pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Sio rahisi ndugu, acha kujitekenya na kucheka mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mjinga unajua jinsi mifumo ya fedha na uchumi wa nchi unavyofanya kazi ?Kumbuka kwamba Pato la taifa la Israel kwa huu mwaka pekee ni dola milioni 564 (shilingi za kitanzania trilioni 1,400+) hata nchi zote za Afrika Mashariki ziungane hazifikii.
Wewe mwezi wa saba ulivyosikia benki kuu ya United States Government na treasury (hazina ) ikisema serikali ya Marekani itashindwa kulipa madeni yake na kufirisika iwapo hawata pata idhini toka bunge la congress ya kuongeza deni la nchi kwa kutoa treasury bonds kama njia ya kukopa ili kupata cash kwa ajili ya kuendesha shughuli za kiserikali ulikuwa unaelewa nini ?Kumbuka kwamba Pato la taifa la Israel kwa huu mwaka pekee ni dola milioni 564 (shilingi za kitanzania trilioni 1,400+) hata nchi zote za Afrika Mashariki ziungane hazifikii.
Kwaio siku hizi mayahudi yanapakuana visamvu😳😳View attachment 2813136
Watu hawa ndio unawaombea dua? Viumbe waovu kabisa duniani, hawa hili taifa limelaaniwa.
Magaidi na wananchi waa wanaendelea kuuawa kila,siku na Gaza inageuzwa magofu. Israel haitasimamisha vita hadi malengo yake yatimie.Vita kati ya taifa kubwa la Israel na wanamgambo wa Hamas vikiingia mwezi wa pili tayari serikali ya taifa hilo imeshaingia hasara kwa kuongezeka deni lake kwa dola bilioni 8.sawa na shekel bilioni 30.
Waziri wa fedha wa taifa hilo amesema deni hilo limetokana na serikali kugharamia shughuli za kiuchumi kwa wale waliohamishwa mipakani na pia kugharamia familia za waliotekwa sambamba na ghjarama za kulihudumia jeshi la IDR kuendelea na vita.
Kwa mujibu wa waziri huyo,hali hiyo ya kudorara kwa uchumi kumechangiwa pia na kushuka kwa kodi kutoka kwa wafanyabiashara tangu kuanza kwa vita hvyo mnamo Oktoba 7.
Hali hiyo imeikumba Israel ikiwa inapambana na wanamgambo wa Hamas pekee na kwa kiasi fulani wakisaidiwa na Hizbulah.
Wachambuzi wa masuala ya kiuchumi wamechora picha mbaya kwa nchi hiyo pindipo mataifa jirani yatakapoamua kutoa msaada kwa Hamas katika vita vyake hivo na Israel..Uwezekano wa kusambaratika kabisa kwa taifa hilo utakuwa ni mkubwa zaidi.
------
JERUSALEM (Reuters) - Israel has raised about 30 billion shekels ($7.8 billion) in debt since the start of the war with Hamas militants, the Finance Ministry said on Monday.
Slightly more than half of that - 16 billion shekels - was dollar-denominated debt raised in issuances in international markets, it said.
The ministry on Monday raised another 3.7 billion shekels in the local market in its weekly bond auction.
"The financing capabilities of the State of Israel allow the government to fully and optimally finance all its needs," the ministry's accountant-general division said.
The war that began on Oct. 7 when Hamas gunmen rampaged through Israeli towns has sharply boosted Israel's expenses to fund the military as well as to compensate businesses near the border and families of victims and hostages taken by Hamas. At the same time, tax income has slowed.
As a result, Israel recorded a budget deficit of 22.9 billion shekels in October, a leap from 4.6 billion in September and pushing up the deficit over the prior 12 months to 2.6%.
The ministry said it would continue to operate "in all channels in order to finance the government's activities, including all the needs arising from the ... war and the economic and civil aid to the home front."
Prime Minister Benjamin Netanyahu has vowed to "open the taps" to help those impacted by the war, which economists believe will sharply push up the deficit and debt to GDP ratio through 2024.
But Bank of Israel Governor Amir Yaron has said the government needs to balance "supporting the economy and maintaining a sound fiscal position."
Credit rating agencies have already warned they could cut Israel's ratings if debt metrics deteriorate.
The accountant general denied an Israeli media report that the state would apply for a loan from the Bank of Israel for the first time since 1986.
Hezbollah ni kikundi cha wanamgambo wa Lebanon na kinatambulika rasmi kinapokea misaada ya kijeshi kutoka Iran.Israel isambaratike kwa Sababu inapigana na Hamas? Hakuna taifa lolote na Middle East linaloweza kuisaidia Hamas kwa Sasa kwa kuwapa risasi hata Moja tu hadharani mchana kweupe. Ila wanaweza kuisaidia Hamas kupitia kufadhili vikundi vidogo vidogo vya kigaidi kama Hezbollah etc.
