Israel inalazimisha dunia kuamini Hitler alikuwa sahihi kufanya alichofanya dhidi yao

Israel inalazimisha dunia kuamini Hitler alikuwa sahihi kufanya alichofanya dhidi yao

Unajua kitu ambacho wengi wao hawakitambui ni hiki!

Hatukatai alichofanya Hamas kuua raia wa Israel ni kitu kibaya.

Ila israel naye anachokifanya ni kibaya pia!

Unaposema magaidi wanajificha nyuma ya raia ina maana kwamba unafahamu wapi walipo! Kwa nini sasa usiwafuate?

Pengine mwengine atajibu usiwapangie namna ya wao kurudisha mapigo!

Lakini haiwezekani ukapiga makombora mazito eneo lenye raia takribani million 2 popote pale utakapojisikia kisa wanamgambo kama elfu 2000 au elfu 15+

Unazuia maji, umeme, chakula. Unazuia misaada ya kibinadamu kuwafikia. Hii ni kinyume cha ubinadamu.

Hayo ni mauaji ya kimbari!
 
Wengi ni wajinga,walio kosa exposure na wasiolewe wanazungumzia kitu Gani,unaweza vipi zungumza na MTU ambae anaeshangilia wapelestine wapigwe na WAISRAEL Kwa kuamini kuwa most of Palestinians ni Muslims,means MTU huyo hajui hata kuwa within Palestinian people kuna watu wa Iman zingine pia including wa Iman yake ya ukristo,Sasa huyo MTU SI ni chizi TUH?
Ndio nashangaa nambiwa kuwa watu kama mimi maoni yetu yanaongozwa na udini sijui udini gani upo katika huu uzi.

Na ni kitu kibaya mtu kunikisia mimi dini gani kutokana na maoni yangu ni jambo linalo stahajabisha sana
 
May be wanataka wapalestine wakae kimya mpaka wapukutike wote.

Kiwango cha watu kufikiri kina athiriwa na mengi sana

Wasichoelewa ni kuwa HAMAS siyo watu ambao wanajificha,ni watu ambao Wana uwakilishi hadi bungeni na wanatambulika na baadhi ya Mamlaka za kimataifa,hata negotions za kurelease jews hostages hivi karibuni Serikali ya Qatar ambayo Hamas pia wanaitambua NDIYO ilikua link katika mazungumzo baina ya Israel na hao HAMAS...
 
Ndio nashangaa nambiwa kuwa watu kama mimi maoni yetu yanaongozwa na udini sijui udini gani upo katika huu uzi.

Na ni kitu kibaya mtu kunikisia mimi dini gani kutokana na maoni yangu ni jambo linalo stahajabisha sana

Wao kwao Israel ni Taifa Teule la Mungu, never mess up with Israel atadeal naww mwanzo mwisho,kitu asichotambua ni kuwa hata huko Israel Iman yake yeye ukristo hawaitambui,ajabu yeye anawashangilia Kwa lipi.
 
Unajua kitu ambacho wengi wao hawakitambui ni hiki!

Hatukatai alichofanya Hamas kuua raia wa Israel ni kitu kibaya.

Ila israel naye anachokifanya ni kibaya pia!

Unaposema magaidi wanajificha nyuma ya raia ina maana kwamba unafahamu wapi walipo! Kwa nini sasa usiwafuate?

Pengine mwengine atajibu usiwapangie namna ya wao kurudisha mapigo!

Lakini haiwezekani ukapiga makombora mazito eneo lenye raia takribani million 2 popote pale utakapojisikia kisa wanamgambo kama elfu 2000 au elfu 15+

Unazuia maji, umeme, chakula. Unazuia misaada ya kibinadamu kuwafikia. Hii ni kinyume cha ubinadamu.

Hayo ni mauaji ya kimbari!
Hatari sana tena ubaya zaidi Israel ushenzi imeanza since day one walipotimba mguu pale sio leo wala jana ni kama matukio ya Hitler hayakuwafunza kitu au ni kisasi wameamua kulipa kwa wapalestine sijui ?

Ujue hii jamii ya hawa watu mimi siielewi kabisa sijui inajiandalia mazingira gani ya kuishi siku western empire itakapo collapse ?
 
Wasichoelewa ni kuwa HAMAS siyo watu ambao wanajificha,ni watu ambao Wana uwakilishi hadi bungeni na wanatambulika na baadhi ya Mamlaka za kimataifa,hata negotions za kurelease jews hostages hivi karibuni Serikali ya Qatar ambayo Hamas pia wanaitambua NDIYO ilikua link katika mazungumzo baina ya Israel na hao HAMAS...
Kusema HAMAS inajificha kwa raia ni propaganda chafu wao kama wanashida na HAMAS wawafuate walipo ila sio kutumia justification ya kipuuzi
 
Watanzania watakua wameuliwa na Israel, maana wale jamaa wanavyo wachukia watu wesi. Waisraili mtu mweusi wanakuona kama mavi, na ukiwa mkristo nadio kabisaa wanakuona ka mbwa jike.
Nani kawateka?
 
Baada ya wajapan kuwa na tabia ya kishenzi na kufanya majirani zake karibia wote kutowapenda kutokana na ushenzi aliokuwa anawafanyia ndio alipo jikoroga na kupanda mabega kwenda kuwaoneshea ushenzi wa marekani.

Tukio la kikatili alilofanya marekani juu yao limewafanya wajapan mpaka ule ushenzi walio nao kuwaondoka na kujenga utulivu kwao na kwa majirani zake walio mzunguka.

