Israel haipigani tena na Hamas.Inaua watu kinyama.Dunia isimame kabla janga kuliko corona halijatokea.Tanzania kwa uchache iitishe maandamano kulaani

Israel haipigani tena na Hamas.Inaua watu kinyama.Dunia isimame kabla janga kuliko corona halijatokea.Tanzania kwa uchache iitishe maandamano kulaani

France anajuwa sana na canada na wengi wengineo na wote wameona na kuiambia Israel iache kuuwa watoto na kujpiga shule wala hawakuwataja Hamas.
Hizo nchi ulizozitaja zinawatambua Hamas kama kundi la KIgaidi unalifahamu hilo!? Na viongozi wake wote wakuu baada ya tarehe 7/10 walienda kuwafariji Israel na kuwaahidi support katika haki yao ya kujilinda. Na wote hao wana kura za veto Baraza la usalama la umoja wa mataifa....SASA UMUSHASIKIA KAMA SIO KUONA HATA MMOJA MIONGONI MWAO AMEPELEKA UN HOJA YOYOTE INAYOPINGA HICHO KINACHOENDELEA GAZA? Mind you umoja wa mataifa unajua watu hawana maji,chakula, dawa,wala mafuta yakuendeshea mitambo muhimu( generators) kwenye sehemu nyeti kama hospitals,minara ya simu( mawasiliano) huko maroli yamepangana msululu yenye mahitaji yote muhimu lakini ISRAEL KAZUIA. Na hata hao UN wamepimiwa mafuta jana kwenye vibaba na hakuna mtu anaweza kuingilia kati kwa vitendo imebaki maneno tu. Kwa kumalizia kama nchi zote kubwa ulizozitaja hapo juu zinaliona Hamas ni kundi la kigaidi unazani hawataki lifutwe kwenye uso wa dunia? Na kama wanataka lifutwe nani wa kulifuta zaidi ya ISRAEL?
 
Netanyahu ameshasema kwenye hii vita anasimamia neno kutoka 1Samwel 15 kasome mwenyewe,uone jinsi ndugu zako Hamas watakavyoendelea kuchakazwa hadi wafutike.
 
Hizo nchi ulizozitaja zinawatambua Hamas kama kundi la KIgaidi unalifahamu hilo!? Na viongozi wake wote wakuu baada ya tarehe 7/10 walienda kuwafariji Israel na kuwaahidi support katika haki yao ya kujilinda. Na wote hao wana kura za veto Baraza la usalama la umoja wa mataifa....SASA UMUSHASIKIA KAMA SIO KUONA HATA MMOJA MIONGONI MWAO AMEPELEKA UN HOJA YOYOTE INAYOPINGA HICHO KINACHOENDELEA GAZA? Mind you umoja wa mataifa unajua watu hawana maji,chakula, dawa,wala mafuta yakuendeshea mitambo muhimu( generators) kwenye sehemu nyeti kama hospitals,minara ya simu( mawasiliano) huko maroli yamepangana msululu yenye mahitaji yote muhimu lakini ISRAEL KAZUIA. Na hata hao UN wamepimiwa mafuta jana kwenye vibaba na hakuna mtu anaweza kuingilia kati kwa vitendo imebaki maneno tu. Kwa kumalizia kama nchi zote kubwa ulizozitaja hapo juu zinaliona Hamas ni kundi la kigaidi unazani hawataki lifutwe kwenye uso wa dunia? Na kama wanataka lifutwe nani wa kulifuta zaidi ya ISRAEL?
Kumbe ni hadaa zinaendelea.
Sasa unaonaje Mwenyezi Mungu akiwaletea majanga wote hao watamlaumu nani.
Na unaonaje jina Hamas likipotea halafu likaja jengine kali kuliko Hamas nani anaweza kuzuia
Unakumbuka Israel haikuanza leo kuuwa kwa matarajia ya kuwamaliza watetezi wa Palestina na hata Hamas enzi hizo haikuwepo.Israel ilimuua sheikh Yassin ambaye alikuwa babu na mlemavu kwa maelezo kuwa ndiye muasisi wa fikra za kigaidi.Imekuwaje miaka 20 mbele.
Hii dunia inakwenda na kanuni za Mwenyezi Mungu.Kila ukifanya dhulma sana na wewe jitayarishe na kudhulumiwa na kukumbwa na mabalaa
Soma WAKRISTO WA BETHLEHEM
 
