Israel inazidi kupoteza ushindi katika mipaka ya Lebanon Kichapo ni cha Moto!

Israel inazidi kupoteza ushindi katika mipaka ya Lebanon Kichapo ni cha Moto!

Hakuna cha ushabiki wala nini inajulikana kama anataka kujitanua na kujibebea eneo ila shida mpaka sasa kachemka na hatokaa afanikiwe
Suala la kuiunda hamas mwenyewe halaf anakuja anauliwa na hao hao hamas unaonaje hapa
Israhell atafyekwa na atakimbizwa ukanda wa ghaza kinguvu yaaani
mipango yote ya Israel inajulikana lakini yote imetibuka kwa sababu waliojua akina Hamas hawatoi muda ikafanikiwa.
 
Hakuna cha ushabiki wala nini inajulikana kama anataka kujitanua na kujibebea eneo ila shida mpaka sasa kachemka na hatokaa afanikiwe
Suala la kuiunda hamas mwenyewe halaf anakuja anauliwa na hao hao hamas unaonaje hapa
Israhell atafyekwa na atakimbizwa ukanda wa ghaza kinguvu yaaani
Zinaitwa False Flag Operations. Hata September 11 walikufa wamarekani wengi sana. Hao waovu hawaoni tabu kuua watu wao kwa kile wanachokiita 'a greater good'. Sijui unaelewa ninachosema au mambo magumu haya
 
Hata wakati wa Saddam Hussein story zilikua hivyo hivyo mwisho akanyongwa
Unajua hawaangalii mambo kwa uhalisi, wanaangalia kwa ushabiki. Israel kama sio kutumia sababu ya kupigwa na kutekwa watu wake na Hamas angekuwa na sababu ipi kuingia Palestine? Kapata sababu na agenda yake ni kuongeza maeneo zaidi, wanaua wa palestine na kuharibu miundombinu yote, na ndio case aliyofungua South Africa huko ICJ. Sasa akhy zangu wamekalia ushabiki wakati wapalestina huko wamalaki wanakufa. Sasa hivi hakuna hospitali yeyote inafanya kazi, hakuna umeme, hakuna chakula. Halafu mtu anasema Israel wamewashindwa Hamas, wakati uharibifu wanaufanya ni mkubwa na ndio lengo wala sio Hamas wala mateka.
 
Unajua hawaangalii mambo kwa uhalisi, wanaangalia kwa ushabiki. Israel kama sio kutumia sababu ya kupigwa na kutekwa watu wake na Hamas angekuwa na sababu ipi kuingia Palestine? Kapata sababu na agenda yake ni kuongeza maeneo zaidi, wanaua wa palestine na kuharibu miundombinu yote, na ndio case aliyofungua South Africa huko ICJ. Sasa akhy zangu wamekalia ushabiki wakati wapalestina huko wamalaki wanakufa. Sasa hivi hakuna hospitali yeyote inafanya kazi, hakuna umeme, hakuna chakula. Halafu mtu anasema Israel wamewashindwa Hamas, wakati uharibu wanaufanya ni mkubwa na lengo la sio Hamas ni ardhi.
Sawa inawezekana ila kwa shinikizo lililopo ndani ya serikali ya Israel na vyama vya upinzani juu ya kuivamia israel Netanyau akupiga mahesabu yake vizuri,na Hamasi walijipanga zamani kimiundombinu na kila kitu hivyo kuishambulia Israel siyo kwa bahati mbaya, na sioni mpango wa Israel katika ukanda wa gaza hasa katika kujitanua!Japo anahitaji eneo lenye msikiti wa al aqsa ndiyo maana uoni akiushambulia huo msikiti!
 
mipango yote ya Israel inajulikana lakini yote imetibuka kwa sababu waliojua akina Hamas hawatoi muda ikafanikiwa.
Ilijulikana mapema sana na ndio maana wakawahiwa na mipango yao yote ikawa chalii
Ndio maana kwasasa kila mshirikanwao wanamuona mbaya kumbe ishu ni kwamba hamas ilijiandaa zaidi yao
Israhell leo wakuikaumu mpaka marekani kweli 😁😂😁
 
Zinaitwa False Flag Operations. Hata September 11 walikufa wamarekani wengi sana. Hao waovu hawaoni tabu kuua watu wao kwa kile wanachokiita 'a greater good'. Sijui unaelewa ninachosema au mambo magumu haya
Nakuelewa sana na naelewa sana unachokimaanisha
Ila false flag ya marekani ilikua na faida kwa marekani hii ya israhell kampaka muda huu ishafeli na inazidi kufeli
 
