Israel inalazimisha dunia kuamini Hitler alikuwa sahihi kufanya alichofanya dhidi yao

Israel inalazimisha dunia kuamini Hitler alikuwa sahihi kufanya alichofanya dhidi yao

Hatari sana tena ubaya zaidi Israel ushenzi imeanza since day one walipotimba mguu pale sio leo wala jana ni kama matukio ya Hitler hayakuwafunza kitu au ni kisasi wameamua kulipa kwa wapalestine sijui ?

Ujue hii jamii ya hawa watu mimi siielewi kabisa sijui inajiandalia mazingira gani ya kuishi siku western empire itakapo collapse ?
Na ndiyo maana wenye hekima zao wanasema unapomfanyia ubaya mwenzako ujue hilo ni deni tena utakuja kulilipa kwa riba!

Hawafikirii ikiwa Amerika na nchi za magharibi zikipoteza nguvu walizonazo kwa sasa wao Israel wataishi vipi?!

Kwa sababu kwa asilimia kubwa wamejenga uadui mkubwa na majirani zao!

Binafsi nilitegemea kwa vile wayahudi ni jamii iliyopitia madhila mengi basi wao ndiyo wangelikuwa mfano kwenye hii dunia jinsi ya kusambaza amani na upendo.
 
Baada ya wajapan kuwa na tabia ya kishenzi na kufanya majirani zake karibia wote kutowapenda kutokana na ushenzi aliokuwa anawafanyia ndio alipo jikoroga na kupanda mabega kwenda kuwaoneshea ushenzi wa marekani.

Tukio la kikatili alilofanya marekani juu yao limewafanya wajapan mpaka ule ushenzi walio nao kuwaondoka na kujenga utulivu kwao na kwa majirani zake walio mzunguka.

Hivyo hivyo kwa wajerumani baada ya kulazimishwa kutulizwa na wasoviet na wamarekani sasa wametulia tuli.

Israel kwa yale waliyo fanyiwa na Hitler walipaswa kuwa mfano tosha wa jamii ya watulivu, wanaojiheshimu na wanaojitambua ila imekuwa vise versa kwao.View attachment 2797089

Israel kwa nguvu kabisa inataka kuiaminisha dunia kuwa kile alichofanya Hitler kilikuwa sahihi juu yao hii sijui jamii ya watu gani isiyo taka kujifunza.
View attachment 2797091
KUna watu wanatumia masaburi kufikiri.
Huoni ushenzi wanaofanyiwa Israel?

Ulitaka waombe radhi na sio kisasi?

Ningekuwa mimi ningeiunguza Gaza yote
 
Na ndiyo maana wenye hekima zao wanasema unapomfanyia ubaya mwenzako ujue hilo ni deni tena utakuja kulilipa kwa riba!

Hawafikirii ikiwa Amerika na nchi za magharibi zikipoteza nguvu walizonazo kwa sasa wao Israel wataishi vipi?!

Kwa sababu kwa asilimia kubwa wamejenga uadui mkubwa na majirani zao!

Binafsi nilitegemea kwa vile wayahudi ni jamii iliyopitia madhila mengi basi wao ndiyo wangelikuwa mfano kwenye hii dunia jinsi ya kusambaza amani na upendo.
Exactly hiki ndicho kitu hata mimi nazungumza hawa jamaa ni maadui wa majirani zake wote wa middle east.

Upo sahihi sana hawa walipaswa kuwa mabalozi wa amani na upendo hapo middle east na duniani ila viburi vimewajaa kwa kuwa wana backup nyuma siku hii backup ikianguka yale yale yaliyo wakuta nyuma yata warudia kama wasipo taka kubadilika.

Hii jamii ya hawa watu inachangamoto sana ni kama imejijengea kauspecial fulani hivi.
 
Kwani hamas walipoivamia Israel na kuwafanyia ambushi 260 kwenye sherehe ilikuwa sio mauaji ya kimbari?tatizo lenu mnamizuka ya kidini je Hamas walipofanya ambushi ya kurusha maroketi 5000 Israel sio mauaji ya kimbari embu acheni unafiki na double standard sijawahi kuona uzi wa mfia dini ukihukumu Hamas

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
You are talking about it like it's just started last month After HAMAS attack..

Kwani matukio ya IDF kushambulia Gaza na west bank yameanza Leo?

Hamas wamekuwa wanaretaliate Muda mrefu tuh na wao na mara nyingi tuh sema rocket's zao zimekuwa intercepted, hiyo ya last month ndiyo imekuwa among the successful ones,ukitakaje Sasa,wasilipe kisasi?

Wakifanya IDF sawa, wakifanya HAMAS ni magaidi..
 
Kwani hamas walipoivamia Israel na kuwafanyia ambushi 260 kwenye sherehe ilikuwa sio mauaji ya kimbari?tatizo lenu mnamizuka ya kidini je Hamas walipofanya ambushi ya kurusha maroketi 5000 Israel sio mauaji ya kimbari embu acheni unafiki na double standard sijawahi kuona uzi wa mfia dini ukihukumu Hamas
Kuna mahala popote ambapo nimehalalisha Hamas walichokifanya ndugu Mtanzania mwenzangu? Nimeyakemea! Lakini ajabu unanifokea mimi!

Alichokifanya Hamas ndicho anachokifanya Israel. Sasa tutakemea vipi ugaidi wa Hamas hali ya kuwa Israel naye anafanya u Hamas?

Ikiwa huu ndiyo muhtasari basi tukubaliane na matendo yote yanayofanywa na magaidi. Kwa sababu kwao nao wana justification nayo!
 
Exactly hiki ndicho kitu hata mimi nazungumza hawa jamaa ni maadui wa majirani zake wote wa middle east.

