"Tuliwakataa, tuliwatenga na kuwaengua kabisa watu weusi katika mchakato wa maendeleo ya nchi na ujenzi wake kwa sababu hawana akili nzuri, endapo kama tungewajumuisha, wangetuharibia mambo yetu mazuri yaliyopo Afrika ya Kusini leo hii."
Pieter W. Botha, Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi.