Lesedi2020
JF-Expert Member
- Feb 2, 2023
- 200
- 1,123
Kwamara ya kwanza Israel imetumia droni na mizinga ya meli kushambulia kutoka bahariniKama wamezuia wewe umejuaje kama hizo F35 zimepigwa
Ndio. Hawatakiwi kuguswa na hawahusiki na vita.Baadae mnakuja na mada wanawake na watoto
Ila wewe hizo habari unazo!90% ya makombora yame hit target, Netanyahu hawezi akakwambia hii habari
Tunaishi katika information era, kama huwezi kujitafutia taarifa sahihi unasubiri kupewa taarifa za uongo basi wewe ni uselessIla wewe hizo habari unazo!
Hapo sasa. Hawa majini si ndugu zao.Wewe umejuaje kama F-35 zimeharibiwa ?
Israel imekua wanamgambo π€£π€£ kobaz boys banaPole sana kwa kundi la wanamgambo wa Israel kwa kupigiwa kambi zao za kigaidi na Iran.
Wao wafiche tu sisi haituhusu ila wameshapata ujumbe kuwa Iran anauwezo wa kupiga sehemu yoyote ndani ya Israel
Oh kumbe. Mimi umadhani hata majes naksi hayo mambo? Nachangia tu ili usingizi unipiie.Hagari wakati anatoa speech jana alikuwa anatetemeka , unajua ni kwanini ? hakuamini kilichotokea
Fattah-2 zime evade Iron Dome na kupiga, kwa maana Israel iko UCHI kwa Iran
IDF wana censor chochote kinachotoka nje ya Israel
Lugha pekee Netanyahu anayoielewa ni barrage of Fattahs
Mnalipua we ukiwa namtumbo. Huwa mnakuwa na zoom meetings au mnawasiliana kwa Teams kupanga mikakati ya vitaKama kawaida magaidi kwenda kujificha Kwa kina mama na watoto safari hii mkijificha mjue mmewapoza tunalipua tu hapo hapo magaidi mfe na kinamama god bless taifa teule Israel
Fanya Yako bintiMnalipua we ukiwa namtumbo. Huwa mnakuwa na zoom meetings au mnawasiliana kwa Teams kupanga mikakati ya vita
Kweli kuna waTanzania mmelogwa asee. Ndio mahaba yamepamba kiasi hiki?
Gaza kuna Kambi za jeshi?!Piga kambi za jeshi kama mwenzio usiue watoto , ewe mgalatia sheria za vita watoto na wanawake hawahusiki ...
Netanyahu kinachomsumbua ni history kuwa hajawahi kushindwa vita ..sijui huko amefuata niniTeknolojia yote mnayosema ...Mnaendaje bila a kutumia akili!?
View: https://x.com/trtafrikaSW/status/1841770216474202464
Magaidi wenu wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ila upande wa israel wanawatumia iron dome na raia wanajificha kwenye mashelta iran itawapata wapi iwauePiga kambi za jeshi kama mwenzio usiue watoto , ewe mgalatia sheria za vita watoto na wanawake hawahusiki ...
F35 ishirini ni hasara kubwa mnoZaidi ya F-35 zipatazo 20 zimeteketezwa hapo
Siku hiyo hiyo David na arrow zilizimwa ? Maana hazikufanya kazi but nijuacho mm hakuna mfumo unaweza kuzuia ballistic missile zikiwa nyingi, coz zinasababisha jammingMadhara ya vita huwa hayajajifichi,, ndege za F-35 huwezi kuzilipua kwa makombora kizembe, pia watu hawajui Iron Don inazuia makombora toka kwa hamasa na Lebanon shirt range. Lakini Israel bado ina mifumo bora ya kuzuia makombora ya masafa marefu Arorow 2&3 ambayo ni sawa na S 300 na s 400 ya Russia, pia ina David Sling .
Nan gaidi sasa? Ebu kuweni na aibu gaidi anajulikana . π πMagaidi wenu wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ila upande wa israel wanawatumia iron dome na raia wanajificha kwenye mashelta iran itawapata wapi iwaue