Israel imezuia Google map kuonyesha kambi iliyochakazwa

Israel imezuia Google map kuonyesha kambi iliyochakazwa

Kazi nzuri toka kwa....

View attachment 3113888


Fattah-2, Kiboko ya Iron Dome
Hii hata Pakistan wameisifia sana baada ya majaribio yake kwao mwezi May
Screenshot_20241003_081745_Chrome~2.png
 
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
🚨🇮🇱🇮🇷 ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iran’s attack.

Reports indicate Iran DESTROYED half of Israel’s fleet of F35 jets.
Nimeona video. Makombora yalioanguka hayakutengeneza second explosions hii inamaana yalianguka katika mchanga na sio katika millitary target.
Israel hua hadungui kila kombora wakilifatilia kombora wakiona litaenda kuangukia katika eneo lisilo la kiraia au eneo la wazi huwa wanayaacha hayo makombora yaanguke. Mfumo unatumia gharama kubwa ku intercept. Ndo maana unaona makombora yaliachwa..
 
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
🚨🇮🇱🇮🇷 ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iran’s attack.

Reports indicate Iran DESTROYED half of Israel’s fleet of F35 jets.
Watapewa zingine na Mabasha zao.
 
Madhara ya vita huwa hayajajifichi,, ndege za F-35 huwezi kuzilipua kwa makombora kizembe, pia watu hawajui Iron Don inazuia makombora toka kwa hamasa na Lebanon shirt range. Lakini Israel bado ina mifumo bora ya kuzuia makombora ya masafa marefu Arorow 2&3 ambayo ni sawa na S 300 na s 400 ya Russia, pia ina David Sling .
 
Pole sana kwa kundi la wanamgambo wa Israel kwa kupigiwa kambi zao za kigaidi na Iran.
Wao wafiche tu sisi haituhusu ila wameshapata ujumbe kuwa Iran anauwezo wa kupiga sehemu yoyote ndani ya Israel
 
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
🚨🇮🇱🇮🇷 ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iran’s attack.

Reports indicate Iran DESTROYED half of Israel’s fleet of F35 jets.
Kazi nzuri, ''nguvu moya''
 
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
🚨🇮🇱🇮🇷 ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iran’s attack.

Reports indicate Iran DESTROYED half of Israel’s fleet of F35 jets.
Wayemeni wakishakula gomba lao wanabadili tu, mara wanatuma drones👇🏾


View: https://youtu.be/uHGNPtr4ZWA?si=N7EVcqTD9FKQ2rOD
 
Iron dome haikudizainiwa kuzuia makombora kama haya.

Hili kombora lina speed ambayo iron dome haiwezi hata kulidetect.

Iron dome ni kwa ajiri ya viroketi vya mkono tu.
Kazi nzuri toka kwa....

View attachment 3113888


Fattah-2, Kiboko ya Iron Dome
Inaonekana katika defense system yao mnachokijua ni Iron Dome pekee. Hizo F35 mnazosema zimeteketezwa ndiyo zinaenda kuwateketeza.

Mnadhani wao ni wajinga? Iran mwenyewe anasema ameshambulia zinazo park, kama google wanaweza wakawa na access na hizo base basi Iran wenyewe wangetoa picha ya hizo F-35 zikiwa zime park kuonyesha kuwa masaa kadhaa kabla ya kushambulia F-35 zilikuwepo hapo.
Ukikimbilia kutumia teknolojia kichwakichwa bila kuwa na uelewa utaishia kuwa mjinga. Awali, google map ilikuwa inaonyesha mitaa, lakini kambi za jeshi ilikuwa inazi blur. Baadaye ikawa inazionyesha ila kuna nchi ilizuia zisionyeshwe, hata Tanzania kuna maeneo yapo blurred.
Hiyohiyo google map inaweza ikakuonyesha mitaa na nyumba na watu lakini plates numbers huwa zinakuwa blurred.
Israel ni kati ya nchi ambazo maeneo ya kambi zao yapo blurred sasa wewe kwa kuwa umeliona hilo leo basi unakuja na story zenu za kawaida
 
Iron dome haikudizainiwa kuzuia makombora kama haya.

Hili kombora lina speed ambayo iron dome haiwezi hata kulidetect.

Iron dome ni kwa ajiri ya viroketi vya
Netanyahu arudishe tuone uanaume wake. Mngese yule anaua raia target za kulenga hana.
 
Inaonekana katika defense system yao mnachokijua ni Iron Dome pekee. Hizo F35 mnazosema zimeteketezwa ndiyo zinaenda kuwateketeza.

Mnadhani wao ni wajinga? Iran mwenyewe anasema ameshambulia zinazo park, kama google wanaweza wakawa na access na hizo base basi Iran wenyewe wangetoa picha ya hizo F-35 zikiwa zime park kuonyesha kuwa masaa kadhaa kabla ya kushambulia F-35 zilikuwepo hapo.
Ukikimbilia kutumia teknolojia kichwakichwa bila kuwa na uelewa utaishia kuwa mjinga. Awali, google map ilikuwa inaonyesha mitaa, lakini kambi za jeshi ilikuwa inazi blur. Baadaye ikawa inazionyesha ila kuna nchi ilizuia zisionyeshwe, hata Tanzania kuna maeneo yapo blurred.
Hiyohiyo google map inaweza ikakuonyesha mitaa na nyumba na watu lakini plates numbers huwa zinakuwa blurred.
Israel ni kati ya nchi ambazo maeneo ya kambi zao yapo blurred sasa wewe kwa kuwa umeliona hilo leo basi unakuja na story zenu za kawaida
Hawana ujanja bila ma-pdidy zao.
 
Inaonekana katika defense system yao mnachokijua ni Iron Dome pekee. Hizo F35 mnazosema zimeteketezwa ndiyo zinaenda kuwateketeza.

Mnadhani wao ni wajinga? Iran mwenyewe anasema ameshambulia zinazo park, kama google wanaweza wakawa na access na hizo base basi Iran wenyewe wangetoa picha ya hizo F-35 zikiwa zime park kuonyesha kuwa masaa kadhaa kabla ya kushambulia F-35 zilikuwepo hapo.
Ukikimbilia kutumia teknolojia kichwakichwa bila kuwa na uelewa utaishia kuwa mjinga. Awali, google map ilikuwa inaonyesha mitaa, lakini kambi za jeshi ilikuwa inazi blur. Baadaye ikawa inazionyesha ila kuna nchi ilizuia zisionyeshwe, hata Tanzania kuna maeneo yapo blurred.
Hiyohiyo google map inaweza ikakuonyesha mitaa na nyumba na watu lakini plates numbers huwa zinakuwa blurred.
Israel ni kati ya nchi ambazo maeneo ya kambi zao yapo blurred sasa wewe kwa kuwa umeliona hilo leo basi unakuja na story zenu za kawaida
Hagari wakati anatoa speech jana alikuwa anatetemeka , unajua ni kwanini ? hakuamini kilichotokea

Fattah-2 zime evade Iron Dome na kupiga, kwa maana Israel iko UCHI kwa Iran

IDF wana censor chochote kinachotoka nje ya Israel

Lugha pekee Netanyahu anayoielewa ni barrage of Fattahs
 
Back
Top Bottom