100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
- Thread starter
-
- #41
Sasa ndio kinyesi kipi unazungumza, acha mihemko, ongea mambo yenye msingi na hoja zinazojenga.Magaidi yenu leo namba zinasoma 33,000 halafu Gaza pamefanywa majivu, wavaa dera/kanzu huwa mnachekesha sana.
Iran gaidi lenu kubwa ameshikwa hadi mapumbu ameshindwa cha kufanya...
World War 2.Lini nuke ilipigwa Hiroshima?
He kwa hiyo wanaume ndo wenye haki ya kufa hata kama hawahusiki?Hapo hakuna mwanaume hata mmoja?
Rudia kusoma.He kwa hiyo wanaume ndo wenye haki ya kufa hata kama hawahusiki?
Kweli wanaume tumeumbwa mateso.
Wanapata usaidizi mzuri wa siraha toka nchi washirika mfano USA FRANCE GERMANIsrael ndo nchi pekee duniani ambayo haijawahi kupandisha bendera nyeupe vitani . Wala kuomba mazungumzo ya kusitisha vita.
Israeli wanakupiga jinsi unavyo kuja. Ukija kigaidi unapigwa kigaidi ukija kijeshi unapigwa kijeshi.
Uzur israel ikimalizana na wewe hutakaa maishani mwako mwote urudie kutangaza vita na israel.
Wote walio wahi kupigwa na israel hawajawh rudia.
Kunawatu wanajua kupiga nyie.
Umemaliza ndugu yangu. Yaani mtu akili yooote imekalia Iran vs Israel. Inakera sanaUkute hata historia ya Ukoo wenu huijui vizuri; ukijikagua vizuri utagundua ujuaji wako na kukumbatia utumbo ndo kunasababisha maisha yako yasiwe na mvuto kama kabeji za kulishia nguruwe..
Israel na Iran zimewatawala akili kiasi Cha kutia kinyaa, na hakuna lolote zaidi ni kukumbatia chuki za kidini kiasi Cha kumchukia Ndugu yako mtanzania Kwa kuendekeza uisrael na Uiran as if ndo miungu yenu. Brainwashed Mofoz.
vip russia ,kwa hiyo russia kukwama pale ukraine ni kwamba ni dhaifu?kwamba hata uturuki ana uwezo wa kumchakaza russia?uwe unachambua mambo kwa mapana hivyo vikundi vya kigaid vinapewa suppot na maadui wa israel ndio maana vita inakua ngumu,hata ukienda swala la russia pale ukraine hayupo peke yake kuna maadui wa russia weng ,usipime uwezo wa nchi kijeshi kinadharia,vita vya siku hiz ni tofaut na unavyofikiri ,nchi nyingi zimeungana kushiriiana kiusalama hivyo ukipambana na huyu uue ana wengine nyuma.iran ikiingia vitan na israel ijiandae kukabiliana na washirika wa israel.na israel ijiendaye kukabiliana na washirika wa iran.HAYA MAMNBO NI MAGUMU SANAUkielezea kuhusu Israel utasikia kila mtu akizungumzia six days war, operation Entebbe na covert operation ambazo walifanya pale middle east.
Watu inabidi waelewe hizo story zilipendwa, ni kama miaka ile wazee wetu wanakuambia Peugeot 504 ni gari inakimbia sana, au 90's tunasikia Land Cruiser 70 series zinakimbia balaa kwamba zilikatazwa hata kupaki benki🤣😂, sasa kuna watu bado wakiziona 504 au LC mkonge wanajua zinakimbia kuliko gari zote hadi leo, sasa hizi ndizo akili za vijana wengi waliorithi story za six days war na operation entebbe wakisimuliwa na wazee wao pamoja na sunday school au makanisani.
Leo hii hizo Peugeot na LC 70 series huwezi linganisha na gari za kisasa, hivyo mambo yanabadilika.
Story walizohadithiwa vijana wa huku ndizo hizo vijana wa kiyahudi huzisikia na kujikuta ni very special lakini hawajui mambo yamebadilika.
