Israel imeachiwa ishinde vita na haijashinda. Inasikitisha sana na kuna ujumbe mkubwa

Kwan wale majini wazuri wamechoka kufanya kazi yao ya siku zote wanapotumwa?
 
Vita iko ukingoni. Tunayayaona ni mateke ya mwisho ya punda anaekata roho. Hamas kwishney.
 
Kwa mujibu wa wenyewe wa Israel wanasema wakimaliza gaza wanakwenda na Syria halafu Jordan yote na Egypt Saudi na Lebanon kwa mipaka ya biblia. Hapo ikifika wakati wao watajua machugu waliopitia wenziwao.
Mipaka yao ni mipaka hewa na ya fitna.Na hawana tena ubavu wa kuwatesa watu wa mataifa yote hayo.
Wasubiri waone Hamas tu itakacyowabadilishia hata hiyo ramani waliyonayo sasa
 

Usichokijua, Israel ingetaka kupiga hapo na kupasambaratisha isingechukua zaidi ya siku moja, wanapiga kitu kinaitwa carpet bombing.
Kwa sasa wanalazimika kuvizia vizia magaidi yaliyojificha nyuma ya watoto ili kupunguza makelele ya dunia.
 
Usichokijua, Israel ingetaka kupiga hapo na kupasambaratisha isingechukua zaidi ya siku moja, wanapiga kitu kinaitwa carpet bombing.
Kwa sasa wanalazimika kuvizia vizia magaidi yaliyojificha nyuma ya watoto ili kupunguza makelele ya dunia.
Israel kwisha.
 
Usichokijua, Israel ingetaka kupiga hapo na kupasambaratisha isingechukua zaidi ya siku moja, wanapiga kitu kinaitwa carpet bombing.
Kwa sasa wanalazimika kuvizia vizia magaidi yaliyojificha nyuma ya watoto ili kupunguza makelele ya dunia.
wwanaojificha nyuma ya watoto na wanaovaa mavazi ya kike mabaibui ni nani waoga
 
Usichokijua, Israel ingetaka kupiga hapo na kupasambaratisha isingechukua zaidi ya siku moja, wanapiga kitu kinaitwa carpet bombing.
Kwa sasa wanalazimika kuvizia vizia magaidi yaliyojificha nyuma ya watoto ili kupunguza makelele ya dunia.
Israhell ipi hio
Six day war ilikua ni myth tu
 
wwanaojificha nyuma ya watoto na wanaovaa mavazi ya kike mabaibui ni nani waoga

Ni ujinga sana, hayo magaidi ya dini yenu yapambane kama wanaume....
 
Israhell ipi hio
Six day war ilikua ni myth tu

Ni myth ilhali miaka yote hii waarabu miungu wenu wote wameshindwa, kila wakijaribu hupoteza kipande cha ardhi, Mungu wa Wayahudi ni mkuu kuliko wenu.
 
Ni ujinga sana, hayo magaidi ya dini yenu yapambane kama wanaume....
Haa hivi huna taarifa ya askari wenu juzi kuvalia mabaibui kwenda kuua wagonjwa kule Jenin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…