Israel iko hoi kiuchumi baada ya kujiingiza Gaza. Ikiwa ni mwezi wa pili tu. Hamas wamelipandisha deni lake mpaka 8 bn Dollar

Israel iko hoi kiuchumi baada ya kujiingiza Gaza. Ikiwa ni mwezi wa pili tu. Hamas wamelipandisha deni lake mpaka 8 bn Dollar

watu hamuelewi kwanini ISRAEL kaamua iwe vita jumla wala hataki kusikia ushauri wa mtu wala maandamano ya ceasefire, HAMAS wameapa kuendelea kuishambulia ISRAEL mpaka iwamalize ile wachukue hyo ardhi wanayoamini ni yao, sasa leo israel ikiogopa hasara ikatafuta amani ya mezani, iwe na uhakika itatandikwa na hakutakuwa na uchumi, wananchi wala ardhi... kwahyo hawana uchaguzi mwingine, ni kumkabili aliyewatangazia kifo mpaka wammaalize ili wabaki salama, wakishaipata amani kwa kumtoa HAMAS na kusimamia usalama wa GAZA kama kule WEST BANK basi watajenga uchumi, kitu kizuri WEST WORLD wana mpunga mrefu watamsaidia jamaa yao.

cha ziada tu ni kwamba ISRAEL wana uchumi mzuri sana, kufilisika sio rahisi kwa hawa HAMAS, wala HEZBOLLAH, labda kama ingekuwa inapigana na TAIFA kama Iran hapo ndo wangepata serious loss.
kwahyo tusubiri angalau miezi 6 ndo tuanze kufanya tathmini.
 
Kumbuka kwamba Pato la taifa la Israel kwa huu mwaka pekee ni dola milioni 564 (shilingi za kitanzania trilioni 1,400+) hata nchi zote za Afrika Mashariki ziungane hazifikii.
Wewe mjinga unajua jinsi mifumo ya fedha na uchumi wa nchi unavyofanya kazi ?
Wewe ukiambiwa gdp ya nchi ni bilioni 500 USD unadhani hizo ndio cash au tangible money serikali au nchi inazo ?
Unajua hata maana ya GDP ?
 
Kumbuka kwamba Pato la taifa la Israel kwa huu mwaka pekee ni dola milioni 564 (shilingi za kitanzania trilioni 1,400+) hata nchi zote za Afrika Mashariki ziungane hazifikii.
Wewe mwezi wa saba ulivyosikia benki kuu ya United States Government na treasury (hazina ) ikisema serikali ya Marekani itashindwa kulipa madeni yake na kufirisika iwapo hawata pata idhini toka bunge la congress ya kuongeza deni la nchi kwa kutoa treasury bonds kama njia ya kukopa ili kupata cash kwa ajili ya kuendesha shughuli za kiserikali ulikuwa unaelewa nini ?
Usifikiri vita ni mchezo ,vita si sherehe ya kipaimara
 
Wengi wa watu humu wanaendeshwa na ushabiki tu na wala hawajui kitu
 
V
Vita kati ya taifa kubwa la Israel na wanamgambo wa Hamas vikiingia mwezi wa pili tayari serikali ya taifa hilo imeshaingia hasara kwa kuongezeka deni lake kwa dola bilioni 8.sawa na shekel bilioni 30.

Waziri wa fedha wa taifa hilo amesema deni hilo limetokana na serikali kugharamia shughuli za kiuchumi kwa wale waliohamishwa mipakani na pia kugharamia familia za waliotekwa sambamba na ghjarama za kulihudumia jeshi la IDR kuendelea na vita.

Kwa mujibu wa waziri huyo,hali hiyo ya kudorara kwa uchumi kumechangiwa pia na kushuka kwa kodi kutoka kwa wafanyabiashara tangu kuanza kwa vita hvyo mnamo Oktoba 7.

Hali hiyo imeikumba Israel ikiwa inapambana na wanamgambo wa Hamas pekee na kwa kiasi fulani wakisaidiwa na Hizbulah.

Wachambuzi wa masuala ya kiuchumi wamechora picha mbaya kwa nchi hiyo pindipo mataifa jirani yatakapoamua kutoa msaada kwa Hamas katika vita vyake hivo na Israel..Uwezekano wa kusambaratika kabisa kwa taifa hilo utakuwa ni mkubwa zaidi.

------

JERUSALEM (Reuters) - Israel has raised about 30 billion shekels ($7.8 billion) in debt since the start of the war with Hamas militants, the Finance Ministry said on Monday.

Slightly more than half of that - 16 billion shekels - was dollar-denominated debt raised in issuances in international markets, it said.


The ministry on Monday raised another 3.7 billion shekels in the local market in its weekly bond auction.

"The financing capabilities of the State of Israel allow the government to fully and optimally finance all its needs," the ministry's accountant-general division said.

The war that began on Oct. 7 when Hamas gunmen rampaged through Israeli towns has sharply boosted Israel's expenses to fund the military as well as to compensate businesses near the border and families of victims and hostages taken by Hamas. At the same time, tax income has slowed.

As a result, Israel recorded a budget deficit of 22.9 billion shekels in October, a leap from 4.6 billion in September and pushing up the deficit over the prior 12 months to 2.6%.

The ministry said it would continue to operate "in all channels in order to finance the government's activities, including all the needs arising from the ... war and the economic and civil aid to the home front."

Prime Minister Benjamin Netanyahu has vowed to "open the taps" to help those impacted by the war, which economists believe will sharply push up the deficit and debt to GDP ratio through 2024.

But Bank of Israel Governor Amir Yaron has said the government needs to balance "supporting the economy and maintaining a sound fiscal position."