Six days war Israel ilishinda kwanza ilipata intel nzuri kwa kufahamu assets za maadui zake na silaha mahala zilipo, ikarusha fighter jets kupiga silaha, airports vituo vya mawasiliano, running way na sehemu zote za kimkakati hivyo adui wakawa hawana janja tena.
Ndio maana ilichukua siku sita tu, Israel kuwa na air superiority ilikuwa advantage kubwa kwao.
Mtindo huo wa mapigano Israel kautumia tena 2006 dhidi ya Hezbollah na Israel ilikuwa surprised kwao jinsi walifeli vibaya, kwani intel waliyoifanya kwa miaka 6 kuhusu silaha za Hezbollah zilipo hazikuwepo hivyo walishambulia maeneo tupu, walipiga shule, sehemu za mawasiliano n.k pale Lebanon yaani kama kawaida yao , vita ilichukua mwezi mmoja sio siku sita tena alipopambana na Egypt, Syria na Jordan ilikuwa 1967(six days war), Israel ikisaidiwa silaha na France.
2006 Kuna muda Israel ilishambulia kituo cha television Lebanon lakini baada ya muda mfupi tu kituo hiko kilirudi hewani, je tunajifunza nini hapa? Kwamba mbinu za miaka ile ya 60 haina nafasi tena kwa sasa.
Vita ya 2006 ilibidi US iingilie kati kuwakutanisha jamaa wasitishe vita, lakini Hezbollah walikuwa wamejipanga na walijifunza mbinu zote za adui hivyo Israel haikutegemea kakikundi kadogo ka migambo kama wawaitavyo kingemtoa jasho na kukubali kuingia mazungumzoni na kukubali matakwa ya Hezbollah kitu ambacho wachambuzi wanasema Israel ilikuwa defeated.
Juzi hapa Hamas kaanzisha tena pale Gaza, Israel kama kawaida karusha fighters kashambulia tones na tones za makombora kaua raia karibu 33000 wengi watoto na wanawake, lakini Hamas bado imo tu miezi sita sasa, sasa tumetoka kwenye six days sasa tumefikia 6 months war, na si nchi tatu tena kama 1967 kwenye 6 days war bali kikundi kinachokaa kwenye kasehemu kama wilaya kwenye nchi yako mwenyewe kanakushinda hadi raia wanaandamana.
Intel waliyokuwa nayo si sahihi, Hamas nao wamekuwa wajanja wanafahamu uwezo wa Israel na mbinu na wanajua Israel wanataka air superiority hivyo wanachimba mahandaki, Israel imepiga na kupiga toka Israel ianze vita na Palestine haijawahi kutumia nguvu kiasi hiki, pia ikimbukwe kwamba Israel imeteremsha zaidi ya tones 70,000 za bombs hapo Gaza ni mara tatu kwa uzito zaidi ya bomb la nuclear pale Hiroshima kwenye world war 2, nadhani ni kiasi kikubwa zaidi cha makombora kwa eneo dogo kama lile toka ww2.
Mambo yanabadilika sana, mbinu za kivita zinabadilika, mashine za kivita zinabadilika pia.
Hivyo Israel haina uwezo kukabiliana na taifa kama Iran, hio air superiority wanayotegemea haifanyi kazi tena, labda watumie infantry na hapo Israel sio wazuri kwani imeonekana wazi vijana wa Hamas wanavyowasumbua IDF kwenye mitaa ya Gaza. Ipo wazi hivi vikundi wafadhili na wanaowapatia mafunzo ni Iran. Na tusitegemee askari wa Israel watakutana na Iran kupambana mipakani kwani ipo wazi umbali uliopo kati ya Israel na Iran.
