MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Inawezekana wamewaua kweli.ila kusema MAKUSUDI ni wewe. Kumbuka huo ni uwanja wa Vita.Wanaukumbi.
Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi. Angalia pasipoti zao.
Adui wakubwa wa Israeli ni wasema ukweli.
Hivi ni vita dhidi ya Hamas wanasema bahati nzuri wanauwana wao kwao ambao wanajiona wana haki ya kuishi tofauti na watoto wa Palestina.
View: https://x.com/gozukarafurkan/status/1774915378113556828?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Bado wapo hai?Bado kazi haijaisha warud kufanya nini na unaona jana kuna magaidi wamepukutishwa hapo Damascus.
Polen sana babu yangu. Inabid mzoee tu kichapo kinaendeleaBado wapo hai?
Ya Damascus hayajaanza leo hayo, yasikupe shaka.
Ukiona Mmarekani mpaka katowa ndege zakebkqa hasira ujuwe imewanyeeshea yeye na vibaraka wake.
Watu wapo kwenye heri na wanaambaa kwenye ushindi unawapa pole?Polen sana babu yangu. Inabid mzoee tu kichapo kinaendelea
Ndio raha ya kubarikiwa aisee.Mazayuni wakishauwa Wapalestina wanakuja kupumzika na kula raha Zanzibar:
View attachment 2951376
This is the guy who Kills Children in Gaza and has a hotel and enjoy fishing in Zanzibar!
View attachment 2951380
Heri ipi labda ya mabikira 72 na pombe huko waendakoWatu wapo kwenye heri na wanaambaa kwenye ushindi unawapa pole?
Ndio raha ya kubarikiwa aisee.
Hahahaha AlSahafKwao hapakaliki. Cheza na Hamas wewe?
Utasema kila kitu. Sisi tunahesabu ushindi mkubwa sana mpaka dakika hiiHahahaha AlSahaf
Sawa Mama nachoshukuru sasa hiv kaz mliyobakiwa nayo ni kuhesabu maiti tu. Watu wanafanya vitendo maneno wameawaachia nyieUtasema kila kitu. Sisi tunahesabu ushindi mkubwa sana mpaka dakika hii
Inawezekana wamewaua kweli.ila kusema MAKUSUDI ni wewe. Kumbuka huo ni uwanja wa Vita.
Kichwa cha habari kiliposomeka "Kimakusudi" nikaona huu uzi ni takataka
Rip..Hili hapa gari la watu wanne wa timu ya kimataifa ya World Central Kitchen waliouawa na shambulizi la anga la Israel lililowalenga jana usiku katikati mwa Gaza.
View: https://x.com/qudsnen/status/1775052658300076470?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Sawa Mama nachoshukuru sasa hiv kaz mliyobakiwa nayo ni kuhesabu maiti tu. Watu wanafanya vitendo maneno wameawaachia nyie
That's programming system nothing more. Hizo zinaitwa HadithQur'an 2:
154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
155. Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu na matunda. Na wabashirie wanao subiri, 155
156. Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea. 156
157. Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye kuongoka. 157
Uzuri wachunguzi huangalia kombora la nani na sioHili hapa gari la watu wanne wa timu ya kimataifa ya World Central Kitchen waliouawa na shambulizi la anga la Israel lililowalenga jana usiku katikati mwa Gaza.
View: https://x.com/qudsnen/status/1775052658300076470?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hawa jamaa huwa hawapigi bila kuchokozwa.. sio kama Mtume wenu Mohammad aliuwa Wayahudi wote kwenye mji wao wa Madina..Mazayuni wakishauwa Wapalestina wanakuja kupumzika na kula raha Zanzibar:
View attachment 2951376
This is the guy who Kills Children in Gaza and has a hotel and enjoy fishing in Zanzibar!
View attachment 2951380