Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi

Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Ulaya na Marekani Mungu kawanysha kidogo mabomu mnayatuma Gaza yanafanya kazi vizuri hili tukio hawawezi hata kulani wakilani mtoto wao atakasirika😂
 
Chochote unachokikuta kwenye uwanja wa mapambano ni target yako. Kama Hamas walikuwa hapo na wakawa wanajibizana bahat mbaya risasi zikaua Dr wakulaumiwa ni Hamas. Huwez kuweka kambi hospital utegemee Aman. Huu ndio ujinga wa Hamas unalianzisha halafu unaenda kujificha nyuma ya mkeo. Ukifagiwa nae unalia. Wacha ale kichapo.
 
Chochote unachokikuta kwenye uwanja wa mapambano ni target yako. Kama Hamas walikuwa hapo na wakawa wanajibizana bahat mbaya risasi zikaua Dr wakulaumiwa ni Hamas. Huwez kuweka kambi hospital utegemee Aman. Huu ndio ujinga wa Hamas unalianzisha halafu unaenda kujificha nyuma ya mkeo. Ukifagiwa nae unalia. Wacha ale kichapo.
Ushabiki mandazi tu hata ufahamu wameuliwa vipi😂
 
Jews sasa hiv hata ukijificha mochwari anakuua wewe na maiti wako. Si mlikuwa mnasema wanajeshi wao wataamgamia hapo Gaza. Mzee Moto ndio I
Umewashwa. Wazee wanajuandaa kwenda kutoa kichapo rafah
Vipi vijana wa Kitanzania mliowwapeleka wakamsaidie zayuni, wamerudi?
 
Jews sasa hiv hata ukijificha mochwari anakuua wewe na maiti wako. Si mlikuwa mnasema wanajeshi wao wataamgamia hapo Gaza. Mzee Moto ndio I
Umewashwa. Wazee wanajuandaa kwenda kutoa kichapo rafah
Hacha wajiandae ni mwezi wa 5 unaenda wa 6 hawajui mateka wao walipo Gaza yenyewe kama Kigamboni wamebakia kushambulia hospitali na kuuwa watoto na wagonjwa.
 
Mazayuni wakishauwa Wapalestina wanakuja kupumzika na kula raha Zanzibar:
IMG-20240331-WA0096.jpg


This is the guy who Kills Children in Gaza and has a hotel and enjoy fishing in Zanzibar!

 
Watakuja kusema hao wameuliwa na Hamas.
Wamueiliwaje weka ushahidi.. Do you Muslim mnasema kila kitu anapanga Allah? So wameuliwa na Allah.. we know Muslim propaganda.. alafu katika uzushi wote Hamas wamekwama sasa wanaanza kuua Wafanyakazi wa UN alimradi tu vita isimame wasimalizwe.. Netanyahu amemgomea Allah
 
Hacha wajiandae ni mwezi wa 5 unaenda wa 6 hawajui mateka wao walipo Gaza yenyewe kama Kigamboni wamebakia kushambulia hospitali na kuuwa watoto na wagonjwa.
Watoto ndio walikuwa wanapiga maguruneti sio. Bado hawajalia. Kwa taarifa yako Israel inawahesabiaateka kama walishakufa ndio maana pamoja na maandamano ya umma hawajali wao target ni kichapo tu mpaka kenge atoe damu.
 
Wanaukumbi.

Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi. Angalia pasipoti zao.

Adui wakubwa wa Israeli ni wasema ukweli.

Hivi ni vita dhidi ya Hamas wanasema bahati nzuri wanauwana wao kwao ambao wanajiona wana haki ya kuishi tofauti na watoto wa Palestina.


View: https://x.com/gozukarafurkan/status/1774915378113556828?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Nilitegemea mazayuni kuifuta gaza kwa siku moja kwa walivyoaminishwa wapuuzi kua israel ni taifa teule kumbe nao ndio wale wale leo miezi inakatika wana amua kuua yeyote atakae pita mbele yao kifupi ni kuchanganyikiwa!
 
Back
Top Bottom