Hata Israel ikitumia fighters itawezaje kuzipeleka hadi Iran pasipo ku refuel angani au ardhini ambapo lazima atumie nchi kama Kuwait au Saudia au apite Syria na Iraq hadi Iran akifanya air refuel, hii pia ni hatari kwao kwa nchi yenye advanced tech kama Iran inateremsha stealth aircraft ya US hakika ni ngumu. Pia kutumia nchi yeyote pale middle East kama base hasa Saudia italeta ugomvi wa moja kwa moja na Iran, na hakuna nchi pale ipo tayari kwa hilo.
Option ya kutumia long range missile hapa Israel haitohimili mikito ya Iran ipo wazi.
Israel imekuwa na air superiority Lebanon 2006 na Gaza pia 2023 lakini haizai matunda
Ndugu zangu tuacheni story za 60's na 70's Israel hivi sasa ni nchi yenye uwezo wa kawaida kijeshi tena sana.
Ngoja niishie hapa kwa leo kwa maana nina mengi sana ya kuweka hapa siwezi maliza yote.
Russia inapigana na nchi, Israel inapigana na Migambo wanaoishi kwenye ki wilaya kidogo kilichozungukwa na Israel, migambo wanaopokezana AK47 hata airforce hawana wanatumia rocket za kienyeji, pikipiki na baiskeli.vip russia ,kwa hiyo russia kukwama pale ukraine ni kwamba ni dhaifu?kwamba hata uturuki ana uwezo wa kumchakaza russia?uwe unachambua mambo kwa mapana hivyo vikundi vya kigaid vinapewa suppot na maadui wa israel ndio maana vita inakua ngumu,hata ukienda swala la russia pale ukraine hayupo peke yake kuna maadui wa russia weng ,usipime uwezo wa nchi kijeshi kinadharia,vita vya siku hiz ni tofaut na unavyofikiri ,nchi nyingi zimeungana kushiriiana kiusalama hivyo ukipambana na huyu uue ana wengine nyuma.iran ikiingia vitan na israel ijiandae kukabiliana na washirika wa israel.na israel ijiendaye kukabiliana na washirika wa iran.HAYA MAMNBO NI MAGUMU SANA
Endelea kumchapa nao tu mkuu![emoji23][emoji23][emoji23]World War 2.
Ilikua tarehe 6 August 1945, nuclear bomb hilo liliitwa "liitle boy", likiwa limebebwa na ndege ijulikanayo kama USAAF B-29 bomber wakiita jina la utani Enola Gay na rubani wa ndege hio aliitwa Colonel Paul Tibbets, Jr, ilikua saa 2 na robo asubuhi , kombora liliachiwa likalipuka saa 2 dk ya 16 na sekunde ya 2 asubuhi.
Niendelee niache?
Endelea kumchapa nao tu mkuu![emoji23][emoji23][emoji23]
ulimwengu mzima had tz tumo?Russia inapigana na nchi, Israel inapigana na Migambo wanaoishi kwenye ki wilaya kidogo kilichozungukwa na Israel, migambo wanaopokezana AK47 hata airforce hawana wanatumia rocket za kienyeji, pikipiki na baiskeli.
Russia inapigana na jeshi linalopewa msaada na ulimwengu mzima, jeshi lenye vifaru, jet fighters, radar, satellite na kila aina ya silaha za kisasa unayoifahamu hadi drones za gharama, air defense systems, anti aircrafts n.k.
Kingine dhumuni la Russia toka mwanzoni si kuiteka Ukraine bali kuua nguvu.
Je Israel inaweza kupambana na Hamas wakipewa fighter jets, anti aircrafts, satellite, vifaru na kila aina ya silaha.
Israel itatandikwa isambae
Kusaidiwa sio tatizo. Hata russia german na england zinasaidiwa.Wanapata usaidizi mzuri wa siraha toka nchi washirika mfano USA FRANCE GERMAN
Hivi kwa Nini sisi baadhi ya Watanzania hua hatujui maana ya mijadala?Ukute hata historia ya Ukoo wenu huijui vizuri; ukijikagua vizuri utagundua ujuaji wako na kukumbatia utumbo ndo kunasababisha maisha yako yasiwe na mvuto kama kabeji za kulishia nguruwe..
