Israel ina nini tusichokuwa nacho hata watuzidi katika kilimo?

Israel ina nini tusichokuwa nacho hata watuzidi katika kilimo?

Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?
Inatosha sana tukisema kwamba hatuna akili basi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sisi tunavyo vingi kuwazidi ila kinacho sababisha wao kutuzini ni kimojawapo ambacho sisi tunacho ila wao hawana...nacho ni CCM
Ccm siyo ya kulaumu ccm ni miongoni mwetu tu ni kwamba hatuna akili tu hakuna zaidi
Kama ccm ni shida sisi wenye akili tusio ccm tungeiondoa pale
Mfano umeona mishipa ya roho inavyowatoka wana simba huko walipo kwa sasa
Umejiuliza kwanini hawapo hivyo katika mambo ya msingi
Ni akili tu hakuna siyo zaidi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ccm siyo ya kulaumu ccm ni miongoni mwetu tu ni kwamba hatuna akili tu hakuna zaidi
Kama ccm ni shida sisi wenye akili tusio ccm tungeiondoa pale
Mfano umeona mishipa ya roho inavyowatoka wana simba huko walipo kwa sasa
Umejiuliza kwanini hawapo hivyo katika mambo ya msingi
Ni akili tu hakuna siyo zaidi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Katiba mbovu iliyopitishwa na nyerere itaitesa sana hii nchi kwa kipindi kirefu sana
 
Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?
Wao Israel wana akili na wanazitumia ipasavyo.

Sisi akili hatuna au tunazo kidogo sana na hasa viongozi wetu. Na hata hizo kidogo tulizonazo tunakatazwa kuzitumia.
 
Bora Magufuli angebaki atunyanyase tuwe na akili upya
20231112_185139.jpg
 
Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?

Inawazidi kwa sababu nyinyi hamtaki kulima!
 
Akili ndiyo wanachotuzidi,hata mimi ninafahamu kabisa wamenizidi akili but sielewi nijinasue vipi!nadhani mazingira ya Afrika hayasupport watu wenye akili kuishi!
Hii komenti yako imenifikirisha sana.

Robert Mugabe aliwahi kusema kwamba

"Once you are born in Africa life is automatically leading you 1-0 "

Yani kuzaliwa Africa tu, Tayari ni kikwazo namba moja cha mafanikio ya mtoto.

Mifumo mibovu inaua ndoto na vipaji vya vijana wengi.
 
Vipi kuhusu makaburu wa South Africa
Ubunifu ni inborn characters,Makaburu huwezi kuwafananisha na Wazulu au xhosa kwa suala la creativity hata wakiishi sehemu moja kwa muda mrefu!nahisi Mungu kamuumba mtu mweusi kwa tofauti kabisa na race zingine!

Walio maskini barani Afrika siyo watu wenye asili ya Asia au Ulaya bali ni watu weusi (indigenous),wanaolitia bara hili umasikini ni watu weusi kwa kukosa akili.
 
Back
Top Bottom