Kumbe ni hadaa zinaendelea.
Sasa unaonaje Mwenyezi Mungu akiwaletea majanga wote hao watamlaumu nani.
Na unaonaje jina Hamas likipotea halafu likaja jengine kali kuliko Hamas nani anaweza kuzuia
Unakumbuka Israel haikuanza leo kuuwa kwa matarajia ya kuwamaliza watetezi wa Palestina na hata Hamas enzi hizo haikuwepo.Israel ilimuua sheikh Yassin ambaye alikuwa babu na mlemavu kwa maelezo kuwa ndiye muasisi wa fikra za kigaidi.Imekuwaje miaka 20 mbele.
Hii dunia inakwenda na kanuni za Mwenyezi Mungu.Kila ukifanya dhulma sana na wewe jitayarishe na kudhulumiwa na kukumbwa na mabalaa
Soma WAKRISTO WA BETHLEHEM
Yes ni hadaa! Kama kufa watoto wamekufa sana sasa katika hali hii unategemea nn kitokee ndo wataingilia kati? Akimaliza kaskazini anaanza kuhalibu majengo na miundo mbinu ya kusini nako mauwaji yatakuwa mengi tu japo sio kama kaskazini....maana raia sasa wameanza kutii waelekezo kutoka Israel.
 
Yes ni hadaa! Kama kufa watoto wamekufa sana sasa katika hali hii unategemea nn kitokee ndo wataingilia kati? Akimaliza kaskazini anaanza kuhalibu majengo na miundo mbinu ya kusini nako mauwaji yatakuwa mengi tu japo sio kama kaskazini....maana raia sasa wameanza kutii waelekezo kutoka Israel.
Jujkumu la kuingilia kati ni la kibinadamu na kama binadamu wa imani yoyote hawatafanya ujuwe hawatakuwa salama mbele ya aliyewaumba.
Mpaka watu watakapofahamu kuwa Israel inataka kuangamiza dunia na kuizuia na hilo basi ujuwe hakuna amani huko mbeleni.Atapiga kaskazini halfu kusini na watu wataendelea kufa kwa wingi na vilio vibaya.Kitakachoendelea na kukaliwa kimya ni balaa kwetu sote.
 
Tuachane na vita vya Israel na Hamas.Hivi vita vimeisha na Israel haiwezi kuwapata Hamas wala mateka.
Uchunguzi wa kitaalamu ukihusisha mizozo mengine ya kivita ya miaka ya karibuni unaonesha Hamas wameyeyuka kabisa na kilichobakia ni mahandaki na alama zao nyengine kuwa walikuwepo
Uchunguzi unaonesha kuwa Hamas wataibuka mbeleni na kuendeleza vita ambavyo kamwe Israel hatoviweza kuvimaliza.Hilo limeshajulikana na Israel na sasa inapiga kwa malengo hayo ya kuzuia vita vya mbeleni jukumu ambalo ni gumu sana.
Sasa kwanini Israel inaachwa ifanye vitendo vya kifirauni mbele za walimwengu,ambavyo ni kuuwa watoto inaodhani wanaoweza kuchukua majukumu ya Hamas miaka ijayo..Lakini hizo zitabaki ni dhana na haiwezi kuhalalisha unyama inaofanya sasa.
Shule moja baada ya nyengine zinapigwa kwa mabomu mazito na kuua watoto.Vitoto vinakujfa mbele ya wenzao na watu dunia nzima wanaona.
Nimeangalia matukio ya kutisha sana ya wazee wakiokota vipande vya watoto wao waliokuwa wakisafiri nao kuelekea kusini.Vijana wenye njaa wanachimba vifusi kwa mikono yao kutafuta waliofukiwa.Huko ni kuchanganyikiwa kwani mikono haiwezi kuinua mazege na kubinua nondo zilizojengewa majengo hayo.Ndio maana kuna idadi kubwa mpaka sasa wamebaki chini ya vifusi.
Wanawake wanalia mpaka machozi yanakauka kuomba msaada kwa wanaume wa dunia nzima. Sauti zao ni ushahidi wa kuIshiwa na nguvu kwa majonzi
Wenye uwezo wa kuzuia hayo,huu ni wakati wao na sio matamko ya kisiasa kwa jambazi ambaye hasikilizi maneno hayo.Kuacha kufanya hivyo kwa hakika ni kukaribisha majanga kwa dunia nzima katika mfumo wa mabalaa yanayofanana na corona ambapo kila mmoja wetu hatoishi kwa raha tena bila kujjali dini zetu.
Wapo wengi katika nchi za mbali na eneo la tukio wameacha kuzungumzia vita vya Israel na Hamas na wanazaungumzia maangamizi (genocide) basi.
Hivi una akili Kweli
 
