Israel haipigani tena na Hamas.Inaua watu kinyama.Dunia isimame kabla janga kuliko corona halijatokea.Tanzania kwa uchache iitishe maandamano kulaani

Wewe utakuwa ni jini siyo binadamu, Kwa sababu tunaambiwa majini yapo, mnatetea magaidi, Hamas ilitakiwa baada ya kuwateka Tena wafrica weusi iwaachie tu, kwanini waliendelea kuwashikilia watu weusi ambao sio wazungu?
Hamas wanawathamini watuj weusi sana kwani katika safu zao wapo pia.Muangalie huyo Osama Hamdan ambaye ndiye msemaji mkuu wa Hamas sasa utadhani kazaliwa ikwiriri
 
Nakumbuka wakati mnashangilia tuliwaonya humu humu msije mkaanza kulia,kiko wapi😀
Kinachotokea sasa ndio kinachowaliza walimwengu wote wenye ubinadamu.Sio sisi unaotusema peke yetu.
Katibu mkuu wa UN ameamua kuachana na wapuuzi kama nyinyi kutokana na ukweli aliouona.
 
Nasema hivi mpelekewe moto mpaka akili ziwakae sawa na msirudie tena kuwachokoza waisraeli maana ni hatari kwa vizazi vyenu
 
Acha kulialia kama kah.a.ba aliyenyimwa ujira baada ya kutumika.Ninyi wavaa vipedo na makobazi si mlisema Gaza ni kaburi la Israeli na Mujahedini a.k.a wafia dini ya mnyazimungu ak,a wazee wa ma bikira 72 wanawasubiri waisraeli waingie Gaza?Sasa mbona mnalialia?
 
Kwa haya mauaji yaliyofanyika Leo kwenye hii shule nimejikuta machozi yananitoka aisee hii ni zaidi ya mauaji ya kimbari... Israel wapunguze haya mauaji sasa maana sioni faida yeyote anapata hata hao mateka kama wamekufa bado haitasaidia kuuwa watoto
😁😁🤣🤣
 
Hamas ni kina nani shekhe wangu
 
Sasa Gaza kuwa chini ya PA...Mahmoud Abbas...Hamasi itabakia mioyoni mwao wapenda ugaidii
 
Mimi tangu nakuwa na akili ikitokea mtu mwenye roho mbaya au mtu akifanya kitendo cha kikatili tulimwita huyu jamaa Ni Myahudi kabisa. Sasa nyie mlijua wayahudi ni kama sisi Wakristo kutupelekesha? Tulieni hivyo hivyo
Kinachotokea sasa ndio kinachowaliza walimwengu wote wenye ubinadamu.Sio sisi unaotusema peke yetu.
Katibu mkuu wa UN ameamua kuachana na wapuuzi kama nyinyi kutokana na ukweli aliouona.
 
Acha maneno ya kimbea hayo.Umeambiwa Hamas wameyeyuka na hawajapatikana.Kama ni furaha wameshaondoka nayo.Sasa hatutaki vilio vya watoto.
hamtaki vilio vya wapelestina mnataka vilio vya waisrael. Netanyau sijui kwanini anawapiga kwa huruma atembeze kichapo mpaka kwa mbwa paka ng'ombe kwa mbuzi iwe historia.
 
HAMAS are to blame for all these
 
Mimi tangu nakuwa na akili ikitokea mtu mwenye roho mbaya au mtu akifanya kitendo cha kikatili tulimwita huyu jamaa Ni Myahudi kabisa. Sasa nyie mlijua wayahudi ni kama sisi Wakristo kutupelekesha? Tulieni hivyo hivyo
Wewe umejua mapema.Hongera
 
Hakuna dunia kusimama miguu imechoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…