Lesedi2020
JF-Expert Member
- Feb 2, 2023
- 200
- 1,123
Hapo ndio zilikua zina paki
Haya waambie waonyeshe basi maana walisema wameyadaka yote ila ulimwengu mzima wameona vitu vilivyo tua tena live.
Dunia imeanza kuchangamka
Alipiga mkwara UN yeye haogopi mtu yoyote watu wakamuita Iran pembeni wakamwambia analeta dharau huyu dogo hebu mkanye kidogo.
Haya waambie waonyeshe basi maana walisema wameyadaka yote ila ulimwengu mzima wameona vitu vilivyo tua tena live.
Dunia imeanza kuchangamka
Alipiga mkwara UN yeye haogopi mtu yoyote watu wakamuita Iran pembeni wakamwambia analeta dharau huyu dogo hebu mkanye kidogo.