Credit rating agencies have already warned they could cut Israel's ratings if debt metrics deteriorate.

The accountant general denied an Israeli media report that the state would apply for a loan from the Bank of Israel for the first time since 1986.
Magaidi na wananchi waa wanaendelea kuuawa kila,siku na Gaza inageuzwa magofu. Israel haitasimamisha vita hadi malengo yake yatimie.
 
Israel isambaratike kwa Sababu inapigana na Hamas? Hakuna taifa lolote na Middle East linaloweza kuisaidia Hamas kwa Sasa kwa kuwapa risasi hata Moja tu hadharani mchana kweupe. Ila wanaweza kuisaidia Hamas kupitia kufadhili vikundi vidogo vidogo vya kigaidi kama Hezbollah etc.
Hezbollah ni kikundi cha wanamgambo wa Lebanon na kinatambulika rasmi kinapokea misaada ya kijeshi kutoka Iran.

Iran anawapatia Hezbollah silaha nzito hadharani na kila nchi inafahamu hilo sasa wewe unazungumza habari usizozijua.
 
Kwaio siku hizi mayahudi yanapakuana visamvu😳😳
Au itakuwa mungu wao wa wayokobo kawaruhusu maana mungu wao ni mungu wa maagano
Screenshot_20231115-075758_Opera beta.png

 
Hezbollah ni kikundi cha wanamgambo wa Lebanon na kinatambulika rasmi kinapokea misaada ya kijeshi kutoka Iran.

Iran anawapatia Hezbollah silaha nzito hadharani na kila nchi inafahamu hilo sasa wewe unazungumza habari usizozijua.
Mimi nazungumzia Hamas hakuna nchi inaweza kuwapa hata risasi Moja hadharani. Labda kama hiyo nchi inataka kuwasaidia Hamas indirect wanaweza kupeleka silaha huko kwa kina Hezbollah.
 
Wewe mjinga unajua jinsi mifumo ya fedha na uchumi wa nchi unavyofanya kazi ?
Wewe ukiambiwa gdp ya nchi ni bilioni 500 USD unadhani hizo ndio cash au tangible money serikali au nchi inazo ?
Unajua hata maana ya GDP ?
Mbona unatukana ?
Acha jazba kwani jazba ni 'nyumba ya wapumbavu'
 
Vita kati ya taifa kubwa la Israel na wanamgambo wa Hamas vikiingia mwezi wa pili tayari serikali ya taifa hilo imeshaingia hasara kwa kuongezeka deni lake kwa dola bilioni 8.sawa na shekel bilioni 30.

Waziri wa fedha wa taifa hilo amesema deni hilo limetokana na serikali kugharamia shughuli za kiuchumi kwa wale waliohamishwa mipakani na pia kugharamia familia za waliotekwa sambamba na ghjarama za kulihudumia jeshi la IDR kuendelea na vita.

Kwa mujibu wa waziri huyo,hali hiyo ya kudorara kwa uchumi kumechangiwa pia na kushuka kwa kodi kutoka kwa wafanyabiashara tangu kuanza kwa vita hvyo mnamo Oktoba 7.

Hali hiyo imeikumba Israel ikiwa inapambana na wanamgambo wa Hamas pekee na kwa kiasi fulani wakisaidiwa na Hizbulah.

Wachambuzi wa masuala ya kiuchumi wamechora picha mbaya kwa nchi hiyo pindipo mataifa jirani yatakapoamua kutoa msaada kwa Hamas katika vita vyake hivo na Israel..Uwezekano wa kusambaratika kabisa kwa taifa hilo utakuwa ni mkubwa zaidi.

------

JERUSALEM (Reuters) - Israel has raised about 30 billion shekels ($7.8 billion) in debt since the start of the war with Hamas militants, the Finance Ministry said on Monday.

Slightly more than half of that - 16 billion shekels - was dollar-denominated debt raised in issuances in international markets, it said.


The ministry on Monday raised another 3.7 billion shekels in the local market in its weekly bond auction.

"The financing capabilities of the State of Israel allow the government to fully and optimally finance all its needs," the ministry's accountant-general division said.

The war that began on Oct. 7 when Hamas gunmen rampaged through Israeli towns has sharply boosted Israel's expenses to fund the military as well as to compensate businesses near the border and families of victims and hostages taken by Hamas. At the same time, tax income has slowed.

As a result, Israel recorded a budget deficit of 22.9 billion shekels in October, a leap from 4.6 billion in September and pushing up the deficit over the prior 12 months to 2.6%.

The ministry said it would continue to operate "in all channels in order to finance the government's activities, including all the needs arising from the ... war and the economic and civil aid to the home front."

Prime Minister Benjamin Netanyahu has vowed to "open the taps" to help those impacted by the war, which economists believe will sharply push up the deficit and debt to GDP ratio through 2024.

But Bank of Israel Governor Amir Yaron has said the government needs to balance "supporting the economy and maintaining a sound fiscal position."

Credit rating agencies have already warned they could cut Israel's ratings if debt metrics deteriorate.

The accountant general denied an Israeli media report that the state would apply for a loan from the Bank of Israel for the first time since 1986.
Unafikiri Israel ni Tz? Wenzako wana budget yakupigana na Dunia nzima kulinda uwepo wao... Sio Hamas just to inform you
 
Unafikiri Israel ni Tz? Wenzako wana budget yakupigana na Dunia nzima kulinda uwepo wao... Sio Hamas just to inform you
Israel na tz hawana tofauti kwa sababu wote wanaishi kwa kutegemea misaada.
 
Back
Top Bottom