Boli linatembea
Member
- Dec 21, 2022
- 66
- 167
Wanapewa misaada kutoka nje. Marekani anawatumia silaha na ana budget ya kuwafund kila mwaka.Wakuu Salaam,
Naomba kuuliza kuhusu Taifa la Israel, hiv hawa jamaa pesa za kuendesha vita vyote hivyo wanapata wapi? Hamas, Hizbolah, Houth, Iran ,makundi mengine Syria , Iraq kama tu vita ya 78 dhidi ya Nduli tuliyumba mpk leo....wao wanaendesha vipi Nchi? Sioni wako na resources za maana kama mafuta, misitu, makaa ya mawe hata viwanda, Nchi yao ndogo na msinambie anasaidiwa na US, US kumpa kila kitu kuna namna anasimama peke yake, hzo F35 et al , na missile, drone n.k ni gharama sana kutengeneza na kutumia, nategemea uchambuzi makin kutoka kwenu.
Jibu hoja yake, mkuu!Una elimu gani kuhusu masuala ya kimataifa?
Qatar ku fund Hezbollah na Hamas sidhani, Qatar ni pro West, labda some individuals from Qatar but sio serikali.Wanapewa misaada kutoka nje. Marekani anawatumia silaha na ana budget ya kuwafund kila mwaka.
Hezbollah na hamas wao wanakuwa funded na nchi kama qatar, iran na matajiri wengine wa kiarabu wanaowafund kwa siri kama watu binafsi.
Huwezi kuitoa Marekani katika issue, na usije hisi kwamba Marekani anapeleka kidogo pale hapana na hili anafanya kwakuwa kitovu cha uchumi wa Marekani ni New York na mjii ndiyo kuna Wayahudi zaidi ya Milion 2 ambao ni mayajiri haswa ambao wanaendesha uchumi wa US wakiwekeza kwenye sekta mbalimbali hapo US.Wakuu Salaam,
Naomba kuuliza kuhusu Taifa la Israel, hiv hawa jamaa pesa za kuendesha vita vyote hivyo wanapata wapi? Hamas, Hizbolah, Houth, Iran ,makundi mengine Syria , Iraq kama tu vita ya 78 dhidi ya Nduli tuliyumba mpk leo....wao wanaendesha vipi Nchi? Sioni wako na resources za maana kama mafuta, misitu, makaa ya mawe hata viwanda, Nchi yao ndogo na msinambie anasaidiwa na US, US kumpa kila kitu kuna namna anasimama peke yake, hzo F35 et al , na missile, drone n.k ni gharama sana kutengeneza na kutumia, nategemea uchambuzi makin kutoka kwenu.
Ndio umpe majibu aliyeulizaJibu hoja yake, mkuu!
Mimi najua Israel imewekeza kwenye technology na ina bonded diplomatic system na nchi imara nyingi!
Duniani resource kubwa kulizo zote ni akili. Akili ndiyo hujenga sayansi na tekinolojia.Wakuu Salaam,
Naomba kuuliza kuhusu Taifa la Israel, hiv hawa jamaa pesa za kuendesha vita vyote hivyo wanapata wapi? Hamas, Hizbolah, Houth, Iran ,makundi mengine Syria , Iraq kama tu vita ya 78 dhidi ya Nduli tuliyumba mpk leo....wao wanaendesha vipi Nchi? Sioni wako na resources za maana kama mafuta, misitu, makaa ya mawe hata viwanda, Nchi yao ndogo na msinambie anasaidiwa na US, US kumpa kila kitu kuna namna anasimama peke yake, hzo F35 et al , na missile, drone n.k ni gharama sana kutengeneza na kutumia, nategemea uchambuzi makin kutoka kwenu.
Hilo ndiyo jibu?Mpe majibu.Una elimu gani kuhusu masuala ya kimataifa?
Nimezingatia neno "akili" mstari wa mwisho..."economic outputs"...!Hapa
Duniani resource kubwa kulizo zote ni akili. Akili ndiyo hujenga sayansi na tekinolojia.
Kwa ujumla, uchumi wa Israel unategemea sana tekinolojia, kuanzia tekinolojia ya silaha, mawasiliano, usafiri, tiba, n.k. Ni nchi ndogo, lakini wanatengeneza mpaka ndege za kivita. Israel inatengeneza silaha ambazo inaziuzia nchi kubwa karibia zote, kuanzia China mpaka US, huku yenyewe ikiinunua silaha chache toka nje.
What countries does Israel supply weapons to?
Much of the exports are sold to the United States and Europe. Other major regions that purchase Israeli defense equipment include Southeast Asia and Latin America. India is also major country for Israeli arms exports and has remained Israel's largest arms market in the world.
COMPARE IRAN AND ISRAEL ECONOMIES:
Iran Its population of around 88 million is nearly 10 times that of its arch-enemy Israel. But in 2023, Iran's economic output was $403 billion, significantly lower than Israel's $509 billion.
