Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti wamepiga airport ambayo haitumikagi 😄😄😄Wamepiga airport ambayo haitumikagi
Ila kuna watu wamezoea vita yaani Israeli inashambuli huko Yemen yule kiongozi wa houthi alikuwa ana toa hotuba jamaa aliendelea kutoa hotuba huku mashambulizi yakiendelea
UN ya sasa ni vibaraka wa magaidi. Israel akishambuliwa wako kimya ila Israel akishambulia wabaya wake wanaibuka kuikemea Isarel.Ukisikia mtu anatiahiwa kujamba ndio uku Houth wamezoea iyo mikiki miaka kwa miaka mfulululizo sidhan km watafanikiwa zaid wao ndio watachapwa waombe poo kupitia UN.
Watakuelewa basi Hawa. Houthi kawambia wao sio Syria na usiku wa Leo usiku wanashusha maballistic Kama dawa halafu week wao wanapiga usiku tu, Saa 9 watu mmelala mnasikia ving'ola wote nje Kwenye shelter kutoka hapo saa 1 asubuhi hamna kulala ni kazini wiki nzima ndio kamchezo wamechezeshwa ikabidi wapige leoUkisikia mtu anatiahiwa kujamba ndio uku Houth wamezoea iyo mikiki miaka kwa miaka mfulululizo sidhan km watafanikiwa zaid wao ndio watachapwa waombe poo kupitia UN.
Hukuona shambulio la israel kabla ya houthi kujibu!?..hapo houthi watajibu tena,sasa airport na matanki ya mafuta wamepiga,sijui watapiga nini tena,tunangoja hypersonic kutua telavivwale walioshangilia upuuzi wa houth Sasa anakula kichapo semeni tena
Huuu mwaka zayuni ata usaau naona anawapa sababu wa Yemeni kuutwanga mji mkuu Telaviv.mm nimekaaa paleUN ya sasa ni vibaraka wa magaidi. Israel akishambuliwa wako kimya ila Israel akishambulia wabaya wake wanaibuka kuikemea Isarel.
Waislam huheshimu makubaliano/mkataba,kuna cease fire israel/hizbullah,iliyoombwa na USA cum israelIla Hezbollah walivyokuwa wa moto leo hata kokoto harushi! Dah kuna wataalamu wakiamua upotee utapotea! Israel ni balaa.
Na yeye si anayo, houthi Wana hypersonic nzuri tu,za kutoshaIsrael kashajua hatari ikiwa atawalenga raia w Yemen kwaiyo IDF itajiekekeza kwenye miundo mbinu tu
Muhimu wasijichanganye na raia kama kinga. Hakutakuwa na options.Israel kashajua hatari ikiwa atawalenga raia w Yemen kwaiyo IDF itajiekekeza kwenye miundo mbinu tu
Mwenye cha kupoteza ni mwisraeli yeye hudhi Hana cha kupoteza msisahu hiloUkisikia mtu anatiahiwa kujamba ndio uku Houth wamezoea iyo mikiki miaka kwa miaka mfulululizo sidhan km watafanikiwa zaid wao ndio watachapwa waombe poo kupitia UN.
Israel ni mabwege tu, kipigo gani anapiga control tower hahaha na ndege za abiria pale Airport. Subiria Al Houthi wayavunje skyscraper zao ndio watajua Al Houthi hawana huruma kama vile Hezbullah, wale ni wala mirungi kama Israel anategemea kila mwarabu atakwepa civilian hapo kachezea pabaya sana.