Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro usisahau alienda kutoa posa akiwa na miaka 6 mzee. Usitetee uzinz kaka. Kwamba Iraq ndipo watoto wanavunja ungo mapaema dunian sio? Usisahau pia mtume alilelewa na lishangazi kaka.Kwa misingi ya kiislamu mwanamke akibalehe tu anaruhusiwa kuolewa na ndo maana iraq wamepitisha sheria ya miaka 9, tofuati na hapo uzinzi hauwezi kuisha. Bi aisha aliolewa na mtume aliwahi kubalehe na alikua ana mwili mkubwa wa kisichana ndo maana hakukuwa na tatizo.
Tulia dawa ikuingie mkuu. Ndio ukweli wenyewe utafanyaje sasaBahati nzuri hakumbaka baba yako, huyo ni kingozi wa dini Kama wewe unayemuani haiwezekani kila uzi unapotoka lazima atokee.mpuuzi kama wewe kutukana kiongozi wa dini asiliyekuhusu ukiona ni sifa sana, halafu watatokea wapuuzi wenzio waliokosa adabu Kama wewe waanze kuuharibu huu uzi, fungua wako kama kawaida yenu muendelee na kuukashifu uislam na.viongozi wake, maana hata mkianzisha uzi wa kashfa uongozi unafurahia tu hawazifungii nyuzi zenu za kashfa ila zingine zisizo na kashfa ya uislam zinafungiwa kila siku, ni Kama mnatumwa vile.
Halafu JF Sasa hivi utoto mwingi sana, adabu hakuna wenye hadhi zao wamekaa pembeni inasikitisha sana maana kila siku waki comment kitu wanatukanwa, tulikuwa tunajifunza mengi humu tunapewa historia za maana Sasa hivi hakuna hilo, binafsi JF imenitumbukia nyongo naweza kaa hata miezi miwili mitatu siingii nikifungua tu lazima nitakuta uzi wa kuukashfu uislam au mtu kajibuwa hovyo tena kwa kumtagi kabisa hovyo kabisa
Kaka ongea kistaarabu basi mbona kama unataka kumvunjia heshima mtume (s. A. W), mbona mpaka sasa inaruhusiwa kutoa posa kwa mtoto wa kike mapema au we hujawahi kusikia na endapo atakua tayari kuolewa ndo unmuoa, halafu hiyo miaka 9, ni exceptional si kwamba msichana yoyote anaweza kuolewa na miaka 9, kama mtoto wa kike anaweza kuanza kufanya mapenzi akiwa shule ya msingi darasa la 4 au la tano anashindwa nini kuolewaBro usisahau alienda kutoa posa akiwa na miaka 6 mzee. Usitetee uzinz kaka. Kwamba Iraq ndipo watoto wanavunja ungo mapaema dunian sio? Usisahau pia mtume alilelewa na lishangazi kaka.
Kumvunjia heshima kiongozi wa kidini yoyote si sawa mimi ni muislamu ila siwezi kumvunjia heshima yesu, au kiongozi mwengine yeyote dini yoyote hairuhusu kufanya hivoBro usisahau alienda kutoa posa akiwa na miaka 6 mzee. Usitetee uzinz kaka. Kwamba Iraq ndipo watoto wanavunja ungo mapaema dunian sio? Usisahau pia mtume alilelewa na lishangazi kaka.
Unamvunjiaje heshima. Hicho nilichosema kipo kwenye kitabu chenu au hakipoKumvunjia heshima kiongozi wa kidini yoyote si sawa mimi ni muislamu ila siwezi kumvunjia heshima yesu, au kiongozi mwengine yeyote dini yoyote hairuhusu kufanya hivo
Umesahau aliua familia ya kiyahud kisa walikataa asioe binti yao sio.Kaka ongea kistaarabu basi mbona kama unataka kumvunjia heshima mtume (s. A. W), mbona mpaka sasa inaruhusiwa kutoa posa kwa mtoto wa kike mapema au we hujawahi kusikia na endapo atakua tayari kuolewa ndo unmuoa, halafu hiyo miaka 9, ni exceptional si kwamba msichana yoyote anaweza kuolewa na miaka 9, kama mtoto wa kike anaweza kuanza kufanya mapenzi akiwa shule ya msingi darasa la 4 au la tano anashindwa nini kuolewa
Waislam tena!!Mateka waliochwa leo kutoka kwa hamas wameonekana wakiwa kwenye afya nzuri hali inayoashiria walikua sehemu salama na walikua wakiishi vizuri, tofauti na wapalestina waliochwa kutoka jela za waisrael ukiwaona tu unajua wametoka kwenye mateso.
