Israel haipigani tena na Hamas.Inaua watu kinyama.Dunia isimame kabla janga kuliko corona halijatokea.Tanzania kwa uchache iitishe maandamano kulaani

Israel haipigani tena na Hamas.Inaua watu kinyama.Dunia isimame kabla janga kuliko corona halijatokea.Tanzania kwa uchache iitishe maandamano kulaani

Tuachane na vita vya Israel na Hamas.Hivi vita vimeisha na Israel haiwezi kuwapata Hamas wala mateka.
Uchunguzi wa kitaalamu ukihusisha mizozo mengine ya kivita ya miaka ya karibuni unaonesha Hamas wameyeyuka kabisa na kilichobakia ni mahandaki na alama zao nyengine kuwa walikuwepo
Uchunguzi unaonesha kuwa Hamas wataibuka mbeleni na kuendeleza vita ambavyo kamwe Israel hatoviweza kuvimaliza.Hilo limeshajulikana na Israel na sasa inapiga kwa malengo hayo ya kuzuia vita vya mbeleni jukumu ambalo ni gumu sana.
Sasa kwanini Israel inaachwa ifanye vitendo vya kifirauni mbele za walimwengu,ambavyo ni kuuwa watoto inaodhani wanaoweza kuchukua majukumu ya Hamas miaka ijayo..Lakini hizo zitabaki ni dhana na haiwezi kuhalalisha unyama inaofanya sasa.
Shule moja baada ya nyengine zinapigwa kwa mabomu mazito na kuua watoto.Vitoto vinakujfa mbele ya wenzao na watu dunia nzima wanaona.
Nimeangalia matukio ya kutisha sana ya wazee wakiokota vipande vya watoto wao waliokuwa wakisafiri nao kuelekea kusini.Vijana wenye njaa wanachimba vifusi kwa mikono yao kutafuta waliofukiwa.Huko ni kuchanganyikiwa kwani mikono haiwezi kuinua mazege na kubinua nondo zilizojengewa majengo hayo.Ndio maana kuna idadi kubwa mpaka sasa wamebaki chini ya vifusi.
Wanawake wanalia mpaka machozi yanakauka kuomba msaada kwa wanaume wa dunia nzima. Sauti zao ni ushahidi wa kuIshiwa na nguvu kwa majonzi
Wenye uwezo wa kuzuia hayo,huu ni wakati wao na sio matamko ya kisiasa kwa jambazi ambaye hasikilizi maneno hayo.Kuacha kufanya hivyo kwa hakika ni kukaribisha majanga kwa dunia nzima katika mfumo wa mabalaa yanayofanana na corona ambapo kila mmoja wetu hatoishi kwa raha tena bila kujjali dini zetu.
Wapo wengi katika nchi za mbali na eneo la tukio wameacha kuzungumzia vita vya Israel na Hamas na wanazaungumzia maangamizi (genocide) basi.
Wanaoabudu mtu "yeshu" hawatokuelewa maana akili zao zimejaa usheitwani
 
