Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi

Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi

Wanaukumbi.

Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi. Angalia pasipoti zao.

Adui wakubwa wa Israeli ni wasema ukweli.

Hivi ni vita dhidi ya Hamas wanasema bahati nzuri wanauwana wao kwao ambao wanajiona wana haki ya kuishi tofauti na watoto wa Palestina.


View: https://x.com/gozukarafurkan/status/1774915378113556828?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Inawezekana wamewaua kweli.ila kusema MAKUSUDI ni wewe. Kumbuka huo ni uwanja wa Vita.
 
Bado kazi haijaisha warud kufanya nini na unaona jana kuna magaidi wamepukutishwa hapo Damascus.
Bado wapo hai?

Ya Damascus hayajaanza leo hayo, yasikupe shaka.

Ukiona Mmarekani mpaka katowa ndege zakebkqa hasira ujuwe imewanyeeshea yeye na vibaraka wake.
 
Mazayuni wana haha, Hamas hawawaoni kila wanapowatafuta, mazqyuni kwa hasira wameamua kuuwa chochote kinachokatiza.

Vijana wa Al Qassam kimyaaa, wakichomoza, wananyofoa wawili watatu wanajichimbia tena.
 
Kichwa cha habari kiliposomeka "Kimakusudi" nikaona huu uzi ni takataka
 
Utasema kila kitu. Sisi tunahesabu ushindi mkubwa sana mpaka dakika hii
Sawa Mama nachoshukuru sasa hiv kaz mliyobakiwa nayo ni kuhesabu maiti tu. Watu wanafanya vitendo maneno wameawaachia nyie
 
Sawa Mama nachoshukuru sasa hiv kaz mliyobakiwa nayo ni kuhesabu maiti tu. Watu wanafanya vitendo maneno wameawaachia nyie

Qur'an 2:
154.
Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154


155. Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu na matunda. Na wabashirie wanao subiri, 155


156. Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea. 156


157. Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye kuongoka. 157
 
Qur'an 2:
154.
Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154


155. Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu na matunda. Na wabashirie wanao subiri, 155


156. Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea. 156


157. Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye kuongoka. 157
That's programming system nothing more. Hizo zinaitwa Hadith
 
Uzu
Hili hapa gari la watu wanne wa timu ya kimataifa ya World Central Kitchen waliouawa na shambulizi la anga la Israel lililowalenga jana usiku katikati mwa Gaza.


View: https://x.com/qudsnen/status/1775052658300076470?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Uzuri wachunguzi huangalia kombora la nani na sio
Mazayuni wakishauwa Wapalestina wanakuja kupumzika na kula raha Zanzibar:
View attachment 2951376

This is the guy who Kills Children in Gaza and has a hotel and enjoy fishing in Zanzibar!

View attachment 2951380
Hawa jamaa huwa hawapigi bila kuchokozwa.. sio kama Mtume wenu Mohammad aliuwa Wayahudi wote kwenye mji wao wa Madina..

Vipi wajeshi wetu waliowaua waganda ?
Biden mwenyewe aliuwa Wa Vietnamese.. and huyu Askari anatakiwa aenjoy vilivyo kuwachapa Hamas tupo bado na majonzi ya Watanzania wetu waliouwawa na Hamas na Mwili wa Joshua bado wanapambana upatikane safi sana Kamanda wa IDF your always welcome here Zanzibar
 
Back
Top Bottom