PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Hata waungane magaidi wote bado watapigwa tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Blaa Blaa hamna lolote sa we waulize nani anaye lia leo Al Houth wamepiga power station wenzako leo wanalala kwenye giza.
Hamna lolote hizo ni propoganda za Israel, anataka asaidiwe kachezea pabaya safari hi, Al Houth alimcharaza Saud Arabia kama mtoto. Huyo Israel ni nani mbele ya Saud Arabia silaha alizo nazo Saud Arabia Israel haoni kitu.
Kazikazi akuna kulala wakitaka kulala waende kwao Ulaya mvamizi sisi tutamlaza na panya buku adi akili imkae sawa. Iran akili kubwa sasa ndio kazi inaanza!!Watakuelewa basi Hawa. Houthi kawambia wao sio Syria na usiku wa Leo usiku wanashusha maballistic Kama dawa halafu week wao wanapiga usiku tu, Saa 9 watu mmelala mnasikia ving'ola wote nje Kwenye shelter kutoka hapo saa 1 asubuhi hamna kulala ni kazini wiki nzima ndio kamchezo wamechezeshwa ikabidi wapige leo
Upuudhi wawapi kichapo wkt waisrael wapo kwenye mashimo muda huu muwape pole wanapata tabu sana. Yemen Yemen nguvu kubwa. High Technology missile zayuni huu mwaka kayaganyaga. Imesnza piga nikupige ngoja tuone.wale walioshangilia upuuzi wa houth Sasa anakula kichapo semeni tena
Israel wananchi wanalalamika hawalali usiku mpaka Yemen wamalize mambo Yao alafu mbaya zaidi Yemen anawasubirisha anapiga sa 10 alfajirUpuudhi wawapi kichapo wkt waisrael wapo kwenye mashimo muda huu muwape pole wanapata tabu sana. Yemen Yemen nguvu kubwa. High Technology missile zayuni huu mwaka kayaganyaga. Imesnza piga nikupige ngoja tuone.
wale walioshangilia upuuzi wa houth Sasa anakula kichapo semeni tena
Tunangoja.Hukuona shambulio la israel kabla ya houthi kujibu!?..hapo houthi watajibu tena,sasa airport na matanki ya mafuta wamepiga,sijui watapiga nini tena,tunangoja hypersonic kutua telaviv
Tunasubiri.Huwezi kushinda vita dhidi ya watu ambao kwao material things siyo ishu. Israel itablckmail serikali ambazo zina infrastructures zinazoogopa kuzipoteza!. Sasa subiri Houthi waanze kushambulia reserves za mafuta, vituo vya umeme vya israel na maeneo ya viwanda ya israel.
Hezbollah wataifuta IsraelIsrael ni mabwege tu, kipigo gani anapiga control tower hahaha na ndege za abiria pale Airport. Subiria Al Houthi wayavunje skyscraper zao ndio watajua Al Houthi hawana huruma kama vile Hezbullah, wale ni wala mirungi kama Israel anategemea kila mwarabu atakwepa civilian hapo kachezea pabaya sana.
Israel hana lolote kaishia vitisho tu, anaye pigana na Yemen ni Western ambao ni UK, US. France na kuna fununu Australia pamoja na mapuppets wao wa kiarabu. Israel anashambulia Yemen anacho piga yeye na US na hao wenzake ni civilian target tu. Yemen anamtia adabu sa anajidai kuomba UN waingilie hahaha kumpa green light vichekesho kweli. Toka lini Israel alienda kwa njia ya UN kupiga nchi.He
Hezbollah wataifuta Israel
Yemen ni nchi, ina miundombinu ya kiuchumi kama viwanda, airport, bandari, vituo vya kuzalisha umeme nkHuwezi kushinda vita dhidi ya watu ambao kwao material things siyo ishu. Israel itablckmail serikali ambazo zina infrastructures zinazoogopa kuzipoteza!. Sasa subiri Houthi waanze kushambulia reserves za mafuta, vituo vya umeme vya israel na maeneo ya viwanda ya israel.
Kabla ya masaa 24Tunangoja.
Tunasubiri.