kwenye operesheni ya Russia huko Ukraine.Yaani makamanda wa Israeli watekwe wengine wauawe, kambi za wanajeshi zivamiwe, HAMAS waingie hadi mitaani kuua raia, missiles zirushwe mpaka Tel Aviv
Halafu isemwe eti Israeli haijashindwa katika ujasusi
Ni mpumbavu tu ndiye atakeyeamini huo upuuzi
Watu wanajaribu kubadili zama, hizo habari za idadi ya watu jufa huwa su kutu, what matters ni kuzivuka zama.Ndio watoe kafara raia wake 1000 huku wengine 150+ wakiwa mateka ?..... anyway huenda upo sahihi.
Hamas walilijuwa hilo mapema sana, wakasema tuitumie fursa hii vilivyo, kwani kama hatukuitumia wanatuuwa kila siku na tukiitumia watatuuwa vilevile. Wakaamuwa waitumie "to the maximum". Ndicho walichokifanya.Hii dhana kwamba Israel ilipwaya kwenye ujasusi hadi HAMAS wakapanga, kuratibu na hatimaye kuishambulia.
Wamefanya makusudi maana taarifa walikuwa nazo bila chembe ya shaka. HAMAS wameingia kwenye mtego na huenda wakaangamizwa kabisa.
Sasa itakuwa vigumu kuishutumu Israel kwa unyama unaoenda kufanywa kwa kisingizio kwamba walichokozwa kitu ambacho kilikuwa ndani ya uwezo kuzuia.
Ndiyo maana kuna kelele nyingi eti wana haki ya kujilinda.
Wakati inasambaratishwa USA itakuwa usingiziniMakundi yanayomtamani muisraeli hayapo gaza tu,,, hapo pia wakiendelea wanaweza kuwapa sababu na wengine wapembeni kulipa kisasi mwisho wa siku hapatakalika kote...., hapo ni Hamas tu, bado hezbollah na bado Houthi, unaweza ukasema pia Hamas kajitoa muhanga kuwapa sababu wengine pia....... jamaa kawaonyesha tu ubovu wa myahudi ulipo hata kama atachezea kichapo,,, ukitoa zile iron dome israel ni ndogo sana kusambaratishwa na makombora haichukui muda mwingi
Ajuza Hamas haitakuwepo tena mwaka huu ndio mwisho wa kusikia hilo jinaHamas walilijuwa hilo mapema sana, wakasema tuitumie fursa hii vilivyo, kwani kama hatukuitumia wanatuuwa kila siku na tukiitumia watatuuwa vilevile. Wakaamuwa waitumie "to the maximum". Ndicho walichokifanya.
Hapo walioingia chaka Wayahudi, walifikiri hamas watapeleka mtu mmoja au wawili wakajitowe mhanga. Kinyume na mpango wao wayahudi wakashushiwa moto walioshushiwa moto wa vimondo vya tabata wasioutegemea.
Wapalestiina wameshasema sasa hawaachiihili mpaka waishe wote au myahudi arudishe arshi yao.
Hapa sasa ni nani tu atayekuwa na uvumilivu wa machungu zaidi? Yule aliyezowea starehe na ushoga au yule aliyezowea kuteseka toka anazaliwa?
Umbeya mtupu wamezidiwa si mkubali tu au kwa vile mnaabudia kiinchi hiki cha kikaburu?Hii dhana kwamba Israel ilipwaya kwenye ujasusi hadi HAMAS wakapanga, kuratibu na hatimaye kuishambulia.
Wamefanya makusudi maana taarifa walikuwa nazo bila chembe ya shaka. HAMAS wameingia kwenye mtego na huenda wakaangamizwa kabisa.
Sasa itakuwa vigumu kuishutumu Israel kwa unyama unaoenda kufanywa kwa kisingizio kwamba walichokozwa kitu ambacho kilikuwa ndani ya uwezo kuzuia.
Ndiyo maana kuna kelele nyingi eti wana haki ya kujilinda.
Hata AA ilianza ikaja TAA, ikaja TANU, ikaja CCMAjuza Hamas haitakuwepo tena mwaka huu ndio mwisho wa kusikia hilo jina
Ndivyo mnavyodanganyana vijiweniinawezekana kila mission inahitaji ushawishi thabiti. Kumbuka hata Sept 11, 2001 wanasema ilikua mission yakubadilisha oder ya Dunia
Kwahiyo unashindwa kujua kuwa US ana military base Dunia nzima. Hata ukitaka F-16 inatokea kwenye base Yao hapo Kenya masaa kadhaa inakuwa kigamboni hapoCertainly true. Sema huja analyze vizuri. Around tareh 5-6 Egypt ali share intelligence na Israeli on possible movements za Hamas mpakani. I think more than once aka ignore na kusema ana rely kwenye intelligence ya US. Sasa haijakulikana kama kweli alikua anamsubiri US au walipanga kitu.
Na alimjibu Egypt kua hizo movements za Hamasi wanazo toka muda nizakawaida. Na perhaps walipanga na US kujustify Gaza annexation, possible walijua kua hamasi ata ambush lakini hawakujua angeambush to what extent? thus why nao wamepanic hivi. And ku connect dot kwamba yaweza kua pre-planned na US masaa machache baada ya Hamasi ku ambush ile festival US aircraft carrier imetua Mediterranean Sea how fast was that? Probably walijua every movement but impact ndo hawakujua.
These things are very complicated ku think kwamba CIA Mossad M16 etc hawakujua even drop? Naah! It’s Crystal clear na hata Hamas wenyewe wamekili kua msaada na plan yote wamepata toka Iran.
Probably area ya kwanza au ya pili dunia hii ambayo US anaimonitor 24/7 ni Iran. Ukiacha Russia na NK.
Na vyote hivyo malengo yake hayafananiHata AA ilianza ikaja TAA, ikaja TANU, ikaja CCM
Kabla ya Hamas kulikuwa na PLO, usisahau hilo. Vyote vitapita lakini Palestina itakuwepo.
Inasikitisha sanaNa kwa akili hizi utakuta unategemewa kama baba kichwa cha familia.
Kama ni hivyo huenda hata 9/11 lilikuwa tukio la kutengeneza makusudi na Corona pia ilitengenezwa pia.Watu wanajaribu kubadili zama, hizo habari za idadi ya watu jufa huwa su kutu, what matters ni kuzivuka zama.
Bunaadam wameshauawa kwa vitu vingi vinavyotokana na sababu nyingi za kubumba.
Mamilioni ya Binaadam wmeshakufa kwa magonjwa ya kutengenezewa tu. Binaadam wameshajufa kwa dawa walizitaraji ziwatibu.
Binaadamu wanauawa kwa vita, binaadamu wanauawa kwa ajali.
Dunia ikiamua kuingia zama mpya, watu hugeuka makatili binaadam hupoteza thamani.
Kwenye mijadala siioni sababu ya matusi.Una elimu Gani mkuu
Una justify ujinga ulionao ...... Israel haiwezi sacrifice raia wake 700 Kwa ujinga
Kwenye mijadala siioni sababu ya matusi.Una elimu Gani mkuu
Una justify ujinga ulionao ...... Israel haiwezi sacrifice raia wake 700 Kwa ujinga
That's the world we live in.Kama ni hivyo huenda hata 9/11 lilikuwa tukio la kutengeneza makusudi na Corona pia ilitengenezwa pia.