Israel na Iran zimewatawala akili kiasi Cha kutia kinyaa, na hakuna lolote zaidi ni kukumbatia chuki za kidini kiasi Cha kumchukia Ndugu yako mtanzania Kwa kuendekeza uisrael na Uiran as if ndo miungu yenu. Brainwashed Mofoz.
Kwa kweli inasikitisha sana.Wakorofi hamkosekani!
Russia anapigana hivyo hovyo kama mwnedawazimu mara kulipua ambulance. Mara shule hospital..rushia anapigana kistaarabu mnovip russia ,kwa hiyo russia kukwama pale ukraine ni kwamba ni dhaifu?kwamba hata uturuki ana uwezo wa kumchakaza russia?uwe unachambua mambo kwa mapana hivyo vikundi vya kigaid vinapewa suppot na maadui wa israel ndio maana vita inakua ngumu,hata ukienda swala la russia pale ukraine hayupo peke yake kuna maadui wa russia weng ,usipime uwezo wa nchi kijeshi kinadharia,vita vya siku hiz ni tofaut na unavyofikiri ,nchi nyingi zimeungana kushiriiana kiusalama hivyo ukipambana na huyu uue ana wengine nyuma.iran ikiingia vitan na israel ijiandae kukabiliana na washirika wa israel.na israel ijiendaye kukabiliana na washirika wa iran.HAYA MAMNBO NI MAGUMU SANA
Nimependa uchambuzi wako,ila kumbuka vita Israel anayopambana nayo,watu wanatumia raia kama ngao.Maana yake wanashambulia alafu wanajichanganya na raia hospitali,mashuleni,makambi ya wakimbizi ma kadhalika.Sasa ikipigwa hii ndo itakuwa nzuri sasa Ni wewe nichape bila mipaka sijui ni raia,sijui ni hospitali.Na mimi nakichapa.Yaani hii sasa ndo itakuwa nzuri japo vita ni mbaya sana.Ukielezea kuhusu Israel utasikia kila mtu akizungumzia six days war, operation Entebbe na covert operation ambazo walifanya pale middle east.
Watu inabidi waelewe hizo story zilipendwa, ni kama miaka ile wazee wetu wanakuambia Peugeot 504 ni gari inakimbia sana, au 90's tunasikia Land Cruiser 70 series zinakimbia balaa kwamba zilikatazwa hata kupaki benki[emoji1787][emoji23], sasa kuna watu bado wakiziona 504 au LC mkonge wanajua zinakimbia kuliko gari zote hadi leo, sasa hizi ndizo akili za vijana wengi waliorithi story za six days war na operation entebbe wakisimuliwa na wazee wao pamoja na sunday school au makanisani.
Leo hii hizo Peugeot na LC 70 series huwezi linganisha na gari za kisasa, hivyo mambo yanabadilika.
Story walizohadithiwa vijana wa huku ndizo hizo vijana wa kiyahudi huzisikia na kujikuta ni very special lakini hawajui mambo yamebadilika.
Six days war Israel ilishinda kwanza ilipata intel nzuri kwa kufahamu assets za maadui zake na silaha mahala zilipo, ikarusha fighter jets kupiga silaha, airports vituo vya mawasiliano, running way na sehemu zote za kimkakati hivyo adui wakawa hawana janja tena.
Ndio maana ilichukua siku sita tu, Israel kuwa na air superiority ilikuwa advantage kubwa kwao.
Mtindo huo wa mapigano Israel kautumia tena 2006 dhidi ya Hezbollah na Israel ilikuwa surprised kwao jinsi walifeli vibaya, kwani intel waliyoifanya kwa miaka 6 kuhusu silaha za Hezbollah zilipo hazikuwepo hivyo walishambulia maeneo tupu, walipiga shule, sehemu za mawasiliano n.k pale Lebanon yaani kama kawaida yao , vita ilichukua mwezi mmoja sio siku sita tena alipopambana na Egypt, Syria na Jordan ilikuwa 1967(six days war), Israel ikisaidiwa silaha na France.