Watoto unaowakuta ndani ndio utawaua kwa vile Jambazi kaingia ndani ya nyumba hiyo.Huo ni ujinga.
Sasa wewe unaanzisha ugomvi wa mawe unajua unakaa kwenye nyumba ya vioo..Nani atakuwa mjinga apo??.
 
Tuachane na vita vya Israel na Hamas.Hivi vita vimeisha na Israel haiwezi kuwapata Hamas wala mateka.
Uchunguzi wa kitaalamu ukihusisha mizozo mengine ya kivita ya miaka ya karibuni unaonesha Hamas wameyeyuka kabisa na kilichobakia ni mahandaki na alama zao nyengine kuwa walikuwepo
Uchunguzi unaonesha kuwa Hamas wataibuka mbeleni na kuendeleza vita ambavyo kamwe Israel hatoviweza kuvimaliza.Hilo limeshajulikana na Israel na sasa inapiga kwa malengo hayo ya kuzuia vita vya mbeleni jukumu ambalo ni gumu sana.
Sasa kwanini Israel inaachwa ifanye vitendo vya kifirauni mbele za walimwengu,ambavyo ni kuuwa watoto inaodhani wanaoweza kuchukua majukumu ya Hamas miaka ijayo..Lakini hizo zitabaki ni dhana na haiwezi kuhalalisha unyama inaofanya sasa.
Shule moja baada ya nyengine zinapigwa kwa mabomu mazito na kuua watoto.Vitoto vinakujfa mbele ya wenzao na watu dunia nzima wanaona.
Nimeangalia matukio ya kutisha sana ya wazee wakiokota vipande vya watoto wao waliokuwa wakisafiri nao kuelekea kusini.Vijana wenye njaa wanachimba vifusi kwa mikono yao kutafuta waliofukiwa.Huko ni kuchanganyikiwa kwani mikono haiwezi kuinua mazege na kubinua nondo zilizojengewa majengo hayo.Ndio maana kuna idadi kubwa mpaka sasa wamebaki chini ya vifusi.
Wanawake wanalia mpaka machozi yanakauka kuomba msaada kwa wanaume wa dunia nzima. Sauti zao ni ushahidi wa kuIshiwa na nguvu kwa majonzi
Wenye uwezo wa kuzuia hayo,huu ni wakati wao na sio matamko ya kisiasa kwa jambazi ambaye hasikilizi maneno hayo.Kuacha kufanya hivyo kwa hakika ni kukaribisha majanga kwa dunia nzima katika mfumo wa mabalaa yanayofanana na corona ambapo kila mmoja wetu hatoishi kwa raha tena bila kujjali dini zetu.
Wapo wengi katika nchi za mbali na eneo la tukio wameacha kuzungumzia vita vya Israel na Hamas na wanazaungumzia maangamizi (genocide) basi.
Kula mkongoto mpaka ......
 