Upo sahihi sana hawa walipaswa kuwa mabalozi wa amani na upendo hapo middle east na duniani ila viburi zimewajaa kwa kuwa wana backup nyuma siku hii backup ikianguka yale yale yaliyo wakuta nyuma yata warudia kama wasipo taka kubadilika.

Hii jamii ya hawa watu inachangamoto sana ni kama imejijengea kauspecial fulani hivi.

Hao ni vitukuu vya wa NAZIS lazima waendeleze u supremacy wao ila ipo siku wataanguka tu
 
Exactly hiki ndicho kitu hata mimi nazungumza hawa jamaa ni maadui wa majirani zake wote wa middle east.

Upo sahihi sana hawa walipaswa kuwa mabalozi wa amani na upendo hapo middle east na duniani ila viburi zimewajaa kwa kuwa wana backup nyuma siku hii backup ikianguka yale yale yaliyo wakuta nyuma yata warudia kama wasipo taka kubadilika.

Hii jamii ya hawa watu inachangamoto sana ni kama imejijengea kauspecial fulani hivi.

That's why Hitler baada ya kuliona Hilo na roho ya umauti ilipogonga muhuri akaona Bora awaangamize tuh.

Yeye alikuwa anawachukulia kuwa ni Alien race,polluters of humanity...the final solution to the Jewish problem was just to eliminate them.
 
Baada ya wajapan kuwa na tabia ya kishenzi na kufanya majirani zake karibia wote kutowapenda kutokana na ushenzi aliokuwa anawafanyia ndio alipo jikoroga na kupanda mabega kwenda kuwaoneshea ushenzi wa marekani.

Tukio la kikatili alilofanya marekani juu yao limewafanya wajapan mpaka ule ushenzi walio nao kuwaondoka na kujenga utulivu kwao na kwa majirani zake walio mzunguka.

Hivyo hivyo kwa wajerumani baada ya kulazimishwa kutulizwa na wasoviet na wamarekani sasa wametulia tuli.

Israel kwa yale waliyo fanyiwa na Hitler walipaswa kuwa mfano tosha wa jamii ya watulivu, wanaojiheshimu na wanaojitambua ila imekuwa vise versa kwao.View attachment 2797089

Israel kwa nguvu kabisa inataka kuiaminisha dunia kuwa kile alichofanya Hitler kilikuwa sahihi juu yao hii sijui jamii ya watu gani isiyo taka kujifunza.
View attachment 2797091
je ulitaka wakae kimya hamas waendelee kuwaua waisrael?
 
That's why Hitler baada ya kuliona Hilo na roho ya umauti ilipogonga muhuri akaona Bora awaangamize tuh.

Yeye alikuwa anawachukulia kuwa ni Alien race,polluters of humanity...the final solution to the Jewish problem was just to eliminate them.
Kwa matendo yao yanaifanya dunia ifikiri mara mbili kuhusu Hitler tofauti na awali ilivyokuwa inamfikiria
 
KUna watu wanatumia masaburi kufikiri.
Huoni ushenzi wanaofanyiwa Israel?

Ulitaka waombe radhi na sio kisasi?

Ningekuwa mimi ningeiunguza Gaza yote
Kwa hiyo mnafungamana na makundi mengine ya kigaidi yanayojinasibisha na Uislam yanayosema kisasi ni haki?
 
Kwahiyo wewe unatuaminisha walichofanya Hamas tarehe 7 ndio sahihi?
Hitler alikua sahihi 100% aliwapukutisha kama nzige waharibifu wa mazao
images-22.jpg
images-10.jpg
 
Hamas kama Wana Akili hawatarudia Tena Ujinga Ule Kutesa Watu Kwa Akili Ya Ujinga na Siasa Za Kipumbavu Wacha Wanyooshwee
 
Hitler alikua sahihi 100% aliwapukutisha kama nzige waharibifu wa mazaoView attachment 2797207View attachment 2797209
Hawa Cockroaches angewabanika ndafu wote ,shwaini hawa .
Ogopa watu ambao hadi Nyerere aliwaogopa kama ukoma na kuwafukuza mbali huko na kuzuia diplomatic ties na Tanzania .
Ndio chanzo cha kuharibu amani ya ulimwengu
Israel ni Apartheid regime ya Kizayuni ,haina tofauti na Apartheid regime ya kaburu
 
Hamas bhana; fujo mmeanzisha wenyewe, kipigo kimezidi mnakuja kulialia na kutafuta huruma ya dunia.
 
Kwa matendo yao yanaifanya dunia ifikiri mara mbili kuhusu Hitler tofauti na awali ilivyokuwa inamfikiria
Heinrich Himmler alikaa akafikiriaaaaa ,akasema ,"Boss(Fuhrer) hawa nguruwe wasikupe shida , ninataka nianze kuandaa ovens kule Auschwitz Poland niwabanike ndafu Tu na wengine niwatumie kama Guinea pigs kwenye medical experiments kama specimens "
 
jambo usilolijua ni kwamba, Israel kuna watu weusi pia, waethiopia ambao ni kabila mojawapo la kiyahudi na wapo hadi jeshini. hawawezi kufanya icho kitu kwasababu hadi sasahivi hawajawafikia mateka hata mmoja, kama ulimsikiliza yule bibi aliyeachiwa amesema chini kuna mahandaki mengi sana, na mateka wametenganishwa na kugawanywa kwenye mahandaki kadhaa, na hadi sasaivi israel hajawakuta mateka hata mmoja ili awauwe kama wewe unavyoamini. ni chuki zako tu.
Sio chuki, hao waithiopia wote wamevunjwa uzazi na wayahudi, wayahudi sio watu wale, wale ni mbwa tena wamelaaniwa na Mungu.
 
Back
Top Bottom