Huu ni mfano bora kuwa waislamu ni watu wema, na Mazayuni mungu awalaani wao ndio chanzo cha matatizo yote haya.
Nenda kasome maandiko yenuKwa misingi ya kiislamu mwanamke akibalehe tu anaruhusiwa kuolewa na ndo maana iraq wamepitisha sheria ya miaka 9, tofuati na hapo uzinzi hauwezi kuisha. Bi aisha aliolewa na mtume aliwahi kubalehe na alikua ana mwili mkubwa wa kisichana ndo maana hakukuwa na tatizo.
Yani kama unakiri mwenyewe kuwa Muhammad kutembea na katoto ka 9yrs ni uchafu basi umeanza kufunguka akili soon lazima umkane mtume mbakaji wa watotoNakuonea huruma sana kwa hayo machafu ulotamka. Hakika unajichafua ww mwenyewe sababu hata ukiidhihaki na kuikashifu nyota iliyopo angani, bado itaendelea kung'ara tu milele daima. Jitafakari.
Mada ilyopo ni mateka wa Israel kutoka upande wa Palestine hali yao ni nzuri sana ukilinganisha na upande wa pili.
Anamvunjia heshima au Muhammad kajivunjia heshimaKumvunjia heshima kiongozi wa kidini yoyote si sawa mimi ni muislamu ila siwezi kumvunjia heshima yesu, au kiongozi mwengine yeyote dini yoyote hairuhusu kufanya hivo
Forget two state kwa sababu hata huku Tanzania akili za baadhi ya waislamu ni kutaka kuua wasio waislamu wote ili wabaki wao tu. Ila cha ajabu mwenye asili ya afrika akienda uarabuni ni kafiri hata kama ana singa usoni. In short hii ni dini very divisive kama ilivyo kwa dini ya kiyahudiHata iwe miaka 100 la muhimu ni two state solution, pale vita havitaisha na israel hakuna siku atakuja kuishi kwa amani kila siku yeye anapigana vita tu hana raha nchini mwake
Nenda ukaolewe kabisa na waarabuunaweza tamani hata utekwe tena...
Na wapalestina zaidi ya 47000 wameuawa ndani ya mwaka na mji wa Gaza umegeuzwa vifusi.Ugaidi walianza waisrael kila mwaka walikua wakiua average ya wapalestina 387, hatujazungumzia mateka hapo
Pre-October 7, 2023 1. Between 2008 and 2022| According to the United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA): Approximately 5,418 Palestinians were killed by Israeli forces during this period. This average to about 387 Palestinians killed per year.
Na wale waliochomwa moto mtume aliruhusu?Mtume Muhammad (SAW) Alisisitiza huruma kwa mateka na ndio wanafuata mpaka kesho
Utasikia Dini ya haki ni moja tu halafu ndio inayoombea laana waja wengine walioumbwa na Mnyaazi Mungu. Halafu tofautisha kati ya mateka (hostages)na wafungwa wa kivita.Mateka waliochwa leo kutoka kwa hamas wameonekana wakiwa kwenye afya nzuri hali inayoashiria walikua sehemu salama na walikua wakiishi vizuri, tofauti na wapalestina waliochwa kutoka jela za waisrael ukiwaona tu unajua wametoka kwenye mateso.
Huu ni mfano bora kuwa waislamu ni watu wema, na Mazayuni mungu awalaani wao ndio chanzo cha matatizo yote haya.
Je, Hapakuwepo na mateka Me wa kupigiwa mfano au zamu yao bado?Kiukweli hilo jambo limenishangaza, mabinti wamenawiri sana tofauti na mateka wallioachiwa kutoka Israel wamekonda na wanaonekana kuwa na matatizo ya akili!