Israel ina kiherehere sana mpaka inatia aibu

Israel ina kiherehere sana mpaka inatia aibu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mnamo taehe 29 Agosti ndege ya abiria ya Sychelles ikiwa na abiria 128 ilipata matatizo ya kiufundi ikiwa angani eneo la Saudi Arabi. Ndani ya ndege hiyo kulikuwa na abiria watalii wa kiyahudi wakiwemo maofisa wa serikali waliokuwa likizo.

Ndege ilipofika uwanjani abiria wote wakapatiwa huduma muhimu za ukarimu mkubwa na mamlaka ya uwanja wa ndege.

Hilo tu likamfanya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akiwa anaangalia ramani ya eneo la mashariki ya kati aseme:“I greatly appreciate the warm attitude of the Saudi authorities to the Israeli passengers whose flight was in distress,”

Siku mbili nyuma yake waziri wa mambo ya nje wa Israel Eli Cohen alimnyemelea waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Libya Najla al-Mangoush walipokuwa pamoja kwenye hoteli nchini Italia na kuanza kuzungumza naye mambo ya urafiki wa nchi yake na nchi hiyo ya kaskazini ya Afrika.

Kibaya zaidi Eli Cohen alichukua selfie na Najla na kuirusha kwenye mitandao. Picha hiyo ilisababisha vurugu kubwa Libya kutoka kwa wananchi walioandamana kupinga mahusiano na Israel.

Dada Najla ikabidi asimamishwe kazi kwa muda na kuitwa kujieleza.Maskini dada Najla anasema wala hakukusudia kufanya mazungumzo na waziri huyo.Yeye ndiye aliyelazimisha mazungumzo hayo na kumtangaza vibaya.

Pamoja na hivyo Naija Mangoush akasema hakuwahi kukubaliana na Eli chochote na hawezi kufanya hivyo kinyume na sera ya Libya kutokuwa na uhusiano na Israel mpaka suala la wapalestina litakapopatiwa ufumbuzi.
 
Mnamo taehe 29 Agosti ndege ya abiria ya Sychelles ikiwa na abiria 128 ilipata matatizo ya kiufundi ikiwa angani eneo la Saudi Arabi. Ndani ya ndege hiyo kulikuwa na abiria watalii wa kiyahudi wakiwemo maofisa wa serikali waliokuwa likizo.

Ndege ilipofika uwanjani abiria wote wakapatiwa huduma muhimu za ukarimu mkubwa na mamlaka ya uwanja wa ndege.

Hilo tu likamfanya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akiwa anaangalia ramani ya eneo la mashariki ya kati aseme:“I greatly appreciate the warm attitude of the Saudi authorities to the Israeli passengers whose flight was in distress,”

Siku mbili nyuma yake waziri wa mambo ya nje wa Israel Eli Cohen alimnyemelea waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Libya Najla al-Mangoush walipokuwa pamoja kwenye hoteli nchini Italia na kuanza kuzungumza naye mambo ya urafiki wa nchi yake na nchi hiyo ya kaskazini ya Afrika.

Kibaya zaidi Eli Cohen alichukua selfie na Najla na kuirusha kwenye mitandao. Picha hiyo ilisababisha vurugu kubwa Libya kutoka kwa wananchi walioandamana kupinga mahusiano na Israel.

Dada Najla ikabidi asimamishwe kazi kwa muda na kuitwa kujieleza.Maskini dada Najla anasema wala hakukusudia kufanya mazungumzo na waziri huyo.Yeye ndiye aliyelazimisha mazungumzo hayo na kumtangaza vibaya.

Pamoja na hivyo Naija Mangoush akasema hakuwahi kukubaliana na Eli chochote na hawezi kufanya hivyo kinyume na sera ya Libya kutokuwa na uhusiano na Israel mpaka suala la wapalestina litakapopatiwa ufumbuzi.

Jamaa wana kiherehere kinoma! https://nocamels.com/2014/07/sci-fi-the-top-ten-israeli-inventions-that-allow-the-blind-to-see/
 
Bado sijaelewa hicho kiherehere, kwa wenzetu wazuri wa Mambo ya nje ni nafasi nyeti Sana sio Kama kwetu inatolewa kienyejienyeji
 
Kuna kitu unataka kusema,sema tu mimi sijaelewa.
Nahisi alitaka kusema kuwa aliowategemea wametumbukia kwenye shimo reeeefu,Kwa Sasa akae Kwa kutulia.
20230411_222939.jpg
 
Mnamo taehe 29 Agosti ndege ya abiria ya Sychelles ikiwa na abiria 128 ilipata matatizo ya kiufundi ikiwa angani eneo la Saudi Arabi. Ndani ya ndege hiyo kulikuwa na abiria watalii wa kiyahudi wakiwemo maofisa wa serikali waliokuwa likizo.

Ndege ilipofika uwanjani abiria wote wakapatiwa huduma muhimu za ukarimu mkubwa na mamlaka ya uwanja wa ndege.

Hilo tu likamfanya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akiwa anaangalia ramani ya eneo la mashariki ya kati aseme:“I greatly appreciate the warm attitude of the Saudi authorities to the Israeli passengers whose flight was in distress,”

Siku mbili nyuma yake waziri wa mambo ya nje wa Israel Eli Cohen alimnyemelea waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Libya Najla al-Mangoush walipokuwa pamoja kwenye hoteli nchini Italia na kuanza kuzungumza naye mambo ya urafiki wa nchi yake na nchi hiyo ya kaskazini ya Afrika.

