ndio ukweli huoKwa hiyo kumbe kweli Israel bila Marekani ni Mchumba tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio ukweli huoKwa hiyo kumbe kweli Israel bila Marekani ni Mchumba tu!
Wewe Mbantu umeweza kung’amua kuwa Iran alikuwa ametegewa mtego, Ila Muajemi haelewi chochote. Hakika Wabantu tunahujumiwa, IQ zetu hazilingani kabisa na hali iliyopo katika mataifa yetu.Huu ulikiwa mtego ambao Iran imeungia vizuri, baada ya wiki moja au mbili utaona Israel anamwagiwa mabilioni ya pesa na bunge la Marekani.
Kawadanganye wajinga wenzio .hilo bunge la marekani mbona washatoa zaidi ya dola bilioni 100 mpaka sasa tangu oktoba 7 kwani kulikua na mtego gani?Huu ulikiwa mtego ambao Iran imeungia vizuri, baada ya wiki moja au mbili utaona Israel anamwagiwa mabilioni ya pesa na bunge la Marekani.
Wewe Mbantu umeweza kung’amua kuwa Iran alikuwa ametegewa mtego, Ila Muajemi haelewi chochote. Hakika Wabantu tunahujumiwa, IQ zetu hazilingani kabisa na hali iliyopo katika mataifa yetu.
Kawadanganye wajinga wenzio .hilo bunge la marekani mbona washatoa zaidi ya dola bilioni 100 mpaka sasa tangu oktoba 7 kwani kulikua na mtego gani?
Unakuta mtu kwa akili yake anamini eti ukiibariki Israeli na ww utabarikiwa cha ajabu unakuta amepauka kama muhogo wa kuchoma na Rosali kubwaWafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.
Unakuta mtu kwa akili yake anamini eti ukiibariki Israeli na ww utabarikiwa cha ajabu unakuta amepauka kama muhogo wa kuchoma na Rosali kubwa