Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran

ndo kujifungia hivyo kama panya LGBT a.k.a wateule wa mchongo
Na Wairan wasio na hatia na ambao Serikali yao HAIWEZI kuwalinda dhidi ya mashambulizi ya Waisrael unawazungumziaje? Kwamba wafe kwa jina la Allah sio!? Ahahahahaha!!!!
 
Aiseeee, ni kweli. Ushahidi angalia hali ilivyo pale Kongo. Inasikitisha sana.
 

Sasa Israel anapigwaje na uku anaendelea kuchukua ardhi?
Kwani ukisema unataka kuchukua ardhi huruhusiwi kupigwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…