Israel imezuia Google map kuonyesha kambi iliyochakazwa

Israel imezuia Google map kuonyesha kambi iliyochakazwa

Hapo ndio zilikua zina paki
Haya waambie waonyeshe basi maana walisema wameyadaka yote ila ulimwengu mzima wameona vitu vilivyo tua tena live.
Dunia imeanza kuchangamka
Alipiga mkwara UN yeye haogopi mtu yoyote watu wakamuita Iran pembeni wakamwambia analeta dharau huyu dogo hebu mkanye kidogo.
 
Kama kawaida magaidi kwenda kujificha Kwa kina mama na watoto safari hii mkijificha mjue mmewapoza tunalipua tu hapo hapo magaidi mfe na kinamama god bless taifa teule Israel
 
Hagari wakati anatoa speech jana alikuwa anatetemeka , unajua ni kwanini ? hakuamini kilichotokea

Fattah-2 zime evade Iron Dome na kupiga, kwa maana Israel iko UCHI kwa Iran

IDF wana censor chochote kinachotoka nje ya Israel

Lugha pekee Netanyahu anayoielewa ni barrage of Fattahs
Oh kumbe. Mimi umadhani hata majes naksi hayo mambo? Nachangia tu ili usingizi unipiie.
Ahsante sana kwa ilim uliyonipa mkuu
 
Kama kawaida magaidi kwenda kujificha Kwa kina mama na watoto safari hii mkijificha mjue mmewapoza tunalipua tu hapo hapo magaidi mfe na kinamama god bless taifa teule Israel
Mnalipua we ukiwa namtumbo. Huwa mnakuwa na zoom meetings au mnawasiliana kwa Teams kupanga mikakati ya vita

Kweli kuna waTanzania mmelogwa asee. Ndio mahaba yamepamba kiasi hiki?
 
Piga kambi za jeshi kama mwenzio usiue watoto , ewe mgalatia sheria za vita watoto na wanawake hawahusiki ...
Magaidi wenu wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ila upande wa israel wanawatumia iron dome na raia wanajificha kwenye mashelta iran itawapata wapi iwaue
 
Madhara ya vita huwa hayajajifichi,, ndege za F-35 huwezi kuzilipua kwa makombora kizembe, pia watu hawajui Iron Don inazuia makombora toka kwa hamasa na Lebanon shirt range. Lakini Israel bado ina mifumo bora ya kuzuia makombora ya masafa marefu Arorow 2&3 ambayo ni sawa na S 300 na s 400 ya Russia, pia ina David Sling .
Siku hiyo hiyo David na arrow zilizimwa ? Maana hazikufanya kazi but nijuacho mm hakuna mfumo unaweza kuzuia ballistic missile zikiwa nyingi, coz zinasababisha jamming
 
Magaidi wenu wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ila upande wa israel wanawatumia iron dome na raia wanajificha kwenye mashelta iran itawapata wapi iwaue
Nan gaidi sasa? Ebu kuweni na aibu gaidi anajulikana . 😀 😀
 
Back
Top Bottom