Israel ina kiherehere sana mpaka inatia aibu

Yaani hapo kila kitu unachoona ni amani ni kwa kukubaiiwa Israel ifungue ubalozi na kuwa na uhusiano mzuri na waarabu.Hujiulizi kwanini anatumia ujanja na dharau badala ya kutekeleza matakwa ya hao majirani zake.Nani atakuwa tayari kurudisha uhusiano nayo wakati kila siku wanazidi kuwanyang'anya wapalestina maeneo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…