green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Yakikaribia target yanakua meekuunduu, halafu yanaongeza kasi
Yani yana hasiraYakikaribia target yanakua meekuunduu, halafu yanaongeza kasi
hatari sana, pale yanakuwa yanaingia ndani ya anga hewa, yanatafuta Nevatim(chakula) iko wapiYakikaribia target yanakua meekuunduu, halafu yanaongeza kasi
Baadae mnakuja na mada wanawake na watotoYani yana hasira
Aibu mpaka wanafichaBaadae mnakuja na mada wanawake na watoto
Unaweza kumchukia Mo au Bahkressa ila kama kakuzidi kubali matokeoAibu mpaka wanaficha
Iron dome haikudizainiwa kuzuia makombora kama haya.
Wewe umejuaje kama F-35 zimeharibiwa ?๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
๐จ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ท ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iranโs attack.
Reports indicate Iran DESTROYED half of Israelโs fleet of F35 jets.
We umesikia hao Iran ka target wanawake na watoto, target zake si hizo ambazo wamefichafichaBaadae mnakuja na mada wanawake na watoto
Piga kambi za jeshi kama mwenzio usiue watoto , ewe mgalatia sheria za vita watoto na wanawake hawahusiki ...Baadae mnakuja na mada wanawake na watoto
Kila mpiganaji Ana strategy zake na ukijificha kwa raia umewaponzaWe umesikia hao Iran ka target wanawake na watoto, target zake si hizo ambazo wamefichaficha
Shida sasa huyo mwanadada mwenye mihemko kuanza ku target wanawake na watoto
90% ya makombora yame hit target, Netanyahu hawezi akakwambia hii habariKama wamezuia wewe umejuaje kama hizo F35 zimepigwa
Gaidi akienda kujificha Sokoni kariakoo keshawaponza wengi no wayoutPiga kambi za jeshi kama mwenzio usiue watoto , ewe mgalatia sheria za vita watoto na wanawake hawahusiki ...