Tuachane na vita vya Israel na Hamas.Hivi vita vimeisha na Israel haiwezi kuwapata Hamas wala mateka.
Uchunguzi wa kitaalamu ukihusisha mizozo mengine ya kivita ya miaka ya karibuni unaonesha Hamas wameyeyuka kabisa na kilichobakia ni mahandaki na alama zao nyengine kuwa walikuwepo
Uchunguzi unaonesha kuwa Hamas wataibuka mbeleni na kuendeleza vita ambavyo kamwe Israel hatoviweza kuvimaliza.Hilo limeshajulikana na Israel na sasa inapiga kwa malengo hayo ya kuzuia vita vya mbeleni jukumu ambalo ni gumu sana.
Sasa kwanini Israel inaachwa ifanye vitendo vya kifirauni mbele za walimwengu,ambavyo ni kuuwa watoto inaodhani wanaoweza kuchukua majukumu ya Hamas miaka ijayo..Lakini hizo zitabaki ni dhana na haiwezi kuhalalisha unyama inaofanya sasa.
Shule moja baada ya nyengine zinapigwa kwa mabomu mazito na kuua watoto.Vitoto vinakujfa mbele ya wenzao na watu dunia nzima wanaona.
Nimeangalia matukio ya kutisha sana ya wazee wakiokota vipande vya watoto wao waliokuwa wakisafiri nao kuelekea kusini.Vijana wenye njaa wanachimba vifusi kwa mikono yao kutafuta waliofukiwa.Huko ni kuchanganyikiwa kwani mikono haiwezi kuinua mazege na kubinua nondo zilizojengewa majengo hayo.Ndio maana kuna idadi kubwa mpaka sasa wamebaki chini ya vifusi.
Wanawake wanalia mpaka machozi yanakauka kuomba msaada kwa wanaume wa dunia nzima. Sauti zao ni ushahidi wa kuIshiwa na nguvu kwa majonzi
Wenye uwezo wa kuzuia hayo,huu ni wakati wao na sio matamko ya kisiasa kwa jambazi ambaye hasikilizi maneno hayo.Kuacha kufanya hivyo kwa hakika ni kukaribisha majanga kwa dunia nzima katika mfumo wa mabalaa yanayofanana na corona ambapo kila mmoja wetu hatoishi kwa raha tena bila kujjali dini zetu.
Wapo wengi katika nchi za mbali na eneo la tukio wameacha kuzungumzia vita vya Israel na Hamas na wanazaungumzia maangamizi (genocide) basi.
Mwanzoni si ulikuwa unatoa taarifa kuwa, israel kuingia Gaza atakuwa anajitafutia maafa makubwa?!!!
 
Mwanzoni si ulikuwa unatoa taarifa kuwa, israel kuingia Gaza atakuwa anajitafutia maafa makubwa?!!!
Ndicho kinachoendelea.Kwani wewe umeona amepata nafuu gani.
Ameshindwa kuwakamata Hamas na kuokoa mateka.Mpaka nyumba ya Netanyahu imezingirwa na ndugu za mateka wakidai watu wao.
Hilo kwa mtazamo wako unaona ni kitu gani
 
Watoto wanakufa kimaigizo Israel hakuna wajinga wa kudanganywa.. tulia Dawa ikuingie si mmefurahia kifo cha mtanzania pia nyie magaidi.. Vita ikisimama inamaana Israel imekubali kumalizwa... Karibu Gaza yote ilifurahia vifo vya Waisrael so wote wale ni magaidi alafu wamevua magwanda wote so wakiuliwa ni raia wanalia wakiuwa wao wanajisifu Al jazeera anawaponza sana... kawaponza hadi Al Shifa Israel kawafurumusha wote Hospitalini wakatafute habari mitaani walengwe nao pia karma
Wewe itakuwa huna dini.Ni mfuasi wa shetani.
 
Acha watwangane tumezoea kuonyeshwa migogoro ya Sudani, Kongo, Afrika ya Kati, Afrika Magharibi n.k. Sasa Al-Jazeera, CNN na BBC wamehamishia makamera Urusi na Israel.
 
Mtasema tu na Bado !
Shida Hawa magaidi akili zao ni kidogo sana wanadhani wakienda kujificha mashuleni Israel hawatawapiga, wanadhani wakijificha kwenye makambi ya wakimbizi basi watakua salama, wanadhani wakijichimbia mahospitalini Israel itaogopa kuwafurusha kwa missile bombs(wanawaponza wenzao)

Wanasahau kwamba walichokaza machizi vita, hata wajifiche wapi watapigwa tu,hata wakusanye watoto wadogo malaki kwa malaki then wajichomeke katikati Yao kombola litawashukia hapo hapo. sasa kama wanapenda uhai wa watoto wao, wanawake na wazee basi wakae mbali nao vinginevyo watawaponza.

