Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran

Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran

Unalisifia jitu jinga limekalisha matako Iran baada ya kushawishi Hamas tarehe 7 saa hizi linaangalia gaza wakifa kila siku. Si anajeshi apeleke kuzuia maafa gaza na kumtoa Israel. Na Israel kashachukua zaidi ya ekari 900 za ardhi na kashaidhinisha kujengwa makazi ya walowezi.ardhi inaondoka kila siku yeye kakaa Iran anajamba tu mishuzi kunuka.
[emoji1787] Hezbollah anamwaga moto sana huko North Israel wayahudi wamekimbia wameacha kila kitu .kila siku Yule waziri kidingi cha kiyahudi kinapiga mkwara lakini hawatii mguu. Unawajua Hezbollah ni nani? Ni vijana wa Ayatollah
 
Jamaa makunguru hatari[emoji23][emoji23]

Iran kapiga mkwara kidogo wanaharisha wote.

Iran kaza hapo hapo.
Hivi sasa nchi nzima wapo kwenye kimuhe muhe hawajui mwanaume saangapi anaingia
Chupi mkononi dadaadeki.
 
Rais wa Iran Ebrahim Raisi ametoa wito kwa nchi zote za Kiislamu kuungana dhidi ya Israel.

Hali ya mtaa huko Haifa nchini Israel na kufurika kwa wa-Israel kuelekea vituo vya kujikinga na mabomu

View attachment 2953338

Hofu imetawala: Israel imebana GPS katika viwango vya juu zaidi katika eneo lake kwa hofu ya mashambulio ya makombora ya Iran, lakini Iran inafahamu matumizi ya GLONASS ya Urusi.

Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran.

View attachment 2953349
View attachment 2953337View attachment 2953348
Waislamu hawatakaa waungane against Israel maana kila mmoja ana maslahi yake na wanabaguana wao kwa wao kimatabaka.
 
Makunguru kivipi kwa kuchukua tahadhali? Najua extremists mnatamani Israel ifutike lakini deep down ur heart unaamini Iran anaweza kumpiga Israel?
Israeli anapigwa kila siku na Iran mbona au hujui Hezbollah ni vijana wa Ayatollah? Hii hata mabwana zenu wa marekani wanajua nyuma ya Hezbollah , Yemen na Islamic resistance yupo mwanaume Muajemi.
 
So far at least 3 Iranian Security Forces Personnel have been Killed and several Injured as a result of an Attack launched tonight by Members of the Sunni Militia Group, Jaysh al-Adl against Police Stations and IRGC Bases in the Sistan and Baluchestan Province of Southeastern Iran.
Iran inabidi iishambulie tena Pakistan
 
[emoji1787] Hezbollah anamwaga moto sana huko North Israel wayahudi wamekimbia wameacha kila kitu .kila siku Yule waziri kidingi cha kiyahudi kinapiga mkwara lakini hawatii mguu. Unawajua Hezbollah ni nani? Ni vijana wa Ayatollah
Unadanganywa sana
 
Hahah uwe unaingia X mara moja moja siku hizi habari unazipata za moto moto Bwana. Elon Musk ameamua watu wapate habari bila kuchujwa.🤣
Kaweka na habari ya zaidi ya 900 kuchukuliwa na kuidhinishwa makazi ya waloezi?.
 
Rais wa Iran Ebrahim Raisi ametoa wito kwa nchi zote za Kiislamu kuungana dhidi ya Israel.

Hali ya mtaa huko Haifa nchini Israel na kufurika kwa wa-Israel kuelekea vituo vya kujikinga na mabomu

View attachment 2953338

Hofu imetawala: Israel imebana GPS katika viwango vya juu zaidi katika eneo lake kwa hofu ya mashambulio ya makombora ya Iran, lakini Iran inafahamu matumizi ya GLONASS ya Urusi.

Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran.

View attachment 2953349
View attachment 2953337View attachment 2953348
Hakuna jambo dogo katika usalama mkuu.
 
So far at least 3 Iranian Security Forces Personnel have been Killed and several Injured as a result of an Attack launched tonight by Members of the Sunni Militia Group, Jaysh al-Adl against Police Stations and IRGC Bases in the Sistan and Baluchestan Province of Southeastern Iran.
Hii wanapita kama hawaioni
 
Rais wa Iran Ebrahim Raisi ametoa wito kwa nchi zote za Kiislamu kuungana dhidi ya Israel.

Hali ya mtaa huko Haifa nchini Israel na kufurika kwa wa-Israel kuelekea vituo vya kujikinga na mabomu

View attachment 2953338

Hofu imetawala: Israel imebana GPS katika viwango vya juu zaidi katika eneo lake kwa hofu ya mashambulio ya makombora ya Iran, lakini Iran inafahamu matumizi ya GLONASS ya Urusi.

Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran.
View attachment 2953337View attachment 2953348
Wanatakiwa wakatiwe umeme humo kwenye mashimo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔨
 
Duniani inabidi tubaji sisi watu weusi tusio na maujanja ya technologia ili vita vikome
Siku duniani tukibakia watu weusi tu, nina uhakika ndani ya mwaka mmoja tu hakuna kiumbe kitabakia hai, kuanzia binadamu, mnyama, ndege, mmea, samaki mpaka wadudu wote watakuwa wameangamizwa na mtu mweusi.

Mtu mweusi ni kiumbe mjinga, katili na mpumbavu kupita maelezo.
 
Israeli anapigwa kila siku na Iran mbona au hujui Hezbollah ni vijana wa Ayatollah? Hii hata mabwana zenu wa marekani wanajua nyuma ya Hezbollah , Yemen na Islamic resistance yupo mwanaume Muajemi.
Hii comment Yako waga inanifanya niamini we bado mchache kwenye hizi vita

One question hivi NATO na AMERICAN hawaiisaidii Ukraine vifaa siraha Intel strategy & tactics na Russia anajua hilo wazi kabisa Lakini umeona Kuna siku Russia kaishamburia German, England, French Us or Poland?

nenda kajifunze proxy war inavyo piganwa kwanza maana soon uwanja wa vita vya Israel na Iran battlefield itakua Syria
 
Back
Top Bottom