Unajua hawaangalii mambo kwa uhalisi, wanaangalia kwa ushabiki. Israel kama sio kutumia sababu ya kupigwa na kutekwa watu wake na Hamas angekuwa na sababu ipi kuingia Palestine? Kapata sababu na agenda yake ni kuongeza maeneo zaidi, wanaua wa palestine na kuharibu miundombinu yote, na ndio case aliyofungua South Africa huko ICJ. Sasa akhy zangu wamekalia ushabiki wakati wapalestina huko wamalaki wanakufa. Sasa hivi hakuna hospitali yeyote inafanya kazi, hakuna umeme, hakuna chakula. Halafu mtu anasema Israel wamewashindwa Hamas, wakati uharibu wanaufanya ni mkubwa na lengo la sio Hamas ni ardhi.
Labda hujui tu ni kwamba israhell na shoga zake wala hawana ulazima wa kufanya false flag wakiamua maaana wanajua hakuna wa kuwafanya lolote lile
Kwani kule west bank napo kulitokea nini mbona israhell anaua watu anavunja majengo anaweka watu ndani au napo walivamia israhell kwakisingizii cha false flag
Hakuna anaekataa kua wapalestine wengi wanakufa na watazidi kufa ila kwamba ulitaka wapalestine wakae tu wasijibu mapigo ama unadhani kwamba Palestine wakieka silaha chini ndio watasalimika na ghilba za wazayuni
Njia pekee ya wapalestine kupambania uwepo wao ni kutumia nguvu sababu wakitumia nguvu wanakufa maelfu ila siku watakayosema wasitumie nguvu watakufa na kupotea malaki hem nenda kaisome naqba uone
Wapalestine wanatakiwa wapambane sana ndio salama yao wakieka silaha chini tu wamekwisha kabisa
Israhell anashambulia Lebanon anashambulia Syria anashambulia popote anapoona panafaa watu wakisema wamkalie kimya itakuaje kuaje?
 
Hizo habari si za kweli. Watu tupo uwanja wa vita ila kinachotokea ni kurusha makombora na kusubiri kichapo toka Israel. Point.
Hakuna atakayeshinda vita hivi mpaka mateka wa Israel wote warudishwe nyumbani. Lebanon inatumika na Hesbolah ambayo inasaidiwa na Iran ambao ni mchezo mbaya hasa kwa nchi isiyo na serikali na jeshi halina mwenyewe.
 
Hizo habari si za kweli. Watu tupo uwanja wa vita ila kinachotokea ni kurusha makombora na kusubiri kichapo toka Israel. Point.
Hakuna atakayeshinda vita hivi mpaka mateka wa Israel wote warudishwe nyumbani. Lebanon inatumika na Hesbolah ambayo inasaidiwa na Iran ambao ni mchezo mbaya hasa kwa nchi isiyo na serikali na jeshi halina mwenyewe.
Na hakuna mateka atakae achiwa mpaka wafungwa wapalestine wote wawe huru na magaidi wa israhell waondoe mgambo wao pale ukanda wa ghaza
 
Nakuelewa sana na naelewa sana unachokimaanisha
Ila false flag ya marekani ilikua na faida kwa marekani hii ya israhell kampaka muda huu ishafeli na inazidi kufeli
Bado hujanielewa. Anyway mimi nimeishia hapa
 
Hizo habari si za kweli. Watu tupo uwanja wa vita ila kinachotokea ni kurusha makombora na kusubiri kichapo toka Israel. Point.
Hakuna atakayeshinda vita hivi mpaka mateka wa Israel wote warudishwe nyumbani. Lebanon inatumika na Hesbolah ambayo inasaidiwa na Iran ambao ni mchezo mbaya hasa kwa nchi isiyo na serikali na jeshi halina mwenyewe.
Muungawana akivuliwa nguo huchutama.
Mnapozidi kuweka mkazo kuwa vita havitaisha mpaka mateka wote wapatikane au waachiwe ndio mnazidi kuumbuka.Hilo lengo haliwezi kufanikiwa tena kwa sasa kwani Hamas hawawezi kuwaachia kizembe na upo uwezekano kuwa wengi wameshakufa na Hamas hawawezi kuweka wazi hilo.
Hilo lengo la mateka kama ndio lengo la vita ni sahihi kusema Israel imeshindwa na anayedai eti Israel imeshinda kwa vile tu imebomoa Gaza na kuua maelfu ya watu basi itakuwa amepagawa na kushindwa kwa Israel.
Na iwapo lengo la pili ni kuifuta Hamas basi pia limefeli.Netanyahu na waziri wake wa vita wanasema batalioni 17 kati ya 24 za Hamas zimeshavunjwa na kwamba zaidi ya nusu ya Hamas wamekufa au wamejeruhiwa.Tangazo hilo ni tangazo jengine la kushindwa vita.
Yaani majengo yote yalijyovunjwa na idadi ya watu waliokufa na bado tu kuna batalioni za Hamas zimebaki.Inaonesha kuna muda mrefu mbele wa kuvunja batalioni za Hamas na huenda isifikie mwisho kabla Israel yenyewe haijafutika.
Kwa kauli zake Israel wanakubali kuwa mapigano yapo kwa kasi kubwa jiji la Gaza na Khan younis walikotangaza awali kuwa wameyazingira na kuwamaliza Hamas.Ukiwaza vizuri utaona kazi bado ipo na hasa kwa vile Hamas hawaamini kuwa wanapigana na adui mwenye kutaka suluhu na anayejali makubaliano au hukumu za mahakama na maazimio ya UN.
Sera ya mapigano ya Hamas hakuna shaka yoyote itawaletea ushindi wa wazi sana hata kama mataifa yote yatawaacha mkono.Kwa sababu katika maazimio kama hayo daima kuna msaada wa Mwenyezi Mungu.
 
