Israel imezuia Google map kuonyesha kambi iliyochakazwa

Israel imezuia Google map kuonyesha kambi iliyochakazwa

Sababu hawahusiki na vita ..piga kambi za jeshi uwa wanajeshi ... Only a coward would retailiate kwa kuua wanawake na watoto ..
Baadae mnakuja na mada wanawake na watoto
 
Kama kawaida magaidi kwenda kujificha Kwa kina mama na watoto safari hii mkijificha mjue mmewapoza tunalipua tu hapo hapo magaidi mfe na kinamama god bless taifa teule Israel
Mnalipua au sio!?
😂😂😂
Unaweza kuta una bendera ya Israel umeitundika chumbani kwako hapo.
 
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
🚨🇮🇱🇮🇷 ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iran’s attack.

Reports indicate Iran DESTROYED half of Israel’s fleet of F35 jets.
Akuna nchi yeyote ile ukiangalia Google map- kama utaona sehem ya jesh. Iran kweli alilenga vituo vya kijeshi vya Israel lakini vyote avisomi Google Map! Ikumbukwe kuwa Mwanzilishi wa Google map ni Irsael- ambae ndo pia mwanzilishi wa Mizinga inayofuata Google Coordnate aiingii akilini Israel kuwa muhanga wa kupigwa kwa silaha zinazofuata Google map Coordnate. Israel ana aina 3 za system za kutungua mizinga ya adui juu kwa juu ikiwemo Iron dome. Kumbuka kuwa iron dome na hizi system zingine zina detect na kutuma mzinga wa kulipua mizinga ya adui in seconds- (labda waishiwe ya kuload kwenye hizi systems) so waliweza kuitungua karibia yote na pia hizi system zinatumia Al so kama mzinga wa Iran unaenda tua sehemu ambayo aina Jengo aijisumbui kuidondosha, Yenyewe inadondosha mizingi ambayo itadondoka penye makazi au sehem nyeti. Kuna mzinga mmoja ulidondoka kama nusu KM na ofisi za Mossad- hii sio bahati mbaya(wrong coordinates reading by Iran Missile Computer guided system🤣)
 

Attachments

  • IMG_9052.jpeg
    IMG_9052.jpeg
    68.6 KB · Views: 2
  • IMG_9053.jpeg
    IMG_9053.jpeg
    437.6 KB · Views: 2
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Kambi ya jeshi ya Israel ilikuwa na ndege za F 35 ilichakazwa na makombora tiifu ya Iran kuangamiza ndege hizo. Kwa aibu kubwa IDF wameamua kuziba kabisa eneo la kambi hiyo kupitia picha za satellite ili kuficha magofu.
🚨🇮🇱🇮🇷 ISRAEL has CENSORED satellite images of their military bases to hide the damage caused by Iran’s attack.

Reports indicate Iran DESTROYED half of Israel’s fleet of F35 jets.
Israel mbali na Iron Dome ana zingine 2 ambazo zina uwezo wa kuzuia mabomu ata toka 3000 KM
 

Attachments

  • IMG_9064.jpeg
    IMG_9064.jpeg
    440.9 KB · Views: 2
Nimeona video. Makombora yalioanguka hayakutengeneza second explosions hii inamaana yalianguka katika mchanga na sio katika millitary target.
Israel hua hadungui kila kombora wakilifatilia kombora wakiona litaenda kuangukia katika eneo lisilo la kiraia au eneo la wazi huwa wanayaacha hayo makombora yaanguke. Mfumo unatumia gharama kubwa ku intercept. Ndo maana unaona makombora yaliachwa..
Hii kitu si wayahudi/wakristo wa mbandalile wala waislamu/waarabu wa mwanambaya wanajua.

Ule mfumo ni wa gharama kubwa, kama target ya kombora si kwa raia, kombora linaachwa likalipuke tuu, na kitaalamu kunakuwa hakuna mlipuko wa pili.

Ngoja waje waajemi wa shehe mla mchuzi wa hotchair usikie hapa.
 
90% ya makombora yame hit target, Netanyahu hawezi akakwambia hii habari
🤣🤣🤣 Sio kiraisi hivyo🤣🤣🤣 Picha za ndege zilizounguwa zipo wapi??
 

Attachments

  • IMG_9056.png
    IMG_9056.png
    52.3 KB · Views: 2
  • IMG_9050.jpeg
    IMG_9050.jpeg
    392.3 KB · Views: 2
  • IMG_9038.jpeg
    IMG_9038.jpeg
    48.2 KB · Views: 3
  • IMG_9034.jpeg
    IMG_9034.jpeg
    81.6 KB · Views: 1
  • IMG_9029.jpeg
    IMG_9029.jpeg
    127.9 KB · Views: 1
  • IMG_8956.jpeg
    IMG_8956.jpeg
    101.4 KB · Views: 1
  • IMG_8922.jpeg
    IMG_8922.jpeg
    34.6 KB · Views: 1
  • IMG_8876.jpeg
    IMG_8876.jpeg
    118 KB · Views: 1
  • IMG_8875.jpeg
    IMG_8875.jpeg
    194.5 KB · Views: 2
Hii kitu si wayahudi/wakristo wa mbandalile wala waislamu/waarabu wa mwanambaya wanajua.

Ule mfumo ni wa gharama kubwa, kama target ya kombora si kwa raia, kombora linaachwa likalipuke tuu, na kitaalamu kunakuwa hakuna mlipuko wa pili.

Ngoja waje waajemi wa shehe mla mchuzi wa hotchair usikie hapa.
Hii aina ushabiki- kama Kombora linapoenda angukia akuna madhara! System ya Iron dome/ au hizi zingine mbili azijishughulishi nalo inalipotezea likajiangukie huko mabwe pande kwenye miti, au mchangani
 

Attachments

  • IMG_9057.png
    IMG_9057.png
    43.1 KB · Views: 2
  • IMG_9058.png
    IMG_9058.png
    60.6 KB · Views: 2
  • IMG_9059.png
    IMG_9059.png
    42.9 KB · Views: 2
Madhara ya vita huwa hayajajifichi,, ndege za F-35 huwezi kuzilipua kwa makombora kizembe, pia watu hawajui Iron Don inazuia makombora toka kwa hamasa na Lebanon shirt range. Lakini Israel bado ina mifumo bora ya kuzuia makombora ya masafa marefu Arorow 2&3 ambayo ni sawa na S 300 na s 400 ya Russia, pia ina David Sling .
Je hua zinalipuliwa na nn ili zilipuke ndege za f 35?
 
🤣🤣🤣 Sio kiraisi hivyo🤣🤣🤣 Picha za ndege zilizounguwa zipo wapi??
Komando wa Israel wanauwawa kama kuku huko boda Lebanon
 

Attachments

  • _uD83D_uDEA8_uD83C_uDDEE_uD83C_uDDF1_Israel’s_invasion_is_not_going_well._Maybe_they_should_st...mp4
    4.4 MB
  • IMG_20241003_155026.jpg
    IMG_20241003_155026.jpg
    113.7 KB · Views: 2
Back
Top Bottom