Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Na Israel kashaua wangapi?Wewe mlokole Israeli angekua anajua kulinda raia wake Hamas asingewanyonya kamasi wale 1400
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Israel kashaua wangapi?Wewe mlokole Israeli angekua anajua kulinda raia wake Hamas asingewanyonya kamasi wale 1400
[emoji1787] Hezbollah anamwaga moto sana huko North Israel wayahudi wamekimbia wameacha kila kitu .kila siku Yule waziri kidingi cha kiyahudi kinapiga mkwara lakini hawatii mguu. Unawajua Hezbollah ni nani? Ni vijana wa AyatollahUnalisifia jitu jinga limekalisha matako Iran baada ya kushawishi Hamas tarehe 7 saa hizi linaangalia gaza wakifa kila siku. Si anajeshi apeleke kuzuia maafa gaza na kumtoa Israel. Na Israel kashachukua zaidi ya ekari 900 za ardhi na kashaidhinisha kujengwa makazi ya walowezi.ardhi inaondoka kila siku yeye kakaa Iran anajamba tu mishuzi kunuka.
Yule Netanyahu ataigharimu Israeli maana anaonekana kiburi sasa kiburi dawa yake ni jeuri.WAnasiasa wameachiwa hatma ya dunia mikononi mwao.
Hakika adui mkuu wa ulimwengu ni wanasiasa
Hivi sasa nchi nzima wapo kwenye kimuhe muhe hawajui mwanaume saangapi anaingiaJamaa makunguru hatari[emoji23][emoji23]
Iran kapiga mkwara kidogo wanaharisha wote.
Iran kaza hapo hapo.
Waislamu hawatakaa waungane against Israel maana kila mmoja ana maslahi yake na wanabaguana wao kwa wao kimatabaka.Rais wa Iran Ebrahim Raisi ametoa wito kwa nchi zote za Kiislamu kuungana dhidi ya Israel.
Hali ya mtaa huko Haifa nchini Israel na kufurika kwa wa-Israel kuelekea vituo vya kujikinga na mabomu
View attachment 2953338
Hofu imetawala: Israel imebana GPS katika viwango vya juu zaidi katika eneo lake kwa hofu ya mashambulio ya makombora ya Iran, lakini Iran inafahamu matumizi ya GLONASS ya Urusi.
Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran.
View attachment 2953349
View attachment 2953337View attachment 2953348
Israeli anapigwa kila siku na Iran mbona au hujui Hezbollah ni vijana wa Ayatollah? Hii hata mabwana zenu wa marekani wanajua nyuma ya Hezbollah , Yemen na Islamic resistance yupo mwanaume Muajemi.Makunguru kivipi kwa kuchukua tahadhali? Najua extremists mnatamani Israel ifutike lakini deep down ur heart unaamini Iran anaweza kumpiga Israel?
Wengi tu zaidi ya 20000Na Israel kashaua wangapi?
Iran inabidi iishambulie tena PakistanSo far at least 3 Iranian Security Forces Personnel have been Killed and several Injured as a result of an Attack launched tonight by Members of the Sunni Militia Group, Jaysh al-Adl against Police Stations and IRGC Bases in the Sistan and Baluchestan Province of Southeastern Iran.
Unadanganywa sana[emoji1787] Hezbollah anamwaga moto sana huko North Israel wayahudi wamekimbia wameacha kila kitu .kila siku Yule waziri kidingi cha kiyahudi kinapiga mkwara lakini hawatii mguu. Unawajua Hezbollah ni nani? Ni vijana wa Ayatollah
Hahah uwe unaingia X mara moja moja siku hizi habari unazipata za moto moto Bwana. Elon Musk ameamua watu wapate habari bila kuchujwa.🤣Unadanganywa sana
Kaweka na habari ya zaidi ya 900 kuchukuliwa na kuidhinishwa makazi ya waloezi?.Hahah uwe unaingia X mara moja moja siku hizi habari unazipata za moto moto Bwana. Elon Musk ameamua watu wapate habari bila kuchujwa.🤣
Hakuna jambo dogo katika usalama mkuu.Rais wa Iran Ebrahim Raisi ametoa wito kwa nchi zote za Kiislamu kuungana dhidi ya Israel.
Hali ya mtaa huko Haifa nchini Israel na kufurika kwa wa-Israel kuelekea vituo vya kujikinga na mabomu
View attachment 2953338
Hofu imetawala: Israel imebana GPS katika viwango vya juu zaidi katika eneo lake kwa hofu ya mashambulio ya makombora ya Iran, lakini Iran inafahamu matumizi ya GLONASS ya Urusi.
Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran.
View attachment 2953349
View attachment 2953337View attachment 2953348
Hii wanapita kama hawaioniSo far at least 3 Iranian Security Forces Personnel have been Killed and several Injured as a result of an Attack launched tonight by Members of the Sunni Militia Group, Jaysh al-Adl against Police Stations and IRGC Bases in the Sistan and Baluchestan Province of Southeastern Iran.
ndo kujifungia hivyo kama panya LGBT a.k.a wateule wa mchongoDogo kwani hujaona hapo juu Israel ilivyo walinda watu wake? Iran ina uwezo wa kuwalinda raia wake kama ilivyofanya Israel?
Ni bora wabakie wazungu tu,siye weusi ni Takataka kabisaDuniani inabidi tubaji sisi watu weusi tusio na maujanja ya technologia ili vita vikome
Wanatakiwa wakatiwe umeme humo kwenye mashimo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔨Rais wa Iran Ebrahim Raisi ametoa wito kwa nchi zote za Kiislamu kuungana dhidi ya Israel.
Hali ya mtaa huko Haifa nchini Israel na kufurika kwa wa-Israel kuelekea vituo vya kujikinga na mabomu
View attachment 2953338
Hofu imetawala: Israel imebana GPS katika viwango vya juu zaidi katika eneo lake kwa hofu ya mashambulio ya makombora ya Iran, lakini Iran inafahamu matumizi ya GLONASS ya Urusi.
Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran.
View attachment 2953337View attachment 2953348
Siku duniani tukibakia watu weusi tu, nina uhakika ndani ya mwaka mmoja tu hakuna kiumbe kitabakia hai, kuanzia binadamu, mnyama, ndege, mmea, samaki mpaka wadudu wote watakuwa wameangamizwa na mtu mweusi.Duniani inabidi tubaji sisi watu weusi tusio na maujanja ya technologia ili vita vikome
X unapata kila kitu .fungua account haraka sana zote hizo zipoKaweka na habari ya zaidi ya 900 kuchukuliwa na kuidhinishwa makazi ya waloezi?.
Hii comment Yako waga inanifanya niamini we bado mchache kwenye hizi vitaIsraeli anapigwa kila siku na Iran mbona au hujui Hezbollah ni vijana wa Ayatollah? Hii hata mabwana zenu wa marekani wanajua nyuma ya Hezbollah , Yemen na Islamic resistance yupo mwanaume Muajemi.