Alafu hii vita Toka imeanza inamaana hakuna kijana hata mmoja aliekufa?
Inamaana hii vita Hamas wao hawafi?
Wanaokufa ni wanawake na watoto tu???
Sasa Israel itasitisha vita pale mtakapoanza kusema ukweli kwamba sasa hivi Hamas wanakufa, maana kwa mujibu wenu hakuna Hamas wanaokufa isipo kuwa ni watoto na wanawake. Sasa lengo la Vita Bado halijatimizwa.
 
Tuachane na vita vya Israel na Hamas.Hivi vita vimeisha na Israel haiwezi kuwapata Hamas wala mateka.
Uchunguzi wa kitaalamu ukihusisha mizozo mengine ya kivita ya miaka ya karibuni unaonesha Hamas wameyeyuka kabisa na kilichobakia ni mahandaki na alama zao nyengine kuwa walikuwepo
Uchunguzi unaonesha kuwa Hamas wataibuka mbeleni na kuendeleza vita ambavyo kamwe Israel hatoviweza kuvimaliza.Hilo limeshajulikana na Israel na sasa inapiga kwa malengo hayo ya kuzuia vita vya mbeleni jukumu ambalo ni gumu sana.
Sasa kwanini Israel inaachwa ifanye vitendo vya kifirauni mbele za walimwengu,ambavyo ni kuuwa watoto inaodhani wanaoweza kuchukua majukumu ya Hamas miaka ijayo..Lakini hizo zitabaki ni dhana na haiwezi kuhalalisha unyama inaofanya sasa.
Shule moja baada ya nyengine zinapigwa kwa mabomu mazito na kuua watoto.Vitoto vinakujfa mbele ya wenzao na watu dunia nzima wanaona.
Nimeangalia matukio ya kutisha sana ya wazee wakiokota vipande vya watoto wao waliokuwa wakisafiri nao kuelekea kusini.Vijana wenye njaa wanachimba vifusi kwa mikono yao kutafuta waliofukiwa.Huko ni kuchanganyikiwa kwani mikono haiwezi kuinua mazege na kubinua nondo zilizojengewa majengo hayo.Ndio maana kuna idadi kubwa mpaka sasa wamebaki chini ya vifusi.
Wanawake wanalia mpaka machozi yanakauka kuomba msaada kwa wanaume wa dunia nzima. Sauti zao ni ushahidi wa kuIshiwa na nguvu kwa majonzi
Wenye uwezo wa kuzuia hayo,huu ni wakati wao na sio matamko ya kisiasa kwa jambazi ambaye hasikilizi maneno hayo.Kuacha kufanya hivyo kwa hakika ni kukaribisha majanga kwa dunia nzima katika mfumo wa mabalaa yanayofanana na corona ambapo kila mmoja wetu hatoishi kwa raha tena bila kujjali dini zetu.
Wapo wengi katika nchi za mbali na eneo la tukio wameacha kuzungumzia vita vya Israel na Hamas na wanazaungumzia maangamizi (genocide) basi.
Oil,gas [emoji618]
 
Kwa mujibu wa mikataba ya UN kuhusu vita. Mtoto anapoteza haki ya Kinga ya kushambuliwa ikiwa atatumika kama ngao . Hao HAMAS wanawatumia watoto kama ngao unategemea waachwe.😭😭😭
F_O2b2SW8AAEVFb.jpeg

F_O2b2SW8AAEVFb.jpeg

Ingekuwa inapiga kenge isingekuwa na neno.Lakini watoto na akinamama ni balaa kubwa sana.
 
Katika idadi za vifo Israel vilipaishwa ili kutoa sababu ya vita,hakuna maelfu.Zaidi ya hapo hata watu wengine walijuwa kujwa Hamas hawakufanya hivyo bila sababu.
sssa kama ni Hamas waliofanya hivyo umeshaambiwa hawapo tena.hawawezi kuwaona.Si watulie sasa na waache kuuwa watu ovyo huku wakilenga zaidi watoto.
Walikufa wangapi mtaalam?
 