2006 Kuna muda Israel ilishambulia kituo cha television Lebanon lakini baada ya muda mfupi tu kituo hiko kilirudi hewani, je tunajifunza nini hapa? Kwamba mbinu za miaka ile ya 60 haina nafasi tena kwa sasa.
Vita ya 2006 ilibidi US iingilie kati kuwakutanisha jamaa wasitishe vita, lakini Hezbollah walikuwa wamejipanga na walijifunza mbinu zote za adui hivyo Israel haikutegemea kakikundi kadogo ka migambo kama wawaitavyo kingemtoa jasho na kukubali kuingia mazungumzoni na kukubali matakwa ya Hezbollah kitu ambacho wachambuzi wanasema Israel ilikuwa defeated.
Juzi hapa Hamas kaanzisha tena pale Gaza, Israel kama kawaida karusha fighters kashambulia tones na tones za makombora kaua raia karibu 33000 wengi watoto na wanawake, lakini Hamas bado imo tu miezi sita sasa, sasa tumetoka kwenye six days sasa tumefikia 6 months war, na si nchi tatu tena kama 1967 kwenye 6 days war bali kikundi kinachokaa kwenye kasehemu kama wilaya kwenye nchi yako mwenyewe kanakushinda hadi raia wanaandamana.
Intel waliyokuwa nayo si sahihi, Hamas nao wamekuwa wajanja wanafahamu uwezo wa Israel na mbinu na wanajua Israel wanataka air superiority hivyo wanachimba mahandaki, Israel imepiga na kupiga toka Israel ianze vita na Palestine haijawahi kutumia nguvu kiasi hiki, pia ikimbukwe kwamba Israel imeteremsha zaidi ya tones 70,000 za bombs hapo Gaza ni mara tatu kwa uzito zaidi ya bomb la nuclear pale Hiroshima kwenye world war 2, nadhani ni kiasi kikubwa zaidi cha makombora kwa eneo dogo kama lile toka ww2.
Mambo yanabadilika sana, mbinu za kivita zinabadilika, mashine za kivita zinabadilika pia.
Hivyo Israel haina uwezo kukabiliana na taifa kama Iran, hio air superiority wanayotegemea haifanyi kazi tena, labda watumie infantry na hapo Israel sio wazuri kwani imeonekana wazi vijana wa Hamas wanavyowasumbua IDF kwenye mitaa ya Gaza. Ipo wazi hivi vikundi wafadhili na wanaowapatia mafunzo ni Iran. Na tusitegemee askari wa Israel watakutana na Iran kupambana mipakani kwani ipo wazi umbali uliopo kati ya Israel na Iran.
Hata Israel ikitumia fighters itawezaje kuzipeleka hadi Iran pasipo ku refuel angani au ardhini ambapo lazima atumie nchi kama Kuwait au Saudia au apite Syria na Iraq hadi Iran akifanya air refuel, hii pia ni hatari kwao kwa nchi yenye advanced tech kama Iran inateremsha stealth aircraft ya US hakika ni ngumu. Pia kutumia nchi yeyote pale middle East kama base hasa Saudia italeta ugomvi wa moja kwa moja na Iran, na hakuna nchi pale ipo tayari kwa hilo.
Option ya kutumia long range missile hapa Israel haitohimili mikito ya Iran ipo wazi.
Israel imekuwa na air superiority Lebanon 2006 na Gaza pia 2023 lakini haizai matunda
Ndugu zangu tuacheni story za 60's na 70's Israel hivi sasa ni nchi yenye uwezo wa kawaida kijeshi tena sana.
Ngoja niishie hapa kwa leo kwa maana nina mengi sana ya kuweka hapa siwezi maliza yote.
Vita ya dunia Tanzania ilikuwemo? au Burundi, US, EU,Russia na China wakiingia vitani hio ni World War tayari.ulimwengu mzima had tz tumo?