Katika idadi za vifo Israel vilipaishwa ili kutoa sababu ya vita,hakuna maelfu.Zaidi ya hapo hata watu wengine walijuwa kujwa Hamas hawakufanya hivyo bila sababu.
sssa kama ni Hamas waliofanya hivyo umeshaambiwa hawapo tena.hawawezi kuwaona.Si watulie sasa na waache kuuwa watu ovyo huku wakilenga zaidi watoto.
Tulia wewe,israeli ilisema itawapa somo ambalo miaka mia hamtalisahau
 
Tulia wewe,israeli ilisema itawapa somo ambalo miaka mia hamtalisahau
Hilo somo liko wapi zaidi ya kuua watoto na wagonjwa na kukalia hospitali.
Kama ni somo basi wala sio letu peke yetu ni pamoja na nyinyi na dunia yote.
Hakuna alyeiwahi kuona somo hilo la kupiga hospitali zote za mji na kuua wagonjwa na watoto na kuwatoa wagonjwa vitandani mwao.
 
Nd
Hilo somo liko wapi zaidi ya kuua watoto na wagonjwa na kukalia hospitali.
Kama ni somo basi wala sio letu peke yetu ni pamoja na nyinyi na dunia yote.
Hakuna alyeiwahi kuona somo hilo la kupiga hospitali zote za mji na kuua wagonjwa na watoto na kuwatoa wagonjwa vitandani mwao.
Ndio Somo lenyewe hilo,hivyo vitoto navyo ni magaidi wa siku za mbeleni
 
Wacha Tanzania kuitisha hata raia wa Tanzania wametaka kufanya maandamano ya amani wamekatazwa.

Tanzania tumeshatiwa nfukoni na mazayuni,

Mnafik yule alikuwa anajifanya kumpenda sana nyerere, cha ajabu, nyerere aliwatimua hapa mazayuni yeye akawarudisha wakati wa utawala wake.
Kwahiyo Allah na yeye ana makosa kuwaruhusu Wairael kurejea kwenye nchi yao aliyowapa? unataka waendelee kusumbuliwa tu na magaidi? walishambiwa siku nyingi waweke silaha chini waishi salama wakakataa wametumia magendo mibichwa imekuwa mikumbwa inataka kupigana haya waache wajifunze na kufutwa... ukishabikia sana tunakupakia kwenye ndege uende na wewe Gaza
 
Nd

Ndio Somo lenyewe hilo,hivyo vitoto navyo ni magaidi wa siku za mbeleni
Hiyo dini yenu ina hatari sana.Na wala siamini kuwa wewe ni mkristo.unaweza ukawa myahudi au mfuasi wa shetani.
Watoto kwa dini yetu ni watu salama sana na wote ni waislamu mpaka watakapoanza kubaleghe.Hata wakifanya dhambi wakiwa wachanga hawaandikiwi kwenye madaftari yao.
Mmoja aliyewahi kutoa hukumu hiyo ni Firauni ambaye hatimae Allah mwenyewe alimshughulikia na kukoma.
 
Unajiita una nguvu za kijeshi duniani halafu unatandikwa na jamaa wamevaa flip flops na viatu vya adidas licha ya kusaidiwa na airfoce na misaada yote toka USA.

Hamas wanasema askari zaidi ya 3000 IDF wameliwa vichwa na Israel haijachukua hata miili, tanks zaidi ya 300 zimepigwa na gari zaidi ya 60 zimepigwa. Hizi ni habari ambazo IDF haitaki zitoke, ndicho chanzo askari wa IDF wanaamua kuingia misikitini na kurusha mabomu ya mikononi na kuua wasio na hatia.

Wachambuzi wakubwa kijeshi tena wamarekani wanasema Israel haiwezi pigana na Hamas face to face, na Israel imeshindwa vita, mtu kama Scott Ritter ambae ni former United States Marine Corps intelligence officer, mwanasiasa na alishiriki vita ya Iraq anasema Israel haina uwezo kupambana na Hamas.

video hii.