Unajiita una nguvu za kijeshi duniani halafu unatandikwa na jamaa wamevaa flip flops na viatu vya adidas licha ya kusaidiwa na airfoce na misaada yote toka USA.

Hamas wanasema askari zaidi ya 3000 IDF wameliwa vichwa na Israel haijachukua hata miili, tanks zaidi ya 300 zimepigwa na gari zaidi ya 60 zimepigwa. Hizi ni habari ambazo IDF haitaki zitoke, ndicho chanzo askari wa IDF wanaamua kuingia misikitini na kurusha mabomu ya mikononi na kuua wasio na hatia.

Wachambuzi wakubwa kijeshi tena wamarekani wanasema Israel haiwezi pigana na Hamas face to face, na Israel imeshindwa vita, mtu kama Scott Ritter ambae ni former United States Marine Corps intelligence officer, mwanasiasa na alishiriki vita ya Iraq anasema Israel haina uwezo kupambana na Hamas.

video hii.

View: https://www.youtube.com/watch?v=PeaLnDprf7g&t=58s




Ona Sasa kama huyu mpumbavu anakwenda msikitini anarusha grenade, humo kuna wanawake , watoto, hakuna Hamas humo, hii video imelitia aibu sana jeshi la Israel, anaua watu msikitini ambao hawana hatia, ndio maana wachambuzi wanasema Israel vita imeshindwa,kila wakikutana na Hamas face to face wanatandikwa, video hii imepelekea IDF kumsimamisha huyu askari na hapo ni aibu kwa dunia baada ya dunia kuona video, isingeonekana wangemsifu askari huyo na kumpa cheo.


View: https://www.youtube.com/watch?v=nkvXiyfHWIM

Israel hawaelewi wapige wapi, wanabahatisha ndio maana wanapiga shuleni, misikitini, hospitali n.k wamezidiwa intelejensia na Hamas, wamepigwa chenga. Hii ndio vita Gaza.

Halafu mnataka vita iishe. Si tuendelee hivihivi tu.
 
Walikufa wangapi mtaalam?
Idadi ya waliokufa kila siku inabadilishwa na hakuna majina ya kutosha wala picha kuthibitisha hivyo vifo.Kwa kifupi ni watu wachache sana kuliko wapalestina waliokwisha kuuliwa na majumba yao ya kuishi kubomolewa.
 
Ndicho kinachoendelea.Kwani wewe umeona amepata nafuu gani.
Ameshindwa kuwakamata Hamas na kuokoa mateka.Mpaka nyumba ya Netanyahu imezingirwa na ndugu za mateka wakidai watu wao.
Hilo kwa mtazamo wako unaona ni kitu gani
Jambazi ametoka ndani ya nyumba yako na siku zote huwa anaishi kwako unamjua vzuri...kaja kwangu kapiga tukio kaondoka,wewe unazani mim nitaenda kuwatandika nyumba ya nani anaemjua/kumfuga jambazi wangu zaidi yako wewe unaemfuga ndugu yako
 
Shida Hawa magaidi akili zao ni kidogo sana wanadhani wakienda kujificha mashuleni Israel hawatawapiga, wanadhani wakijificha kwenye makambi ya wakimbizi basi watakua salama, wanadhani wakijichimbia mahospitalini Israel itaogopa kuwafurusha kwa missile bombs(wanawaponza wenzao)

Wanasahau kwamba walichokaza machizi vita, hata wajifiche wapi watapigwa tu,hata wakusanye watoto wadogo malaki kwa malaki then wajichomeke katikati Yao kombola litawashukia hapo hapo. sasa kama wanapenda uhai wa watoto wao, wanawake na wazee basi wakae mbali nao vinginevyo watawaponza.

Alafu hii vita Toka imeanza inamaana hakuna kijana hata mmoja aliekufa?
Inamaana hii vita Hamas wao hawafi?
Wanaokufa ni wanawake na watoto tu???
Sasa Israel itasitisha vita pale mtakapoanza kusema ukweli kwamba sasa hivi Hamas wanakufa, maana kwa mujibu wenu hakuna Hamas wanaokufa isipo kuwa ni watoto na wanawake. Sasa lengo la Vita Bado halijatimizwa.
Si unaona mwenyewe.Kila bomu likipigwa wengi ni watoto walioparaganyika viungo.Ni picha za papo kwa papo kutoka mashirika maarufu ya habari.Na ukipiga shule si umekusudia kuuwa watoto.
 
