Unajiita una nguvu za kijeshi duniani halafu unatandikwa na jamaa wamevaa flip flops na viatu vya adidas licha ya kusaidiwa na airfoce na misaada yote toka USA.
Hamas wanasema askari zaidi ya 3000 IDF wameliwa vichwa na Israel haijachukua hata miili, tanks zaidi ya 300 zimepigwa na gari zaidi ya 60 zimepigwa. Hizi ni habari ambazo IDF haitaki zitoke, ndicho chanzo askari wa IDF wanaamua kuingia misikitini na kurusha mabomu ya mikononi na kuua wasio na hatia.
Wachambuzi wakubwa kijeshi tena wamarekani wanasema Israel haiwezi pigana na Hamas face to face, na Israel imeshindwa vita, mtu kama Scott Ritter ambae ni former United States Marine Corps intelligence officer, mwanasiasa na alishiriki vita ya Iraq anasema Israel haina uwezo kupambana na Hamas.
video hii.
View: https://www.youtube.com/watch?v=PeaLnDprf7g&t=58s
Ona Sasa kama huyu mpumbavu anakwenda msikitini anarusha grenade, humo kuna wanawake , watoto, hakuna Hamas humo, hii video imelitia aibu sana jeshi la Israel, anaua watu msikitini ambao hawana hatia, ndio maana wachambuzi wanasema Israel vita imeshindwa,kila wakikutana na Hamas face to face wanatandikwa, video hii imepelekea IDF kumsimamisha huyu askari na hapo ni aibu kwa dunia baada ya dunia kuona video, isingeonekana wangemsifu askari huyo na kumpa cheo.
View: https://www.youtube.com/watch?v=nkvXiyfHWIM
Israel hawaelewi wapige wapi, wanabahatisha ndio maana wanapiga shuleni, misikitini, hospitali n.k wamezidiwa intelejensia na Hamas, wamepigwa chenga. Hii ndio vita Gaza.