View: https://www.youtube.com/watch?v=PeaLnDprf7g&t=58s




Ona Sasa kama huyu mpumbavu anakwenda msikitini anarusha grenade, humo kuna wanawake , watoto, hakuna Hamas humo, hii video imelitia aibu sana jeshi la Israel, anaua watu msikitini ambao hawana hatia, ndio maana wachambuzi wanasema Israel vita imeshindwa,kila wakikutana na Hamas face to face wanatandikwa, video hii imepelekea IDF kumsimamisha huyu askari na hapo ni aibu kwa dunia baada ya dunia kuona video, isingeonekana wangemsifu askari huyo na kumpa cheo.


View: https://www.youtube.com/watch?v=nkvXiyfHWIM

Israel hawaelewi wapige wapi, wanabahatisha ndio maana wanapiga shuleni, misikitini, hospitali n.k wamezidiwa intelejensia na Hamas, wamepigwa chenga. Hii ndio vita Gaza.

jifurahisheni tu huku mnalia... kama Aljazeera
 
Kwahiyo Allah na yeye ana makosa kuwaruhusu Wairael kurejea kwenye nchi yao aliyowapa? unataka waendelee kusumbuliwa tu na magaidi? walishambiwa siku nyingi waweke silaha chini waishi salama wakakataa wametumia magendo mibichwa imekuwa mikumbwa inataka kupigana haya waache wajifunze na kufutwa... ukishabikia sana tunakupakia kwenye ndege uende na wewe Gaza
Wapi alipowapa au mnajdanganya tu.
 
Unajiita una nguvu za kijeshi duniani halafu unatandikwa na jamaa wamevaa flip flops na viatu vya adidas licha ya kusaidiwa na airfoce na misaada yote toka USA.

Hamas wanasema askari zaidi ya 3000 IDF wameliwa vichwa na Israel haijachukua hata miili, tanks zaidi ya 300 zimepigwa na gari zaidi ya 60 zimepigwa. Hizi ni habari ambazo IDF haitaki zitoke, ndicho chanzo askari wa IDF wanaamua kuingia misikitini na kurusha mabomu ya mikononi na kuua wasio na hatia.

Wachambuzi wakubwa kijeshi tena wamarekani wanasema Israel haiwezi pigana na Hamas face to face, na Israel imeshindwa vita, mtu kama Scott Ritter ambae ni former United States Marine Corps intelligence officer, mwanasiasa na alishiriki vita ya Iraq anasema Israel haina uwezo kupambana na Hamas.

video hii.

View: https://www.youtube.com/watch?v=PeaLnDprf7g&t=58s




Ona Sasa kama huyu mpumbavu anakwenda msikitini anarusha grenade, humo kuna wanawake , watoto, hakuna Hamas humo, hii video imelitia aibu sana jeshi la Israel, anaua watu msikitini ambao hawana hatia, ndio maana wachambuzi wanasema Israel vita imeshindwa,kila wakikutana na Hamas face to face wanatandikwa, video hii imepelekea IDF kumsimamisha huyu askari na hapo ni aibu kwa dunia baada ya dunia kuona video, isingeonekana wangemsifu askari huyo na kumpa cheo.


View: https://www.youtube.com/watch?v=nkvXiyfHWIM

Israel hawaelewi wapige wapi, wanabahatisha ndio maana wanapiga shuleni, misikitini, hospitali n.k wamezidiwa intelejensia na Hamas, wamepigwa chenga. Hii ndio vita Gaza.

chenga za mwili zinaudhi sana.lakini yakikupata lazima utulize bongo.
Hasara kamili ya IDF ni kubwa sana.Hamas wasingeweza kurusha video kama tunazoziona iwapo hawajapata mafanikio hayo.
 
Nakumbuka wakati mnashangilia tuliwaonya humu humu msije mkaanza kulia,kiko wapi😀
 
Back
Top Bottom