Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran

Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran

ndo kujifungia hivyo kama panya LGBT a.k.a wateule wa mchongo
Na Wairan wasio na hatia na ambao Serikali yao HAIWEZI kuwalinda dhidi ya mashambulizi ya Waisrael unawazungumziaje? Kwamba wafe kwa jina la Allah sio!? Ahahahahaha!!!!
 
Siku duniani tukibakia watu weusi tu, nina uhakika ndani ya mwaka mmoja tu hakuna kiumbe kitabakia hai, kuanzia binadamu, mnyama, ndege, mmea, samaki mpaka wadudu wote watakuwa wameangamizwa na mtu mweusi.

Mtu mweusi ni kiumbe mjinga, katili na mpumbavu kupita maelezo.
Aiseeee, ni kweli. Ushahidi angalia hali ilivyo pale Kongo. Inasikitisha sana.
 
Hii comment Yako waga inanifanya niamini we bado mchache kwenye hizi vita

One question hivi NATO na AMERICAN hawaiisaidii Ukraine vifaa siraha Intel strategy & tactics na Russia anajua hilo wazi kabisa Lakini umeona Kuna siku Russia kaishamburia German, England, French Us or Poland?

nenda kajifunze proxy war inavyo piganwa kwanza maana soon uwanja wa vita vya Israel na Iran battlefield itakua Syria

Sasa Israel anapigwaje na uku anaendelea kuchukua ardhi?
Kwani ukisema unataka kuchukua ardhi huruhusiwi kupigwa?
 
Back
Top Bottom