Israel imeipiga Gaza kwa makombora yenye uzito mara 3 ya ule wa kombora la nuke lililopigwa pale Hiroshima

Magaidi yenu leo namba zinasoma 33,000 halafu Gaza pamefanywa majivu, wavaa dera/kanzu huwa mnachekesha sana.
Iran gaidi lenu kubwa ameshikwa hadi mapumbu ameshindwa cha kufanya...
Sasa ndio kinyesi kipi unazungumza, acha mihemko, ongea mambo yenye msingi na hoja zinazojenga.

Hapo nimeeleza vyema kabisa kwamba Israel ni kituko hana lolote, nIkaelezea mifano, nikarejea story za nyuma n.k.

Sasa wewe umeshiba futari uliyo alikwa unajamba hovyo unakuja hapa kubwabwaja utumbo.
 
Lini nuke ilipigwa Hiroshima?
World War 2.
Ilikua tarehe 6 August 1945, nuclear bomb hilo liliitwa "liitle boy", likiwa limebebwa na ndege ijulikanayo kama USAAF B-29 bomber wakiita jina la utani Enola Gay na rubani wa ndege hio aliitwa Colonel Paul Tibbets, Jr, ilikua saa 2 na robo asubuhi , kombora liliachiwa likalipuka saa 2 dk ya 16 na sekunde ya 2 asubuhi.
Niendelee niache?
 
Wanapata usaidizi mzuri wa siraha toka nchi washirika mfano USA FRANCE GERMAN
 
Umemaliza ndugu yangu. Yaani mtu akili yooote imekalia Iran vs Israel. Inakera sana
 
vip russia ,kwa hiyo russia kukwama pale ukraine ni kwamba ni dhaifu?kwamba hata uturuki ana uwezo wa kumchakaza russia?uwe unachambua mambo kwa mapana hivyo vikundi vya kigaid vinapewa suppot na maadui wa israel ndio maana vita inakua ngumu,hata ukienda swala la russia pale ukraine hayupo peke yake kuna maadui wa russia weng ,usipime uwezo wa nchi kijeshi kinadharia,vita vya siku hiz ni tofaut na unavyofikiri ,nchi nyingi zimeungana kushiriiana kiusalama hivyo ukipambana na huyu uue ana wengine nyuma.iran ikiingia vitan na israel ijiandae kukabiliana na washirika wa israel.na israel ijiendaye kukabiliana na washirika wa iran.HAYA MAMNBO NI MAGUMU SANA
 
Russia inapigana na nchi, Israel inapigana na Migambo wanaoishi kwenye ki wilaya kidogo kilichozungukwa na Israel, migambo wanaopokezana AK47 hata airforce hawana wanatumia rocket za kienyeji, pikipiki na baiskeli.

Russia inapigana na jeshi linalopewa msaada na ulimwengu mzima, jeshi lenye vifaru, jet fighters, radar, satellite na kila aina ya silaha za kisasa unayoifahamu hadi drones za gharama, air defense systems, anti aircrafts n.k.

Kingine dhumuni la Russia toka mwanzoni si kuiteka Ukraine bali kuua nguvu.

Je Israel inaweza kupambana na Hamas wakipewa fighter jets, anti aircrafts, satellite, vifaru na kila aina ya silaha.

Israel itatandikwa isambae
 
Endelea kumchapa nao tu mkuu![emoji23][emoji23][emoji23]
 
ulimwengu mzima had tz tumo?
 
Hivi kwa Nini sisi baadhi ya Watanzania hua hatujui maana ya mijadala?
Huyo mtoa mada kaandika maoni yake,kaweka na facts.tatizo Liko wapi Hadi uhusishe ukoo wake kwa kashfa?
Dawa yake ilikua ni nyepesi TU,kumpinga kwa hoja kwa facts ulizonazo ili na sisi tusiojua tujifunze.
Hoja yoyote hujibiwa kwa hoja.
Kama vile utafiti wowote hupingwa kwa utafiti.
Kuanza kushambulia Haina ya mtu ni dalili mojawapo ya kushindwa kwa hoja.
Weka nondo zako hapa tupate elimu.
 
Russia anapigana hivyo hovyo kama mwnedawazimu mara kulipua ambulance. Mara shule hospital..rushia anapigana kistaarabu mno
 
Nimependa uchambuzi wako,ila kumbuka vita Israel anayopambana nayo,watu wanatumia raia kama ngao.Maana yake wanashambulia alafu wanajichanganya na raia hospitali,mashuleni,makambi ya wakimbizi ma kadhalika.Sasa ikipigwa hii ndo itakuwa nzuri sasa Ni wewe nichape bila mipaka sijui ni raia,sijui ni hospitali.Na mimi nakichapa.Yaani hii sasa ndo itakuwa nzuri japo vita ni mbaya sana.
Alafu vita vinasababishwa na ukichwa maji na upumbavu wa watu wachache sana.Sisi raia kwanza hata hatuoni nn sababu ya hii vita.
 
Silaha nzito zinatakiwa ili kuyafikia yale Mahandaki ya Magaidi wa Hamas waliochimba chini ya Ardhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…