Jambazi ametoka ndani ya nyumba yako na siku zote huwa anaishi kwako unamjua vzuri...kaja kwangu kapiga tukio kaondoka,wewe unazani mim nitaenda kuwatandika nyumba ya nani anaemjua/kumfuga jambazi wangu zaidi yako wewe unaemfuga ndugu yako
Watoto unaowakuta ndani ndio utawaua kwa vile Jambazi kaingia ndani ya nyumba hiyo.Huo ni ujinga.
 
Tuachane na vita vya Israel na Hamas.Hivi vita vimeisha na Israel haiwezi kuwapata Hamas wala mateka.
Uchunguzi wa kitaalamu ukihusisha mizozo mengine ya kivita ya miaka ya karibuni unaonesha Hamas wameyeyuka kabisa na kilichobakia ni mahandaki na alama zao nyengine kuwa walikuwepo
Uchunguzi unaonesha kuwa Hamas wataibuka mbeleni na kuendeleza vita ambavyo kamwe Israel hatoviweza kuvimaliza.Hilo limeshajulikana na Israel na sasa inapiga kwa malengo hayo ya kuzuia vita vya mbeleni jukumu ambalo ni gumu sana.
Sasa kwanini Israel inaachwa ifanye vitendo vya kifirauni mbele za walimwengu,ambavyo ni kuuwa watoto inaodhani wanaoweza kuchukua majukumu ya Hamas miaka ijayo..Lakini hizo zitabaki ni dhana na haiwezi kuhalalisha unyama inaofanya sasa.
Shule moja baada ya nyengine zinapigwa kwa mabomu mazito na kuua watoto.Vitoto vinakujfa mbele ya wenzao na watu dunia nzima wanaona.
Nimeangalia matukio ya kutisha sana ya wazee wakiokota vipande vya watoto wao waliokuwa wakisafiri nao kuelekea kusini.Vijana wenye njaa wanachimba vifusi kwa mikono yao kutafuta waliofukiwa.Huko ni kuchanganyikiwa kwani mikono haiwezi kuinua mazege na kubinua nondo zilizojengewa majengo hayo.Ndio maana kuna idadi kubwa mpaka sasa wamebaki chini ya vifusi.
Wanawake wanalia mpaka machozi yanakauka kuomba msaada kwa wanaume wa dunia nzima. Sauti zao ni ushahidi wa kuIshiwa na nguvu kwa majonzi
Wenye uwezo wa kuzuia hayo,huu ni wakati wao na sio matamko ya kisiasa kwa jambazi ambaye hasikilizi maneno hayo.Kuacha kufanya hivyo kwa hakika ni kukaribisha majanga kwa dunia nzima katika mfumo wa mabalaa yanayofanana na corona ambapo kila mmoja wetu hatoishi kwa raha tena bila kujjali dini zetu.
Wapo wengi katika nchi za mbali na eneo la tukio wameacha kuzungumzia vita vya Israel na Hamas na wanazaungumzia maangamizi (genocide) basi.
Kuna wakati inabidi kutazama,mwana kulitafuta mwana kulipata,mwana kulikoroga mwana kulinywa. Watu wa Gaza inabidi walipe gharama za uovu wa Hamas
 
Ndo
Si unaona mwenyewe.Kila bomu likipigwa wengi ni watoto walioparaganyika viungo.Ni picha za papo kwa papo kutoka mashirika maarufu ya habari.Na ukipiga shule si umekusudia kuuwa watoto.
Ndo waache kujificha huko! Kujificha kwa watoto ni kuhatarisha maisha ya hao watoto kwa makusudi
 
Back
Top Bottom