Muslim kila Vita mnajidai ni washindi huku damu nyingi zikiwamwakika na very Akbar loss of blood.. Vita zote za Israel Muslim wanashangilia Ushindi yaani Takiya hadi wanapopoteza vita na mali zote.. yaani ni sawa unapigana na mtoto akapata ngumi moja tu then ukaponda akazimia akiamka anasema amekupiga... ndio uislam
100%uko sahihi
 
Israel ikae mezani ingawa sipo kwenye uwanja WA vita,huku Hamas,Kule Hizb-Allah huku Waouth,ukiwaangalia hao wote wanampiga mdogo mdogo atajchokea,sijui kama amejiandaa na mapigano ya mda mrefu.

Ikae mezani na magaidi?! Are you serious?
 
Muungawana akivuliwa nguo huchutama.
Mnapozidi kuweka mkazo kuwa vita havitaisha mpaka mateka wote wapatikane au waachiwe ndio mnazidi kuumbuka.Hilo lengo haliwezi kufanikiwa tena kwa sasa kwani Hamas hawawezi kuwaachia kizembe na upo uwezekano kuwa wengi wameshakufa na Hamas hawawezi kuweka wazi hilo.
Hilo lengo la mateka kama ndio lengo la vita ni sahihi kusema Israel imeshindwa na anayedai eti Israel imeshinda kwa vile tu imebomoa Gaza na kuua maelfu ya watu basi itakuwa amepagawa na kushindwa kwa Israel.
Na iwapo lengo la pili ni kuifuta Hamas basi pia limefeli.Netanyahu na waziri wake wa vita wanasema batalioni 17 kati ya 24 za Hamas zimeshavunjwa na kwamba zaidi ya nusu ya Hamas wamekufa au wamejeruhiwa.Tangazo hilo ni tangazo jengine la kushindwa vita.
Yaani majengo yote yalijyovunjwa na idadi ya watu waliokufa na bado tu kuna batalioni za Hamas zimebaki.Inaonesha kuna muda mrefu mbele wa kuvunja batalioni za Hamas na huenda isifikie mwisho kabla Israel yenyewe haijafutika.
Kwa kauli zake Israel wanakubali kuwa mapigano yapo kwa kasi kubwa jiji la Gaza na Khan younis walikotangaza awali kuwa wameyazingira na kuwamaliza Hamas.Ukiwaza vizuri utaona kazi bado ipo na hasa kwa vile Hamas hawaamini kuwa wanapigana na adui mwenye kutaka suluhu na anayejali makubaliano au hukumu za mahakama na maazimio ya UN.
Sera ya mapigano ya Hamas hakuna shaka yoyote itawaletea ushindi wa wazi sana hata kama mataifa yote yatawaacha mkono.Kwa sababu katika maazimio kama hayo daima kuna msaada wa Mwenyezi Mungu.

Mwenyezi Mungu yupi huyo anaunga mkono ugaidi?! Acha ujinga kijana
 
Mwenyezi Mungu yupi huyo anaunga mkono ugaidi?! Acha ujinga kijana
Mwenyezi Mungu hajui ugaidi kama mnavyoufahamu nyinyi.
Ugaidi kwa maana iliyotengenezwa na mafisadi wa kimagharibi haina maana mbele ya Mwenyezi Mungu.
Yeye ni mkali na muadilifu.Ni mwenye huruma na mwenye subira za hali ya juu kwa wanaofanya maovu.
Sifa zake zote hizo na nyengine zinamuona mtu aliyedhulumiwa na anayejitetea kwa nguvu zote kama ni shujaa.
 
Hapo nyuma hawakukaa mezani na wakasitisha vita Ili waletewe mezani mateka wao?
ilikua zuga ya kisiasa tu ili kuwapoza raia wa Israeli, ndio maana baada ya Saa 72 kupita kipigo kiliendelea
 
Back
Top Bottom