Hivyo hivyo kwa wajerumani baada ya kulazimishwa kutulizwa na wasoviet na wamarekani sasa wametulia tuli.

Israel kwa yale waliyo fanyiwa na Hitler walipaswa kuwa mfano tosha wa jamii ya watulivu, wanaojiheshimu na wanaojitambua ila imekuwa vise versa kwao.View attachment 2797089

Israel kwa nguvu kabisa inataka kuiaminisha dunia kuwa kile alichofanya Hitler kilikuwa sahihi juu yao hii sijui jamii ya watu gani isiyo taka kujifunza.
View attachment 2797091
Hitler hakuwa mjinga.Kuishi na hao fisi ni kazi sana.
 
Baada ya wajapan kuwa na tabia ya kishenzi na kufanya majirani zake karibia wote kutowapenda kutokana na ushenzi aliokuwa anawafanyia ndio alipo jikoroga na kupanda mabega kwenda kuwaoneshea ushenzi wa marekani.

Tukio la kikatili alilofanya marekani juu yao limewafanya wajapan mpaka ule ushenzi walio nao kuwaondoka na kujenga utulivu kwao na kwa majirani zake walio mzunguka.

Hivyo hivyo kwa wajerumani baada ya kulazimishwa kutulizwa na wasoviet na wamarekani sasa wametulia tuli.

Israel kwa yale waliyo fanyiwa na Hitler walipaswa kuwa mfano tosha wa jamii ya watulivu, wanaojiheshimu na wanaojitambua ila imekuwa vise versa kwao.View attachment 2797089

Israel kwa nguvu kabisa inataka kuiaminisha dunia kuwa kile alichofanya Hitler kilikuwa sahihi juu yao hii sijui jamii ya watu gani isiyo taka kujifunza.
View attachment 2797091
Kwa hiyo hata wakishambuliwa wenyewe watulie tu wasijilinde?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Wao kwao Israel ni Taifa Teule la Mungu, never mess up with Israel atadeal naww mwanzo mwisho,kitu asichotambua ni kuwa hata huko Israel Iman yake yeye ukristo hawaitambui,ajabu yeye anawashangilia Kwa lipi.
Yah may be kuna changamoto ya ufahamu wa mambo ndani ya jamii inapelekea changamoto kama hiyo
 
watu wengi wa mlango wako moyoni mwao huwa wanafurahia alichokifanya hitler, hata hapo unaamini hivyo. bahati mbaya sana ni kwasababu ya udini, wala sio humanity. kwenye humanity, hakuna justification ya mauaji whether yamefanywa na myahudi au hamas. wewe unaona yale ya wayahudi tu ndio mabaya yale ya hamas unaona poa tu. utasema una akili hapo au matope kabisa.
Hamas kushambulia raia wa kiisrael kakosea na tunakemia hili suala! Tutumie lugha nyepesi ili kuliweka sawa!

Baina ya Israel na Palestina ni matukio yanayojirudia sana! Kama kweli tunatafuta amani ya dunia inatubidi turudi kwenye root ya tatizo.

Ifike namna tuelewe, dunia yetu ina jamii tofauti yenye tamaduni tofauti na yenye imani tofauti.

Kwa jamii ya namna hii ikiwa kama tunahitaji kuishi kwa amani itakuwa si busara kuhalalisha kile ambacho unachokiamini wewe Imma iwe tamaduni yako, itikadi yako au chochote kile itoe muafaka juu ya tofauti zetu.

Inabidi itafutwe busara nyengine ambayo itakayokuwa win-win situation! Wote tukabali kupoteza wote tukubali kupata ili tuweze kuishi kwa amani.

Sasa Israel haiwezekani kuhalalisha yale unayoyafanya kwa kutumia ushahidi wa imani yako. Kuwa ardhi hii nimepatiwa na mungu. Its okay ila huyo Mungu ni wa imani yako. Hivyo aishie kwenye mipaka yako utaratibu huo usimpelekee mwenzako.

Laiti kama utaratibu huu ambao Israel anaoutumia kama justification ya anayoyafanya kila jamii ikiamua kuutumia kwenye hii dunia itakuwa ni uwanja wa fujo!

Muhimu kwa sababu yote kwa sasa ni mataifa mawili yapo kwenye ardhi moja kinachotakiwa hiyo nchi igawanywe yawe mataifa mawili huru yanayojitegemea.
 
Unajua kitu ambacho wengi wao hawakitambui ni hiki!

Hatukatai alichofanya Hamas kuua raia wa Israel ni kitu kibaya.

Ila israel naye anachokifanya ni kibaya pia!

Unaposema magaidi wanajificha nyuma ya raia ina maana kwamba unafahamu wapi walipo! Kwa nini sasa usiwafuate?

Pengine mwengine atajibu usiwapangie namna ya wao kurudisha mapigo!

Lakini haiwezekani ukapiga makombora mazito eneo lenye raia takribani million 2 popote pale utakapojisikia kisa wanamgambo kama elfu 2000 au elfu 15+

Unazuia maji, umeme, chakula. Unazuia misaada ya kibinadamu kuwafikia. Hii ni kinyume cha ubinadamu.

Hayo ni mauaji ya kimbari!
Kwani hamas walipoivamia Israel na kuwafanyia ambushi 260 kwenye sherehe ilikuwa sio mauaji ya kimbari?tatizo lenu mnamizuka ya kidini je Hamas walipofanya ambushi ya kurusha maroketi 5000 Israel sio mauaji ya kimbari embu acheni unafiki na double standard sijawahi kuona uzi wa mfia dini ukihukumu Hamas

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom