Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hii hata Pakistan wameisifia sana baada ya majaribio yake kwao mwezi May
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hata Pakistan wameisifia sana baada ya majaribio yake kwao mwezi May
mwanzo zilitoka picha(kuna uzi humu) , baada ya kusambaa waka blur eneo chapKama wamezuia wewe umejuaje kama hizo F35 zimepigwa
Nimeona video. Makombora yalioanguka hayakutengeneza second explosions hii inamaana yalianguka katika mchanga na sio katika millitary target.🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
🚨🇮🇱🇮🇷 ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iran’s attack.
Reports indicate Iran DESTROYED half of Israel’s fleet of F35 jets.
Watapewa zingine na Mabasha zao.🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
🚨🇮🇱🇮🇷 ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iran’s attack.
Reports indicate Iran DESTROYED half of Israel’s fleet of F35 jets.
🤣🤣🤣🤣 Yanatafuta damuYakikaribia target yanakua meekuunduu, halafu yanaongeza kasi
🤣🤣🤣Labda wazifiche kwenye mapangoWatapewa zingine na Mabasha zao.
Kazi nzuri, ''nguvu moya''🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
🚨🇮🇱🇮🇷 ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iran’s attack.
Reports indicate Iran DESTROYED half of Israel’s fleet of F35 jets.
Wayemeni wakishakula gomba lao wanabadili tu, mara wanatuma drones👇🏾🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
🚨🇮🇱🇮🇷 ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iran’s attack.
Reports indicate Iran DESTROYED half of Israel’s fleet of F35 jets.
Iron dome haikudizainiwa kuzuia makombora kama haya.
Hili kombora lina speed ambayo iron dome haiwezi hata kulidetect.
Iron dome ni kwa ajiri ya viroketi vya mkono tu.
Inaonekana katika defense system yao mnachokijua ni Iron Dome pekee. Hizo F35 mnazosema zimeteketezwa ndiyo zinaenda kuwateketeza.
Netanyahu arudishe tuone uanaume wake. Mngese yule anaua raia target za kulenga hana.Iron dome haikudizainiwa kuzuia makombora kama haya.
Hili kombora lina speed ambayo iron dome haiwezi hata kulidetect.
Iron dome ni kwa ajiri ya viroketi vya
Hawana ujanja bila ma-pdidy zao.Inaonekana katika defense system yao mnachokijua ni Iron Dome pekee. Hizo F35 mnazosema zimeteketezwa ndiyo zinaenda kuwateketeza.
Mnadhani wao ni wajinga? Iran mwenyewe anasema ameshambulia zinazo park, kama google wanaweza wakawa na access na hizo base basi Iran wenyewe wangetoa picha ya hizo F-35 zikiwa zime park kuonyesha kuwa masaa kadhaa kabla ya kushambulia F-35 zilikuwepo hapo.
Ukikimbilia kutumia teknolojia kichwakichwa bila kuwa na uelewa utaishia kuwa mjinga. Awali, google map ilikuwa inaonyesha mitaa, lakini kambi za jeshi ilikuwa inazi blur. Baadaye ikawa inazionyesha ila kuna nchi ilizuia zisionyeshwe, hata Tanzania kuna maeneo yapo blurred.
Hiyohiyo google map inaweza ikakuonyesha mitaa na nyumba na watu lakini plates numbers huwa zinakuwa blurred.
Israel ni kati ya nchi ambazo maeneo ya kambi zao yapo blurred sasa wewe kwa kuwa umeliona hilo leo basi unakuja na story zenu za kawaida
Hagari wakati anatoa speech jana alikuwa anatetemeka , unajua ni kwanini ? hakuamini kilichotokeaInaonekana katika defense system yao mnachokijua ni Iron Dome pekee. Hizo F35 mnazosema zimeteketezwa ndiyo zinaenda kuwateketeza.
Mnadhani wao ni wajinga? Iran mwenyewe anasema ameshambulia zinazo park, kama google wanaweza wakawa na access na hizo base basi Iran wenyewe wangetoa picha ya hizo F-35 zikiwa zime park kuonyesha kuwa masaa kadhaa kabla ya kushambulia F-35 zilikuwepo hapo.
Ukikimbilia kutumia teknolojia kichwakichwa bila kuwa na uelewa utaishia kuwa mjinga. Awali, google map ilikuwa inaonyesha mitaa, lakini kambi za jeshi ilikuwa inazi blur. Baadaye ikawa inazionyesha ila kuna nchi ilizuia zisionyeshwe, hata Tanzania kuna maeneo yapo blurred.
Hiyohiyo google map inaweza ikakuonyesha mitaa na nyumba na watu lakini plates numbers huwa zinakuwa blurred.
Israel ni kati ya nchi ambazo maeneo ya kambi zao yapo blurred sasa wewe kwa kuwa umeliona hilo leo basi unakuja na story zenu za kawaida