Israel ina nini tusichokuwa nacho hata watuzidi katika kilimo?

Israel ina nini tusichokuwa nacho hata watuzidi katika kilimo?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?
 
Wametuzidi teknolojia

Kongo ina madini yote Japan haina lakini wana teknolojia za kugeuza hayo madini yawe simu,magari nk

Waafrika tunasshindwa kwa kukosa teknolojia

Israel wako juu hata kwenye jangwa wanaxalisha mazao mengi hasa
 
Kilimo sio ardhi yenye rutuba pekee bali:
1. Utashi
2. Ujuzi na maarifa
3. Mtaji nk
Sisi huku ni wapiga kelele duniani kama ndege wala nafaka.

Tunajaza kinyesi duniani bure kabisa.
Siasa za maji taka zisizo na tija kabisa.

Bora Magufuli angebaki atunyanyase tuwe na akili upya
 
A
Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?
Akili mtu wangu..
1679803786197.jpg
 
Bado hujajua imagne una sisiemu kwenye nchi yako bado haitoshi unakitu kinaitwa machawa,,,,,,fikiria leo hii kuna watu wanampigia chapuo makonda eti aje kuwa kiongozi mkubwa ktk ngazi flani,,,sio Israel tu saivi hata Rwanda wametuacha mbali watu wanaoipenda ccm niwapumbavu ukibisha kaa chini na mwanaccm msikilize anachokiongea unaweza kumchoma na kisu
 
Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?
Akili ndio wanatuzidi
 
Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?

Wana maubongo yanayofanya kazi na kufikiri kwa kiwango cha juu.
 
Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?
Israel ni jambo la 51 la Marekani
 
Akili..
Hawawazi ngono sana kama sisi, sasa hivi vyuoni ni connection ya giggy tu..saa ngap watafanya research
 
Back
Top Bottom