Kibaya zaidi Eli Cohen alichukua selfie na Najla na kuirusha kwenye mitandao. Picha hiyo ilisababisha vurugu kubwa Libya kutoka kwa wananchi walioandamana kupinga mahusiano na Israel.

Dada Najla ikabidi asimamishwe kazi kwa muda na kuitwa kujieleza.Maskini dada Najla anasema wala hakukusudia kufanya mazungumzo na waziri huyo.Yeye ndiye aliyelazimisha mazungumzo hayo na kumtangaza vibaya.

Pamoja na hivyo Naija Mangoush akasema hakuwahi kukubaliana na Eli chochote na hawezi kufanya hivyo kinyume na sera ya Libya kutokuwa na uhusiano na Israel mpaka suala la wapalestina litakapopatiwa ufumbuzi.

Naona wewe Mwarabu wa Dumila ndio mwenye kisebusebu kabisa
 
Sioni Kama ni tatizo Ila ni kuonyesha dunia Israel na Saudi Arabia hawana uhasimu Kama watu wengi wanavyofikiria
Huoni huko kwamba ni kudhalilika mbele ya Saudia na waarabu kwa jumla.Kwanini wafurahie kugusa tu nchi hiyo na wasitake kwenda moja kwa moja kwa kutekeleza matakwa ya Saudia kuhusu Palestina,
Wanapenda wapokee tu na hawataki kutoa haki za watu.
 
Mnamo taehe 29 Agosti ndege ya abiria ya Sychelles ikiwa na abiria 128 ilipata matatizo ya kiufundi ikiwa angani eneo la Saudi Arabi. Ndani ya ndege hiyo kulikuwa na abiria watalii wa kiyahudi wakiwemo maofisa wa serikali waliokuwa likizo.

Ndege ilipofika uwanjani abiria wote wakapatiwa huduma muhimu za ukarimu mkubwa na mamlaka ya uwanja wa ndege.

Hilo tu likamfanya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akiwa anaangalia ramani ya eneo la mashariki ya kati aseme:“I greatly appreciate the warm attitude of the Saudi authorities to the Israeli passengers whose flight was in distress,”

Siku mbili nyuma yake waziri wa mambo ya nje wa Israel Eli Cohen alimnyemelea waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Libya Najla al-Mangoush walipokuwa pamoja kwenye hoteli nchini Italia na kuanza kuzungumza naye mambo ya urafiki wa nchi yake na nchi hiyo ya kaskazini ya Afrika.

Kibaya zaidi Eli Cohen alichukua selfie na Najla na kuirusha kwenye mitandao. Picha hiyo ilisababisha vurugu kubwa Libya kutoka kwa wananchi walioandamana kupinga mahusiano na Israel.

Dada Najla ikabidi asimamishwe kazi kwa muda na kuitwa kujieleza.Maskini dada Najla anasema wala hakukusudia kufanya mazungumzo na waziri huyo.Yeye ndiye aliyelazimisha mazungumzo hayo na kumtangaza vibaya.

Pamoja na hivyo Naija Mangoush akasema hakuwahi kukubaliana na Eli chochote na hawezi kufanya hivyo kinyume na sera ya Libya kutokuwa na uhusiano na Israel mpaka suala la wapalestina litakapopatiwa ufumbuzi.

Kiherehere kipo wapi hapo ?
 
Ishmael (Saudia) na Isaka (Israel) ni ndugu, Ila kiherehere kipo kwa wabantu
 
Huoni huko kwamba ni kudhalilika mbele ya Saudia na waarabu kwa jumla.Kwanini wafurahie kugusa tu nchi hiyo na wasitake kwenda moja kwa moja kwa kutekeleza matakwa ya Saudia kuhusu Palestina,
Wanapenda wapokee tu na hawataki kutoa haki za watu.
wewe anza kwanza kulichukia taifa la Libya. mwaka 1972 Qadafi alitangaza public holiday ya siku mbili na kuomba waarabu wote wajipange barabarani kugusa majeneza ya wapalestina ambao waliwauwa wanamichezo 12 wa wa israel katika munich Olyimpic.chuki waliyonayo waarabu kwa waisrael ni kinyume kabisaa na ubinadamu. Ni chuki mbaya sana.sasa chuki hii walitaka kuisambaza kwa wafrica weusi africa nzima kupitia utawala wa chama kimoja ulikuwa fashio ya kiutawala barani africa kabla ya rise and fall of communisim. Israel na Saudi arabia wako katika ya mazungumzo mazuri ya kufanikia ujirani mwema na kupeana ubalozi. Saudi arabia akirudisha tuu uhusiano wa kibalozi na israel basi middle east yote itabadilika na kubadili sura nzima ya uchumi wa dunia. hapata kuwa tena na chuki za kidini duniani, wala mipaka ya kuitenga Israel midle east. Huyuhuyo Qadafi aliwahi kutangaza public holiday walibya wote wakae mitaani kushangilia kifo cha Sadat.
 
Back
Top Bottom