Israel Imeanza Kutoa Kichapo kwa Magaidi wa Hoath wa Yemen

Ukisikia mtu anatiahiwa kujamba ndio uku Houth wamezoea iyo mikiki miaka kwa miaka mfulululizo sidhan km watafanikiwa zaid wao ndio watachapwa waombe poo kupitia UN.
 
Ukisikia mtu anatiahiwa kujamba ndio uku Houth wamezoea iyo mikiki miaka kwa miaka mfulululizo sidhan km watafanikiwa zaid wao ndio watachapwa waombe poo kupitia UN.
UN ya sasa ni vibaraka wa magaidi. Israel akishambuliwa wako kimya ila Israel akishambulia wabaya wake wanaibuka kuikemea Isarel.
 
Ukisikia mtu anatiahiwa kujamba ndio uku Houth wamezoea iyo mikiki miaka kwa miaka mfulululizo sidhan km watafanikiwa zaid wao ndio watachapwa waombe poo kupitia UN.
Watakuelewa basi Hawa. Houthi kawambia wao sio Syria na usiku wa Leo usiku wanashusha maballistic Kama dawa halafu week wao wanapiga usiku tu, Saa 9 watu mmelala mnasikia ving'ola wote nje Kwenye shelter kutoka hapo saa 1 asubuhi hamna kulala ni kazini wiki nzima ndio kamchezo wamechezeshwa ikabidi wapige leo
 
🇾🇪 Breaking | Yemen’s official stated:

We will make the degenerate enemy understand that Yemen is not the Syria of the Julani.

🔹@enemywatch
 
Huwezi kushinda vita dhidi ya watu ambao kwao material things siyo ishu. Israel itablckmail serikali ambazo zina infrastructures zinazoogopa kuzipoteza!. Sasa subiri Houthi waanze kushambulia reserves za mafuta, vituo vya umeme vya israel na maeneo ya viwanda ya israel.
 
UN ya sasa ni vibaraka wa magaidi. Israel akishambuliwa wako kimya ila Israel akishambulia wabaya wake wanaibuka kuikemea Isarel.
Huuu mwaka zayuni ata usaau naona anawapa sababu wa Yemeni kuutwanga mji mkuu Telaviv.mm nimekaaa pale
 
Ila Hezbollah walivyokuwa wa moto leo hata kokoto harushi! Dah kuna wataalamu wakiamua upotee utapotea! Israel ni balaa.
Waislam huheshimu makubaliano/mkataba,kuna cease fire israel/hizbullah,iliyoombwa na USA cum israel
 
Israel kashajua hatari ikiwa atawalenga raia w Yemen kwaiyo IDF itajiekekeza kwenye miundo mbinu tu
 
Israel kashajua hatari ikiwa atawalenga raia w Yemen kwaiyo IDF itajiekekeza kwenye miundo mbinu tu
Muhimu wasijichanganye na raia kama kinga. Hakutakuwa na options.
 
Kashajua awezi kuzuiya technology ya silaha za Yemen Israel kidogo kidogo anapoteza kujiamini kwake!!!
 
Ukisikia mtu anatiahiwa kujamba ndio uku Houth wamezoea iyo mikiki miaka kwa miaka mfulululizo sidhan km watafanikiwa zaid wao ndio watachapwa waombe poo kupitia UN.
Mwenye cha kupoteza ni mwisraeli yeye hudhi Hana cha kupoteza msisahu hilo
 
 

Attachments

  • Chawa wa nani hawa.jpg
    29.8 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…