Israel ina nini tusichokuwa nacho hata watuzidi katika kilimo?

Israel ina nini tusichokuwa nacho hata watuzidi katika kilimo?

Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?
Nyinyi mnajua kulima sasa mkuu??
 
Sisi tunavyo vingi kuwazidi ila kinacho sababisha wao kutuzini ni kimojawapo ambacho sisi tunacho ila wao hawana...nacho ni CCM
Sasa kama una akili ungeikumbatia hiyo CCM unayoulalamikia? Kule Israel kuna chadema?
Ambacho huna ni akili ndo maana ukawa na CCM.
 
Ubunifu ni inborn characters,Makaburu huwezi kuwafananisha na Wazulu au xhosa kwa suala la creativity hata wakiishi sehemu moja kwa muda mrefu!nahisi Mungu kamuumba mtu mweusi kwa tofauti kabisa na race zingine!

Walio maskini barani Afrika siyo watu wenye asili ya Asia au Ulaya bali ni watu weusi (indigenous),wanaolitia bara hili umasikini ni watu weusi kwa kukosa akili.
Mimi siamini kuwa ni suala la kijenetic, bali ya kitabia.

Kwamba, wakati Wazungu wakiwafundisha watoto wao kuwa na ubunifu wenye tija tokea wakiwa wadogo, Waafrika wengi wanafanya kinyume chake.
 
Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?
Nidhamu aka discipline
 
Kuna dudu moja baya sana linaitwa ccm hiki chama ni cha mambuzi
 
Ccm siyo ya kulaumu ccm ni miongoni mwetu tu ni kwamba hatuna akili tu hakuna zaidi
Kama ccm ni shida sisi wenye akili tusio ccm tungeiondoa pale
Mfano umeona mishipa ya roho inavyowatoka wana simba huko walipo kwa sasa
Umejiuliza kwanini hawapo hivyo katika mambo ya msingi
Ni akili tu hakuna siyo zaidi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ccm ni chujio la wenye akili na hekima nna wazalendo ...hao wanatupwa nje ya ccm ni vigumu ndani ya ccm kukuta mtu mwenye hayo mambo maana ndani ya ccm wapumbavu ndiyo wanatakiwa hivyo ukiwa na akili ni lazima ujifanye mpumbavu kama wao ili uishi kwa amani na furaha na kupewa sifa njema ndani ya chama ....MAADUI wa ccm ni HAKI , AKILI ,UZALENDO ,HEKIMA . Sasa chama cha namna hiyo unasemaje hakina hatia .....ndiyo maana magufuli alisema ....walidhsni nitakuwa part of them....maana yake alimaanisha walidhani atakuwa adui wa hayo niliyo sema hapo.
 
Ccm siyo ya kulaumu ccm ni miongoni mwetu tu ni kwamba hatuna akili tu hakuna zaidi
Kama ccm ni shida sisi wenye akili tusio ccm tungeiondoa pale
Mfano umeona mishipa ya roho inavyowatoka wana simba huko walipo kwa sasa
Umejiuliza kwanini hawapo hivyo katika mambo ya msingi
Ni akili tu hakuna siyo zaidi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wenye akili siku zote ni wachache sana duniani ni chini ya asilimia 4 tu ya watu wote duniani hivyo taifa lisipokuwa na njia bora za kuwainua wenye akili kuwa viongozi wakajidanganya kutegemea democracy tu basi siku zote taifa litazama nchi kama marekani ukigundulika kuwa na akili hata kama aujaenda shule wanakuinua.
 
Tanzania mna eneo kubwa la ardhi lakini 80% ya raia akili zenu hamzitumii sawasawa au mnazitumia chini ya kiwango hali inayopelekea mshindwe kuzitumia resources mlizonazo profitably.
 
Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?
Ndiyo maana mwana wa mfalme aliyekuja majuzi kwa mgongo wa bandari ameonyeshwa fursa hapa kwetu kwa maana kama kwao hakuna ardhi basi waje huku kwa kisingizio cha uwekezaji, lakini ipo siku watacheza na akili yetu kwakuwa ni kama hatujitambui na wabunge wetu ni corrupt hivyo yatakuja ya Israel na Palestina
 
WaIsrael wametuzidi Uadilifu na Uzalendo kwa nchi yao.Hapa kwetu.kila anayepata nafasi anajiwazia YEYE siyo NCHI.
 
nimeona wengi wameandika akili lkn si kwel bali jibu ni kuwa na serikali iliyojaa wala rushwa na wabinafsi , pia udini , ukanda na uchama imekuwa kikwazo wapo viongoz walikuja na mipango mizuri tu ila kwasababu za kikanda wamepigwa vita ila vitaa hii ikiwaacha wala rushwa waendelee kutesa mtaani , JPM alipigwa vita sana ila hawa wazee wa billion 42 , daraja la 200M , kibanda cha 11M hakuna aliewapigia kelele , hatutoeza fikia huko kama tutakuwa na ufujaji wa ela kwa watu wachache
 
Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?

Angalia!

~ Nchi yetu ni kubwa mara kadhaa kuizidi. Tanzania ina kilomita za mraba 945,087 wakati Israel ina kilomita za mraba 22,145 tu.

~ Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi yetu inafaa kwa kilimo wakati kwa Israeli, nusu ya ardhi ni jangwa. Ni asilimia ishirini tu ya ardhi yote ya Israel ndiyo ifaayo kwa kilimo.

Ingawa asilimia 49.7 ya ardhi yetu inafaa kwa kilimo, inayotumika kwa kilimo ni chini ya asilimia 35.

~ Wakati Israel inazalisha zaidi ya asilimia 90 ya chakula chake, Tanzania ingali ikikabiliwa na upungufu wa chakula. Kuna miaka iliilazimu Serikali kutoa chakula cha msaada kwa baadhi ya raia wake kwa ajili ya kukabiliana na baa la njaa.

Kwa jinsi tulivyo na ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo, vyanzo vya uhakika vya maji kama maziwa, mito, n.k., ilistahili Tanzania iwe na uwezo wa kuihudumia alau Afrika Mashariki yote kwa chakula.

Hata Israel, ilipaswa kuja kujifunza masuala ya kilimo Tanzania, lakini imekuwa kinyume chake.

Miaka ya sabini, Israel ilianzisha skimu ya umwagiliaji nchini Tanzania, mradi ambao ulisitishwa baadaye baada ya baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere kuuvunja uhusiano na Israel.

Hata sasa, kuna Watanzania nchini Israel wanaojifunza shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kwa nini imekuwa hivyo?
wayahudi wana akili/maarifa. Kumbuka baa la njaa wakati limetokea Egypt na dunia nzima many years ago ni myahudi aitwaye Yusufu wa biblia ndiye aliyemsaidia Farao kumpa akili jinsi ya nini cha kufanya. na ndipo banking system ilianza hapa. Hapo ndipo pensions funds zilianza,.

Angalia top tech start ups ambazo zimechange mawasiliano ni uvumbuzi wa wayahudi kwa asilimia kubwa sana.
Nenda silicon valley wayahudi wamejazana, wao ndo watu very bright wanarun silliocn valley, wall streets, MIT, Stanford.

Kwenye biashara za dunia wayahudi wamejaa na wana mafanikio makubwa kuliko jamii nyingine yoyote ile.
 
Back
Top Bottom