We kwani hujui viongozi wa hamas wanaishi qatar na wala sio siri, same as houthi. Au umesahau ile movement aliinzisha saudia kuitenga qatar ilitokana na wao kufund wale ambao saudia alikuwa anapigana nao.Qatar ku fund Hezbollah na Hamas sidhani, Qatar ni pro West, labda some individuals from Qatar but sio serikali.
Najua kwamba wanaishi Qatar na najua why Qatar na sio nchi nyingine. Unamkumbuka yule kiongozi wa Hamas aliyeuliwa Iran na Mossaid? Nae alikua anaishi Qatar, alikwenda Iran kumzika nadhani hayati rais Raisi. But why Israel ilimuulia Iran badala ya kumuulia Qatar? Israel haiwezi kurusha hata risasi Saudia, Qatar or UAE, why? Serikali za hizo nchi ni pro West and hence wanakua marafiki na Israel na ndio maana hao viongozi kuishi huko wanajiona wapo salama zaidi kuliko kuishi nchi hasimu na Israel kama IranWe kwani hujui viongozi wa hamas wanaishi qatar na wala sio siri, same as houthi. Au umesahau ile movement aliinzisha saudia kuitenga qatar ilitokana na wao kufund wale ambao saudia alikuwa anapigana nao.
Qatar ndiye mdhamini mkubwa wa hamas huku hezbollah ni iran japo na qatar hutoa fedha kwao
Lakini sio siri kwamba qatar ina wasponsor wao na familia zao. Linapokuja suala la palestina nchi nyingi za kiarabu zinakubaliana hapoNajua kwamba wanaishi Qatar na najua why Qatar na sio nchi nyingine. Unamkumbuka yule kiongozi wa Hamas aliyeuliwa Iran na Mossaid? Nae alikua anaishi Qatar, alikwenda Iran kumzika nadhani hayati rais Raisi. But why Israel ilimuulia Iran badala ya kumuulia Qatar? Israel haiwezi kurusha hata risasi Saudia, Qatar or UAE, why? Serikali za hizo nchi ni pro West and hence wanakua marafiki na Israel na ndio maana hao viongozi kuishi huko wanajiona wapo salama zaidi kuliko kuishi nchi hasimu na Israel kama Iran
Kauliza swali rahisi sana, kwenye vyombo vya habari kila siku. Kuna mataifa makubwa kama US, UK kila bajeti kuna fungu kwa ajili yao.Una elimu gani kuhusu masuala ya kimataifa?
Unajisomea kuhusu hii nchi au unasubiri kuambiwa, maana yote yako wazi, huna hata haja ya kuuliza.Wakuu Salaam,
Naomba kuuliza kuhusu Taifa la Israel, hiv hawa jamaa pesa za kuendesha vita vyote hivyo wanapata wapi? Hamas, Hizbolah, Houth, Iran ,makundi mengine Syria , Iraq kama tu vita ya 78 dhidi ya Nduli tuliyumba mpk leo....wao wanaendesha vipi Nchi? Sioni wako na resources za maana kama mafuta, misitu, makaa ya mawe hata viwanda, Nchi yao ndogo na msinambie anasaidiwa na US, US kumpa kila kitu kuna namna anasimama peke yake, hzo F35 et al , na missile, drone n.k ni gharama sana kutengeneza na kutumia, nategemea uchambuzi makin kutoka kwenu.
Mm nadhani angejiuliza kuwa Iran aliishambulia Israel kwa makombora lakini leo Marekani ndo yupo anahaha utadhani ndo aliye shambuliwa.Jibu hoja yake, mkuu!
Mimi najua Israel imewekeza kwenye technology na ina bonded diplomatic system na nchi imara nyingi!
Ebu tutajie aina ya ndege ya kivita inayo tengenezwa na Israel.Hapa
Duniani resource kubwa kulizo zote ni akili. Akili ndiyo hujenga sayansi na tekinolojia.
Kwa ujumla, uchumi wa Israel unategemea sana tekinolojia, kuanzia tekinolojia ya silaha, mawasiliano, usafiri, tiba, n.k. Ni nchi ndogo, lakini wanatengeneza mpaka ndege za kivita. Israel inatengeneza silaha ambazo inaziuzia nchi kubwa karibia zote, kuanzia China mpaka US, huku yenyewe ikiinunua silaha chache toka nje.
What countries does Israel supply weapons to?
Much of the exports are sold to the United States and Europe. Other major regions that purchase Israeli defense equipment include Southeast Asia and Latin America. India is also major country for Israeli arms exports and has remained Israel's largest arms market in the world.
COMPARE IRAN AND ISRAEL ECONOMIES:
Iran Its population of around 88 million is nearly 10 times that of its arch-enemy Israel. But in 2023, Iran's economic output was $403 billion, significantly lower than Israel's $509 billion.
As of 2024, the IMF estimated Israel has the 26th largest economy in the world by nominal GDP, and one of the biggest economies in the Middle East.
Israel's economic freedom score is 70.1, making its economy the 26th freest in the 2024 Index of Economic Freedom. Its rating has increased by 1.2 points from last year, and Israel is ranked 2nd out of 14 countries in the Middle East/North Africa region.