Kwaio siku hizi mayahudi yanapakuana visamvu😳😳
Au itakuwa mungu wao wa wayokobo kawaruhusu maana mungu wao ni mungu wa maagano
Mimi nazungumzia Hamas hakuna nchi inaweza kuwapa hata risasi Moja hadharani. Labda kama hiyo nchi inataka kuwasaidia Hamas indirect wanaweza kupeleka silaha huko kwa kina Hezbollah.Hezbollah ni kikundi cha wanamgambo wa Lebanon na kinatambulika rasmi kinapokea misaada ya kijeshi kutoka Iran.
Iran anawapatia Hezbollah silaha nzito hadharani na kila nchi inafahamu hilo sasa wewe unazungumza habari usizozijua.
Mbona unatukana ?Wewe mjinga unajua jinsi mifumo ya fedha na uchumi wa nchi unavyofanya kazi ?
Wewe ukiambiwa gdp ya nchi ni bilioni 500 USD unadhani hizo ndio cash au tangible money serikali au nchi inazo ?
Unajua hata maana ya GDP ?
Unafikiri Israel ni Tz? Wenzako wana budget yakupigana na Dunia nzima kulinda uwepo wao... Sio Hamas just to inform youVita kati ya taifa kubwa la Israel na wanamgambo wa Hamas vikiingia mwezi wa pili tayari serikali ya taifa hilo imeshaingia hasara kwa kuongezeka deni lake kwa dola bilioni 8.sawa na shekel bilioni 30.
Waziri wa fedha wa taifa hilo amesema deni hilo limetokana na serikali kugharamia shughuli za kiuchumi kwa wale waliohamishwa mipakani na pia kugharamia familia za waliotekwa sambamba na ghjarama za kulihudumia jeshi la IDR kuendelea na vita.
Kwa mujibu wa waziri huyo,hali hiyo ya kudorara kwa uchumi kumechangiwa pia na kushuka kwa kodi kutoka kwa wafanyabiashara tangu kuanza kwa vita hvyo mnamo Oktoba 7.
Hali hiyo imeikumba Israel ikiwa inapambana na wanamgambo wa Hamas pekee na kwa kiasi fulani wakisaidiwa na Hizbulah.
Wachambuzi wa masuala ya kiuchumi wamechora picha mbaya kwa nchi hiyo pindipo mataifa jirani yatakapoamua kutoa msaada kwa Hamas katika vita vyake hivo na Israel..Uwezekano wa kusambaratika kabisa kwa taifa hilo utakuwa ni mkubwa zaidi.
------
JERUSALEM (Reuters) - Israel has raised about 30 billion shekels ($7.8 billion) in debt since the start of the war with Hamas militants, the Finance Ministry said on Monday.
Slightly more than half of that - 16 billion shekels - was dollar-denominated debt raised in issuances in international markets, it said.
The ministry on Monday raised another 3.7 billion shekels in the local market in its weekly bond auction.
"The financing capabilities of the State of Israel allow the government to fully and optimally finance all its needs," the ministry's accountant-general division said.
The war that began on Oct. 7 when Hamas gunmen rampaged through Israeli towns has sharply boosted Israel's expenses to fund the military as well as to compensate businesses near the border and families of victims and hostages taken by Hamas. At the same time, tax income has slowed.
As a result, Israel recorded a budget deficit of 22.9 billion shekels in October, a leap from 4.6 billion in September and pushing up the deficit over the prior 12 months to 2.6%.
The ministry said it would continue to operate "in all channels in order to finance the government's activities, including all the needs arising from the ... war and the economic and civil aid to the home front."
Prime Minister Benjamin Netanyahu has vowed to "open the taps" to help those impacted by the war, which economists believe will sharply push up the deficit and debt to GDP ratio through 2024.
But Bank of Israel Governor Amir Yaron has said the government needs to balance "supporting the economy and maintaining a sound fiscal position."
Credit rating agencies have already warned they could cut Israel's ratings if debt metrics deteriorate.
The accountant general denied an Israeli media report that the state would apply for a loan from the Bank of Israel for the first time since 1986.
Huyu je anaekula hela za waarabu wa palestina???View attachment 2813136
Watu hawa ndio unawaombea dua? Viumbe waovu kabisa duniani, hawa hili taifa limelaaniwa.
Kweli mkuu bora ugaidi kuliko ushogaBora niwe gaidi kuliko kua shoga. Ushoga ni ku.fir.wa, kwa hiyo wewe uko tayari kupumuliwa mgongoni?
Kweli mkuu bora ugaidi kuliko ushogaBora niwe gaidi kuliko kua shoga. Ushoga ni ku.fir.wa, kwa hiyo wewe uko tayari kupumuliwa mgongoni?
Israel na tz hawana tofauti kwa sababu wote wanaishi kwa kutegemea misaada.Unafikiri Israel ni Tz? Wenzako wana budget yakupigana na Dunia nzima kulinda uwepo wao... Sio Hamas just to inform you
Maarabu vipi mkuuKwaio siku hizi mayahudi yanapakuana visamvu😳😳
Au itakuwa mungu wao wa wayokobo kawaruhusu maana mungu wao ni mungu wa maagano