Israel imeahidi kitita cha Tsh Bilioni 13.2 ($5M) kwa yeyote atakayesaidia kurudisha mateka kutoka Gaza

Waislam ni utapeli mkuu kuwahi kutokea katika dunia hii mduara yenye maji mengi kuliko ardhi
 
Amechelewa sana. Wasingeingia hasara yote hiyo kama wangetoa ahadi mapema. Sasa mtu hana pa kuishi nyumba imekula chuma atatoanushirikiano gani hapo.
 
Walitaka wawape kichapo hawa matapeli kwanza

Wangezoea vibaya mno
Na kwa akili yako unaona kabisa kunam Palestina ata snich kuweza kupata hzo hela....karibu Kila raia hapo ameshazika ndugu zake kwa madhila ya hao malofa....Netapaka apambane na Hali yake....aendelee kula mbinyo kutoka kwa raia zake mpk atanyoosha mikono juu....plus kile kibabu alichokitengua kilichokuwa waziri wake wa ulinzi nacho kinamuundia zengwe....
 
KICHEKESHO HIKI SASA HAO MOSSAD WANAOSIFIWA HUMU KILA SIKU HILO JUKUMU WAMELISHINDWA WAMEWAACHIA WIZARA YA FEDHA🤣🤣🤣🤣
 
Watu sio wajinga hivyo isreli hajawahi kusema ukweli wowote
 
Shekel au USD?

Halafu kilichoandikwa ni 5m per hostage siyo 5m for hostages kama ulivyoandika wewe mkuu.
 
Yahudi katema bungo
 

Attachments

  • IMG_20241118_120137.jpg
    75.1 KB · Views: 1
Sikuelewa vizuri tafsiri ya hiyo picha uloweka ila nadhani ulitaka kusema Israel imechakazwa au
Sana afu haijafanikiwa kudhibiti makundi ya wapigania uhuru, kingine Israel imeonyesha udhaifu kwenye engo nyingi ambazo hazikujulikana awali
 
Sana afu haijafanikiwa kudhibiti makundi ya wapigania uhuru, kingine Israel imeonyesha udhaifu kwenye engo nyingi ambazo hazikujulikana awali
Ujue sio kazi rahisi kudhibiti makundi unayoyaita ya wapigania Uhuru ambayo yapo ndani ya nchi iliyo huru i.e. ni Ironical kusema kwamba unapigania Uhuru ilhali upo ndani ya nchi Huru. Makundi hayo huko kwingine ndo wanayaita makundi ya kigaidi. Mtindo wao wa mapambano ni ule wa chini ya magugu "Guerrilla warfare." kama ilivyo kwa HAMAS ni tofauti na kupigana na jeshi linaloeleweka/rasmi kama ilivyo kwa Hezbollah. Hilo lipo karibu dunia nzima e.g. huko Mexico, Serikali toka muda mrefu inapambana na magenge ya wauza madawa ya kulevya lakini bado haijafanikiwa. Kwa mantiki hiyo hatushangai kwa Israel.
 
Kiufupi no mateka or matekalization wote wameshagakufa kitambo na wakazikwa kaburi moja.chezeya kobazi wewe utalala chooni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…